Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Wewe ziweke hapa
Nimetangulia kukuomba namba, halafu ukanyakua ombi langu na kulifanya kuwa lako.

Sijapenda hiyo tabia yako, ni heri ungesema huwezi kunipa namba, ningekuelewa tu.

Haya niambie sasa utanipa au haunipi?
 
Nimetangulia kukuomba namba, halafu ukanyakua ombi langu na kulifanya kuwa lako.

Sijapenda hiyo tabia yako, ni heri ungesema huwezi kunipa namba, ningekuelewa tu.

Haya niambie sasa utanipa au haunipi?
Nimemaanisha weka takwimu mambo ya kukuomba namba yametoka wapi, mimi namba yako ya nini au wewe namba yangu ya nini, kama huna takwimu acha porojo
 
Nimemaanisha weka takwimu mambo ya kukuomba namba yametoka wapi, mimi namba yako ya nini au wewe namba yangu ya nini, kama huna takwimu acha porojo
Utanipa namba au haunipi?

Sikulazimishi unipe,Ila ni vyema ukinipa ili nirahisishe namna ya kukutumia takwimu uzitakazo.

Nasubiri namba.
 
Utanipa namba au haunipi?

Sikulazimishi unipe,Ila ni vyema ukinipa ili nirahisishe namna ya kukutumia takwimu uzitakazo.

Nasubiri namba.
Mjomba una dalili zote za kuchanganyikiwa hebu rudiana na mkeo kabla hujaanza kuokota makopo, namba sikupi na kama huwezi kuweka hizo takwimu hapa basi acha porojo huna hizo takwimu, siku nyingine usirudie kuvamia mada kama huna hoja
 
Mjomba una dalili zote za kuchanganyikiwa hebu rudiana na mkeo kabla hujaanza kuokota makopo, namba sikupi na kama huwezi kuweka hizo takwimu hapa basi acha porojo huna hizo takwimu, siku nyingine usirudie kuvamia mada kama huna hoja
Shangazi sio mbaya ukisema haunipi namba, Ila kuanza kunisimanga unaonekana wazi u shangazi mwenye gubu, dharau, chuki na mambo yote yanayofanana na hayo.

Kuchanganyikiwa kwangu hakuwezi kuthibitishwa na mtu kama wewe usie daktari .

Tumeshamalizana lakini hutaki kuniacha na kwenda zako.

Ukitoa takwimu, ni nini kingine unakitaka kwangu?
 
Shangazi sio mbaya ukisema haunipi namba, Ila kuanza kunisimanga unaonekana wazi u shangazi mwenye gubu, dharau, chuki na mambo yote yanayofanana na hayo.

Kuchanganyikiwa kwangu hakuwezi kuthibitishwa na mtu kama wewe usie daktari .

Tumeshamalizana lakini hutaki kuniacha na kwenda zako.

Ukitoa takwimu, ni nini kingine unakitaka kwangu?
Mimi nimekukomalia ulete takwimu kwa sababu ulileta ujuaji na bado ukaanza kuniongelea personally as if unanijua, sasa kama hutaki kuendelea na mjadala si uache kuniquote wewe mbona unaendelea, wewe kuona kwamba kuna kitu kingine nakitaka kwako tofauti na takwimu ni uthibitisho tosha kuwa umechanganyikiwa..pathetic!!
downloadfile-4.png
 
uthibitisho tosha kuwa umechanganyikiwa..pathetic!!
Wewe ni mtu wa kujiokoteleza tu mambo, hata kipimo unachotumia kuthibitisha kuwa mimi nimechanganyikiwa umekiokota jalalani - ndivyo wafanyavyo wehu, hupita kila jalala kujiokotelezea-umeokota takwimu za kwenye jalala la Mwananchi media kisha ukadai ni takwimu za kitaifa😂😂

Sasa wehu wako unakuongoza moja kwa moja kwangu kwamba nimechanganyikiwa - nina hakika kabla mie sijachanganyikiwa we ulisha changanyikiwa kitambo.

Haya mwehu mwenza nimeshaurejesha rasmi mjadala wetu tuendelee kujadili ukichaa wetu
 
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.

Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.

Wanaume tuache ujinga.

View attachment 2989182
Ksarii jana au juzi ulikuwa unalia kukosa msaada, je unajuaje kama huyo kapata msaada 🤭
 
Wewe ni mtu wa kujiokoteleza tu mambo, hata kipimo unachotumia kuthibitisha kuwa mimi nimechanganyikiwa umekiokota jalalani - ndivyo wafanyavyo wehu, hupita kila jalala kujiokotelezea-umeokota takwimu za kwenye jalala la Mwananchi media kisha ukadai ni takwimu za kitaifa😂😂

Sasa wehu wako unakuongoza moja kwa moja kwangu kwamba nimechanganyikiwa - nina hakika kabla mie sijachanganyikiwa we ulisha changanyikiwa kitambo.

