Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Yawezekana mama yako mdogo aliamua tu kugive up na kukubaliana na upumbavu wa wanaume ili mradi maisha yaende, yani wanaume mnachotaka ni wanawake wakubaliane tu na upumbavu wenu kwa sababu mmeshawajengea ile mentality ya kwamba wanaume hawawezi kubadilika, kwahiyo kinachotokea baada ya wanawake kufika umri fulani ni ile hali ya kuamua tu kufunika kombe mwanaharamu apite lakini si kwamba eti wanaume ndio mnakuwa mko sahihi sasa si kila mwanamke atakubali hilo

Sasa kama wapo mbona migogoro kwenye ndoa haiishi, hapo ndipo mnaponishangaza yani mnadai kwamba mnaoa wanawake wenye mienendo mizuri tu, ila cha ajabu migogoro kwenye ndoa haiishi na walalamikaji ni wanaume mara nyingi

Si unaona hivi kati ya mimi na wewe nani anayeandika uhalisia na nani anayeandika mawazo yake tu yani unadai kwamba wanawake wanaweza kuanza mahusiano wakiwa na miaka 18 na baada ya miaka 3 wanaweza kuolewa hebu niambie ni wanawake wangapi leo hii wanakubali kuolewa wakiwa kwenye early 20s na ndoa zao zikadumu, hivi siyo wewe kuna mjadala fulani tulikuwa tunabishana ukasema kwamba wanawake wengi wakitangaziwa ndoa katika umri mdogo huwa wanakataa wanasema hawako tayari wanasubiri hadi umri ukishaenda wakishaharibiwa na wakishazalishwa ndio wanaanza kutafuta ndoa halafu leo unasema eti wanawake wanaweza kuolewa katika umri mdogo, isitoshe wanaume wengi huwa wanakiri wenyewe kwamba wanawake wa siku hizi ukiwaoa mapema wanakuwa bado wana akili za kitoto hivyo huanza kusumbua kwenye ndoa na kupelekea ndoa nyingi kuwa na migogoro na kuishia kwenye talaka halafu wewe unakuja kusema nini hapa

Bado swali langu ni lile lile kama hamchukui wanawake wa sampuli hizo kwanini sasa ndoa nyingi leo hii ni migogoro kila kukicha au chanzo cha hiyo migogoro ni ninyi wanaume, mimi nilitegemea kwamba kwa sababu huwa mnaoa wake wema kama mnavyojisifia humu mitandaoni basi ndoa zote zitakuwa na furaha but unfortunately that is not the case sasa hiyo tafsiri yake ni nini, na ndio maana nasema wanaume wengi mnachoandika humu mitandaoni ni tofauti na mnachofanya kwenye maisha halisi halafu mimi nikisema mnadai eti napingana na uhalisia sasa kati ya mimi na ninyi nani anapingana na uhalisia hapa

Sasa kama wameshatendwa na wanawake na wanazijua rangi zote na na maovu yote ya wanawake kwanini wanaendelea kuoa yani hapo mimi ndipo swali langu lilipo, mind you tumekubaliana ndoa ina umuhimu kwa mwanamke tu na siyo kwa mwanaume sasa kwanini wanaume wanaendelea kuoa kwenye hii dunia ya leo ambayo wanawake wengi ni pasua vichwa, usitudanganye hapa kwamba eti wanaume wana upendo na huruma sijui blah blah kama mnavyodai kwa sababu haiwezekani mtu akawa na upendo na huruma kwa mtu ambaye anamfanyia vitendo vya kumuumiza na kama hao wake wema wangekuwepo basi migogoro na talaka vingeshaisha kwenye hizo ndoa
Kimsingi wewe ni mbishi. Yaani mfano tungekuwa tunaongelea pombe, wenzako tunaongelea madhara ya pombe kwenye afya ya mtu m'moja m'moja na jamii kwa ujumla wewe unakuja na hoja za pombe kama pombe inazo faida kama kupeana dili bar, mapato kwa serikali, kutoa ajira kwa wahudumu wa bar, na kiwanda cha pombe plus wadangaji wanaovuna pesa za walevi.

Yaani hoja zako unazotoa bado upo nje ya context ya madhara ya jambo husika.

Sasa tazama unasema upumbavu wa wanaume nikikwambia unambie ni upi still utaongelea tabia mbaya ambazo hata wanaume tunazikemea kila siku hapa na hatuziungi mkono. Yet wanaume hawaji kuongea kwa nia ya kuponda wanawake wanaongea kwa nia ya kukemea na kuelimishana.

Wewe unakuja kutetea kwa lengo la "mkiharibu na sisi tuna haribu" sasa yupi anatetea upumbavu hapa?

Wewe umeshawahi kutana na mwanaume anaekosa mwanamke wa kuishi nae katika jamii hii ya watanzania hata huko duniani eti kwa kukosa? Labda atake mwenyewe kuishi kisela.

Ila wanawake ni wangapi wanazalishwa na wanatafuta ndoa kwa nguvu wanakosa na wengine wanaishi wenyewe bila wanaume sio kwa kutaka bali ni imewalazimu kukosa.

Kwa style hiyo bado unatumia akili za darasani kudhania uhalisia ni wanaume ndio wana mwisho mbaya kwasababu wao ndio wanaolalamika hapa mitandaoni?

You have a long way to learn. Labda kama unabishana for fun ila nina jua unajua chuya na mchele vipo wapi. Unapoteza tu muda na hizi hoja zako hakuna uhalisia.
 
Wewe u miongoni mwao, na mimi ni miongoni mwao.

Ungekuwa mwerevu ungekuwa umeshaacha kujibizana na mpumbavu, let's go mpumbavu mwenza.

Nilikuwekea ukasema ni za kijijini kwetu, kunidai nikuwekee takwimu zingine huku ukiniweka katika kundi la wapumbavu maana hapo hujaridhika na upumbavu wangu bali unataka ujumuishe upumbavu wangu na wako viwe kitu kimoja. Chukua sasa zile takwimu za kijijini kwangu, na kama hutaki baki na hizo takwimu zako za jalalani uendelee kujimwambafu nazo mpumbavu mwenza.

