Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Nafikiri mngeitafuta logic nyuma ya hiyo picha kabla hamjasema yote.

Huyo dada Ali Kamwe aliweka shindano katika page yake ya kumtafuta dada wa kuhudhuria nae harusi (ya mfanyakazi mwenzao pale Yanga) ndipo huyo dada (pichani) akashinda kwa kura nyingi, ndio akahudhuria nae kama mnavyoona.

Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi. Acheni watu wapendeze jamani, eh!
Huyo dada Ali kamwe aliweka shindano.... mbona siuelewi uandishi wako Ali kamwe ni dada?,pia na ni kwanini asingeingia na mke wake
 
Siamini kama wewe mwenyewe unakubaliana na hicho unacho kisimamia.

Eti kila uchwao kuna sherehe ya harusi....

Ila hukubaliani kuwa kuna talaka baada ya kuoana na kufanya sherehe kwa mbwembwe nyingi.


Takwimu unazozitaka hutazipata Ila utakutana na watu kama Mc pilipili na mrembo wake walioachana na wengi wengineo
Mimi hakuna mahali nimesema kwamba watu hawaachani najua kwamba talaka zipo kila siku, nilichosema ni kwamba idadi ya talaka hailingani na idadi ya ndoa zinazofungwa kila siku, ndio maana nikauliza talaka ni asilimia ngapi kati ya ndoa zinazofungwa katika muda fulani
 
nilichosema ni kwamba idadi ya talaka hailingani na idadi ya ndoa zinazofungwa kila siku
Basi ungesema wazi kuwa huko kuliko ndoa zinafungwa kwa wingi, Ila talaka zinatolewa kwa uchache, ningekuelewa tu.

Mie nimekupa kwa upande nilipo, huku talaka ni nyingi kuliko ndoa hivyo basi endelea kuamini kwa upande wako nami nataamini kwa upande wangu.
 
Basi ungesema wazi kuwa huko kuliko ndoa zinafungwa kwa wingi, Ila talaka zinatolewa kwa uchache, ningekuelewa tu.

Mie nimekupa kwa upande nilipo, huku talaka ni nyingi kuliko ndoa hivyo basi endelea kuamini kwa upande wako nami nataamini kwa upande wangu.
Hapa suala siyo kuamini tu kwa sababu yeyote anaweza kuamua kuamini chochote suala ni je unachoamini ni sahihi au siyo sahihi, naona sasa umeamua kulazimisha uongo mradi tu utetee hoja yako ila unajua ulichoandika hakina uhalisia wowote, mijini na vijijini kote ndoa zinafungwa kila siku na ni nyingi kuliko talaka zinazotolewa ila wewe unadhani ndoa ni hadi watu wafanye harusi
 
We jamaa unalipenda sana hilo neno "malaya", sijui ndio umeambiwa ni kati ya maneno ambayo ukiwaita wanawake wanaumia, kwa bahati nzuri au mbaya hawa wa kizazi hiki na vizazi vinavyokuja mtawaita majina yote ila hawaumii wala hawajali tena

Na wangekuwa wanajali basi mngeshaanza kuona mabadiliko ila ndio kwanza hao so called 'malaya' wanazidi kuongezeka, na matokeo yake wanaume ndio mnabaki kuumia kihisia kwa kukosa 'wife material', so ni either muanze kubadilika ninyi au muendelee kujifariji na kuwatukana wanawake hadi mwisho wa dahari

Yeye kutafuta attention ya wanaume wengine siyo kosa lake kwa sababu hapo alipo hana uhakika kama huyo mwanaume ndiye atakayemuoa, kwa sababu hata huyo mwanaume nina uhakika hapo alipo hana mwanamke mmoja na wanawake wengi wanajua hilo maana huwa mnasema wenyewe, sasa kwa tamaduni zetu anayeamua ndoa ni mwanaume

