Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Hata wewe ni umeandika uongo maana hujaambatanisha takwimu zozote zenye kuthibitisha kuwa wanaume wanaoa kwa wingi.

Mie sio muongo maana nilisha achana na aliyekuwa mke wangu. Sijui kwa upande wako kama unaishi katika ndoa yako
Mkuu kila siku iitwayo leo kumbi za sherehe zinajaa na nyingi zinahost harusi tu hapo bado hatujazungumzia zile ndoa za mikeka, na za kiserikali ambazo nyingi hawafanyi sherehe kwahiyo hilo si suala la kuletewa utafiti rasmi bali ni la kujionea wewe mwenyewe tu, ila kwenye talaka siyo rahisi kujua ni ngapi zinatolewa kila siku hivyo hilo suala linahitaji utafiti rasmi na siyo porojo
 
Mkuu kila siku iitwayo leo kumbi za sherehe zinajaa na nyingi zinahost harusi tu, hapo bado hatujazungumzia zile ndoa za mikeka na za kiserikali ambazo nyingi hawafanyi sherehe kwahiyo hilo si suala la kuletewa utafiti rasmi bali ni la kujionea wewe mwenyewe tu, ila kwenye talaka siyo rahisi kujua ni ngapi zinatolewa kila siku hivyo hilo suala linahitaji utafiti rasmi na siyo porojo
Unataka kuniambia kuwa wewe mjini ambako kila siku kumbi zimejaa sherehe za harusi?

Huo ni uongo mkubwa ambao siwezi kuukubali
 
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.

Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.

Wanaume tuache ujinga.

View attachment 2989182
Inafikirisha 🤔
 
Wewe upo mjini ambako kila siku kumbi zimejaa sherehe za harusi kwa watu kuoana?
Ndio mimi naishi mjini mkuu na karibu kila siku huwa walau naona au nasikia kuwa kuna harusi, lakini hata ukiachana na kuona au kusikia huwa pia napita mitandaoni na karibu kila siku huwa nakutana na page za ma mc wakipost harusi mbalimbali walizosherehesha, na kama nilivyokuambia hapo bado hatujahesabia zile ndoa za bomani au za serikalini ambazo nyingi huwa za kimya kimya hawafanyi harusi
 
Ndio mimi naishi mjini mkuu na karibu kila siku huwa walau naona au nasikia kuwa kuna harusi, lakini hata ukiachana na kuona au kusikia huwa pia napita mitandaoni na karibu kila siku huwa nakutana na page za ma mc wakipost harusi mbalimbali walizosherehesha, na kama nilivyokuambia hapo bado hatujahesabia zile ndoa za bomani au za serikalini ambazo nyingi huwa za kimya kimya hawafanyi harusi
Kwa hiyo na wewe umeolewa?
 
Hilo swali sidhani kama linahusiana na mada iliyoko mezani
Lina uhusiano mkubwa katika kuthibitisha kile unachotetea kwamba huko mjini na mitandaoni ndoa zinafungwa sana tu.

Hujaongelea kuachana baada ya kuoana kwa hao wanaofanya sherehe za ndoa kila masiku huko mjini.

Hiyo ndiyo sababu ya kukuuliza kama umeolewa na unaendelea vyema na ndoa yako.

Mie nilishaachana na aliyekuwa mke wangu
 
Lina uhusiano mkubwa katika kuthibitisha kile unachotetea kwamba huko mjini na mitandaoni ndoa zinafungwa sana tu.

Hujaongelea kuachana baada ya kuoana kwa hao wanaofanya sherehe za ndoa kila masiku huko mjini.

Hiyo ndiyo sababu ya kukuuliza kama umeolewa na unaendelea vyema na ndoa yako.

Mie nilishaachana na aliyekuwa mke wangu
Mkuu ndio maana nikakuambia suala la talaka linahitaji utafiti na takwimu rasmi kwa sababu halifanyiki kwa uwazi kama harusi, halihitaji porojo wala maoni binafsi kwa sababu yeyote anaweza kuamua kusema chochote hata kama ni uongo mradi tu atetee hoja yake, mimi kuwa nimeolewa ama la au wewe kuachana na aliyekuwa mke wako siyo kielelezo tosha wala haitoi picha halisi ya idadi ya talaka kulinganisha na ndoa zinazofungwa katika muda fulani
 
Mkuu ndio maana nikakuambia suala la talaka linahitaji utafiti na takwimu rasmi kwa sababu halifanyiki kwa uwazi kama harusi, halihitaji porojo wala maoni binafsi kwa sababu yeyote anaweza kuamua kusema chochote hata kama ni uongo mradi tu atetee hoja yake, mimi kuwa nimeolewa ama la au wewe kuachana na aliyekuwa mke wako siyo vielelezo tosha wala haitoi picha halisi ya idadi ya talaka kulinganisha na ndoa zinazofungwa katika muda fulani
Siamini kama wewe mwenyewe unakubaliana na hicho unacho kisimamia.

Eti kila uchwao kuna sherehe ya harusi....

Ila hukubaliani kuwa kuna talaka baada ya kuoana na kufanya sherehe kwa mbwembwe nyingi.


Takwimu unazozitaka hutazipata Ila utakutana na watu kama Mc pilipili na mrembo wake walioachana na wengi wengineo
 
Back
Top Bottom