Kwa kulinda heshima yake ninamuita hapa Zemanda, huyu mwamba huwa hakimbii hoja za mwanamke, sasa ulivyo mjinga unajimwambafu kuwa Zemanda huwa anakukimbia, yaani Zemanda huyu nimjuaye mie akimbie hoja za mchoma vitumbua kama wewe 😂😂

Hivi ulijuaje kuwa kakimbia?
Ndio wewe ni mpumbavu kwa taarifa yako kwenye hizi mada zinazohusu mahusiano hakuna mwanaume ambaye nimewahi kushindwa kujadiliana naye kwa hoja, mijadala mingi tunayokutana yeye huwa anaiacha njiani kwahiyo hata huu nilisema amekimbia kwa sababu hakujibu tena ila naona amerudi wacha niendelee kujadiliana naye, as for you nimekuambia weka takwimu hapa za kuaminika na useme chanzo cha hizo takwimu ni kipi acha kuendelea kushusha magazeti yaliyojaa pumba na kauli za kujifariji na huku huna hata hoja
 
Haya takwimu hizo hapo zinaonesha idadi ya talaka kulinganisha na idadi ya ndoa zinazofungwa kwa kila mwaka, sijafanikiwa kupata za mwaka jana ila hata hizo ni za miaka ya hivi karibuni na hata za mwaka jana sidhani kama zinapishana sana na hizo, lazima zitakuwa hazichezi mbali na hapoView attachment 2995572View attachment 2995573
Okay tupe takwimu za Ndoa zinazofungwa. Sababu kama watu wakitalikiana wanakwenda sayari nyingine then utakuwa sahihi ila kama watu wale wale huoa na kuolewa tena then hizi takwimu zako zinakuwa ni ineffective kuzitumia kama submission ya hoja yako kuu unayotumia kuhoji ukisema kama wanaume hawaridhiki na hawa wanawake mbona wanawao.

Hapo umeweka kando sababu za kisaikolojia si kwamba wote wanaofunga ndoa wanakuwa na shida but kuna kuwa na swala la compatibility za kitabia, hisia, na ushirikiano. So kama watakuwa tofauti haina maana hoja ya kushindwana kwao ni tabia mbaya za mwanamke au mwanaume of which wewe ndipo unapokuja kuonekana mbishi na haujui msimamo au misimamo yako katika hili tatizo la wanaume kulaumu wanawake wewe una toa mchango upi na wa kumsaidia nani na kwa faida zipi za kijinsia na kijamii.

So jifunze kujenga hoja yenye merits kwa jamii na sio kwenye fikra zako ukiona una jambo la kusema basi utalisema tu ili mradi uonekane wewe ni mjenga hoja na unaweza kufanya arguments badala ya discussion zenye uelekeo wa kupata concession mwishoni.

Grow up.
 
Mkishaishiwaga hoja huwa mnatafuta vijimaneno vya kujifariji kama hivi, wewe sema tu umeshindwa mjadala na siyo umefunga mjadala usisingizie eti mimi nina jazba sijui upwiru, wewe ndio ukabiliane na hiyo changamoto uache kuropoka vitu hovyo maana yawezekana tangu umeachika una stress unadhani kila mtu anatoa talaka kwa makosa ya kipuuzi tu
Ushawahi bishana na mtu ambaye sio muelewa, yaani hatumii logic anatumia anachojiskia na kufikiri ndicho sawa kwake. Yaani mtu ambaye kaamua tu kuwa mbishi for the sake of kuonekana mshindi ila sio kwamba anahoja ya misingi ya kujenga anachokipigania.

Mfano hapa nikikuuliza wewe msimamo wako ni upi linapokuja swala la tabia ambazo wanaume wanaziongelea kuhusu wanawake ambazo wanalalamikia kuwa zinawadhurumu furaha na kuwapa wakati mgumu kufanya mahusiano serious?

Kwa mara nyingi nimekusoma hoja zako zipo katika mlengo wa "an eye for an eye" kwa kifupi una mlengo wa kipalestina au kitalebanian, yaani hautazami merits, faida, au positive gain ya wote na jamii kwa ujumla, kwako ni furaha yako upate msawazo wa kihisia kuwa hapa wanawake wanashindana na wanaume mimi sikubali kuona wanawake wenzangu wanashindwa hata kama wao wana makosa.

Sasa huo ndio kukosa Hekima kwenyewe? Na unakuta jumapili umejikusanya na wakristo wengine unakwenda kuabudu kanisani ukiitukuza imani inayoongozwa na kitabu unachookiita kitakatifu ila mafundisho yake tena wewe binafsi ndio gwiji wa kuyapinga hapa Jamii forum.

Grow up.
 
Ndio wewe ni mpumbavu
Ikiwa mie ni mpumbavu hata wewe ni mpumbavu pia.
kwa taarifa yako kwenye hizi mada zinazohusu mahusiano hakuna mwanaume ambaye nimewahi kushindwa kujadiliana naye kwa hoja
Na kwa taarifa yako Zemanda hajawahi wala hatawahi kukimbia mada kisa ameshindwa kujibu hoja, you know nothing about Zemanda.
mijadala mingi tunayokutana yeye huwa anaiacha njiani kwahiyo hata huu nilisema amekimbia kwa sababu hakujibu tena ila naona amerudi wacha niendelee kujadiliana naye,
Umesema Zemanda alikukimbia, sasa hivi tena unasema karudi, shangazi hebu kuwa na serious basi naona una mizaha mingi.
 
Kimsingi wewe ni mbishi. Yaani mfano tungekuwa tunaongelea pombe, wenzako tunaongelea madhara ya pombe kwenye afya ya mtu m'moja m'moja na jamii kwa ujumla wewe unakuja na hoja za pombe faida kama kupeana dili bar, mapato kwa serikali, kutoa ajira.

Yaani hoja zako unazotoa bado upo nje ya context ya madhara ya jambo husika.

Sasa tazama unasema upumbavu wa wanaume nikikwambia unambie ni upi still utaongelea tabia mbaya ambazo hata wanaume tunazikemea kila siku hapa na hatuziungi mkono. Yet wanaume hawaji kuongea kwa nia ya kuponda wanawake wanaongea kwa nia ya kukemea na kuelimishana.

Wewe unakuja kutetea kwa lengo la "mkiharibu na sisi tuna haribu" sasa yupi anatetea upumbavu hapa?

Wewe umeshawahi kutana na mwanaume anaekosa mwanamke wa kuishi nae katika jamii hii ya watanzania hata huko duniani eti kwa kukosa? Labda atake mwenyewe kuishi kisela.

Ila wanawake ni wangapi wanazalishwa na wanatafuta ndoa kwa nguvu wanakosa na wengine wanaishi wenyewe bila wanaume sio kwa kutaka bali ni imewalazimu kukosa.

Kwa style hiyo bado unatumia akili za darasani kudhania uhalisia ni wanaume ndio wana mwisho mbaya kwasababu wao ndio wanaolalamika hapa mitandaoni?

