Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

nilikuwa sibishani mwenyewe, tofauti ni kwamba mimi nabishana kwa facts ila wewe unabishana kimihemko tu
Kwa nini unapenda kujisifu kwa vitu ambavyo huna?

Sijaona facts zozote toka kwako, ila maubishi tu ya kimihemko.
 
Kwa nini unapenda kujisifu kwa vitu ambavyo huna?

Sijaona facts zozote toka kwako, ila maubishi tu ya kimihemko.
Sijajisifu ila ndio uhalisia na bila shaka una inferiority complex, mimi nimekupa takwimu ukazikataa bila sababu za msingi, wewe mpaka sasa hujanipa takwimu zozote
 
Sijajisifu ila ndio uhalisia na bila shaka una inferiority complex, mimi nimekupa takwimu ukazikataa bila sababu za msingi, wewe mpaka sasa hujanipa takwimu zozote
Hivi una undugu na advocate Dr Anna Henga?
 
Hata kuuliza swali pia ni njia mojawapo ya kujibu swali kijana
Ukiitwa wewe ni mbishi uwe unaelewa kwa nini unaitwa hivyo.

Bila shaka mie sio mtu kwanza kukuita mbishi.

We ni mbishi.
 
Ukiitwa wewe ni mbishi uwe unaelewa kwa nini unaitwa hivyo.

Bila shaka mie sio mtu kwanza kukuita mbishi.

We ni mbishi.
Yani uniite mbishi kwa kuamua kutojibu swali la kipuuzi kama hilo, wewe mbona mimi niliyokuambia unijibu hujanijibu, bruh you are a psychopath and you are in denial
 
Technically huu uzi ni invalid kama ukitaka kuwa reasonable. Mwanamke malaya atabaki kuwa malaya hata avae baibui, gagulo, mitandio, joho, kanga na kanzu saba. Na mwanamke anayejitambua na asiye malaya hawezi kuwa malaya hata avae chupi barabarani. (not literally, figuratively.) Ni choice tu na taste ya mavazi.

Vilevile sometimes sio kila mwanamke unayemkuta na mtu ni mke, au unamjali sana au u-mwenye malengo naye. Anaweza kuwa mtu tu unayeruka nae kwa muda, so haijarishi atavaa nini. Who gives a fućk? As long as I get what I want?

Personally siwezi ruhusu mke wangu avae kama hivyo. Kama ni nguo fupi basi haiwezi vuka magoti. Otherwise kutakuwa hakuna maana ya kuvaa nguo, spendi mke wangu atembee nusu uchi na tamaduni zangu haziruhusu mwanamke kuvaa hivyo.

Na sio kwamba naogopa wahuni au wapumbavu fulani watammezea mate. Sababu mtu anayeamua mwanamke aliwe au asiliwe ni mwanamke mwenyewe. Otherwise hao washenzi wamle kilazima.

So it all comes down to: umeoa mwanamke wa aina gani au utaoa mwanamke wa aina gani.
 
Mimi ninajicontradict au unafeli kuconnect concepts logically [emoji848][emoji848][emoji848]



Humo unaposema "sijui" na "blah blah" ndipo kulimo na uzito wa hoja shida ni wewe kukubali kuielewa yaani unakuwa umeshaiambia akili yako kuwa kataa chochote atachosema mwanaume ili ushinde ubishi. Mwanaume kufanya mapenzi na wanawake wengi haiitwi umalaya ni uasherati. Ila anaweza kuoa hata wake kumi na mbili na akishiriki nao inakuwa ni halali. Ila mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya m'moja ni uzinzi na kuwa na mazoea ya kufanya uzinzi ndio huitwa umalaya. Hakunaga mwanaume malaya matumizi mabaya ya misamiati ya kiswahili hayo.

Wanawake wakijitunza hakuna kitakachobadilika upande wa wanaume eneo la kulala na wanawake wengi. Mwanaume still anayo privilege ya kuwa na mwanamke zaidi ya m'moja yaani wake wengi kuanzia wawili hata 20 kama akitaka kulingana na uwezo wake wa kuwamudu matunzo na kuwapa mahaba na haina shida inakubalika na ni mahusiano halali kabisa. Ukibisha lete hoja yako ya msingi why ubishe ukweli usiopingika.

