Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanamke akijitunza pekee inatosha sababu ni bora mwanaume aliyelala na wanawake wengi akawajua wanawake vema atakuwa na advantage kwenye ndoa kwa kuwa fundi kwa mkewe na kumpa raha za kimwili, kujua namna ya kumuongoza kihisia sababu keshakutana na wanawake tofauti tofauti so anaelewa mbinu za kumcontrol mkewe.

Kinyume chake mwanamke akilala na wanaume wengi maumbile yake huwa yanaharibika kwa kutanuka na kupoteza msisimko wa asili, anaingiliwa na size tofauti so ngumu kujua ipi itampa raha zaidi, mwanamke anaejihusha na wanaume wengi hukosa msisimko wa kuwa na mwanaume m'moja etc. so futa kichwani hilo wazo kuwa wanaume kutokuwa na mwanamke hadi ndoa ni kujitunza. That's women mentality and perceptions juu ya mahusiano and its based on illusions.

Bado nakusisitiza kuwa changamoto yako ni kulinganisha mwanaume na mwanamke eneo la tabia na kudhani wote wana matokeo sawa, you are very wrong on that area. Eneo la mahusiano mwanaume yupo privileged naturally na maisha yamempa hiyo privilege sio mwanadamu au jamii ni nature au MUNGU if you will. Kitendo cha wewe kusema kukemea uovu (sijajua uovu upi haujawa specific) isilenge wanawake tu bali na wanaume wakemewe. Sasa nitakuuliza tena swali, unahisi katika haya maisha ya ngono, kati ya Me na Ke nani yupo katika risk ya kuloose?
emoji848.png
Najua kwa uwezo wako wa kufikiri utasema wote na utaanza kutiririka na hoja zako manufactured from "Jadda Woman Empowerment and Defensive Mechanism Association ". But unasahau kuwa unachokisema sicho kinachotokea katika uhalisia wa maisha na hata takwimu za kiserikali zinaliona hilo na ndio maana hata jina la wizara limeweka neno wanawake la wanaume halipo sababu wameona nani ni victims zaidi.

Kujitunza kwa namna gani unakozungumzia, wewe maumbile ya kiume unayaelewaje kwanza ukiwa ni mwanamke? Ndio maana mnatumia sex kama wepon sababu mnajua. Unajua mwanaume asipofanya wiki tu anaweza baka hata Paka? Tena miaka hii kuna punyeto ndio maana wanaume wengi wanaponea humo ila nje ya hapo ubakaji kwa miaka hii ungekuwa juu sana. Fuatilia takwimu za india kuhusu rape. Kuna mwanaharakati alienda india yakamkuta alibakwa mbele ya mume wake. Huwezi elewa kitu gani kinamkuta mwanaume bila supply nzuri ya sex anakuwaje. Sina haja ya kukuelezea sana ila jua tu kwamba sexually Men and Women wameundwa tofauti sana tena kwa asilimia 90% hiyo 10% ni kufanana eneo la wote kufurahia sex, wote kufika kileleni. Ila hiyo 90% ni tofauti kwa maelfu kuanzia muda wa kufurahia tendo, nguvu ya utamu, speed, duration ya bao, mara ngapi tunataka kwa siku, tunataka kwa watu wangapi na nini kinasababisha tutake kwa watu tofauti, matokeo ya kufanya na watu wengi na tofauti tofauti etc.

Nenda mitandaoni studies za wataalamu zipo zinaelezea haya kwa mapana na marefu. Shida kwako ni hata ukisoma bado utabisha sababu una struggle na kukubali ukweli na ku appreciate the existing differences among gender and sexes.

Tazama feminists wengi maarufu huwa wana mwisho gani utaelewa ninachomaanisha na kwanini wewe binafsi unaonekana kugombana na kila mwanaume anayekuja kukuelekeza kwa hoja za uhalisia wewe ukitumia fabricated facts.

Nikukumbushe tu every Truth is a fact but not every fact is true.

Kwanza unasema uongo tena uongo ambao ingekuwa mahakamani ungekufunga. Recently tu hapa mimi personally niliandika uzi kukemea tabia ya wanaume kuzaa na wanawake ambao hawapo tayari kuwaoa.

Kuna uzi niliongelea tabia ya wanaume kuwaachia wanawake majukumu ya uzazi kipindi mwanamke akijifungua na ulezi wa watoto na nikatoa suggestions kuwasaidia namna ya kuwa baba active kwa newborn. Plus so many other threads ambazo target ni kuweka ustawi wa mahusiano. Na sipo pekee yangu, kuna mtu kama Robert Heriel Mtibeli hadi huwa nagombana nae muda mwingine kwenye threads zake kwa kukamulia wali wa wanawake nazi nyingi na kuwawekea mchanga kwenye wali wa wanaume sababu nipo sensitive na issue za kupendeleana jinsia na zaidi huwa nashikia bango mwanaume kuwa eneo lake na mwanamke eneo lake la kuwajibika. Sasa wewe unatoka wapi na shuhuda za uongo namna hii? Nenda kwenye profile yangu kasome thread zangu utaelewa.

Kusema wanaume wanachezea wanawake ni half truth unajua maana ya kuchezewa? Mtu hayupo responsible na maamuzi yake unasema anachezewa, since when mtu mzima wa miaka 18 anachezewa akili bila ridhaa yake? Wewe hapa mtu akisema anataka akupe hela mkafanye ngono unakubaliana nae? It means upo responsible na maamuzi yako, sasa how comes unatetea wanawake ambao hawapo responsible kama wewe? It means umechagua kuwa "devil's advocate", ukimtetea shetani kipigo kinakuhusu. Hakuna mwanaume anachezea mwanamke ila kuna wanaume ambao wanapenda kufurahisha miili yao na wanawake wasio wajibika na maamuzi yao. In this narrative unaamini wanawake ni viumbe dhaifu ambao hawana uwezo wa kujua kuwa wanadanganywa au kurubuniwa yet unaamini mwanamke anaweza kuongoza wizara na taifa , hii ni akili ya namna gani ninyi mafeminist?
emoji848.png


Kuhusu hii kuoa mtu mtu ambaye mtu anamtaka hukuona kule juu mleta uzi alisemea hili aliposema kuwa ninyi wanawake huwa mnapoanza mahusiano huwa mnakuwa wataratibu na kuigiza kuwa na haiba nzuri but mkishaingia ndoani mnabadilika na ndio sababu ya Wanaume kutoka nje ama kuwataliki au kuwaachia hewani wakiwatelekeza jitihada za kuwarekebisha zikishindikana?
emoji848.png
Still bado unakataa kuwa hakuna wanawake wanaokosa wanawake hivi una uhakika na unachosema au unaleta ligi, mimi siongei vya kubashiri ni vitu vipo mtaani, pita majumba ya kupanga haya utakutana na wanawake wanaishi wenyewe na watoto zao wanaume wakija wakiona tu mazingira wanasepa sababu wanakwepa kuoa wake za watu na kulea watoto ambao sio damu zao. Nadhani hapa ndipo unapofeli unafocus kushindana badala ya kuelewa na kujifunza au kuelekeza ili kufunza.

Kama hii statement yako ni kweli kwamba huwezi kuhangaika na kupinga jambo ikiwa wewe halikupi maumivu yoyote then basi na viongozi wa kisiasa wanaumizwa na rushwa na matumizi makubwa ya serikali, marekani ni kweli anachukia sana kuona vita mataifa mengine ikiwamo uarabuni, na wachungaji wanachukua sana uovu wa shetani. Kimsingi sio kweli kuwa ni lazima kuchukia na kupinga jambo ambalo linakuumiza muda mwingine ni kujali sana kunasababisha. Wazazi wanapokemea na kupinga watoto wao kufanya matendo fulani huwa si kwa faida yao na wanajua ataekuja umia ni mtoto kwa mzazi inachomuuma ni kuona mtoto anakosea na yeye yupo kumstopisha ila su kweli mzazi ndie atayekuja teseka na madhara ya tabia au mwenendo fulani wa utomvu wa kinidhamu.

Wanaume hatuna hasara pale tunapokutana na mwanamke asiyetuhusu wala kumfahamu akifanya matendo ya hatari na kuharibu future yake sababu akipata magonjwa, kubeba ujauzito, au kudhurika hakuna sehemu wala mamlaka yoyote ya kutuwajibisha kwa uzembe wake. Ila ni ile hali ya kiroho na kinafsi tumeumbiwa kuwalinda, kuwatetea na kuwaongoza wanawake hata kama hatutakuja fanya nao maisha.

Wewe sasa unakuja kusema sisi tunakosea kuwajibika na jinsia ya kike sababu unaumia au haupendi au pengine ndio ule usemi kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake hapendi mwanaume akemee uovu wa tabia mbovu za kike mnataka tukae kimya watoto wa kike waharibike sababu mnajua mwisho wa siku mtalaumu wanaume kwa ujumla wao kuwa ndio wasababishaji. Yaani utiwe mimba Dar halafu mwanaume wa mwanza ambaye ni mume mwema katulia na mkewe na watoto wake na familia yake inakwenda vema akikulaumu kwa uzembe wako wa kutokuwa makini ukasirike na kumjumuisha kuwa yeye na wanaume wote ndivyo mlivyo mnatia mimba wanawake halafu mnawalaumu.