You have a long way to learn. Labda kama unabishana for fun ila nina jua unajua chuya na mchele vipo wapi. Unapoteza tu muda na hizi hoja zako hakuna uhalisia.
Hebu niambie ni wanaume gani humu jf umeshaona wanakemea maovu ya wanaume wenzao zaidi ya kila siku kuwatukana na kuwadhalilisha wanawake tu halafu wanasema eti wanakemea sijui wanaelimisha, mimi sitetei maovu ya jinsia yoyote na ninachokisimamia kinaeleweka ni kwamba chanzo cha mabinti wengi kuharibika ni wanaume kwa sababu wanaume ndio mnawachezea hawa mabinti, mkiambiwa muache kuwachezea mnadai eti wao ndio wanatakiwa wakitongozwa wakatae utadhani mmeambiwa wao ni malaika halafu mkifika wakati wa kuoa muanze kulalamika eti wanawake hawajitunzi na hawajiheshimu sasa wanaume kama hawa nao unataka tuwaambie nini ilihali wao ndio wameyataka

Unajua unashindwa kutofautisha hivi vitu viwili kumpata mwanamke na kumpata mwanamke unayemtaka ofcourse wanaume wengi hawakosi wanawake ila ni wanaume wachache wanapata wanawake wanaowataka, wanaume wengi sana huwa wanakiri kwamba wako na wanawake fulani kwa sababu tu wamekosa wale wanawake waliowataka na wengine huende mbali zaidi na kuoa wanawake wasiowapenda au hujawahi kusikia hilo, sasa hiyo iko hivyo kwa sababu mwanaume ndiye anayeamua ndoa na ndiye anayetongoza hata wanawake wanaotongoza wanaume huwa hawakosi tena wanaume huwa mnasema kabisa ninyi hamjui kukataa ila ishu ni kwamba hao wanawake watakuwa wamepata wanaume wasiowapenda kama ilivyo kwa wanaume tu

Ukweli ni kwamba huwezi kuhangaika kulalamikia na kupinga jambo ikiwa wewe halikupi maumivu yoyote kwa sababu siku zote asili ya binadamu ni ubinafsi wanaume siku zote wamekuwa wakiwaaminisha wanawake kwamba wakifanya maovu ni wao ndio wanaumia kulingana na maumbile yao, ila cha ajabu wanaume hao hao ndio wanaongoza kulalamikia maovu ya wanawake kuliko wanawake wanavyolalamikia maovu ya wanaume sasa ni nani anaumia zaidi hapo, ni wazi wanaume ndio wanaumia na kukosa furaha kwa sababu wanakosa wanawake wema wa kuwaoa na kufanya nao maisha yenye amani na utulivu kitu ambacho ndio wanaume wengi wanakitaka ila wanawake kupata wanaume wema siyo kipaumbele kwao kwa sababu wameshaaminishwa kwamba hakuna mwanaume mwema wanaume wote ni wa kuvumiliwa tu
 
Okay tupe takwimu za Ndoa zinazofungwa. Sababu kama watu wakitalikiana wanakwenda sayari nyingine then utakuwa sahihi ila kama watu wale wale huoa na kuolewa tena then hizi takwimu zako zinakuwa ni ineffective kuzitumia kama submission ya hoja yako kuu unayotumia kuhoji ukisema kama wanaume hawaridhiki na hawa wanawake mbona wanawao.

Hapo umeweka kando sababu za kisaikolojia si kwamba wote wanaofunga ndoa wanakuwa na shida but kuna kuwa na swala la compatibility za kitabia, hisia, na ushirikiano. So kama watakuwa tofauti haina maana hoja ya kushindwana kwao ni tabia mbaya za mwanamke au mwanaume of which wewe ndipo unapokuja kuonekana mbishi na haujui msimamo au misimamo yako katika hili tatizo la wanaume kulaumu wanawake wewe una toa mchango upi na wa kumsaidia nani na kwa faida zipi za kijinsia na kijamii.

So jifunze kujenga hoja yenye merits kwa jamii na sio kwenye fikra zako ukiona una jambo la kusema basi utalisema tu ili mradi uonekane wewe ni mjenga hoja na unaweza kufanya arguments badala ya discussion zenye uelekeo wa kupata concession mwishoni.

Grow up.
Mkuu takwimu zote si hizo hapo unataka takwimu gani tena hiyo picha ya kwanza ni idadi ya ndoa zinazofungwa na picha ya pili ni idadi ya talaka zinazotolewa hizo zote ni kwa mwaka, kama tunafahamu kwamba siyo wote wanaofunga ndoa wana shida ila tu wanakuwa hawako compatible sasa kwanini tunaona kama ndoa kuvunjika ni jambo baya na la kumsimanga mtu (hasa mwanamke), wakati kumbe kuna ndoa ambazo watu wanaachana kwa uzuri tu ila mnavyo condemn suala la kutalikiana ni kana kwamba generally ni dhambi kubwa sana huku lawama nyingi zikienda kwa wanawake kuwa eti hawana upendo
 
Ndio wewe ni mpumbavu kwa taarifa yako kwenye hizi mada zinazohusu mahusiano hakuna mwanaume ambaye nimewahi kushindwa kujadiliana naye kwa hoja, mijadala mingi tunayokutana yeye huwa anaiacha njiani kwahiyo hata huu nilisema amekimbia kwa sababu hakujibu tena ila naona amerudi wacha niendelee kujadiliana naye, as for you nimekuambia weka takwimu hapa za kuaminika na useme chanzo cha hizo takwimu ni kipi acha kuendelea kushusha magazeti yaliyojaa pumba na kauli za kujifariji na huku huna hata hoja
Umeona nilichokisema na ninarudia kukisema kuwa wewe ni mbishi na unazingatia kushinda badala ya kuweka hoja jengefu mezani. Unazunguka sana na points zako ambazo hazina uzito wa kuzingatia mlengo chanya wa kutatua changamoto katika context ya tatizo wewe unalenga kurumbana which is a typical behavior ya watu wabishi huwa hawaoni hasara ya kupoteza muda na maneno yao.

Mtu akikuachia njiani haimaanishi kuwa kashindwa kujibu hoja zako ila ameona haina haja ya kuendelea kujibizana na mtu ambaye ana lack experience ya uhalisia wa maisha.

Kwa mfano, utabishana na mtoto wa kishua ambaye kwao wana AC kila chumba na anatumia gari yenye AC kuhusu mateso ya joto la Dar ana kipi cha kujua kuhusu maisha ya joto la Dar.

Au utabishana kuhusu njaa na mtu ambaye maisha yake yote hajawahi kukosa chakula tokea azaliwe ili upate nini na kaamua kukwambia hakuna kitu kama kukosa chakula.

So Back to you unabishana na mimi na kunishinda kwa experience gani uliyonayo juu ya mahusiano, as far as i my prediction can eye you, haujawai kuolewa, hujui what is like kuexist na mwanaume chumba kimoja na kuishi nae through and throughout life hardships and joyful moments,.

Wanawake wanayoyajua maisha halisi ya mahusiano na wapo huko au wametoka huko huwezi kuta wanakuja na your type of "two cents" arguments kuhusu mahusiano.

Wewe unaongelea talaka umeshawahi kutalikiwa do you even know nani huwa anaandika talaka au inaombwaje?