Haya mwehu mwenza nimeshaurejesha rasmi mjadala wetu tuendelee kujadili ukichaa wetu
Bruh hizo ni takwimu za rita na rita ni taasisi ya serikali mwananchi ni chombo cha habari kama vyombo vingine, tafiti hupingwa kwa tafiti wewe ambaye huna hizo takwimu za jalalani si ndio uziweke hapa badala yake unaishia kuleta taarabu, umechanganyikiwa ndio you seem desperate ndio maana ukahisi kuna kitu kingine nahitaji kwako tofauti na takwimu you really wish for that
 
Bruh hizo ni takwimu za rita na rita ni taasisi ya serikali mwananchi ni chombo cha habari kama vyombo vingine
Sijawahi kuamini taasisi yoyote ya serikali kwamba hutoaga takwimu sahihi, ikiwa wewe unaziamini taasisi za serikali basi endelea na ujinga wako.
tafiti hupingwa kwa tafiti wewe ambaye huna hizo takwimu za jalalani si ndio uziweke hapa badala yake unaishia kuleta taarabu
Hakunaga tafiti zenye ukweli katika taasisi zote za serikali hivyo peleka uongo wako kwa wajinga wenzio wapendao kudanganywa kupitia takwimu za serikali.
umechanganyikiwa ndio you seem desperate ndio maana ukahisi kuna kitu nahitaji toka kwako tofauti na takwimu you really wish for that
Nimechanganyikiwa 😂😂😂........

Nimehisi kuna kitu unahitaji kutoka kwangu, tofauti na takwimu 😂😂😂

umwazaje shangazi?

Ni mwanamke malaya tu anayeweza kuwaza hivyo ulivyowaza wewe kuhusu mimi.

Pole sana.
 
Shangazi sio mbaya ukisema haunipi namba, Ila kuanza kunisimanga unaonekana wazi u shangazi mwenye gubu, dharau, chuki na mambo yote yanayofanana na hayo.

Kuchanganyikiwa kwangu hakuwezi kuthibitishwa na mtu kama wewe usie daktari .

Tumeshamalizana lakini hutaki kuniacha na kwenda zako.

Ukitoa takwimu, ni nini kingine unakitaka kwangu?
Soma statement yako ya mwisho kwenye hiyo comment yako
Sijawahi kuamini taasisi yoyote ya serikali kwamba hutoaga takwimu sahihi, ikiwa wewe unaziamini taasisi za serikali basi endelea na ujinga wako.

Hakunaga tafiti zenye ukweli katika taasisi zote za serikali hivyo peleka uongo wako kwa wajinga wenzio wapendao kudanganywa kupitia takwimu za serikali.

Nimechanganyikiwa 😂😂😂........

Nimehisi kuna kitu unahitaji kutoka kwangu, tofauti na takwimu 😂😂😂

umwazaje shangazi?

Ni mwanamke malaya tu anayeweza kuwaza hivyo ulivyowaza wewe kuhusu mimi.

Pole sana.
Acha drama wewe umeshashindwa hoja usirukeruke hapa kujifanya eti huamini takwimu za serikali wewe ni nani kwenye hii nchi hadi upinge tafiti za serikali bila kuwa na tafiti zako za kuaminika, kwahiyo kwa sababu umezoea kutembea na malaya unadhani kila mwanamke ni malaya ujue na hii nayo ni moja ya dalili za kuchanganyikiwa na kupaniki pale unapomshambulia mtoa hoja badala ya kujadili hoja, siku nyingine usirudie kujipendekeza na kushobokea watu usiowajua vinginevyo utaishia kuonekana una depression na stress za kusalitiwa au kuachika so just get a life mr divorcee
 
wewe ni nani kwenye hii nchi hadi upinge tafiti za serikali
Mimi ni mpinzani wa tafiti za kukuza ujinga kwa watanzania
kwahiyo kwa sababu umezoea kutembea na malaya unadhani kila mwanamke ni malaya ujue na hii nayo ni moja ya dalili za kuchanganyikiwa
Bado umesimama kule kule kwenye viashiria vya kujitangaza wewe ni malaya kwa sababu ya kuwaza kikahaba kahaba. Makahaba wengi huwaza kama wewe.
Huna
siku nyingine usirudie kujipendekeza na kushobokea watu usiowajua
Huna ruksa ya kunipangia cha kujadili hapa, na wala siwezi kujipendekeza kwa kahaba awaye yote like you.
 