Nimekwambia hivyo kutokana na ujengaji wako wa hoja ulivyo kaa. Unahama hama na kuhamisha magori kwa kila jibu unalopewa so unakuwa kama bondia ambaye ameomba mpambano na Tyson halafu ulingoni anakimbia kimbia na kurukaruka halafu yeye anaita kupigana ndondi.

Nipe mifano mitano serious kuprove kuwa si kila kitu kinahitaji experience na mimi nitakuonyesha bata anayetaga mayai ya gold.

Una fananishaje experience ya kuambiwa na ya kushiriki moja kwa moja kwenye jambo lolote, are you being serious hapa? Yaani unakiri kabisa kuwa unaweza kaa mfano na mama au dada yako akakuelezea experience zake juu ya mahusiano halafu wewe ukabeba zile experience kama ndio ukweli wa maisha yako?
emoji23.png
emoji23.png
No wonder basi una haka kaubishi sababu umeprove point yangu kuwa you lack experience na ndio maana arguments zako huwa hazina tamati sababu unabishana na watu ambao wanaongea practical observation ambazo wanaushahidi nazo wa field wewe unakuja kubishana nao illogically kwa hoja za experience ulizochota kwa watu no wonder upo out of context when it comes to reality of these topics, time will teach you alot.

Queen humaanisha heir wa kike wa throne yoyote. Hata kuzimu kuna malkia wake, umeklemisha kuwa Queen ni noble title tu? Haujawahi kusikia Queen sheba, Queen Cleopatra, na Queen Elizabeth Báthory,Queen of South, umeshawahi sikia visanga vyao hawa? So usimeze kuwa Queen humaanisha utakatifu. Kumwita Dida queen wa Marriage na divorce na collector wa engagement na marriage rings
emoji183.png
kama Thanos nimemaanisha so far kwa watu maarufu hakuna anae mfikia kwa wingi wa idadi ya ndoa na engagement sijasema anachofanya ni kitu cha kuigwa. And yes of course yeye ndio miongoni mwa mifano ya wanawake wa hovyo na kitu cha jamii ulitaka tumpongeze au?

Swali la msingi ni wewe kwann uchague kujifunza experience ya ukahaba na umalaya ukaacha experience ya mke mwema na mama bora wa familia why uchague negative and not positive? Upumbavu wa waume ni reflection ya quality yako ya kitabia kama mwanamke kwenye jamii.

Ukiwa na tabia ya nzuri na haiba ya kupendeza hata mwanaume ambaye ametaliki wake 100 akikupata siku akakukosea ukaomba ridhaa ya kuvunja mahusiano yenu hakika atakulilia ubaki sababu mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake ila mwanamke mwenye hekima ni taji la heshima kwa mumewe na fahari ya baba yake. Ni kipi usichoelewa hapo ewe kijukuu cha Jezebel?
emoji19.png


Mimi ni mwanaume nakupa ufahamu wa upande wa kiume ambao kaka yako na baba yako hawataweza kukaa na wewe kitako kukwambia. Ukibisha niambie nani alikufundisha kufanya mapenzi?
emoji848.png
Si ulikutana na mwanaume ambaye si baba wala kaka yako?

So na haya ya kusema wanaume wanaupumbavu usije tegemea mama, dada, Shangazi au rafiki yako watakwambia ukweli kamili juu ya kinachosababisha mahusiano kuvunjika. Mwanaume haachi mwanamke ila kwa kuona kiburi au kuona mwanaume mwingine yupo ndani ya mke, vingine hivi ni mtagombana tu. Unapobishana au kushindana kauli na mwanaume it means ndani ya nafsi yako kuna uongozi mwingine wa kiume kumshinda yeye. Ndio maana unaweza usiwe msaliti kwa mume ila kauli na ubishi vikakuponza kuachika.

Swala la takwimu ilikuwa sio hoja yangu ingawa nilichangia. Sasa wewe unabisha kuwa wanawake sio wengi kuliko wanaume. Na mtu akisema kaenda hospital kaona rekodi waliozaliwa ni watoto wa kike wengi na wakiume wachache unambishia kwa hoja ipi sasa na kama ni kweli uzao wa kike wapo wengi kuliko uzao wa kiume?
emoji848.png


Kwanza mlikuwa mnaongelea swala gani hadi mnafikia takwimu ulizotumia mimi sijaweza kuestablish connection hapo.
Sasa ndugu yangu mbona unaji contradict tena yani unasema wanawake wajitunze halafu hapo hapo unasema wanaume wakifanya na wanawake wengi ni sawa ili wapate ufundi mara sijui wanaume hawawezi kuishi bila sex na blah blah nyingine wewe napata mashaka na uelewa wako kwa sababu umerudia jambo hilo hilo nililotoka kusema kwenye ile comment yangu uliyoiquote, yani ndio hicho nilichokisema kwamba kama wanawake wote wakiamua kujitunza kama mnavyotaka je wanaume watafanya na kina nani hebu nijibu hapa tuje kwenye uhalisia sasa huo ufundi unaosema na sijui porojo gani wanaume watapatia wapi ikiwa wanawake wote wamejitunza au hukuelewa hoja yangu, hapa ndio naweza kusema wanaume hamjui mnachotaka yani mnataka wanawake wajitunze mpaka ndoa halafu hapo hapo bado mnataka wanawake wa kufanya nao umalaya kwa sababu hamuwezi kukaa bila sex hivi wewe mwenyewe umeelewa hata ulichokiandika kweli au mradi tu ubishane

Wewe unasema kwamba wanawake hawawezi kuchezewa sababu wana maamuzi yao sijui wasikubali kudanganywa hivi unadhani wanaume wote wanaotongoza wanawake wanawaambia ukweli kwamba lengo lao ni kuwachezea mbona kama hapo umejitoa ufahamu ina maana wewe hujui kwamba kuna wanaume wengi wanaojivika ngozi za kondoo kumbe ni chui, hujifanya wanatongoza kwa nia njema tu na huingia kwa gia ya kwamba watawaoa hao wanawake kumbe lengo lao ni kula na kusepa tu yani mtu anamuambia binti mimi siwezi kukuoa bila kuonja mzigo vinginevyo tuachane tu na ofcourse dunia ya leo hakuna mwanaume anayekubali kuoa bila kula mzigo wenyewe mnadai hamuwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia na hapo umetoka kusema hamuwezi kuishi bila sex, haya sasa mfano wakija wanaume 60 80 na kuendelea wote huyo binti wanamuambia hivyo hivyo unadhani binti ataendelea kuwakatalia huku umri ukizidi kuenda na yuko tu na bikira yake na hapo kumbuka tumeassume kwamba wanawake wote wamejitunza ili waje waolewe enhe hao wanaume wataenda kufanya na kina nani

Mimi sijalazimisha usawa kati ya wanaume na wanawake ila ninyi ndio mnalazimisha utofauti usiokuwepo kiasi kwamba mnatengeneza theories na perceptions ambazo ni illogical na unrealistic juu ya wanawake yani mimi ninachowashangaa wanaume wengi hasa wa kiafrika ni ile kukwepa kuwa responsible kwa maovu waliyofanya yani ninyi mnataka kufanya maovu mnavyojisikia halafu mget away with it just like that kwa kisingizio kwamba jinsia na maumbile yenu vinawabeba, mimi nasema hivi kama mnataka wanawake wajitunze ili ninyi mkitaka kuoa mje mpate wake wema basi maana yake na ninyi mkubali kutokufanya na wanawake kabla ya ndoa kwa sababu ninyi ndio wenye shida ya kuoa wake wema na siyo wanawake ndio wenye shida ya kuolewa na waume wema wao hawaangalii tabia maana wanajua tabia njema siyo sifa ya kwanza ya mwanaume na kama mnaona hamuwezi basi ndio msiwalaumu wanawake sasa, bali kubalini matokeo ya kufurahia uzinzi ninyi fanyeni umalaya wenu mnavyojisikia ila mkae mkijua ukifika wakati mnataka kuoa wanawake ndio hao hao wala msifikiri mtaumbiwa wengine na hata mkisema mtaoa vibinti kwamba huko ndio mtakuta bikira basi labda mkaoe wanafunzi wa shule za msingi maana hivyo vibinti vyenyewe siku hizi vinarubuniwa mapema na ninyi ninyi wanaume halafu mnalia ati wanawake wameharibika what kind of joke is this

Kuhusu wanawake kukosa wanaume nadhani hujanielewa nimesema hivi wanawake wanakosa wanaume kwa sababu mwanaume ndiye anayeamua ndoa na ndiye anayetongoza lakini mwanamke naye akiamua kutongoza wanaume hawezi kukosa mwanaume wa kuwa naye ila tu ni kwamba ana asilimia kuwa za kupata mwanaume ambaye hajampenda kwahiyo hao wanawake waliokosa wanaume ni kwamba hawajaamua kutongoza sababu hawataki kuwa na wanaume wasiowapenda, na kinachowafanya wanawake waweze kuishi bila wanaume ni kwamba wanaweza kukaa muda mrefu bila kufanya ngono tofauti na ninyi wanaume ambao hamuwezi kwahiyo mnajikuta mnatembea hadi na wanawake msiowapenda mradi tu mpate pa kumalizia haja zenu kwahiyo kwa mantiki hiyo mwanaume hawezi kukosa mwanamke ila atakosa mwanamke mwenye sifa zote anazozitaka, sasa unabisha nini wakati wanaume wengi tu wanakiri wenyewe kwamba wanaoa wanawake ambao hawana sifa zote wanazozitaka unakuta mwanaume anaoa mwanamke fulani kwa sababu tu anaona ndio ana uafadhali kuliko wengine anaowajua lakini siyo kwamba huyo anayemuoa ndio kampenda ila wengi huenda kujifunza kuwapenda huko huko kwenye ndoa endapo tabia zao kadhaa zitawaridhisha na wanaume wengi husema wanashindwa kuoa wanawake wanaowapenda maana huwa wanakataliwa kwa sababu kadhaa zikiwemo za kimuonekano au za kiuchumi nk