Unaongelea upumbavu wa wanaume lini umeshaolewa wewe ukakaa na mwanaume kinyumba for at least 5 years hadi useme unajua wanaume nje ndani? [emoji848]

Ulisema mwenyewe no research no right to speak wewe mwenzetu data unakusanya za midomo ya watu humo Instagram au unatuambia za mwanaume/wanaume uliowahi ishi nao?

Ningekuwa nabishana na Dida yule mtangazaji ningekuwa mpole maana ameshaolewa na kutalikiana zaidi ya mara 10, she's a Queen [emoji146] of wedding and engagement rings and divorce, but wewe unatoa wapi hizi jazba za kufokea watu na kusema una nondo za kupiga spana wenye uzoefu wao?

Where is your practical experience usituletee magazeti na takwimu za RITA hapa everyone can use that paperwork tupe field experience.

Kuna wenzako hapa wameshaliwa, wamezalishwa, wametelekezwa and they know life of relationship from the angle of reality ndio maana hizi mada huwa wanapita kimya kimya wanasoma na kukausha.

Wewe sasa unaleta ujuaji, haya nipige spana fans na mashabiki wako wakushangilie si unapenda ligi nikuvue nguo udhalilike.

[emoji441] Mic ipo kwako twende kazi am ready.
 
Nafikiri mngeitafuta logic nyuma ya hiyo picha kabla hamjasema yote.

Huyo dada Ali Kamwe aliweka shindano katika page yake ya kumtafuta dada wa kuhudhuria nae harusi (ya mfanyakazi mwenzao pale Yanga) ndipo huyo dada (pichani) akashinda kwa kura nyingi, ndio akahudhuria nae kama mnavyoona.

Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi. Acheni watu wapendeze jamani, eh!
Huyu mwenye kuleta hii topic ana nia nyingine tofauti na vazi.

Nia yake ni ushabiki wa kishamba. Mashabiki wa upande wa pili,wengi wao ni limbukeni na waoga. Huyo mleta topic nia yake ni kumrenga waziwazi Ally Kamwe. Ndio maana amesisitiza wazi kumrenga mwanaume aliekosa akili. Kama nia yake ni vazi kwa nini asiseme kwa wengine huko kabla?. kwa nini asimrenge moja kwa moja alievaa vazi?

Kwa mtazamo wa kawaida mtu anaweza akaiona ni topic ya kawaida. Lakini kwa mwenye jicho la tatu huyu mshamba nia yake ni Ally Kamwe,na kikubwa hapo ni ushabiki wa kishamba. Ksbb hiyo mitoko sio mipya. Tumeona harusi nyingi, events nyingi tu wanawake wanatupia mitoko ya aina hiyo na wanapendeza tu. Kwa nini asiseme huko kote?.

Kwa hiyo huyu mshamba nia yake ni kumponda huyo kijana. Bila kujua ndio anampaisha zaidi
 
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.

Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.

Wanaume tuache ujinga.

View attachment 2989182

Siyo kila mwanaume ni wakiume, wengine ni wanaume wanaume tu.
 
Ushawahi bishana na mtu ambaye sio muelewa, yaani hatumii logic anatumia anachojiskia na kufikiri ndicho sawa kwake. Yaani mtu ambaye kaamua tu kuwa mbishi for the sake of kuonekana mshindi ila sio kwamba anahoja ya misingi ya kujenga anachokipigania.

Mfano hapa nikikuuliza wewe msimamo wako ni upi linapokuja swala la tabia ambazo wanaume wanaziongelea kuhusu wanawake ambazo wanalalamikia kuwa zinawadhurumu furaha na kuwapa wakati mgumu kufanya mahusiano serious?

Kwa mara nyingi nimekusoma hoja zako zipo katika mlengo wa "an eye for an eye" kwa kifupi una mlengo wa kipalestina au kitalebanian, yaani hautazami merits, faida, au positive gain ya wote na jamii kwa ujumla, kwako ni furaha yako upate msawazo wa kihisia kuwa hapa wanawake wanashindana na wanaume mimi sikubali kuona wanawake wenzangu wanashindwa hata kama wao wana makosa.

Sasa huo ndio kukosa Hekima kwenyewe? Na unakuta jumapili umejikusanya na wakristo wengine unakwenda kuabudu kanisani ukiitukuza imani inayoongozwa na kitabu unachookiita kitakatifu ila mafundisho yake tena wewe binafsi ndio gwiji wa kuyapinga hapa Jamii forum.

Grow up.
Bruh mimi msimamo wangu siyo wanawake kushindana na wanaume na hapo ndipo wanaume wengi mnaposhindwa kunielewa, mimi msimamo wangu ni kwamba kama wanaume mnataka wanawake wajitunze basi nanyi lazima mkubali kujitunza, kwa sababu wanawake wote leo hii wakisema wajitunze mpaka ndoa maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao hivyo itawabidi nao wavumilie wajitunze sasa je una uhakika wanaume wote wako tayari kujitunze mpaka siku watakapooa

Ndio maana nasema kwenye haya mambo kukemea maovu ya mwanamke tu ukayaacha ya mwanaume na kusema eti wanaume wakifanya ni sawa unakuwa unafanya kazi bure kwa sababu sawa wanawake watajitunza, lakini wanaume wenye nia mbaya wataendelea kuwatongoza na kuwashawishi hao wanawake na watafanya kila mbinu ili wawapate kwa sababu wameshaambiwa kwamba wao kuchezea na kuharibu wanawake ni sawa tu hawapati madhara yoyote bali ni wanawake ndio wanaumia, na kumbuka na wanawake nao ni binadamu siyo malaika ni ngumu kuwachomolea wanaume wote wataokuwa wanawatongoza lazima tu kuna mahali watanasa na tutajikuta jamii inarudi kule kule tena

Na ndio maana mimi nasema kama wanaume mnataka wanawake wajitunze basi nanyi itabidi muwe tayari kujitunza muache kuwatongoza wanawake kwa lengo la kuwachezea sasa wanaume wengi ukiwaambia hivi hawataki, wanataka wanawake wajitunze ila wao waendelee kufanya umalaya sasa huo umalaya wanataka wafanye na kina nani wakifanya na wanawake maana yake hao wanawake kujitunza ndio basi tena, kwahiyo hao wanaume ukifika wakati wanataka kuoa wasianze tena kuwalalamikia wanawake kwamba hawajitunzi na hawajiheshimu bali wakubaliane na hali halisi tu kwa sababu wao ndio waliowachezea na waliowaharibu kwa kisingizio kwamba ni ujinga wao na wao ndio wanaumia so lazima wachague moja
 
Ikiwa mie ni mpumbavu hata wewe ni mpumbavu pia.

Na kwa taarifa yako Zemanda hajawahi wala hatawahi kukimbia mada kisa ameshindwa kujibu hoja, you know nothing about Zemanda.

