Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
- Thread starter
- #41
Nipe namba yakoNtumie buku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe namba yakoNtumie buku
Tuliza mihemko ujibu kama mtu mwenye hekima na anayetumia brain yake vizuri. Yaani ulivyojibu ni kama mtu aliyepaliwa na wali kisha akaanza kukohoa mfululizo na akasahau kabisa alichokuwa anafanya muda mfupi uliopitaInakuhusu nini? Nguo yake inanihusu nini? Fanya yako, nifanye yangu na yeye afanye yake. Kam unaweza tembea nchi nzima kamata wanaovaa uchi maana wako wengi
Ok, ok. Nikadhani ni nke na mume.Nafikiri mngeitafuta logic nyuma ya hiyo picha kabla hamjasema yote.
Huyo dada Ali Kamwe aliweka shindano katika page yake ya kumtafuta dada wa kuhudhuria nae harusi (ya mfanyakazi mwenzao pale Yanga) ndipo huyo dada (pichani) akashinda kwa kura nyingi, ndio akahudhuria nae kama mnavyoona.
Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi. Acheni watu wapendeze jamani, eh!
Malaya ni malaya tu
Hakuna mke/mpenzi hapo
Hayo mavazi ni kwa ajili ya kutafuta attention za wanaume
Tayari ana mwanaume anavaa hivyo kwa ajili ya nani?
Kama sio umalaya ni nini?
Anyway kwenye hiyo picha naona lesbians wawili wakiingia ukumbini
Hapa umealibu dada angu, mimi binafsi siwezi nikaruhusu mke wangu kuvaa hivyo.Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi. Acheni watu wapendeze jamani, eh!
Kama ni mgawaji atagawa tu hata kama anavaa baibuiMwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.
Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.
Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.
Wanaume tuache ujinga.
View attachment 2989182
Asante mkuu nmeshalipwa dola ef tano hapa mkuuNipe namba yako
Huyo sio mke wake, hoja yako hapo inakosa mashiko tayari.Tuliza mihemko ujibu kama mtu mwenye hekima na anayetumia brain yake vizuri. Yaani ulivyojibu ni kama mtu aliyepaliwa na wali kisha akaanza kukohoa mfululizo na akasahau kabisa alichokuwa anafanya muda mfupi uliopita
Ndio ulichokifanya hapa wewe, hapa tunaongelea mwanaume kushindwa kumdhibiti mkewe asivae nguo za nusu uchi na wala hatuongelei wavaa uchi wa nchi nzima upo hapo?
Nakuuliza tena, je ni sahihi kumuacha mke wako avae nguo za nusu uchi kisa tu eti hata akivaa nguo zinazomstiri vizuri bado tu wajuba watamtongoza??
Na pia unaposema eti nguo yake haikuhusu, kwa hiyo siku akikwambia kuna nguo ameipenda na anataka kuinunua ila amepungukiwa hela kidogo halafu nguo zenyewe ndio hizo hizo zinazomuacha nusu uchi, je utakuwa tayari kumsaidia hela kidogo akanunue nguo hiyo ya nusu uchi kwa sababu tu haikuhusu??
Nyie vijana wa millennial mna matatizo sana
Hongera kwa maokoto mkuuAsante mkuu nmeshalipwa dola ef tano hapa mkuu
Ngoja nilipe ada ya Swalehe
Mavazi ni kipimo cha umalaya. Ukiona mwanamke anavaa nguo za kuonyesha sana sehemu zake za mwili kama huyo malaya kwenye picha ujue ni malayaUmalaya huwezi upima kwa mavazi kwani hujaona watu wanavaa nguo za heshima ila umalaya hapo ndio nyumbani?? Ebu acheni hizo na nyie.
Alafu hao sio wapenzi jaman em kafatilieni insta page ya Ali.
Umesema vyemaNaona kama kuna mwanaume wa kughushi
We jamaa unalipenda sana hilo neno "malaya", sijui ndio umeambiwa ni kati ya maneno ambayo ukiwaita wanawake wanaumia, kwa bahati nzuri au mbaya hawa wa kizazi hiki na vizazi vinavyokuja mtawaita majina yote ila hawaumii wala hawajali tenaMalaya ni malaya tu
Hakuna mke/mpenzi hapo
Hayo mavazi ni kwa ajili ya kutafuta attention za wanaume
Tayari ana mwanaume anavaa hivyo kwa ajili ya nani?
Kama sio umalaya ni nini?
Anyway kwenye hiyo picha naona lesbians wawili wakiingia ukumbini
Huyo ni doktaUtaua mashine kwa kupigia puri videmu bandia.
Acha hiyo tabia.
Tulia wewe tulambe asaliIkiwa huu msemo ni batili ina maana hata ccm ya Nyerere ilikuwa batili, Ila ccm ya wahuni wa leo ndiyo sahihi?
Sasa mwanamke kama huyo nimwataje kwa jinsi alivyovaa kimalaya?We jamaa unalipenda sana hilo neno "malaya
My body my choice ndio huwa kauli yenu ila mkishakuwa mishangazi mnahaha. Hakuna mwanaums anayeumia ila tunawatumiaNa wangekuwa wanajali basi mngeshaanza kuona mabadiliko ila ndio kwanza hao so called 'malaya' wanazidi kuongezeka, na matokeo yake wanaume ndio mnabaki kuumia kihisia kwa kukosa 'wife material', so ni either muanze kubadilika ninyi au muendelee kujifariji na kuwatukana wanawake hadi mwisho wa dahari
Hizo huwa ni kauli zenu za kujifariji tu wala hamna loloteSasa mwanamke kama huyo nimwataje kwa jinsi alivyovaa kimalaya?
Mngekuwa hamuumii basi msingekuwa mnalalamika kuhusu maovu ya wanawake kwenye uchumba na kwenye ndoa, na cha kushangaza zaidi pamoja na malalamiko yote hayo bado ndoa zinafungwa kila siku, wakati wenye maamuzi ya kuoa ni wanaume na wana uwezo wa kuacha kuwaoa hawa wanawake ila bado kila siku wanawaoaMy body my choice ndio huwa kauli yenu ila mkishakuwa mishangazi mnahaha. Hakuna mwanaums anayeumia ila tunawatumia
Baada ya kuoana kesho yake huachana.wakati wenye maamuzi ya kuoa ni wanaume na wana uwezo wa kuacha kuwaoa hawa wanawake ila bado kila siku wanawaoa