Nasema hivi hakuna mtu ambaye anaweza kulalamikia jambo ambalo halimnufaishi tena hao wote uliowataja hapo ndio kabisa wanakemea mambo ambayo yanawanufaisha tu serikali inakemea rushwa kwa sababu wananchi wakiacha rushwa serikali itanufaika na mapato, marekani inakemea vita sababu hizo nchi zikiacha vita wote tunajua yeye kuna namna atanufaika tena marekani ukiona ameonesha interest kwenye jambo fulani ujue lazima ana maslahi kwenye hilo jambo, same applies to viongozi wa dini wanapokemea maovu wananufaika na sadaka toka kwa waumini hakuna mtu anayeweza fanya hiyo kazi bure hivyo hiyo mifano yako ni dhaifu, na ndio maana nawashangaa ninyi wanaume mnaposema eti hamnufaiki na jamii yenye wanawake wema eti mnakemea kwa upendo na huruma ili kuwasaidia, kama kweli mngekuwa na upendo na huruma basi mngeanza kuvionesha huku ujanani kabla hamjaoa kwa kuacha kuwatongoza mabinti wa watu kwa lengo la kuwachezea halafu eti mkifikia kutaka kuoa ndio muanze kuwakejeli na kuwatukana kwa kisingizio cha kwamba ninyi hamna hasara jinsia yenu inawabeba sasa huo ni msaada au unafiki tu ndio maana tunasema hakuna msaada hapo bali mna maslahi yenu binafsi tu

Kuhusu hayo masuala ya mimi kuwa au kutokuwa na experience hebu achana nayo tu kwa sababu hatupo hapa kudiscuss personal issues bali general matters zinazoihusu jamii kwa ujumla maana naona ni kama umepata kichaka cha kujifichia sasa yani unashusha gazeti zima unanidescribe mimi kutokuwa na experience sijui blah blah gani so just cut the whole crap, mimi mbona sijataka kujua personal issues zako pamoja na kwamba naona kabisa kuna mambo unaandika kwa kutumia mihemko tu huna experience yoyote na unatoka nje ya uhalisia, mimi nawaambia hivi kama kweli wanaume lengo lenu ni kuleta ustawi wa jamii basi anzeni ninyi kubadilika kwa sababu hii njia mnayotumia ya kuwatukana na kuwadhalilisha wanawake imesha prove failure, na ndio kwanza wanawake wanazidisha maovu hakuna dalili zozote za wao kubadilika na hivyo vizazi vinavyokuja hali ndio itakuwa mbaya zaidi, so kama mmeona wanawake hawajitambui ninyi ndio mnaojitambua basi ni either muanze kubadilika ninyi au mkubaliane na hali halisi kwamba dunia ndio imeshabadilika and the so called 'nature' will not be of any help maana wanaume kila kitu mnaisingizia nature hata kwa ujinga wenu so ifike pahala mchague moja hamuwezi kupata yote

Kuhusu wanaume wanaokemea maovu ya wanaume wenzao ule uzi wako niliuona ila itoshe tu kusema wewe bado hukemei maovu ya wanaume unazuga tu na mfano mzuri ni hizi comments zako tena ndio kwanza umezidi kutetea maovu yenu, na kuhusu hiyo mada ya takwimu sasa mbona ulidandia bila kuelewa mimi nilikuwa namuambia huyo jamaa kwamba pamoja na maovu ya wanawake ila wanaume bado kila siku wanaendelea kuoa yeye akadai kwamba mbona na talaka pia zinazidi kuongezeka ndio nikamuambia anipe takwimu za kuaminika zinazoonesha idadi ya ndoa zinazofungwa na idadi ya talaka zinazotolewa kila mwaka, yeye akanipa eti mifano ya watu wawili watatu wa kijijini kwao akiwemo yeye mwenyewe kwamba naye ametoka kutalikiana na mke wake mimi nikampa takwimu za rita anajifanya eti haamini takwimu za serikali wakati yeye mwenyewe hajaleta takwimu zozote za kuaminika kabaki anarukaruka hadi sasa na wewe naye naona umeungana naye kwenye kuleta porojo bila kuweka takwimu zozote
 
Hizo zote umeanzisha wewe kwa kufanya mjadala wa ligi na sio kujifunza, kuna usemi usemao .. Ukiwa kwa myunani tenda kama myunani atendavyo....

Let's continue na ligi yako shangazi.

Takwimu nimeshakupa ukazikataa kwamba ni za kijijini nitokako mie... Nini tena unataka? If you want to remarried find the correct one.
Wewe si ndio ulianza oo shangazi una gubu, dharau, chuki, jazba, mara malaya mara kahaba sasa hizo kama siyo taarabu ni nini wewe ulitaka nijifunze nini toka kwako, mimi nikijadiliana na mtu sinaga muda wa kumletea personal attacks za kipuuzi huwa simshambulii mtoa hoja najadili hoja tu ila ukinianza namaliza, hizo takwimu chanzo chake ni kipi na je ni chanzo cha kuaminika au ndio ninyi wazee wa "niamini mimi bro" na "uliza uambiwe" wewe huna hoja yoyote yani unavyozidi kuendelea kujibishana ndivyo unavyozidi kudhihirisha ujinga wako
 
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.

Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.

Wanaume tuache ujinga.

View attachment 2989182
Utandawazi unatuaharibu sana tamaduni zetu
 
wewe huna hoja yoyote yani unavyozidi kuendelea kujibishana ndivyo unavyozidi kudhihirisha ujinga wako
Hata wewe huna hoja yoyote, la ziada linalojidhihirisha kwako kwa uwazi bila chenga huna msimamo wowote.
 
Sasa ndugu yangu mbona unaji contradict tena yani unasema wanawake wajitunze halafu hapo hapo unasema wanaume wakifanya na wanawake wengi ni sawa ili wapate ufundi mara sijui wanaume hawawezi kuishi bila sex na blah blah nyingine wewe napata mashaka na uelewa wako kwa sababu umerudia jambo hilo hilo nililotoka kusema kwenye ile comment yangu uliyoiquote, yani ndio hicho nilichokisema kwamba kama wanawake wote wakiamua kujitunza kama mnavyotaka je wanaume watafanya na kina nani hebu nijibu hapa tuje kwenye uhalisia sasa huo ufundi unaosema na sijui porojo gani wanaume watapatia wapi ikiwa wanawake wote wamejitunza au hukuelewa hoja yangu, hapa ndio naweza kusema wanaume hamjui mnachotaka yani mnataka wanawake wajitunze mpaka ndoa halafu hapo hapo bado mnataka wanawake wa kufanya nao umalaya kwa sababu hamuwezi kukaa bila sex hivi wewe mwenyewe umeelewa hata ulichokiandika kweli au mradi tu ubishane

Wewe unasema kwamba wanawake hawawezi kuchezewa sababu wana maamuzi yao sijui wasikubali kudanganywa hivi unadhani wanaume wote wanaotongoza wanawake wanawaambia ukweli kwamba lengo lao ni kuwachezea mbona kama hapo umejitoa ufahamu ina maana wewe hujui kwamba kuna wanaume wengi wanaojivika ngozi za kondoo kumbe ni chui, hujifanya wanatongoza kwa nia njema tu na huingia kwa gia ya kwamba watawaoa hao wanawake kumbe lengo lao ni kula na kusepa tu yani mtu anamuambia binti mimi siwezi kukuoa bila kuonja mzigo vinginevyo tuachane tu na ofcourse dunia ya leo hakuna mwanaume anayekubali kuoa bila kula mzigo wenyewe mnadai hamuwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia na hapo umetoka kusema hamuwezi kuishi bila sex, haya sasa mfano wakija wanaume 60 80 na kuendelea wote huyo binti wanamuambia hivyo hivyo unadhani binti ataendelea kuwakatalia huku umri ukizidi kuenda na yuko tu na bikira yake na hapo kumbuka tumeassume kwamba wanawake wote wamejitunza ili waje waolewe enhe hao wanaume wataenda kufanya na kina nani

Mimi sijalazimisha usawa kati ya wanaume na wanawake ila ninyi ndio mnalazimisha utofauti usiokuwepo kiasi kwamba mnatengeneza theories na perceptions ambazo ni illogical na unrealistic juu ya wanawake yani mimi ninachowashangaa wanaume wengi hasa wa kiafrika ni ile kukwepa kuwa responsible kwa maovu waliyofanya yani ninyi mnataka kufanya maovu mnavyojisikia halafu mget away with it just like that kwa kisingizio kwamba jinsia na maumbile yenu vinawabeba, mimi nasema hivi kama mnataka wanawake wajitunze ili ninyi mkitaka kuoa mje mpate wake wema basi maana yake na ninyi mkubali kutokufanya na wanawake kabla ya ndoa kwa sababu ninyi ndio wenye shida ya kuoa wake wema na siyo wanawake ndio wenye shida ya kuolewa na waume wema wao hawaangalii tabia maana wanajua tabia njema siyo sifa ya kwanza ya mwanaume na kama mnaona hamuwezi basi ndio msiwalaumu wanawake sasa, bali kubalini matokeo ya kufurahia uzinzi ninyi fanyeni umalaya wenu mnavyojisikia ila mkae mkijua ukifika wakati mnataka kuoa wanawake ndio hao hao wala msifikiri mtaumbiwa wengine na hata mkisema mtaoa vibinti kwamba huko ndio mtakuta bikira basi labda mkaoe wanafunzi wa shule za msingi maana hivyo vibinti vyenyewe siku hizi vinarubuniwa mapema na ninyi ninyi wanaume halafu mnalia ati wanawake wameharibika what kind of joke is this