Umesema Zemanda alikukimbia, sasa hivi tena unasema karudi, shangazi hebu kuwa na serious basi naona una mizaha mingi.
Wewe endelea tu na kauli zako za kujifariji ukimaliza utasema, ndio alikimbia ila amerudi na tunaendeleza mjadala, weka takwimu zako sasa za global village acha kuleta taarabu na kiswahili kirefu hapa
 
Umeona nilichokisema na ninarudia kukisema kuwa wewe ni mbishi na unazingatia kushinda badala ya kuweka hoja jengefu mezani. Unazunguka sana na points zako ambazo hazina uzito wa kuzingatia mlengo chanya wa kutatua changamoto katika context ya tatizo wewe unalenga kurumbana which is a typical behavior ya watu wabishi huwa hawaoni hasara ya kupoteza muda na maneno yao.

Mtu akikuachia njiani haimaanishi kuwa kashindwa kujibu hoja zako ila ameona haina haja ya kuendelea kujibizana na mtu ambaye ana lack experience ya uhalisia wa maisha.

Kwa mfano, utabishana na mtoto wa kishua ambaye kwao wana AC kila chumba na anatumia gari yenye AC kuhusu mateso ya joto la Dar ana kipi cha kujua kuhusu maisha ya joto la Dar.

Au utabishana kuhusu njaa na mtu ambaye maisha yake yote hajawahi kukosa chakula tokea azaliwe ili upate nini na kaamua kukwambia hakuna kitu kama kukosa chakula.

So Back to you unabishana na mimi na kunishinda kwa experience gani uliyonayo juu ya mahusiano, as far as i my prediction can eye you, haujawai kuolewa, hujui what is like kuexist na mwanaume chumba kimoja na kuishi nae through and throughout life hardships and joyful moments,.

Wanawake wanayoyajua maisha halisi ya mahusiano na wapo huko au wametoka huko huwezi kuta wanakuja na your type of "two cents" arguments kuhusu mahusiano.

Wewe unaongelea talaka umeshawahi kutalikiwa do you even know nani huwa anaandika talaka au inaombwaje?

Unaongelea upumbavu wa wanaume lini umeshaolewa wewe ukakaa na mwanaume kinyumba for at least 5 years hadi useme unajua wanaume nje ndani? [emoji848]

Ulisema mwenyewe no research no right to speak wewe mwenzetu data unakusanya za midomo ya watu humo Instagram au unatuambia za mwanaume/wanaume uliowahi ishi nao?

Ningekuwa nabishana na Dida yule mtangazaji ningekuwa mpole maana ameshaolewa na kutalikiana zaidi ya mara 10, she's a Queen [emoji146] of wedding and engagement rings and divorce, but wewe unatoa wapi hizi jazba za kufokea watu na kusema una nondo za kupiga spana wenye uzoefu wao?

Where is your practical experience usituletee magazeti na takwimu za RITA hapa everyone can use that paperwork tupe field experience.

Kuna wenzako hapa wameshaliwa, wamezalishwa, wametelekezwa and they know life of relationship from the angle of reality ndio maana hizi mada huwa wanapita kimya kimya wanasoma na kukausha.

Wewe sasa unaleta ujuaji, haya nipige spana fans na mashabiki wako wakushangilie si unapenda ligi nikuvue nguo udhalilike.

[emoji441] Mic ipo kwako twende kazi am ready.
Mkuu hapo mwishoni mbona kama umesound inferior hivi vipi na wewe umeanza ngonjera kama huyo mwenzio hujiamini ama, we shusha hoja zako hakuna cha fans wala mashabiki mimi ni jeshi la mtu mmoja huwa siandiki kumfurahisha mtu wala sitafuti support ya watu nasimamia misimamo yangu hata kama dunia nzima ingekuwa kinyume na mimi, na kingine huwa sibishani kutafuta ushindi hii kauli huwa unaipenda sana sijui ni mara ya ngapi hii unaniambia wewe kama hilo ndio lengo lako la kubishana basi ni wewe ila usidhani kila mtu humu anabishana kwa lengo hilo

Kwanza kabisa siyo kila kitu kinahitaji practical experience wengine huwa tunapenda kujifunza kupitia watu wanaotuzunguka siyo lazima hadi tupitie matatizo waliyoyapitia wengine ndio tuone kwamba tunaweza kuyaelezea, kwahiyo leo wanawake type za kina dida wamekuwa queens tena wakati hao ndio kila siku mnakesha kuwatukana na kuwadhalilisha humu na kusema hawafai kuolewa kwa sababu wameshindwa kuishi na wanaume na hakuna zuri wanaloweza kuwashauri wanawake wenzao yani kwa kifupi hao wanawake huwa ndio majalala ya kutupia matusi yenu na kejeli zenu, sasa unaposema lazima niwe nimeexperience maana yake unataka niwe malaya au kahaba nifanye au niolewe na wanaume nchi nzima ndio niweze kujua upumbavu wa wanaume na niweze kujua idadi ya ndoa na talaka au

Sasa kama hamziamini hizo takwimu za serikali si ndio mlete takwimu zenu za kuaminika sasa mbona ninyi mnapinga tu kienyeji, ninyi ndio wale mnaodai wanawake ni wengi kuliko wanaume na kuwaambia watu eti kama unabisha nenda hospitali yoyote uliza katika watoto wanaozaliwa kila siku wangapi wa kike wangapi wa kiume, halafu taasisi zikiingia field kufanya tafiti zao wenyewe na kutoa takwimu mnaanza kuhoji na kupinga kwa kutumia tafiti zenu uchwara za vijiweni badala ya kupinga kwa tafiti halisi
 
Bruh mimi msimamo wangu siyo wanawake kushindana na wanaume na hapo ndipo wanaume wengi mnaposhindwa kunielewa, mimi msimamo wangu ni kwamba kama wanaume mnataka wanawake wajitunze basi nanyi lazima mkubali kujitunza, kwa sababu wanawake wote leo hii wakisema wajitunze mpaka ndoa maana yake wanaume watakosa wanawake wa kufanya nao hivyo itawabidi nao wavumilie wajitunze sasa je una uhakika wanaume wote wako tayari kujitunze mpaka siku watakapooa

Ndio maana nasema kwenye haya mambo kukemea maovu ya mwanamke tu ukayaacha ya mwanaume na kusema eti wanaume wakifanya ni sawa unakuwa unafanya kazi bure kwa sababu sawa wanawake watajitunza, lakini wanaume wenye nia mbaya wataendelea kuwatongoza na kuwashawishi hao wanawake na watafanya kila mbinu ili wawapate kwa sababu wameshaambiwa kwamba wao kuchezea na kuharibu wanawake ni sawa tu hawapati madhara yoyote bali ni wanawake ndio wanaumia, na kumbuka na wanawake nao ni binadamu siyo malaika ni ngumu kuwachomolea wanaume wote wataokuwa wanawatongoza lazima tu kuna mahali watanasa na tutajikuta jamii inarudi kule kule tena