Mwanaume ndiye anayejua katika ya hao wanawake alionao atamuoa nani atamuacha nani ilihali mwanamke hajui kama yeye ndiye atakayeolewa hapo au la, kwahiyo hata akitafuta attention ya wanaume siyo mbaya pengine akiongeza wengine na probability ya kuolewa inaweza kuongezeka kuliko akiwa na mmoja, hivyo msiwalaumu wanawake jilaumuni wenyewe kwa umalaya wenu mlioupa jina la 'nature'

Hata population yenyewe tu inawakataa na hairuhusu kila mwanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja, na kama ambavyo huwa mnasema mwanaume anatakiwa kuhudumia mwanamke ambaye yuko naye kwenye ndoa tu (japo huwa mnahudumia mpaka michepuko), basi vivyo hivyo na mwanamke anayetakiwa kutulia ni yule ambaye yuko kwenye ndoa tu
Mama mdogo yangu m'moja alikuwa mbishi mbishi kama wewe nikawa najua atakuja kutoboa mahusiano. Kilichotokea, ndio nikakumbuka msemo wa wahenga kuwa "Mpishi mbishi hupika mapishi mabichi".
 
Hizo huwa ni kauli zenu za kujifariji tu wala hamna lolote

Mngekuwa hamuumii basi msingekuwa mnalalamika kuhusu maovu ya wanawake kwenye uchumba na kwenye ndoa, na cha kushangaza zaidi pamoja na malalamiko yote hayo bado ndoa zinafungwa kila siku, wakati wenye maamuzi ya kuoa ni wanaume na wana uwezo wa kuacha kuwaoa hawa wanawake ila bado kila siku wanawaoa
Kwahiyo kwa fikra zako unaamini wanawake walionyooka tabia na wenye mienendo mizuri hawapo? [emoji848]

Au mwenzetu unapenda kubishana tu hapa mtandaoni maana unaandika magazeti marefu ila hoja zako zinamadhaifu ya uhalisia.
 
Shida yako unaforce kulinganisha matokeo ya tabia na mwenendo wa mwanamke na mwanaume kuwa unafanana.

Unasema wanaume bado wanaoa, je wanaowaoa ni wale wale waliozinguana nao au wanawake wapya, haujui kila mwaka kuna mabinti wanapevuka tena wanakuwa wameiva na tayari kuingia bahari ya mahusiano?

Mwanaume hadi kupata wanaopevuka ni miaka 10+ huko mbeleni. Yaani binti akifika miaka 18 tayari anakuwa tayari kuanza mahusiano na in 3 years anaweza kuolewa na kuanza familia. Mwanaume akifika 18 ana miaka kama 15 mbele ya kuanza kufikiria kusettle down.

Ndio maana comparison zako hazina uhalisia. Huwezi kulinganisha wanaume na wanawake kwa mzani ule ule na huu ndio udhaifu wa hoja zako kudhania mwanaume na mwanamke ni sawa.
 
Ni wanawake wangapi wanaotengeneza hizo bikira za kughushi au mnafikiri kurudisha bikira ni rahisi kama kunywa maji tu, anyway ndio maana nikasema kama wanaume mmeshazijua hizo tricks zote za wanawake kwanini bado mnaendelea kuoa, si muache kabisa kuoa ili muwakomoe wanawake kwani ninyi hata msipooa mna shida gani
Sio kwamba wanaume wataacha kuoa. Wanaume wataendelea kuoa ila hawatakuja kuchukua sampuli ya wanawake wabishi,wanopenda kushindana, wajuaji, waongeaji kupitiliza, promiscuous, wenye tamaa na kadhalika.

Wanaume wataoa na kusettle na wanawake wanaojielewa.

Wewe unadhani MUNGU kwann alimtengenezea mwanaume fursa zaidi ya 1000 za kuanza upya na mwanamke mpya kila siku endapo mwanamke aliyenae akileta za kuleta halafu wewe mwanamke akakuwekea fursa 3 tu za kupata nafasi ya musettle na mtu m'moja kujenga familia?