Kuhusu wanawake kukosa wanaume nadhani hujanielewa nimesema hivi wanawake wanakosa wanaume kwa sababu mwanaume ndiye anayeamua ndoa na ndiye anayetongoza lakini mwanamke naye akiamua kutongoza wanaume hawezi kukosa mwanaume wa kuwa naye ila tu ni kwamba ana asilimia kuwa za kupata mwanaume ambaye hajampenda kwahiyo hao wanawake waliokosa wanaume ni kwamba hawajaamua kutongoza sababu hawataki kuwa na wanaume wasiowapenda, na kinachowafanya wanawake waweze kuishi bila wanaume ni kwamba wanaweza kukaa muda mrefu bila kufanya ngono tofauti na ninyi wanaume ambao hamuwezi kwahiyo mnajikuta mnatembea hadi na wanawake msiowapenda mradi tu mpate pa kumalizia haja zenu kwahiyo kwa mantiki hiyo mwanaume hawezi kukosa mwanamke ila atakosa mwanamke mwenye sifa zote anazozitaka, sasa unabisha nini wakati wanaume wengi tu wanakiri wenyewe kwamba wanaoa wanawake ambao hawana sifa zote wanazozitaka unakuta mwanaume anaoa mwanamke fulani kwa sababu tu anaona ndio ana uafadhali kuliko wengine anaowajua lakini siyo kwamba huyo anayemuoa ndio kampenda ila wengi huenda kujifunza kuwapenda huko huko kwenye ndoa endapo tabia zao kadhaa zitawaridhisha na wanaume wengi husema wanashindwa kuoa wanawake wanaowapenda maana huwa wanakataliwa kwa sababu kadhaa zikiwemo za kimuonekano au za kiuchumi nk

Nasema hivi hakuna mtu ambaye anaweza kulalamikia jambo ambalo halimnufaishi tena hao wote uliowataja hapo ndio kabisa wanakemea mambo ambayo yanawanufaisha tu serikali inakemea rushwa kwa sababu wananchi wakiacha rushwa serikali itanufaika na mapato, marekani inakemea vita sababu hizo nchi zikiacha vita wote tunajua yeye kuna namna atanufaika tena marekani ukiona ameonesha interest kwenye jambo fulani ujue lazima ana maslahi kwenye hilo jambo, same applies to viongozi wa dini wanapokemea maovu wananufaika na sadaka toka kwa waumini hakuna mtu anayeweza fanya hiyo kazi bure hivyo hiyo mifano yako ni dhaifu, na ndio maana nawashangaa ninyi wanaume mnaposema eti hamnufaiki na jamii yenye wanawake wema eti mnakemea kwa upendo na huruma ili kuwasaidia, kama kweli mngekuwa na upendo na huruma basi mngeanza kuvionesha huku ujanani kabla hamjaoa kwa kuacha kuwatongoza mabinti wa watu kwa lengo la kuwachezea halafu eti mkifikia kutaka kuoa ndio muanze kuwakejeli na kuwatukana kwa kisingizio cha kwamba ninyi hamna hasara jinsia yenu inawabeba sasa huo ni msaada au unafiki tu ndio maana tunasema hakuna msaada hapo bali mna maslahi yenu binafsi tu

Kuhusu hayo masuala ya mimi kuwa au kutokuwa na experience hebu achana nayo tu kwa sababu hatupo hapa kudiscuss personal issues bali general matters zinazoihusu jamii kwa ujumla maana naona ni kama umepata kichaka cha kujifichia sasa yani unashusha gazeti zima unanidescribe mimi kutokuwa na experience sijui blah blah gani so just cut the whole crap, mimi mbona sijataka kujua personal issues zako pamoja na kwamba naona kabisa kuna mambo unaandika kwa kutumia mihemko tu huna experience yoyote na unatoka nje ya uhalisia, mimi nawaambia hivi kama kweli wanaume lengo lenu ni kuleta ustawi wa jamii basi anzeni ninyi kubadilika kwa sababu hii njia mnayotumia ya kuwatukana na kuwadhalilisha wanawake imesha prove failure, na ndio kwanza wanawake wanazidisha maovu hakuna dalili zozote za wao kubadilika na hivyo vizazi vinavyokuja hali ndio itakuwa mbaya zaidi, so kama mmeona wanawake hawajitambui ninyi ndio mnaojitambua basi ni either muanze kubadilika ninyi au mkubaliane na hali halisi kwamba dunia ndio imeshabadilika and the so called 'nature' will not be of any help maana wanaume kila kitu mnaisingizia nature hata kwa ujinga wenu so ifike pahala mchague moja hamuwezi kupata yote

Kuhusu wanaume wanaokemea maovu ya wanaume wenzao ule uzi wako niliuona ila itoshe tu kusema wewe bado hukemei maovu ya wanaume unazuga tu na mfano mzuri ni hizi comments zako tena ndio kwanza umezidi kutetea maovu yenu, na kuhusu hiyo mada ya takwimu sasa mbona ulidandia bila kuelewa mimi nilikuwa namuambia huyo jamaa kwamba pamoja na maovu ya wanawake ila wanaume bado kila siku wanaendelea kuoa yeye akadai kwamba mbona na talaka pia zinazidi kuongezeka ndio nikamuambia anipe takwimu za kuaminika zinazoonesha idadi ya ndoa zinazofungwa na idadi ya talaka zinazotolewa kila mwaka, yeye akanipa eti mifano ya watu wawili watatu wa kijijini kwao akiwemo yeye mwenyewe kwamba naye ametoka kutalikiana na mke wake mimi nikampa takwimu za rita anajifanya eti haamini takwimu za serikali wakati yeye mwenyewe hajaleta takwimu zozote za kuaminika kabaki anarukaruka hadi sasa na wewe naye naona umeungana naye kwenye kuleta porojo bila kuweka takwimu zozote
Mimi ninajicontradict au unafeli kuconnect concepts logically [emoji848][emoji848][emoji848]



Humo unaposema "sijui" na "blah blah" ndipo kulimo na uzito wa hoja shida ni wewe kukubali kuielewa yaani unakuwa umeshaiambia akili yako kuwa kataa chochote atachosema mwanaume ili ushinde ubishi. Mwanaume kufanya mapenzi na wanawake wengi haiitwi umalaya ni uasherati. Ila anaweza kuoa hata wake kumi na mbili na akishiriki nao inakuwa ni halali. Ila mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya m'moja ni uzinzi na kuwa na mazoea ya kufanya uzinzi ndio huitwa umalaya. Hakunaga mwanaume malaya matumizi mabaya ya misamiati ya kiswahili hayo.

Wanawake wakijitunza hakuna kitakachobadilika upande wa wanaume eneo la kulala na wanawake wengi. Mwanaume still anayo privilege ya kuwa na mwanamke zaidi ya m'moja yaani wake wengi kuanzia wawili hata 20 kama akitaka kulingana na uwezo wake wa kuwamudu matunzo na kuwapa mahaba na haina shida inakubalika na ni mahusiano halali kabisa. Ukibisha lete hoja yako ya msingi why ubishe ukweli usiopingika.

Bado unarudia kosa la kujiaminisha kuwa mwanamke hana akili kitu ambacho mimi sikubaliani nacho. Mwanamke anayo akili ya kujua kama anadanganywa ama kutakwa kiukweli. Shida iliyopo ni wanawake kuwa na tamaa ya vitu kama wanaume walivyo na tamaa ya miili ya hao wanawake.
Unataka kunambia wewe hapo mimi nikikufuata na 50K nikikutaka tukafanye mchezo mbaya kwasababu ya hiyo 50K ila sitaki commitments afterwards ni kukuchezea akili, wewe hauna akili ya kujua hiyo 50K unayopewa itakugharimuje ukiikubali? Kimsingi unajaribu kudeflect ukweli kwamba wanawake wanatamaa na tamaa huwa ndizo zimawaponza na zinawapeleka mikononi mwa matapeli kinyume na hapo utaratibu ni mtoto wa kike mwanaume akikutokea si unamuelekeza kwa wazazi wako kama ana nia why ushindwe kufanya hivyo?

Kwahiyo unayaka kujiaminisha kuwa binti anapotongozwa akitoa unyumba ndio inayomfukuza mwanaume hiyo ndio hoja yako? Shida ni moja, hapa unachanganya topics. Kuna topic ya wanawake kuwapa bikra wahuni (bad boys) halafu miili iliyotumika wanawaletea wastaarabu (Good men). Hata ungekuwa wewe kaka yako utakubali afunge ndoa na mwanamke ambaye ameshawahi kulala na bodaboda na wanaume za watu enzi za ubichi wake halafu akishaanza kuzeeka jumba bovu amletee kaka yako, assume unamjua huyo mwanamke nje ndani?