Na ndio maana mimi nasema kama wanaume mnataka wanawake wajitunze basi nanyi itabidi muwe tayari kujitunza muache kuwatongoza wanawake kwa lengo la kuwachezea sasa wanaume wengi ukiwaambia hivi hawataki, wanataka wanawake wajitunze ila wao waendelee kufanya umalaya sasa huo umalaya wanataka wafanye na kina nani wakifanya na wanawake maana yake hao wanawake kujitunza ndio basi tena, kwahiyo hao wanaume ukifika wakati wanataka kuoa wasianze tena kuwalalamikia wanawake kwamba hawajitunzi na hawajiheshimu bali wakubaliane na hali halisi tu kwa sababu wao ndio waliowachezea na waliowaharibu kwa kisingizio kwamba ni ujinga wao na wao ndio wanaumia so lazima wachague moja
Mwanamke akijitunza pekee inatosha sababu ni bora mwanaume aliyelala na wanawake wengi akawajua wanawake vema atakuwa na advantage kwenye ndoa kwa kuwa fundi kwa mkewe na kumpa raha za kimwili, kujua namna ya kumuongoza kihisia sababu keshakutana na wanawake tofauti tofauti so anaelewa mbinu za kumcontrol mkewe.

Kinyume chake mwanamke akilala na wanaume wengi maumbile yake huwa yanaharibika kwa kutanuka na kupoteza msisimko wa asili, anaingiliwa na size tofauti so ngumu kujua ipi itampa raha zaidi, mwanamke anaejihusha na wanaume wengi hukosa msisimko wa kuwa na mwanaume m'moja etc. so futa kichwani hilo wazo kuwa wanaume kutokuwa na mwanamke hadi ndoa ni kujitunza. That's women mentality and perceptions juu ya mahusiano and its based on illusions.

Bado nakusisitiza kuwa changamoto yako ni kulinganisha mwanaume na mwanamke eneo la tabia na kudhani wote wana matokeo sawa, you are very wrong on that area. Eneo la mahusiano mwanaume yupo privileged naturally na maisha yamempa hiyo privilege sio mwanadamu au jamii ni nature au MUNGU if you will. Kitendo cha wewe kusema kukemea uovu (sijajua uovu upi haujawa specific) isilenge wanawake tu bali na wanaume wakemewe. Sasa nitakuuliza tena swali, unahisi katika haya maisha ya ngono, kati ya Me na Ke nani yupo katika risk ya kuloose? [emoji848] Najua kwa uwezo wako wa kufikiri utasema wote na utaanza kutiririka na hoja zako manufactured from "Jadda Woman Empowerment and Defensive Mechanism Association ". But unasahau kuwa unachokisema sicho kinachotokea katika uhalisia wa maisha na hata takwimu za kiserikali zinaliona hilo na ndio maana hata jina la wizara limeweka neno wanawake la wanaume halipo sababu wameona nani ni victims zaidi.

Kujitunza kwa namna gani unakozungumzia, wewe maumbile ya kiume unayaelewaje kwanza ukiwa ni mwanamke? Ndio maana mnatumia sex kama wepon sababu mnajua. Unajua mwanaume asipofanya wiki tu anaweza baka hata Paka? Tena miaka hii kuna punyeto ndio maana wanaume wengi wanaponea humo ila nje ya hapo ubakaji kwa miaka hii ungekuwa juu sana. Fuatilia takwimu za india kuhusu rape. Kuna mwanaharakati alienda india yakamkuta alibakwa mbele ya mume wake. Huwezi elewa kitu gani kinamkuta mwanaume bila supply nzuri ya sex anakuwaje. Sina haja ya kukuelezea sana ila jua tu kwamba sexually Men and Women wameundwa tofauti sana tena kwa asilimia 90% hiyo 10% ni kufanana eneo la wote kufurahia sex, wote kufika kileleni. Ila hiyo 90% ni tofauti kwa maelfu kuanzia muda wa kufurahia tendo, nguvu ya utamu, speed, duration ya bao, mara ngapi tunataka kwa siku, tunataka kwa watu wangapi na nini kinasababisha tutake kwa watu tofauti, matokeo ya kufanya na watu wengi na tofauti tofauti etc.

Nenda mitandaoni studies za wataalamu zipo zinaelezea haya kwa mapana na marefu. Shida kwako ni hata ukisoma bado utabisha sababu una struggle na kukubali ukweli na ku appreciate the existing differences among gender and sexes.

Tazama feminists wengi maarufu huwa wana mwisho gani utaelewa ninachomaanisha na kwanini wewe binafsi unaonekana kugombana na kila mwanaume anayekuja kukuelekeza kwa hoja za uhalisia wewe ukitumia fabricated facts.

Nikukumbushe tu every Truth is a fact but not every fact is true.
 
acha kuleta taarabu na kiswahili kirefu hapa
Hizo zote umeanzisha wewe kwa kufanya mjadala wa ligi na sio kujifunza, kuna usemi usemao .. Ukiwa kwa myunani tenda kama myunani atendavyo....

Let's continue na ligi yako shangazi.

Takwimu nimeshakupa ukazikataa kwamba ni za kijijini nitokako mie... Nini tena unataka? If you want to remarried find the correct one.
 
Hebu niambie ni wanaume gani humu jf umeshaona wanakemea maovu ya wanaume wenzao zaidi ya kila siku kuwatukana na kuwadhalilisha wanawake tu halafu wanasema eti wanakemea sijui wanaelimisha, mimi sitetei maovu ya jinsia yoyote na ninachokisimamia kinaeleweka ni kwamba chanzo cha mabinti wengi kuharibika ni wanaume kwa sababu wanaume ndio mnawachezea hawa mabinti, mkiambiwa muache kuwachezea mnadai eti wao ndio wanatakiwa wakitongozwa wakatae utadhani mmeambiwa wao ni malaika halafu mkifika wakati wa kuoa muanze kulalamika eti wanawake hawajitunzi na hawajiheshimu sasa wanaume kama hawa nao unataka tuwaambie nini ilihali wao ndio wameyataka

Unajua unashindwa kutofautisha hivi vitu viwili kumpata mwanamke na kumpata mwanamke unayemtaka ofcourse wanaume wengi hawakosi wanawake ila ni wanaume wachache wanapata wanawake wanaowataka, wanaume wengi sana huwa wanakiri kwamba wako na wanawake fulani kwa sababu tu wamekosa wale wanawake waliowataka na wengine huende mbali zaidi na kuoa wanawake wasiowapenda au hujawahi kusikia hilo, sasa hiyo iko hivyo kwa sababu mwanaume ndiye anayeamua ndoa na ndiye anayetongoza hata wanawake wanaotongoza wanaume huwa hawakosi tena wanaume huwa mnasema kabisa ninyi hamjui kukataa ila ishu ni kwamba hao wanawake watakuwa wamepata wanaume wasiowapenda kama ilivyo kwa wanaume tu