Bado unarudia kosa la kujiaminisha kuwa mwanamke hana akili kitu ambacho mimi sikubaliani nacho. Mwanamke anayo akili ya kujua kama anadanganywa ama kutakwa kiukweli. Shida iliyopo ni wanawake kuwa na tamaa ya vitu kama wanaume walivyo na tamaa ya miili ya hao wanawake.
Unataka kunambia wewe hapo mimi nikikufuata na 50K nikikutaka tukafanye mchezo mbaya kwasababu ya hiyo 50K ila sitaki commitments afterwards ni kukuchezea akili, wewe hauna akili ya kujua hiyo 50K unayopewa itakugharimuje ukiikubali? Kimsingi unajaribu kudeflect ukweli kwamba wanawake wanatamaa na tamaa huwa ndizo zimawaponza na zinawapeleka mikononi mwa matapeli kinyume na hapo utaratibu ni mtoto wa kike mwanaume akikutokea si unamuelekeza kwa wazazi wako kama ana nia why ushindwe kufanya hivyo?

Kwahiyo unayaka kujiaminisha kuwa binti anapotongozwa akitoa unyumba ndio inayomfukuza mwanaume hiyo ndio hoja yako? Shida ni moja, hapa unachanganya topics. Kuna topic ya wanawake kuwapa bikra wahuni (bad boys) halafu miili iliyotumika wanawaletea wastaarabu (Good men). Hata ungekuwa wewe kaka yako utakubali afunge ndoa na mwanamke ambaye ameshawahi kulala na bodaboda na wanaume za watu enzi za ubichi wake halafu akishaanza kuzeeka jumba bovu amletee kaka yako, assume unamjua huyo mwanamke nje ndani?

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba utaratibu unavurugwa na wanawake wenyewe kama tunavyosemaga hapa daily tokea kuumbwa kwa huu ulimwengu mharibifu wa kwanza ni mwanamke pale Eden na haijawahi kuharibika tokea pale hadi leo wanawake ndio chanzo kikubwa cha disorder and misconduct. Kati ya wavulana na wasichana ni nani akisha balehe ana possibility kubwa ya kuanza kujiinvolve na mahusiano na watu waliomzidi umri?

Vibinti vya miaka 15 au 16 vimeshaanza kurukiana na bodaboda umri wa wajomba zao. While vivulana vitaanza kujihusisha na ngono miaka mitano baadae siajabu kwa sasa mvulana anafanya mapenzi kwa mara ya kwanza akiwa na miaka 19 au 20 miaka 4 au mitano baada ya msichana kuwa amenza. Mimi wasichana ambao ni age mates zangu walianza kufanya mapenzi nikiwa darasa la tano sina hata idea ya kufanya mapenzi ni nini. Nakuja kufanya kwa mara ya kwanza nikiwa form three. Unaweza kuelewa sasa ? Mimi muda nikianza kufanya huyo ninaefanya nae tayari kishaingiliwa na wanaume hata watatu halafu ndio unasema nimuoe niweke ndani?

Kwa wastani mwanaume anaoa akiwa umri gani kwa miaka ya sasa si kuanzia 30 huko? Sasa mwanaume atazuia nyege hadi afike 30 unataka atombe godoro litoboke au? Unasema binti ajitunze, wewe hawa mabinti wasasa wanavyoweka rehani nyuchi zao ili wanunuliwe chipsi, simu, nguo na kutolewa out hiyo jeuri ya kujitunza wanatoa wapi?
Kwenye hili hapa unanilaumu au unawalaumu vipi wanaume ambao wameshuhudia mabinti wa rika lao wakilala na wanaume wakubwa kuwazidi, so wao unategemea waje kuoa wanawake ambao hawajitunzi? So , unapata wapi audacity ya kusema wanaume tunachezea wanawake wakati by the time tukibarehe wanawake ambao tulitakuwa kuwaoa wanakuwa tayari wameliwa hawatamaniki na watu waliotuzidi umri, how is that even our fault? Mbona sisi wavulana tukifika balehe hatutombi mashangazi yaliyotuzidi umri wa miaka 10 mbele au 15 but mabinti balehe zikianza tu analala na mwanaume rika la kaka yake au baba yake hapo utamlaumu vipi kijana ambaye wanaringana lika na alitakiwa kumsubiria akue nae wafunge ndoa wakiwa bikra? Kwa kifupi, mabinti wa sasa wanaoffer bikra zao kwa watu waliowazidi umri kwa tamaa zao na sio kwasababu wanarubuniwa.