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba utaratibu unavurugwa na wanawake wenyewe kama tunavyosemaga hapa daily tokea kuumbwa kwa huu ulimwengu mharibifu wa kwanza ni mwanamke pale Eden na haijawahi kuharibika tokea pale hadi leo wanawake ndio chanzo kikubwa cha disorder and misconduct. Kati ya wavulana na wasichana ni nani akisha balehe ana possibility kubwa ya kuanza kujiinvolve na mahusiano na watu waliomzidi umri?

Vibinti vya miaka 15 au 16 vimeshaanza kurukiana na bodaboda umri wa wajomba zao. While vivulana vitaanza kujihusisha na ngono miaka mitano baadae siajabu kwa sasa mvulana anafanya mapenzi kwa mara ya kwanza akiwa na miaka 19 au 20 miaka 4 au mitano baada ya msichana kuwa amenza. Mimi wasichana ambao ni age mates zangu walianza kufanya mapenzi nikiwa darasa la tano sina hata idea ya kufanya mapenzi ni nini. Nakuja kufanya kwa mara ya kwanza nikiwa form three. Unaweza kuelewa sasa ? Mimi muda nikianza kufanya huyo ninaefanya nae tayari kishaingiliwa na wanaume hata watatu halafu ndio unasema nimuoe niweke ndani?

Kwa wastani mwanaume anaoa akiwa umri gani kwa miaka ya sasa si kuanzia 30 huko? Sasa mwanaume atazuia nyege hadi afike 30 unataka atombe godoro litoboke au? Unasema binti ajitunze, wewe hawa mabinti wasasa wanavyoweka rehani nyuchi zao ili wanunuliwe chipsi, simu, nguo na kutolewa out hiyo jeuri ya kujitunza wanatoa wapi?
Kwenye hili hapa unanilaumu au unawalaumu vipi wanaume ambao wameshuhudia mabinti wa rika lao wakilala na wanaume wakubwa kuwazidi, so wao unategemea waje kuoa wanawake ambao hawajitunzi? So , unapata wapi audacity ya kusema wanaume tunachezea wanawake wakati by the time tukibarehe wanawake ambao tulitakuwa kuwaoa wanakuwa tayari wameliwa hawatamaniki na watu waliotuzidi umri, how is that even our fault? Mbona sisi wavulana tukifika balehe hatutombi mashangazi yaliyotuzidi umri wa miaka 10 mbele au 15 but mabinti balehe zikianza tu analala na mwanaume rika la kaka yake au baba yake hapo utamlaumu vipi kijana ambaye wanaringana lika na alitakiwa kumsubiria akue nae wafunge ndoa wakiwa bikra? Kwa kifupi, mabinti wa sasa wanaoffer bikra zao kwa watu waliowazidi umri kwa tamaa zao na sio kwasababu wanarubuniwa.

Serikali inakemea vipi rushwa na rushwa inanuka zaidi serikalini kuliko sehemu nyingine yoyote, wewe vipi bana mbona unaongea sana nadharia, ripoti ya CAG umeitazama au maneno matupu? [emoji848]
Marekani amekemea vita gani unayoijua wewe hebu nipe mifano hai acha kuniletea habari za kusadikika na hapa ndipo mimi huwa nashindwa kukuelewa sababu unakuwa na hoja za kufabricate sana. Hebu soma vema unachoandika nakunukuu ukisema "na ndio maana nawashangaa ninyi wanaume mnaposema eti hamnufaiki na jamii yenye wanawakd wema". Unaona akili zako, yaani unasema wanaume tulikwambia kuwa hatunufaiki na wanawake wenye maadili, yet tunakemea sana ukosefu wa maadili, sasa hapo umejaribu kusema kitu gani? [emoji848] Wanaume tunataka wanawake wema na wenye maadili maana ndio tunaowahitaji kwenye ndoa why iwe kinyume chake? Na kwa upande mwingine tunakemea uovu wa wanawake sababu ni jukumu letu kuilinda na kushape jamii dhidi yenu ninyi mawakala wa ufreemason yaani mafeminist.

Kusema wewe hauna experience ni kutokana na the way unajipresent tayari una expose personality yako iweze kujadiliwa na usichukulie kuwa mimi nakuattack kwasababu ya any personal ajenda.
Hebu point out ni maeneo gani ambayo nimetumia mihemuko na hisia kama unavyosema hapa?
Au unataka tuanze kureveal personal life experience hapa ndio ujue sehemu ya tunayosema hapa mtandaoni ni maisha tuliyoishi na tunayoendelea kuishi?
Wewe umeshawahi kubeba ujauzito mara kadhaa na kupata watoto na mwanaume au kuishi na mwanaume kinyumba, sasa hivi unaishi kwenye ndoa? Una watoto, una ukweni? Jibu haya maswali then nikuonyeshe level ya maisha uliyopo. Wenzako ambao wanaishi hayo maisha wanasoma hapa hawasemi kitu. Wewe ambaye upo at 0 level experience unaleta ligi, sijui nikueleweje?

Sasa kama umeziona hizo nyuzi na unakuja hapa kusema kuwa hatukemei kabisa maovu na baada ya kukuexpose kuwa nyuzi zipo then unabadilika na kusema hatukemei vizuri hivi wewe unakuwa ni msomi, mwanaharakati, au kiumbe wa aina gani aisee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani unashuhudia kuwa haujaona kitu then nakujuza kuwa kipo unakwenda kucheki then unarudi na kubadilisha statement yako ukisema kile kitu hakijakufurahisha ulitaka tufanye zaidi ya pale so unataka tufanyaje tutukane matusi ya nguoni ili nafsi yako isuuzike, unajua maana ya neno kukemea au ulitaka tuandike uzi mzima kwa herufi kubwa? [emoji23]
So unaweza kujionea so far we ni mwana JF wa aina gani, umejionyesha mwenyewe wazi wazi kuwa unataka vitu na uandishi unaondikwa juu ya topic fulani zireflect mitazamo yako of which huo sio uungwana na wala sio namna sahihi ya kutatua tatizo.

Wewe unataka tutumie lugha za matusi, kali, au lugha gani kuwakemea wanaume na wakati ukisoma hata comments utaona wenyewe wanakasirika kuambiwa ukweli ila unakuja hapa na kuongea hizi hoja na kutoa shuhuda za uongo kabisa mchana kweupe.
Me naanza kususpect wewe sio tu Toxic feminist bali ni HARDCORE MISANDRIST. I have a personal experience na watu wa kaliba yako. Huwa mnachukia wanaume with passion and you have an inheritedly motive ya kutaint na defamate male title at large.
Na ndio maana ukiona topic za wanaume kukanda tabia za wanawake kwako inakuja kwa tafasiri ya vita unaona kama umetangaziwa vita halafu ukiwa exposed unakimbilia kusema watu wanakuattack personally. How can it not be personal if wewe unakuwa na misguided hatred motive towards Men in general?

Kama kuna ubaya ulifanyiwa na wanaume that's your personal invoice don't make everymen pay your X's dues don't make it about every Man, no body hates you so why hate others in general with passion?

Stop Men hating bana you are becoming irrelevant.
 
Sasa ndugu yangu mbona unaji contradict tena yani unasema wanawake wajitunze halafu hapo hapo unasema wanaume wakifanya na wanawake wengi ni sawa ili wapate ufundi mara sijui wanaume hawawezi kuishi bila sex na blah blah nyingine wewe napata mashaka na uelewa wako kwa sababu umerudia jambo hilo hilo nililotoka kusema kwenye ile comment yangu uliyoiquote, yani ndio hicho nilichokisema kwamba kama wanawake wote wakiamua kujitunza kama mnavyotaka je wanaume watafanya na kina nani hebu nijibu hapa tuje kwenye uhalisia sasa huo ufundi unaosema na sijui porojo gani wanaume watapatia wapi ikiwa wanawake wote wamejitunza au hukuelewa hoja yangu, hapa ndio naweza kusema wanaume hamjui mnachotaka yani mnataka wanawake wajitunze mpaka ndoa halafu hapo hapo bado mnataka wanawake wa kufanya nao umalaya kwa sababu hamuwezi kukaa bila sex hivi wewe mwenyewe umeelewa hata ulichokiandika kweli au mradi tu ubishane

Wewe unasema kwamba wanawake hawawezi kuchezewa sababu wana maamuzi yao sijui wasikubali kudanganywa hivi unadhani wanaume wote wanaotongoza wanawake wanawaambia ukweli kwamba lengo lao ni kuwachezea mbona kama hapo umejitoa ufahamu ina maana wewe hujui kwamba kuna wanaume wengi wanaojivika ngozi za kondoo kumbe ni chui, hujifanya wanatongoza kwa nia njema tu na huingia kwa gia ya kwamba watawaoa hao wanawake kumbe lengo lao ni kula na kusepa tu yani mtu anamuambia binti mimi siwezi kukuoa bila kuonja mzigo vinginevyo tuachane tu na ofcourse dunia ya leo hakuna mwanaume anayekubali kuoa bila kula mzigo wenyewe mnadai hamuwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia na hapo umetoka kusema hamuwezi kuishi bila sex, haya sasa mfano wakija wanaume 60 80 na kuendelea wote huyo binti wanamuambia hivyo hivyo unadhani binti ataendelea kuwakatalia huku umri ukizidi kuenda na yuko tu na bikira yake na hapo kumbuka tumeassume kwamba wanawake wote wamejitunza ili waje waolewe enhe hao wanaume wataenda kufanya na kina nani