Ukweli ni kwamba huwezi kuhangaika kulalamikia na kupinga jambo ikiwa wewe halikupi maumivu yoyote kwa sababu siku zote asili ya binadamu ni ubinafsi wanaume siku zote wamekuwa wakiwaaminisha wanawake kwamba wakifanya maovu ni wao ndio wanaumia kulingana na maumbile yao, ila cha ajabu wanaume hao hao ndio wanaongoza kulalamikia maovu ya wanawake kuliko wanawake wanavyolalamikia maovu ya wanaume sasa ni nani anaumia zaidi hapo, ni wazi wanaume ndio wanaumia na kukosa furaha kwa sababu wanakosa wanawake wema wa kuwaoa na kufanya nao maisha yenye amani na utulivu kitu ambacho ndio wanaume wengi wanakitaka ila wanawake kupata wanaume wema siyo kipaumbele kwao kwa sababu wameshaaminishwa kwamba hakuna mwanaume mwema wanaume wote ni wa kuvumiliwa tu
Kwanza unasema uongo tena uongo ambao ingekuwa mahakamani ungekufunga. Recently tu hapa mimi personally niliandika uzi kukemea tabia ya wanaume kuzaa na wanawake ambao hawapo tayari kuwaoa.

Kuna uzi niliongelea tabia ya wanaume kuwaachia wanawake majukumu ya uzazi kipindi mwanamke akijifungua na ulezi wa watoto na nikatoa suggestions kuwasaidia namna ya kuwa baba active kwa newborn. Plus so many other threads ambazo target ni kuweka ustawi wa mahusiano. Na sipo pekee yangu, kuna mtu kama Robert Heriel Mtibeli hadi huwa nagombana nae muda mwingine kwenye threads zake kwa kukamulia wali wa wanawake nazi nyingi na kuwawekea mchanga kwenye wali wa wanaume sababu nipo sensitive na issue za kupendeleana jinsia na zaidi huwa nashikia bango mwanaume kuwa eneo lake na mwanamke eneo lake la kuwajibika. Sasa wewe unatoka wapi na shuhuda za uongo namna hii? Nenda kwenye profile yangu kasome thread zangu utaelewa.

Kusema wanaume wanachezea wanawake ni half truth unajua maana ya kuchezewa? Mtu hayupo responsible na maamuzi yake unasema anachezewa, since when mtu mzima wa miaka 18 anachezewa akili bila ridhaa yake? Wewe hapa mtu akisema anataka akupe hela mkafanye ngono unakubaliana nae? It means upo responsible na maamuzi yako, sasa how comes unatetea wanawake ambao hawapo responsible kama wewe? It means umechagua kuwa "devil's advocate", ukimtetea shetani kipigo kinakuhusu. Hakuna mwanaume anachezea mwanamke ila kuna wanaume ambao wanapenda kufurahisha miili yao na wanawake wasio wajibika na maamuzi yao. In this narrative unaamini wanawake ni viumbe dhaifu ambao hawana uwezo wa kujua kuwa wanadanganywa au kurubuniwa yet unaamini mwanamke anaweza kuongoza wizara na taifa , hii ni akili ya namna gani ninyi mafeminist? [emoji848]

Kuhusu hii kuoa mtu mtu ambaye mtu anamtaka hukuona kule juu mleta uzi alisemea hili aliposema kuwa ninyi wanawake huwa mnapoanza mahusiano huwa mnakuwa wataratibu na kuigiza kuwa na haiba nzuri but mkishaingia ndoani mnabadilika na ndio sababu ya Wanaume kutoka nje ama kuwataliki au kuwaachia hewani wakiwatelekeza jitihada za kuwarekebisha zikishindikana? [emoji848] Still bado unakataa kuwa hakuna wanawake wanaokosa wanawake hivi una uhakika na unachosema au unaleta ligi, mimi siongei vya kubashiri ni vitu vipo mtaani, pita majumba ya kupanga haya utakutana na wanawake wanaishi wenyewe na watoto zao wanaume wakija wakiona tu mazingira wanasepa sababu wanakwepa kuoa wake za watu na kulea watoto ambao sio damu zao. Nadhani hapa ndipo unapofeli unafocus kushindana badala ya kuelewa na kujifunza au kuelekeza ili kufunza.

Kama hii statement yako ni kweli kwamba huwezi kuhangaika na kupinga jambo ikiwa wewe halikupi maumivu yoyote then basi na viongozi wa kisiasa wanaumizwa na rushwa na matumizi makubwa ya serikali, marekani ni kweli anachukia sana kuona vita mataifa mengine ikiwamo uarabuni, na wachungaji wanachukua sana uovu wa shetani. Kimsingi sio kweli kuwa ni lazima kuchukia na kupinga jambo ambalo linakuumiza muda mwingine ni kujali sana kunasababisha. Wazazi wanapokemea na kupinga watoto wao kufanya matendo fulani huwa si kwa faida yao na wanajua ataekuja umia ni mtoto kwa mzazi inachomuuma ni kuona mtoto anakosea na yeye yupo kumstopisha ila su kweli mzazi ndie atayekuja teseka na madhara ya tabia au mwenendo fulani wa utomvu wa kinidhamu.

Wanaume hatuna hasara pale tunapokutana na mwanamke asiyetuhusu wala kumfahamu akifanya matendo ya hatari na kuharibu future yake sababu akipata magonjwa, kubeba ujauzito, au kudhurika hakuna sehemu wala mamlaka yoyote ya kutuwajibisha kwa uzembe wake. Ila ni ile hali ya kiroho na kinafsi tumeumbiwa kuwalinda, kuwatetea na kuwaongoza wanawake hata kama hatutakuja fanya nao maisha.

Wewe sasa unakuja kusema sisi tunakosea kuwajibika na jinsia ya kike sababu unaumia au haupendi au pengine ndio ule usemi kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake hapendi mwanaume akemee uovu wa tabia mbovu za kike mnataka tukae kimya watoto wa kike waharibike sababu mnajua mwisho wa siku mtalaumu wanaume kwa ujumla wao kuwa ndio wasababishaji. Yaani utiwe mimba Dar halafu mwanaume wa mwanza ambaye ni mume mwema katulia na mkewe na watoto wake na familia yake inakwenda vema akikulaumu kwa uzembe wako wa kutokuwa makini ukasirike na kumjumuisha kuwa yeye na wanaume wote ndivyo mlivyo mnatia mimba wanawake halafu mnawalaumu.
 