Sababu anajua mwanaume akili yake si sawa na ya mwanamke. Mwanamke hayupo serious na maamuzi yake .
 
Mkuu kwani ni wanaume wangapi wanapita humu mitandaoni kila siku na wanakutana na hizo campaigns za kataa ndoa, ila bado wanawapinga wanaume wenzao na kushikilia msimamo wao kwamba ndoa ni muhimu hao nao utasema hawajafikiwa na ujumbe, wengine huenda mbali zaidi na kuwaita kataa ndoa kuwa ni either wabinafsi au mashoga na wengine hutolea mifano ya ajali zinazotokea kila siku ila bado watu hawaachi kusafiri je hiyo tafsiri yake ni nini
Kataa ndoa ni wale ambao wamekutana na matukio ya wanawake. But haimaanishi hawatakuja kuoa siku moja.
 
Basi acha kuandika uongo remember no research no right to speak, kwa takwimu hizo basi tanzania ingekuwemo katika list ya nchi zinazoongoza kwa talaka ila haimo, ilihali ndoa bado zinaendelea kufungwa kila siku
Unajua aina za research, wazee wazamani walikuwa wanatengenezaje takwimu zao na research project hazikuwapo. Na hadi leo findings zao zina mantiki.
 
Mkuu kila siku iitwayo leo kumbi za sherehe zinajaa na nyingi zinahost harusi tu hapo bado hatujazungumzia zile ndoa za mikeka, na za kiserikali ambazo nyingi hawafanyi sherehe kwahiyo hilo si suala la kuletewa utafiti rasmi bali ni la kujionea wewe mwenyewe tu, ila kwenye talaka siyo rahisi kujua ni ngapi zinatolewa kila siku hivyo hilo suala linahitaji utafiti rasmi na siyo porojo
Tupe nyaraka sio maneno matupu ebo. We umetoka kumwambia mwenzako no research no right to speak. Sasa wewe za kwako unapataje hiyo right to speak?
 
Hapa suala siyo kuamini tu kwa sababu yeyote anaweza kuamua kuamini chochote suala ni je unachoamini ni sahihi au siyo sahihi, naona sasa umeamua kulazimisha uongo mradi tu utetee hoja yako ila unajua ulichoandika hakina uhalisia wowote, mijini na vijijini kote ndoa zinafungwa kila siku na ni nyingi kuliko talaka zinazotolewa ila wewe unadhani ndoa ni hadi watu wafanye harusi
Wewe takwimu zako zipo wapi, mwenzako amekwambia alichokiona eneo lake, wewe umemwambia unachokiona mitandaoni na kusikia kwa watu na kuona mtaani sasa tofauti yako na yake ni ipi?

Si nyote mnafanya primary observations? [emoji848]
 
Hapa suala siyo kuamini tu kwa sababu yeyote anaweza kuamua kuamini chochote suala ni je unachoamini ni sahihi au siyo sahihi, naona sasa umeamua kulazimisha uongo mradi tu utetee hoja yako ila unajua ulichoandika hakina uhalisia wowote, mijini na vijijini kote ndoa zinafungwa kila siku na ni nyingi kuliko talaka zinazotolewa ila wewe unadhani ndoa ni hadi watu wafanye harusi
Unachokitetea wewe kipo kwa eneo lako, Ila kwa eneo langu hakuna kitu kama hicho.

Mida hii mwenyekiti wa mtaa wetu ametifuana na mkewe kisha akamtimua 😂😂

Vipi huko kwako kuna mtu kaoa muda huu au kuna wale wanaonyaduana tu kuondoa upwiru kisha kila mmoja anaenda kwake?
 
Tupe nyaraka sio maneno matupu ebo. We umetoka kumwambia mwenzako no research no right to speak. Sasa wewe za kwako unapataje hiyo right to speak?
Huyu demu huenda ni nduguye na Monica yule msukuma wa mkandamizaji, yaani anagongwa nje halafu hakubali kama kuna kupeana talaka 😂😂
 
Sema wakristo maana ndio zao wanasema yesu anaangalia nafsi yako na sio matendo ndio maana uwoya na matatoo yake anataka azindue kanisa lake na atawapata maboya tu.
 
