Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Kuna asilimia ngapi ya talaka kati ya ndoa zinazofungwa kwa kila muda fulani
Katika mtaa wetu hapa Tengeru talaka hutolewa kwa asilimia 98 kati ya ndoa 10 zinazofungwa kwa miezi 3+

Sina takwimu kwa maeneo mengine ambayo siishi huko. Ila kwa kupita pita mitandaoni kupeana talaka na kugawana mali ndiyo zivumazo zaidi.
 
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.

Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.

Wanaume tuache ujinga.

View attachment 2989182
Tutusa hili.
 
Katika mtaa wetu hapa Tengeru talaka hutolewa kwa asilimia 98 kati ya ndoa 10 zinazofungwa kwa miezi 3+

Sina takwimu kwa maeneo mengine ambayo siishi huko. Ila kwa kupita pita mitandaoni kupeana talaka na kugawana mali ndiyo zivumazo zaidi.
Sasa kama mnaendekeza ndugi nakusikiliza wazazi wenu si shida hiyo?? Jingine sasa mna wafanyia visa wake zenu wameru , wachagga ni shida mtu akiolewa mnamganda kama nyie ndio mnapewa haki za msingi kumbe anapaswa kupewa haki ya msingi kuna mtu kafungiwa ndani na familia ya mume akawashiwa moto akachomeka . Akafa huko nkoandua sasa kwanini msiachwe
 
Hujakosea chakushangaza sasa hana akili kabisa , wanakuomba hela , hadi steam ya penzi inakata moto inaungua inakufa
Mie najua wadada ndio wanaoombaga hela humu kwa wanaume mabilionea wa jf, kumbe hata wanaume wa humu huombaga hela kwa wadada?

Mie simo.
 
Niweke takwimu za uhakika?

Mbona hiyo siyo taaluma yangu! utanisamehe kwa hilo mama.
Basi acha kuandika uongo remember no research no right to speak, kwa takwimu hizo basi tanzania ingekuwemo katika list ya nchi zinazoongoza kwa talaka ila haimo, ilihali ndoa bado zinaendelea kufungwa kila siku
 
Basi acha kuandika uongo remember no research no right to speak, kwa takwimu hizo basi tanzania ingekuwemo katika list ya nchi zinazoongoza kwa talaka ila haimo, ilihali ndoa bado zinaendelea kufungwa kila siku
Hata wewe ni umeandika uongo maana hujaambatanisha takwimu zozote zenye kuthibitisha kuwa wanaume wanaoa kwa wingi.

Mie sio muongo maana nilisha achana na aliyekuwa mke wangu. Sijui kwa upande wako kama unaishi katika ndoa yako
 
Nafikiri mngeitafuta logic nyuma ya hiyo picha kabla hamjasema yote.

Huyo dada Ali Kamwe aliweka shindano katika page yake ya kumtafuta dada wa kuhudhuria nae harusi (ya mfanyakazi mwenzao pale Yanga) ndipo huyo dada (pichani) akashinda kwa kura nyingi, ndio akahudhuria nae kama mnavyoona.

Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi. Acheni watu wapendeze jamani, eh!
Women mungu anawaona upo radhi utembee uchi iliusifiwe umependeza kweli ni pambo ladunia
 
Back
Top Bottom