Mkuu hapo mwishoni mbona kama umesound inferior hivi vipi na wewe umeanza ngonjera kama huyo mwenzio hujiamini ama, we shusha hoja zako hakuna cha fans wala mashabiki mimi ni jeshi la mtu mmoja huwa siandiki kumfurahisha mtu wala sitafuti support ya watu nasimamia misimamo yangu hata kama dunia nzima ingekuwa kinyume na mimi, na kingine huwa sibishani kutafuta ushindi hii kauli huwa unaipenda sana sijui ni mara ya ngapi hii unaniambia wewe kama hilo ndio lengo lako la kubishana basi ni wewe ila usidhani kila mtu humu anabishana kwa lengo hilo

Kwanza kabisa siyo kila kitu kinahitaji practical experience wengine huwa tunapenda kujifunza kupitia watu wanaotuzunguka siyo lazima hadi tupitie matatizo waliyoyapitia wengine ndio tuone kwamba tunaweza kuyaelezea, kwahiyo leo wanawake type za kina dida wamekuwa queens tena wakati hao ndio kila siku mnakesha kuwatukana na kuwadhalilisha humu na kusema hawafai kuolewa kwa sababu wameshindwa kuishi na wanaume na hakuna zuri wanaloweza kuwashauri wanawake wenzao yani kwa kifupi hao wanawake huwa ndio majalala ya kutupia matusi yenu na kejeli zenu, sasa unaposema lazima niwe nimeexperience maana yake unataka niwe malaya au kahaba nifanye au niolewe na wanaume nchi nzima ndio niweze kujua upumbavu wa wanaume na niweze kujua idadi ya ndoa na talaka au

Sasa kama hamziamini hizo takwimu za serikali si ndio mlete takwimu zenu za kuaminika sasa mbona ninyi mnapinga tu kienyeji, ninyi ndio wale mnaodai wanawake ni wengi kuliko wanaume na kuwaambia watu eti kama unabisha nenda hospitali yoyote uliza katika watoto wanaozaliwa kila siku wangapi wa kike wangapi wa kiume, halafu taasisi zikiingia field kufanya tafiti zao wenyewe na kutoa takwimu mnaanza kuhoji na kupinga kwa kutumia tafiti zenu uchwara za vijiweni badala ya kupinga kwa tafiti halisi
Nimekwambia hivyo kutokana na ujengaji wako wa hoja ulivyo kaa. Unahama hama na kuhamisha magori kwa kila jibu unalopewa so unakuwa kama bondia ambaye ameomba mpambano na Tyson halafu ulingoni anakimbia kimbia na kurukaruka halafu yeye anaita kupigana ndondi.

Nipe mifano mitano serious kuprove kuwa si kila kitu kinahitaji experience na mimi nitakuonyesha bata anayetaga mayai ya gold.

Una fananishaje experience ya kuambiwa na ya kushiriki moja kwa moja kwenye jambo lolote, are you being serious hapa? Yaani unakiri kabisa kuwa unaweza kaa mfano na mama au dada yako akakuelezea experience zake juu ya mahusiano halafu wewe ukabeba zile experience kama ndio ukweli wa maisha yako? [emoji23][emoji23] No wonder basi una haka kaubishi sababu umeprove point yangu kuwa you lack experience na ndio maana arguments zako huwa hazina tamati sababu unabishana na watu ambao wanaongea practical observation ambazo wanaushahidi nazo wa field wewe unakuja kubishana nao illogically kwa hoja za experience ulizochota kwa watu no wonder upo out of context when it comes to reality of these topics, time will teach you alot.

Queen humaanisha heir wa kike wa throne yoyote. Hata kuzimu kuna malkia wake, umeklemisha kuwa Queen ni noble title tu? Haujawahi kusikia Queen sheba, Queen Cleopatra, na Queen Elizabeth Báthory,Queen of South, umeshawahi sikia visanga vyao hawa? So usimeze kuwa Queen humaanisha utakatifu. Kumwita Dida queen wa Marriage na divorce na collector wa engagement na marriage rings [emoji183] kama Thanos nimemaanisha so far kwa watu maarufu hakuna anae mfikia kwa wingi wa idadi ya ndoa na engagement sijasema anachofanya ni kitu cha kuigwa. And yes of course yeye ndio miongoni mwa mifano ya wanawake wa hovyo na kitu cha jamii ulitaka tumpongeze au?

Swali la msingi ni wewe kwann uchague kujifunza experience ya ukahaba na umalaya ukaacha experience ya mke mwema na mama bora wa familia why uchague negative and not positive? Upumbavu wa waume ni reflection ya quality yako ya kitabia kama mwanamke kwenye jamii.

Ukiwa na tabia ya nzuri na haiba ya kupendeza hata mwanaume ambaye ametaliki wake 100 akikupata siku akakukosea ukaomba ridhaa ya kuvunja mahusiano yenu hakika atakulilia ubaki sababu mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake ila mwanamke mwenye hekima ni taji la heshima kwa mumewe na fahari ya baba yake. Ni kipi usichoelewa hapo ewe kijukuu cha Jezebel? [emoji19]

Mimi ni mwanaume nakupa ufahamu wa upande wa kiume ambao kaka yako na baba yako hawataweza kukaa na wewe kitako kukwambia. Ukibisha niambie nani alikufundisha kufanya mapenzi? [emoji848] Si ulikutana na mwanaume ambaye si baba wala kaka yako?

So na haya ya kusema wanaume wanaupumbavu usije tegemea mama, dada, Shangazi au rafiki yako watakwambia ukweli kamili juu ya kinachosababisha mahusiano kuvunjika. Mwanaume haachi mwanamke ila kwa kuona kiburi au kuona mwanaume mwingine yupo ndani ya mke, vingine hivi ni mtagombana tu. Unapobishana au kushindana kauli na mwanaume it means ndani ya nafsi yako kuna uongozi mwingine wa kiume kumshinda yeye. Ndio maana unaweza usiwe msaliti kwa mume ila kauli na ubishi vikakuponza kuachika.

Swala la takwimu ilikuwa sio hoja yangu ingawa nilichangia. Sasa wewe unabisha kuwa wanawake sio wengi kuliko wanaume. Na mtu akisema kaenda hospital kaona rekodi waliozaliwa ni watoto wa kike wengi na wakiume wachache unambishia kwa hoja ipi sasa na kama ni kweli uzao wa kike wapo wengi kuliko uzao wa kiume? [emoji848]

Kwanza mlikuwa mnaongelea swala gani hadi mnafikia takwimu ulizotumia mimi sijaweza kuestablish connection hapo.
 
Kuna aya yoyote katika mada imetaja hilo jina?

Kuhusu picha imetumika kama zinavyotumika picha za kina Clinton na Monica nk, ni picha za ngono tu huwa haziruhusiwi hapa, mada imesindikizwa na hiyo picha, hebu acha ushamba ndugu, hii mada haimhusu Ali
Huyo mleta topic nia yake ni kumrenga waziwazi Ally Kamwe.
 
Back
Top Bottom