Mama mdogo yangu m'moja alikuwa mbishi mbishi kama wewe nikawa najua atakuja kutoboa mahusiano. Kilichotokea, ndio nikakumbuka msemo wa wahenga kuwa "Mpishi mbishi hupika mapishi mabichi".
Yawezekana mama yako mdogo aliamua tu kugive up na kukubaliana na upumbavu wa wanaume ili mradi maisha yaende, yani wanaume mnachotaka ni wanawake wakubaliane tu na upumbavu wenu kwa sababu mmeshawajengea ile mentality ya kwamba wanaume hawawezi kubadilika, kwahiyo kinachotokea baada ya wanawake kufika umri fulani ni ile hali ya kuamua tu kufunika kombe mwanaharamu apite lakini si kwamba eti wanaume ndio mnakuwa mko sahihi sasa si kila mwanamke atakubali hilo
Kwahiyo kwa fikra zako unaamini wanawake walionyooka tabia na wenye mienendo mizuri hawapo? [emoji848]

Au mwenzetu unapenda kubishana tu hapa mtandaoni maana unaandika magazeti marefu ila hoja zako zinamadhaifu ya uhalisia.
Sasa kama wapo mbona migogoro kwenye ndoa haiishi, hapo ndipo mnaponishangaza yani mnadai kwamba mnaoa wanawake wenye mienendo mizuri tu, ila cha ajabu migogoro kwenye ndoa haiishi na walalamikaji ni wanaume mara nyingi
Shida yako unaforce kulinganisha matokeo ya tabia na mwenendo wa mwanamke na mwanaume kuwa unafanana.

Unasema wanaume bado wanaoa, je wanaowaoa ni wale wale waliozinguana nao au wanawake wapya, haujui kila mwaka kuna mabinti wanapevuka tena wanakuwa wameiva na tayari kuingia bahari ya mahusiano?

Mwanaume hadi kupata wanaopevuka ni miaka 10+ huko mbeleni. Yaani binti akifika miaka 18 tayari anakuwa tayari kuanza mahusiano na in 3 years anaweza kuolewa na kuanza familia. Mwanaume akifika 18 ana miaka kama 15 mbele ya kuanza kufikiria kusettle down.

Ndio maana comparison zako hazina uhalisia. Huwezi kulinganisha wanaume na wanawake kwa mzani ule ule na huu ndio udhaifu wa hoja zako kudhania mwanaume na mwanamke ni sawa.
Si unaona hivi kati ya mimi na wewe nani anayeandika uhalisia na nani anayeandika mawazo yake tu yani unadai kwamba wanawake wanaweza kuanza mahusiano wakiwa na miaka 18 na baada ya miaka 3 wanaweza kuolewa hebu niambie ni wanawake wangapi leo hii wanakubali kuolewa wakiwa kwenye early 20s na ndoa zao zikadumu, hivi siyo wewe kuna mjadala fulani tulikuwa tunabishana ukasema kwamba wanawake wengi wakitangaziwa ndoa katika umri mdogo huwa wanakataa wanasema hawako tayari wanasubiri hadi umri ukishaenda wakishaharibiwa na wakishazalishwa ndio wanaanza kutafuta ndoa halafu leo unasema eti wanawake wanaweza kuolewa katika umri mdogo, isitoshe wanaume wengi huwa wanakiri wenyewe kwamba wanawake wa siku hizi ukiwaoa mapema wanakuwa bado wana akili za kitoto hivyo huanza kusumbua kwenye ndoa na kupelekea ndoa nyingi kuwa na migogoro na kuishia kwenye talaka halafu wewe unakuja kusema nini hapa
Sio kwamba wanaume wataacha kuoa. Wanaume wataendelea kuoa ila hawatakuja kuchukua sampuli ya wanawake wabishi,wanopenda kushindana, wajuaji, waongeaji kupitiliza, promiscuous, wenye tamaa na kadhalika.