Mimi sijalazimisha usawa kati ya wanaume na wanawake ila ninyi ndio mnalazimisha utofauti usiokuwepo kiasi kwamba mnatengeneza theories na perceptions ambazo ni illogical na unrealistic juu ya wanawake yani mimi ninachowashangaa wanaume wengi hasa wa kiafrika ni ile kukwepa kuwa responsible kwa maovu waliyofanya yani ninyi mnataka kufanya maovu mnavyojisikia halafu mget away with it just like that kwa kisingizio kwamba jinsia na maumbile yenu vinawabeba, mimi nasema hivi kama mnataka wanawake wajitunze ili ninyi mkitaka kuoa mje mpate wake wema basi maana yake na ninyi mkubali kutokufanya na wanawake kabla ya ndoa kwa sababu ninyi ndio wenye shida ya kuoa wake wema na siyo wanawake ndio wenye shida ya kuolewa na waume wema wao hawaangalii tabia maana wanajua tabia njema siyo sifa ya kwanza ya mwanaume na kama mnaona hamuwezi basi ndio msiwalaumu wanawake sasa, bali kubalini matokeo ya kufurahia uzinzi ninyi fanyeni umalaya wenu mnavyojisikia ila mkae mkijua ukifika wakati mnataka kuoa wanawake ndio hao hao wala msifikiri mtaumbiwa wengine na hata mkisema mtaoa vibinti kwamba huko ndio mtakuta bikira basi labda mkaoe wanafunzi wa shule za msingi maana hivyo vibinti vyenyewe siku hizi vinarubuniwa mapema na ninyi ninyi wanaume halafu mnalia ati wanawake wameharibika what kind of joke is this

Kuhusu wanawake kukosa wanaume nadhani hujanielewa nimesema hivi wanawake wanakosa wanaume kwa sababu mwanaume ndiye anayeamua ndoa na ndiye anayetongoza lakini mwanamke naye akiamua kutongoza wanaume hawezi kukosa mwanaume wa kuwa naye ila tu ni kwamba ana asilimia kuwa za kupata mwanaume ambaye hajampenda kwahiyo hao wanawake waliokosa wanaume ni kwamba hawajaamua kutongoza sababu hawataki kuwa na wanaume wasiowapenda, na kinachowafanya wanawake waweze kuishi bila wanaume ni kwamba wanaweza kukaa muda mrefu bila kufanya ngono tofauti na ninyi wanaume ambao hamuwezi kwahiyo mnajikuta mnatembea hadi na wanawake msiowapenda mradi tu mpate pa kumalizia haja zenu kwahiyo kwa mantiki hiyo mwanaume hawezi kukosa mwanamke ila atakosa mwanamke mwenye sifa zote anazozitaka, sasa unabisha nini wakati wanaume wengi tu wanakiri wenyewe kwamba wanaoa wanawake ambao hawana sifa zote wanazozitaka unakuta mwanaume anaoa mwanamke fulani kwa sababu tu anaona ndio ana uafadhali kuliko wengine anaowajua lakini siyo kwamba huyo anayemuoa ndio kampenda ila wengi huenda kujifunza kuwapenda huko huko kwenye ndoa endapo tabia zao kadhaa zitawaridhisha na wanaume wengi husema wanashindwa kuoa wanawake wanaowapenda maana huwa wanakataliwa kwa sababu kadhaa zikiwemo za kimuonekano au za kiuchumi nk

Nasema hivi hakuna mtu ambaye anaweza kulalamikia jambo ambalo halimnufaishi tena hao wote uliowataja hapo ndio kabisa wanakemea mambo ambayo yanawanufaisha tu serikali inakemea rushwa kwa sababu wananchi wakiacha rushwa serikali itanufaika na mapato, marekani inakemea vita sababu hizo nchi zikiacha vita wote tunajua yeye kuna namna atanufaika tena marekani ukiona ameonesha interest kwenye jambo fulani ujue lazima ana maslahi kwenye hilo jambo, same applies to viongozi wa dini wanapokemea maovu wananufaika na sadaka toka kwa waumini hakuna mtu anayeweza fanya hiyo kazi bure hivyo hiyo mifano yako ni dhaifu, na ndio maana nawashangaa ninyi wanaume mnaposema eti hamnufaiki na jamii yenye wanawake wema eti mnakemea kwa upendo na huruma ili kuwasaidia, kama kweli mngekuwa na upendo na huruma basi mngeanza kuvionesha huku ujanani kabla hamjaoa kwa kuacha kuwatongoza mabinti wa watu kwa lengo la kuwachezea halafu eti mkifikia kutaka kuoa ndio muanze kuwakejeli na kuwatukana kwa kisingizio cha kwamba ninyi hamna hasara jinsia yenu inawabeba sasa huo ni msaada au unafiki tu ndio maana tunasema hakuna msaada hapo bali mna maslahi yenu binafsi tu

Kuhusu hayo masuala ya mimi kuwa au kutokuwa na experience hebu achana nayo tu kwa sababu hatupo hapa kudiscuss personal issues bali general matters zinazoihusu jamii kwa ujumla maana naona ni kama umepata kichaka cha kujifichia sasa yani unashusha gazeti zima unanidescribe mimi kutokuwa na experience sijui blah blah gani so just cut the whole crap, mimi mbona sijataka kujua personal issues zako pamoja na kwamba naona kabisa kuna mambo unaandika kwa kutumia mihemko tu huna experience yoyote na unatoka nje ya uhalisia, mimi nawaambia hivi kama kweli wanaume lengo lenu ni kuleta ustawi wa jamii basi anzeni ninyi kubadilika kwa sababu hii njia mnayotumia ya kuwatukana na kuwadhalilisha wanawake imesha prove failure, na ndio kwanza wanawake wanazidisha maovu hakuna dalili zozote za wao kubadilika na hivyo vizazi vinavyokuja hali ndio itakuwa mbaya zaidi, so kama mmeona wanawake hawajitambui ninyi ndio mnaojitambua basi ni either muanze kubadilika ninyi au mkubaliane na hali halisi kwamba dunia ndio imeshabadilika and the so called 'nature' will not be of any help maana wanaume kila kitu mnaisingizia nature hata kwa ujinga wenu so ifike pahala mchague moja hamuwezi kupata yote

Kuhusu wanaume wanaokemea maovu ya wanaume wenzao ule uzi wako niliuona ila itoshe tu kusema wewe bado hukemei maovu ya wanaume unazuga tu na mfano mzuri ni hizi comments zako tena ndio kwanza umezidi kutetea maovu yenu, na kuhusu hiyo mada ya takwimu sasa mbona ulidandia bila kuelewa mimi nilikuwa namuambia huyo jamaa kwamba pamoja na maovu ya wanawake ila wanaume bado kila siku wanaendelea kuoa yeye akadai kwamba mbona na talaka pia zinazidi kuongezeka ndio nikamuambia anipe takwimu za kuaminika zinazoonesha idadi ya ndoa zinazofungwa na idadi ya talaka zinazotolewa kila mwaka, yeye akanipa eti mifano ya watu wawili watatu wa kijijini kwao akiwemo yeye mwenyewe kwamba naye ametoka kutalikiana na mke wake mimi nikampa takwimu za rita anajifanya eti haamini takwimu za serikali wakati yeye mwenyewe hajaleta takwimu zozote za kuaminika kabaki anarukaruka hadi sasa na wewe naye naona umeungana naye kwenye kuleta porojo bila kuweka takwimu zozote
Mimi ninajicontradict au unafeli kuconnect concepts logically [emoji848][emoji848][emoji848]



Humo unaposema "sijui" na "blah blah" ndipo kulimo na uzito wa hoja shida ni wewe kukubali kuielewa yaani unakuwa umeshaiambia akili yako kuwa kataa chochote atachosema mwanaume ili ushinde ubishi. Mwanaume kufanya mapenzi na wanawake wengi haiitwi umalaya ni uasherati. Ila anaweza kuoa hata wake kumi na mbili na akishiriki nao inakuwa ni halali. Ila mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya m'moja ni uzinzi na kuwa na mazoea ya kufanya uzinzi ndio huitwa umalaya. Hakunaga mwanaume malaya matumizi mabaya ya misamiati ya kiswahili hayo.

Wanawake wakijitunza hakuna kitakachobadilika upande wa wanaume eneo la kulala na wanawake wengi. Mwanaume still anayo privilege ya kuwa na mwanamke zaidi ya m'moja yaani wake wengi kuanzia wawili hata 20 kama akitaka kulingana na uwezo wake wa kuwamudu matunzo na kuwapa mahaba na haina shida inakubalika na ni mahusiano halali kabisa. Ukibisha lete hoja yako ya msingi why ubishe ukweli usiopingika.

Bado unarudia kosa la kujiaminisha kuwa mwanamke hana akili kitu ambacho mimi sikubaliani nacho. Mwanamke anayo akili ya kujua kama anadanganywa ama kutakwa kiukweli. Shida iliyopo ni wanawake kuwa na tamaa ya vitu kama wanaume walivyo na tamaa ya miili ya hao wanawake.
Unataka kunambia wewe hapo mimi nikikufuata na 50K nikikutaka tukafanye mchezo mbaya kwasababu ya hiyo 50K ila sitaki commitments afterwards ni kukuchezea akili, wewe hauna akili ya kujua hiyo 50K unayopewa itakugharimuje ukiikubali? Kimsingi unajaribu kudeflect ukweli kwamba wanawake wanatamaa na tamaa huwa ndizo zimawaponza na zinawapeleka mikononi mwa matapeli kinyume na hapo utaratibu ni mtoto wa kike mwanaume akikutokea si unamuelekeza kwa wazazi wako kama ana nia why ushindwe kufanya hivyo?

