SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Humu wamejaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika mtaa wetu hapa Tengeru talaka hutolewa kwa asilimia 98 kati ya ndoa 10 zinazofungwa kwa miezi 3+Kuna asilimia ngapi ya talaka kati ya ndoa zinazofungwa kwa kila muda fulani
Sina uhakikaHumu wamejaaa
Tutusa hili.Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.
Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.
Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.
Wanaume tuache ujinga.
View attachment 2989182
Humu nimecreate account majuzi tu ila wanaume wa humu wengi fiuzi zao zimekata wamechoka lifeSina uhakika
Sasa kama mnaendekeza ndugi nakusikiliza wazazi wenu si shida hiyo?? Jingine sasa mna wafanyia visa wake zenu wameru , wachagga ni shida mtu akiolewa mnamganda kama nyie ndio mnapewa haki za msingi kumbe anapaswa kupewa haki ya msingi kuna mtu kafungiwa ndani na familia ya mume akawashiwa moto akachomeka . Akafa huko nkoandua sasa kwanini msiachweKatika mtaa wetu hapa Tengeru talaka hutolewa kwa asilimia 98 kati ya ndoa 10 zinazofungwa kwa miezi 3+
Sina takwimu kwa maeneo mengine ambayo siishi huko. Ila kwa kupita pita mitandaoni kupeana talaka na kugawana mali ndiyo zivumazo zaidi.
Weka takwimu za uhakika achana na porojoKatika mtaa wetu hapa Tengeru talaka hutolewa kwa asilimia 98 kati ya ndoa 10 zinazofungwa kwa miezi 3+
Sina takwimu kwa maeneo mengine ambayo siishi huko. Ila kwa kupita pita mitandaoni kupeana talaka na kugawana mali ndiyo zivumazo zaidi.
Heeh!Humu nimecreate account majuzi tu ula wanaume wa humu wengi fuzi zao zimekata wamechoka life
Hujakosea chakushangaza sasa hawana akili kabisa , wanakuomba hela , hadi steam ya penzi inakata moto inaungua inakufaHeeh!
Walikutongoza mara tu ulipojiunga au walikwambia wanakupenda?
Niweke takwimu za uhakika?Weka takwimu za uhakika achana na porojo
Unajua umkianza kupendana mnaotana sasa umeshafurahi umepata kumbe , umepatikana mtu hajawahi kukuona anapiga simu mama naomba hela ya maji sijalipa anakupa bills zote za ndani hadi yachakula. Hii ndio nini??Niweke takwimu za uhakika?
Mbona hiyo siyo taaluma yangu! utanisamehe kwa hilo mama.
Mie najua wadada ndio wanaoombaga hela humu kwa wanaume mabilionea wa jf, kumbe hata wanaume wa humu huombaga hela kwa wadada?Hujakosea chakushangaza sasa hana akili kabisa , wanakuomba hela , hadi steam ya penzi inakata moto inaungua inakufa
Basi acha kuandika uongo remember no research no right to speak, kwa takwimu hizo basi tanzania ingekuwemo katika list ya nchi zinazoongoza kwa talaka ila haimo, ilihali ndoa bado zinaendelea kufungwa kila sikuNiweke takwimu za uhakika?
Mbona hiyo siyo taaluma yangu! utanisamehe kwa hilo mama.
Una ugomvi na mwanaume flani hapa jf, ni vyema ukimtaja ili tumsaidie 😂😂umepatikana mtu hajawahi kukuona anapiga simu mama
Sina hata naongelea tu uhasilia kilichonipata humu sina aduiUna ugomvi na mwanaume flani hapa jf, ni vyema ukimtaja ili tumsaidie 😂😂
Hata wewe ni umeandika uongo maana hujaambatanisha takwimu zozote zenye kuthibitisha kuwa wanaume wanaoa kwa wingi.Basi acha kuandika uongo remember no research no right to speak, kwa takwimu hizo basi tanzania ingekuwemo katika list ya nchi zinazoongoza kwa talaka ila haimo, ilihali ndoa bado zinaendelea kufungwa kila siku
Women mungu anawaona upo radhi utembee uchi iliusifiwe umependeza kweli ni pambo laduniaNafikiri mngeitafuta logic nyuma ya hiyo picha kabla hamjasema yote.
Huyo dada Ali Kamwe aliweka shindano katika page yake ya kumtafuta dada wa kuhudhuria nae harusi (ya mfanyakazi mwenzao pale Yanga) ndipo huyo dada (pichani) akashinda kwa kura nyingi, ndio akahudhuria nae kama mnavyoona.
Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi. Acheni watu wapendeze jamani, eh!
Kwa hiyo ulimlipia bili huyo mjuba au ulimpotezea tu?Sina hata naongelea tu uhasilia kilichonipata humu sina adui
Niliwabubock ni wajuba 3Kwa hiyo ulimlipia bili huyo mjuba au ulimpotezea tu?