Mimi ni mpinzani wa tafiti za kukuza ujinga kwa watanzania

Bado umesimama kule kule kwenye viashiria vya kujitangaza wewe ni malaya kwa sababu ya kuwaza kikahaba kahaba. Makahaba wengi huwaza kama wewe.
Huna

Huna ruksa ya kunipangia cha kujadili hapa, na wala siwezi kujipendekeza kwa kahaba awaye yote like you.
Tafiti gani za kukuza ujinga wakati huo ndio uhalisia sasa unataka watu wasiseme uhalisia kisa wapumbavu kama ninyi ambao hamtaki kukubali ukweli, masikini yani umepanic hadi umeshindwa kujificha umeamua waziwazi kuleta ad hominem attacks yani we tukana maneno yote ila hoja ndio ushashindwa hivyo uzuri mimi siwezi kupanic sababu najua hizo siyo sifa zangu, mkishapigwa spana huwa mnaanza kuleta matusi na maneno ya kujifariji we tafuta tu mwanamke mpumbavu atayekubali kuwa na wewe ili upunguze hayo makasiriko na kuforce mazoea eti "siwezi kujipendekeza" sasa namba zangu uliomba za nini
 
uhalisia kisa wapumbavu kama ninyi
Wapumbavu ni wale wote wanaokomaa na takwimu zilizoandawaliwa na wahuni (taasisi za serikali) ili wajifaji na upumbavu wao.
masikini yani umepanic
Wanaopanic hufa papo kwa hapo mara tu baada ya kupanic
mkishapigwa spana huwa mnaanza kuleta matusi
Kuna tusi gani limeletwa hapa?
we tafuta tu mwanamke mpumbavu atayekubali kuwa na wewe
Sasa umejileta penyewe kabisa kwa kukiri wazi kwamba kuna wanawake wapumbavu, hao ndio huwa wanaolewa na kuachwa kwa sababu ya upumbavu wao😂😂
"siwezi kujipendekeza" sasa namba zangu uliomba za nini
Kwa mwanamke mpumbavu akiombwa namba na mwanaume humtafsiri huyo mwanaume kuwa ni mwenye kujipendekeza kwake.

Upo sahihi shangazi 🤣
 
Wapumbavu ni wale wote wanaokomaa na takwimu zilizoandawaliwa na wahuni (taasisi za serikali) ili wajifaji na upumbavu wao.

Wanaopanic hufa papo kwa hapo mara tu baada ya kupanic

Kuna tusi gani limeletwa hapa?

Sasa umejileta penyewe kabisa kwa kukiri wazi kwamba kuna wanawake wapumbavu, hao ndio huwa wanaolewa na kuachwa kwa sababu ya upumbavu wao😂😂

Kwa mwanamke mpumbavu akiombwa namba na mwanaume humtafsiri huyo mwanaume kuwa ni mwenye kujipendekeza kwake.

Upo sahihi shangazi 🤣
Ndio umejipendekeza na kunishobokea mimi sikutaki mjomba, wanawake wapumbavu si ndio wale wanaokubali kujishusha na kuolewa na wanaume wapumbavu kama ninyi ndio maana wanaachika, kama takwimu nilizoweka zingekuwa za uongo mbona yule mwenzio kakimbia, na ulijifanya kiherehere kumsupport alipodai niziweke, weka takwimu za idadi ya ndoa na talaka na kama huna hizo takwimu basi usiniquote
 
Ndio umejipendekeza na kunishobokea mimi sikutaki mjomba
Yaani nikushobokee wewe nisiyejua hata urefu wa kimo chako? Acha kuwaza kwa kutumia makalio, tumia kichwa kuwaza na utagundua ujinga wako ulipo kisha utajiondoa katika huo ujinga.
wanawake wapumbavu si ndio wale wanaokubali kujishusha na kuolewa na wanaume wapumbavu kama
Mwanamke yeyote anayekubali kuolewa na mwanaume mpumbavu yeye ndiye mpumbavu nambari wani. Wapo wengi sana wanawake wa hivyo ni wa kuolewa na kuachwa, huwa hawadumu katika ndoa kwa sababu ni wapumbavu.