Kwahiyo unayaka kujiaminisha kuwa binti anapotongozwa akitoa unyumba ndio inayomfukuza mwanaume hiyo ndio hoja yako? Shida ni moja, hapa unachanganya topics. Kuna topic ya wanawake kuwapa bikra wahuni (bad boys) halafu miili iliyotumika wanawaletea wastaarabu (Good men). Hata ungekuwa wewe kaka yako utakubali afunge ndoa na mwanamke ambaye ameshawahi kulala na bodaboda na wanaume za watu enzi za ubichi wake halafu akishaanza kuzeeka jumba bovu amletee kaka yako, assume unamjua huyo mwanamke nje ndani?

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba utaratibu unavurugwa na wanawake wenyewe kama tunavyosemaga hapa daily tokea kuumbwa kwa huu ulimwengu mharibifu wa kwanza ni mwanamke pale Eden na haijawahi kuharibika tokea pale hadi leo wanawake ndio chanzo kikubwa cha disorder and misconduct. Kati ya wavulana na wasichana ni nani akisha balehe ana possibility kubwa ya kuanza kujiinvolve na mahusiano na watu waliomzidi umri?

Vibinti vya miaka 15 au 16 vimeshaanza kurukiana na bodaboda umri wa wajomba zao. While vivulana vitaanza kujihusisha na ngono miaka mitano baadae siajabu kwa sasa mvulana anafanya mapenzi kwa mara ya kwanza akiwa na miaka 19 au 20 miaka 4 au mitano baada ya msichana kuwa amenza. Mimi wasichana ambao ni age mates zangu walianza kufanya mapenzi nikiwa darasa la tano sina hata idea ya kufanya mapenzi ni nini. Nakuja kufanya kwa mara ya kwanza nikiwa form three. Unaweza kuelewa sasa ? Mimi muda nikianza kufanya huyo ninaefanya nae tayari kishaingiliwa na wanaume hata watatu halafu ndio unasema nimuoe niweke ndani?

Kwa wastani mwanaume anaoa akiwa umri gani kwa miaka ya sasa si kuanzia 30 huko? Sasa mwanaume atazuia nyege hadi afike 30 unataka atombe godoro litoboke au? Unasema binti ajitunze, wewe hawa mabinti wasasa wanavyoweka rehani nyuchi zao ili wanunuliwe chipsi, simu, nguo na kutolewa out hiyo jeuri ya kujitunza wanatoa wapi?
Kwenye hili hapa unanilaumu au unawalaumu vipi wanaume ambao wameshuhudia mabinti wa rika lao wakilala na wanaume wakubwa kuwazidi, so wao unategemea waje kuoa wanawake ambao hawajitunzi? So , unapata wapi audacity ya kusema wanaume tunachezea wanawake wakati by the time tukibarehe wanawake ambao tulitakuwa kuwaoa wanakuwa tayari wameliwa hawatamaniki na watu waliotuzidi umri, how is that even our fault? Mbona sisi wavulana tukifika balehe hatutombi mashangazi yaliyotuzidi umri wa miaka 10 mbele au 15 but mabinti balehe zikianza tu analala na mwanaume rika la kaka yake au baba yake hapo utamlaumu vipi kijana ambaye wanaringana lika na alitakiwa kumsubiria akue nae wafunge ndoa wakiwa bikra? Kwa kifupi, mabinti wa sasa wanaoffer bikra zao kwa watu waliowazidi umri kwa tamaa zao na sio kwasababu wanarubuniwa.

Serikali inakemea vipi rushwa na rushwa inanuka zaidi serikalini kuliko sehemu nyingine yoyote, wewe vipi bana mbona unaongea sana nadharia, ripoti ya CAG umeitazama au maneno matupu? [emoji848]
Marekani amekemea vita gani unayoijua wewe hebu nipe mifano hai acha kuniletea habari za kusadikika na hapa ndipo mimi huwa nashindwa kukuelewa sababu unakuwa na hoja za kufabricate sana. Hebu soma vema unachoandika nakunukuu ukisema "na ndio maana nawashangaa ninyi wanaume mnaposema eti hamnufaiki na jamii yenye wanawakd wema". Unaona akili zako, yaani unasema wanaume tulikwambia kuwa hatunufaiki na wanawake wenye maadili, yet tunakemea sana ukosefu wa maadili, sasa hapo umejaribu kusema kitu gani? [emoji848] Wanaume tunataka wanawake wema na wenye maadili maana ndio tunaowahitaji kwenye ndoa why iwe kinyume chake? Na kwa upande mwingine tunakemea uovu wa wanawake sababu ni jukumu letu kuilinda na kushape jamii dhidi yenu ninyi mawakala wa ufreemason yaani mafeminist.

Kusema wewe hauna experience ni kutokana na the way unajipresent tayari una expose personality yako iweze kujadiliwa na usichukulie kuwa mimi nakuattack kwasababu ya any personal ajenda.
Hebu point out ni maeneo gani ambayo nimetumia mihemuko na hisia kama unavyosema hapa?
Au unataka tuanze kureveal personal life experience hapa ndio ujue sehemu ya tunayosema hapa mtandaoni ni maisha tuliyoishi na tunayoendelea kuishi?
Wewe umeshawahi kubeba ujauzito mara kadhaa na kupata watoto na mwanaume au kuishi na mwanaume kinyumba, sasa hivi unaishi kwenye ndoa? Una watoto, una ukweni? Jibu haya maswali then nikuonyeshe level ya maisha uliyopo. Wenzako ambao wanaishi hayo maisha wanasoma hapa hawasemi kitu. Wewe ambaye upo at 0 level experience unaleta ligi, sijui nikueleweje?

Sasa kama umeziona hizo nyuzi na unakuja hapa kusema kuwa hatukemei kabisa maovu na baada ya kukuexpose kuwa nyuzi zipo then unabadilika na kusema hatukemei vizuri hivi wewe unakuwa ni msomi, mwanaharakati, au kiumbe wa aina gani aisee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani unashuhudia kuwa haujaona kitu then nakujuza kuwa kipo unakwenda kucheki then unarudi na kubadilisha statement yako ukisema kile kitu hakijakufurahisha ulitaka tufanye zaidi ya pale so unataka tufanyaje tutukane matusi ya nguoni ili nafsi yako isuuzike, unajua maana ya neno kukemea au ulitaka tuandike uzi mzima kwa herufi kubwa? [emoji23]
So unaweza kujionea so far we ni mwana JF wa aina gani, umejionyesha mwenyewe wazi wazi kuwa unataka vitu na uandishi unaondikwa juu ya topic fulani zireflect mitazamo yako of which huo sio uungwana na wala sio namna sahihi ya kutatua tatizo.

Wewe unataka tutumie lugha za matusi, kali, au lugha gani kuwakemea wanaume na wakati ukisoma hata comments utaona wenyewe wanakasirika kuambiwa ukweli ila unakuja hapa na kuongea hizi hoja na kutoa shuhuda za uongo kabisa mchana kweupe.
Me naanza kususpect wewe sio tu Toxic feminist bali ni HARDCORE MISANDRIST. I have a personal experience na watu wa kaliba yako. Huwa mnachukia wanaume with passion and you have an inheritedly motive ya kutaint na defamate male title at large.
Na ndio maana ukiona topic za wanaume kukanda tabia za wanawake kwako inakuja kwa tafasiri ya vita unaona kama umetangaziwa vita halafu ukiwa exposed unakimbilia kusema watu wanakuattack personally. How can it not be personal if wewe unakuwa na misguided hatred motive towards Men in general?

Kama kuna ubaya ulifanyiwa na wanaume that's your personal invoice don't make everymen pay your X's dues don't make it about every Man, no body hates you so why hate others in general with passion?

Stop Men hating bana you are becoming irrelevant.
 
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani.

Mnapiga na picha na kuzisambaza mitandaoni, wajuba wameona paja la mwanamke wako, sasa wanampigia mahesabu mwanamke wako.

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana uwezo wa kumzuia mwanamke wake asivae nusu uchi hadharani.

Wanaume tuache ujinga.

View attachment 2989182

Na atahukumiwa kwa kumruhusu mkewe kutembea uchi
 
Mimi ninajicontradict au unafeli kuconnect concepts logically [emoji848][emoji848][emoji848]



Humo unaposema "sijui" na "blah blah" ndipo kulimo na uzito wa hoja shida ni wewe kukubali kuielewa yaani unakuwa umeshaiambia akili yako kuwa kataa chochote atachosema mwanaume ili ushinde ubishi. Mwanaume kufanya mapenzi na wanawake wengi haiitwi umalaya ni uasherati. Ila anaweza kuoa hata wake kumi na mbili na akishiriki nao inakuwa ni halali. Ila mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya m'moja ni uzinzi na kuwa na mazoea ya kufanya uzinzi ndio huitwa umalaya. Hakunaga mwanaume malaya matumizi mabaya ya misamiati ya kiswahili hayo.