Serikali inakemea vipi rushwa na rushwa inanuka zaidi serikalini kuliko sehemu nyingine yoyote, wewe vipi bana mbona unaongea sana nadharia, ripoti ya CAG umeitazama au maneno matupu? [emoji848]
Marekani amekemea vita gani unayoijua wewe hebu nipe mifano hai acha kuniletea habari za kusadikika na hapa ndipo mimi huwa nashindwa kukuelewa sababu unakuwa na hoja za kufabricate sana. Hebu soma vema unachoandika nakunukuu ukisema "na ndio maana nawashangaa ninyi wanaume mnaposema eti hamnufaiki na jamii yenye wanawakd wema". Unaona akili zako, yaani unasema wanaume tulikwambia kuwa hatunufaiki na wanawake wenye maadili, yet tunakemea sana ukosefu wa maadili, sasa hapo umejaribu kusema kitu gani? [emoji848] Wanaume tunataka wanawake wema na wenye maadili maana ndio tunaowahitaji kwenye ndoa why iwe kinyume chake? Na kwa upande mwingine tunakemea uovu wa wanawake sababu ni jukumu letu kuilinda na kushape jamii dhidi yenu ninyi mawakala wa ufreemason yaani mafeminist.

Kusema wewe hauna experience ni kutokana na the way unajipresent tayari una expose personality yako iweze kujadiliwa na usichukulie kuwa mimi nakuattack kwasababu ya any personal ajenda.
Hebu point out ni maeneo gani ambayo nimetumia mihemuko na hisia kama unavyosema hapa?
Au unataka tuanze kureveal personal life experience hapa ndio ujue sehemu ya tunayosema hapa mtandaoni ni maisha tuliyoishi na tunayoendelea kuishi?
Wewe umeshawahi kubeba ujauzito mara kadhaa na kupata watoto na mwanaume au kuishi na mwanaume kinyumba, sasa hivi unaishi kwenye ndoa? Una watoto, una ukweni? Jibu haya maswali then nikuonyeshe level ya maisha uliyopo. Wenzako ambao wanaishi hayo maisha wanasoma hapa hawasemi kitu. Wewe ambaye upo at 0 level experience unaleta ligi, sijui nikueleweje?

Sasa kama umeziona hizo nyuzi na unakuja hapa kusema kuwa hatukemei kabisa maovu na baada ya kukuexpose kuwa nyuzi zipo then unabadilika na kusema hatukemei vizuri hivi wewe unakuwa ni msomi, mwanaharakati, au kiumbe wa aina gani aisee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani unashuhudia kuwa haujaona kitu then nakujuza kuwa kipo unakwenda kucheki then unarudi na kubadilisha statement yako ukisema kile kitu hakijakufurahisha ulitaka tufanye zaidi ya pale so unataka tufanyaje tutukane matusi ya nguoni ili nafsi yako isuuzike, unajua maana ya neno kukemea au ulitaka tuandike uzi mzima kwa herufi kubwa? [emoji23]
So unaweza kujionea so far we ni mwana JF wa aina gani, umejionyesha mwenyewe wazi wazi kuwa unataka vitu na uandishi unaondikwa juu ya topic fulani zireflect mitazamo yako of which huo sio uungwana na wala sio namna sahihi ya kutatua tatizo.

Wewe unataka tutumie lugha za matusi, kali, au lugha gani kuwakemea wanaume na wakati ukisoma hata comments utaona wenyewe wanakasirika kuambiwa ukweli ila unakuja hapa na kuongea hizi hoja na kutoa shuhuda za uongo kabisa mchana kweupe.
Me naanza kususpect wewe sio tu Toxic feminist bali ni HARDCORE MISANDRIST. I have a personal experience na watu wa kaliba yako. Huwa mnachukia wanaume with passion and you have an inheritedly motive ya kutaint na defamate male title at large.
Na ndio maana ukiona topic za wanaume kukanda tabia za wanawake kwako inakuja kwa tafasiri ya vita unaona kama umetangaziwa vita halafu ukiwa exposed unakimbilia kusema watu wanakuattack personally. How can it not be personal if wewe unakuwa na misguided hatred motive towards Men in general?

Kama kuna ubaya ulifanyiwa na wanaume that's your personal invoice don't make everymen pay your X's dues don't make it about every Man, no body hates you so why hate others in general with passion?

Stop Men hating bana you are becoming irrelevant.
Dah!.... noma Sana
 
Do you have the ability to communicate with the dumb?

😂😂
Yeah sometime arguing with a dumb person makes you smarter because you have to figure out how to explain things in a way that a dumb person can understand
 
Back
Top Bottom