Bado upo kwenye mstari wa ukweli kuhusu upumbavu wa mashangazi.
weka takwimu za idadi ya ndoa na talaka na kama huna hizo takwimu basi usiniquote kama takwimu nilizoweka zingekuwa za uongo
Hivi bado tu unajimwambafu na hivyo vitakwimu vya mazwazwa ulivyoviokoteleza jalala? Acha ujinga shangazi.
mbona yule mwenzio kakimbia na ulijifanya kiherehere kumsupport aliniambia niziweke
Mwenzangu yupi aliyekimbia? Hebu mention jina lake uone kama kweli kakimbia 😂😂
 
Malaya ni malaya tu

Hakuna mke/mpenzi hapo

Hayo mavazi ni kwa ajili ya kutafuta attention za wanaume

Tayari ana mwanaume anavaa hivyo kwa ajili ya nani?

Kama sio umalaya ni nini?

Anyway kwenye hiyo picha naona lesbians wawili wakiingia ukumbini
Kwa maneno hayo wewe lazima utakuwa mnyama wa msimbazi tu!
 
Yaani nikushobokee wewe nisiyejua hata urefu wa kimo chako? Acha kuwaza kwa kutumia makalio, tumia kichwa kuwaza na utagundua ujinga wako ulipo kisha utajiondoa katika huo ujinga.

Mwanamke yeyote anayekubali kuolewa na mwanaume mpumbavu yeye ndiye mpumbavu nambari wani. Wapo wengi sana wanawake wa hivyo ni wa kuolewa na kuachwa, huwa hawadumu katika ndoa kwa sababu ni wapumbavu.

Bado upo kwenye mstari wa ukweli kuhusu upumbavu wa mashangazi.

Hivi bado tu unajimwambafu na hivyo vitakwimu vya mazwazwa ulivyoviokoteleza jalala? Acha ujinga shangazi.

Mwenzangu yupi aliyekimbia? Hebu mention jina lake uone kama kweli kakimbia 😂😂
Ndio hayo matatizo ya akili ninayosema, kwani hujui kwamba kuna wajinga huwa wanashobokea watu wasiowajua mitandaoni, wanawake wapumbavu wapo na wanaume wapumbavu mpo dunia haiwezi kuwa na watu wote werevu

Kama takwimu zangu ni za kuokoteza si ndio uweke za kwako sasa mbona unazunguka, yani sawa tufanye zangu ni za jalalani weka za kwako basi za kuaminika tena za nchi nzima siyo za kijijini kwenu, kinachokufanya unabwabwaja sana hapa ni nini sasa

Ndio kakimbia kwa sababu nilipoweka hizo takwimu nilimquote na jana kuna uzi mwingine aliniquote so maana yake alikuwa online na aliona notification, huyo ananijua vizuri tukianza kubishana hatumalizi leo na kila mjadala yeye ndio huwa ananikimbia huwa anaishia tu kusema mimi mbishi hivyo hata jana alivyokimbia sikushangaa, angalau yeye huwa ana hoja hivyo mjadala unanoga kuliko wewe unayelazimisha kuendeleza mjadala halafu hakuna cha maana unachoandika zaidi ya vichambo tu
 
wanawake wapumbavu wapo na wanaume wapumbavu mpo dunia haiwezi kuwa na watu wote werevu
Wewe u miongoni mwao, na mimi ni miongoni mwao.

Ungekuwa mwerevu ungekuwa umeshaacha kujibizana na mpumbavu, let's go mpumbavu mwenza.
weka za kwako basi za kuaminika tena za nchi nzima siyo za kijijini kwenu, kinachokufanya unabwabwaja sana hapa ni nini sasa
Nilikuwekea ukasema ni za kijijini kwetu, kunidai nikuwekee takwimu zingine huku ukiniweka katika kundi la wapumbavu maana hapo hujaridhika na upumbavu wangu bali unataka ujumuishe upumbavu wangu na wako viwe kitu kimoja. Chukua sasa zile takwimu za kijijini kwangu, na kama hutaki baki na hizo takwimu zako za jalalani uendelee kujimwambafu nazo mpumbavu mwenza.
Ndio kakimbia kwa sababu nilipoweka hizo takwimu nilimquote na jana kuna uzi mwingine aliniquote so maana yake alikuwa online na aliona notification, huyo ananijua vizuri tukianza kubishana hatumalizi leo na kila mjadala yeye ndio huwa ananikimbia huwa anaishia tu kusema mimi mbishi hivyo hata jana alivyokimbia sikushangaa, angalau yeye huwa ana hoja hivyo mjadala unanoga
Kwa kulinda heshima yake ninamuita hapa Zemanda, huyu mwamba huwa hakimbii hoja za mwanamke, sasa ulivyo mjinga unajimwambafu kuwa Zemanda huwa anakukimbia, yaani Zemanda huyu nimjuaye mie akimbie hoja za mchoma vitumbua kama wewe 😂😂

Hivi ulijuaje kuwa kakimbia?
 
Back
Top Bottom