Wanaume wataoa na kusettle na wanawake wanaojielewa.

Wewe unadhani MUNGU kwann alimtengenezea mwanaume fursa zaidi ya 1000 za kuanza upya na mwanamke mpya kila siku endapo mwanamke aliyenae akileta za kuleta halafu wewe mwanamke akakuwekea fursa 3 tu za kupata nafasi ya musettle na mtu m'moja kujenga familia?

Sababu anajua mwanaume akili yake si sawa na ya mwanamke. Mwanamke hayupo serious na maamuzi yake .
Bado swali langu ni lile lile kama hamchukui wanawake wa sampuli hizo kwanini sasa ndoa nyingi leo hii ni migogoro kila kukicha au chanzo cha hiyo migogoro ni ninyi wanaume, mimi nilitegemea kwamba kwa sababu huwa mnaoa wake wema kama mnavyojisifia humu mitandaoni basi ndoa zote zitakuwa na furaha but unfortunately that is not the case sasa hiyo tafsiri yake ni nini, na ndio maana nasema wanaume wengi mnachoandika humu mitandaoni ni tofauti na mnachofanya kwenye maisha halisi halafu mimi nikisema mnadai eti napingana na uhalisia sasa kati ya mimi na ninyi nani anapingana na uhalisia hapa
Kataa ndoa ni wale ambao wamekutana na matukio ya wanawake. But haimaanishi hawatakuja kuoa siku moja.
Sasa kama wameshatendwa na wanawake na wanazijua rangi zote na na maovu yote ya wanawake kwanini wanaendelea kuoa yani hapo mimi ndipo swali langu lilipo, mind you tumekubaliana ndoa ina umuhimu kwa mwanamke tu na siyo kwa mwanaume sasa kwanini wanaume wanaendelea kuoa kwenye hii dunia ya leo ambayo wanawake wengi ni pasua vichwa, usitudanganye hapa kwamba eti wanaume wana upendo na huruma sijui blah blah kama mnavyodai kwa sababu haiwezekani mtu akawa na upendo na huruma kwa mtu ambaye anamfanyia vitendo vya kumuumiza na kama hao wake wema wangekuwepo basi migogoro na talaka vingeshaisha kwenye hizo ndoa
 
Unajua aina za research, wazee wazamani walikuwa wanatengenezaje takwimu zao na research project hazikuwapo. Na hadi leo findings zao zina mantiki.

Tupe nyaraka sio maneno matupu ebo. We umetoka kumwambia mwenzako no research no right to speak. Sasa wewe za kwako unapataje hiyo right to speak?

Wewe takwimu zako zipo wapi, mwenzako amekwambia alichokiona eneo lake, wewe umemwambia unachokiona mitandaoni na kusikia kwa watu na kuona mtaani sasa tofauti yako na yake ni ipi?

Si nyote mnafanya primary observations? [emoji848]

Unachokitetea wewe kipo kwa eneo lako, Ila kwa eneo langu hakuna kitu kama hicho.

Mida hii mwenyekiti wa mtaa wetu ametifuana na mkewe kisha akamtimua 😂😂

Vipi huko kwako kuna mtu kaoa muda huu au kuna wale wanaonyaduana tu kuondoa upwiru kisha kila mmoja anaenda kwake?

Huyu demu huenda ni nduguye na Monica yule msukuma wa mkandamizaji, yaani anagongwa nje halafu hakubali kama kuna kupeana talaka 😂😂
Haya takwimu hizo hapo zinaonesha idadi ya talaka kulinganisha na idadi ya ndoa zinazofungwa kwa kila mwaka, sijafanikiwa kupata za mwaka jana ila hata hizo ni za miaka ya hivi karibuni na hata za mwaka jana sidhani kama zinapishana sana na hizo, lazima zitakuwa hazichezi mbali na hapo
Data_01.jpg
Data_02.jpg
 
Back
Top Bottom