Wanawake wakijitunza hakuna kitakachobadilika upande wa wanaume eneo la kulala na wanawake wengi. Mwanaume still anayo privilege ya kuwa na mwanamke zaidi ya m'moja yaani wake wengi kuanzia wawili hata 20 kama akitaka kulingana na uwezo wake wa kuwamudu matunzo na kuwapa mahaba na haina shida inakubalika na ni mahusiano halali kabisa. Ukibisha lete hoja yako ya msingi why ubishe ukweli usiopingika.

Bado unarudia kosa la kujiaminisha kuwa mwanamke hana akili kitu ambacho mimi sikubaliani nacho. Mwanamke anayo akili ya kujua kama anadanganywa ama kutakwa kiukweli. Shida iliyopo ni wanawake kuwa na tamaa ya vitu kama wanaume walivyo na tamaa ya miili ya hao wanawake.
Unataka kunambia wewe hapo mimi nikikufuata na 50K nikikutaka tukafanye mchezo mbaya kwasababu ya hiyo 50K ila sitaki commitments afterwards ni kukuchezea akili, wewe hauna akili ya kujua hiyo 50K unayopewa itakugharimuje ukiikubali? Kimsingi unajaribu kudeflect ukweli kwamba wanawake wanatamaa na tamaa huwa ndizo zimawaponza na zinawapeleka mikononi mwa matapeli kinyume na hapo utaratibu ni mtoto wa kike mwanaume akikutokea si unamuelekeza kwa wazazi wako kama ana nia why ushindwe kufanya hivyo?

Kwahiyo unayaka kujiaminisha kuwa binti anapotongozwa akitoa unyumba ndio inayomfukuza mwanaume hiyo ndio hoja yako? Shida ni moja, hapa unachanganya topics. Kuna topic ya wanawake kuwapa bikra wahuni (bad boys) halafu miili iliyotumika wanawaletea wastaarabu (Good men). Hata ungekuwa wewe kaka yako utakubali afunge ndoa na mwanamke ambaye ameshawahi kulala na bodaboda na wanaume za watu enzi za ubichi wake halafu akishaanza kuzeeka jumba bovu amletee kaka yako, assume unamjua huyo mwanamke nje ndani?

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba utaratibu unavurugwa na wanawake wenyewe kama tunavyosemaga hapa daily tokea kuumbwa kwa huu ulimwengu mharibifu wa kwanza ni mwanamke pale Eden na haijawahi kuharibika tokea pale hadi leo wanawake ndio chanzo kikubwa cha disorder and misconduct. Kati ya wavulana na wasichana ni nani akisha balehe ana possibility kubwa ya kuanza kujiinvolve na mahusiano na watu waliomzidi umri?

Vibinti vya miaka 15 au 16 vimeshaanza kurukiana na bodaboda umri wa wajomba zao. While vivulana vitaanza kujihusisha na ngono miaka mitano baadae siajabu kwa sasa mvulana anafanya mapenzi kwa mara ya kwanza akiwa na miaka 19 au 20 miaka 4 au mitano baada ya msichana kuwa amenza. Mimi wasichana ambao ni age mates zangu walianza kufanya mapenzi nikiwa darasa la tano sina hata idea ya kufanya mapenzi ni nini. Nakuja kufanya kwa mara ya kwanza nikiwa form three. Unaweza kuelewa sasa ? Mimi muda nikianza kufanya huyo ninaefanya nae tayari kishaingiliwa na wanaume hata watatu halafu ndio unasema nimuoe niweke ndani?

Kwa wastani mwanaume anaoa akiwa umri gani kwa miaka ya sasa si kuanzia 30 huko? Sasa mwanaume atazuia nyege hadi afike 30 unataka atombe godoro litoboke au? Unasema binti ajitunze, wewe hawa mabinti wasasa wanavyoweka rehani nyuchi zao ili wanunuliwe chipsi, simu, nguo na kutolewa out hiyo jeuri ya kujitunza wanatoa wapi?
Kwenye hili hapa unanilaumu au unawalaumu vipi wanaume ambao wameshuhudia mabinti wa rika lao wakilala na wanaume wakubwa kuwazidi, so wao unategemea waje kuoa wanawake ambao hawajitunzi? So , unapata wapi audacity ya kusema wanaume tunachezea wanawake wakati by the time tukibarehe wanawake ambao tulitakuwa kuwaoa wanakuwa tayari wameliwa hawatamaniki na watu waliotuzidi umri, how is that even our fault? Mbona sisi wavulana tukifika balehe hatutombi mashangazi yaliyotuzidi umri wa miaka 10 mbele au 15 but mabinti balehe zikianza tu analala na mwanaume rika la kaka yake au baba yake hapo utamlaumu vipi kijana ambaye wanaringana lika na alitakiwa kumsubiria akue nae wafunge ndoa wakiwa bikra? Kwa kifupi, mabinti wa sasa wanaoffer bikra zao kwa watu waliowazidi umri kwa tamaa zao na sio kwasababu wanarubuniwa.

Serikali inakemea vipi rushwa na rushwa inanuka zaidi serikalini kuliko sehemu nyingine yoyote, wewe vipi bana mbona unaongea sana nadharia, ripoti ya CAG umeitazama au maneno matupu? [emoji848]
Marekani amekemea vita gani unayoijua wewe hebu nipe mifano hai acha kuniletea habari za kusadikika na hapa ndipo mimi huwa nashindwa kukuelewa sababu unakuwa na hoja za kufabricate sana. Hebu soma vema unachoandika nakunukuu ukisema "na ndio maana nawashangaa ninyi wanaume mnaposema eti hamnufaiki na jamii yenye wanawakd wema". Unaona akili zako, yaani unasema wanaume tulikwambia kuwa hatunufaiki na wanawake wenye maadili, yet tunakemea sana ukosefu wa maadili, sasa hapo umejaribu kusema kitu gani? [emoji848] Wanaume tunataka wanawake wema na wenye maadili maana ndio tunaowahitaji kwenye ndoa why iwe kinyume chake? Na kwa upande mwingine tunakemea uovu wa wanawake sababu ni jukumu letu kuilinda na kushape jamii dhidi yenu ninyi mawakala wa ufreemason yaani mafeminist.

Kusema wewe hauna experience ni kutokana na the way unajipresent tayari una expose personality yako iweze kujadiliwa na usichukulie kuwa mimi nakuattack kwasababu ya any personal ajenda.
Hebu point out ni maeneo gani ambayo nimetumia mihemuko na hisia kama unavyosema hapa?
Au unataka tuanze kureveal personal life experience hapa ndio ujue sehemu ya tunayosema hapa mtandaoni ni maisha tuliyoishi na tunayoendelea kuishi?
Wewe umeshawahi kubeba ujauzito mara kadhaa na kupata watoto na mwanaume au kuishi na mwanaume kinyumba, sasa hivi unaishi kwenye ndoa? Una watoto, una ukweni? Jibu haya maswali then nikuonyeshe level ya maisha uliyopo. Wenzako ambao wanaishi hayo maisha wanasoma hapa hawasemi kitu. Wewe ambaye upo at 0 level experience unaleta ligi, sijui nikueleweje?

Sasa kama umeziona hizo nyuzi na unakuja hapa kusema kuwa hatukemei kabisa maovu na baada ya kukuexpose kuwa nyuzi zipo then unabadilika na kusema hatukemei vizuri hivi wewe unakuwa ni msomi, mwanaharakati, au kiumbe wa aina gani aisee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani unashuhudia kuwa haujaona kitu then nakujuza kuwa kipo unakwenda kucheki then unarudi na kubadilisha statement yako ukisema kile kitu hakijakufurahisha ulitaka tufanye zaidi ya pale so unataka tufanyaje tutukane matusi ya nguoni ili nafsi yako isuuzike, unajua maana ya neno kukemea au ulitaka tuandike uzi mzima kwa herufi kubwa? [emoji23]
So unaweza kujionea so far we ni mwana JF wa aina gani, umejionyesha mwenyewe wazi wazi kuwa unataka vitu na uandishi unaondikwa juu ya topic fulani zireflect mitazamo yako of which huo sio uungwana na wala sio namna sahihi ya kutatua tatizo.

Wewe unataka tutumie lugha za matusi, kali, au lugha gani kuwakemea wanaume na wakati ukisoma hata comments utaona wenyewe wanakasirika kuambiwa ukweli ila unakuja hapa na kuongea hizi hoja na kutoa shuhuda za uongo kabisa mchana kweupe.
Me naanza kususpect wewe sio tu Toxic feminist bali ni HARDCORE MISANDRIST. I have a personal experience na watu wa kaliba yako. Huwa mnachukia wanaume with passion and you have an inheritedly motive ya kutaint na defamate male title at large.
Na ndio maana ukiona topic za wanaume kukanda tabia za wanawake kwako inakuja kwa tafasiri ya vita unaona kama umetangaziwa vita halafu ukiwa exposed unakimbilia kusema watu wanakuattack personally. How can it not be personal if wewe unakuwa na misguided hatred motive towards Men in general?

Kama kuna ubaya ulifanyiwa na wanaume that's your personal invoice don't make everymen pay your X's dues don't make it about every Man, no body hates you so why hate others in general with passion?

Stop Men hating bana you are becoming irrelevant.

Mimi ninajicontradict au unafeli kuconnect concepts logically [emoji848][emoji848][emoji848]



Humo unaposema "sijui" na "blah blah" ndipo kulimo na uzito wa hoja shida ni wewe kukubali kuielewa yaani unakuwa umeshaiambia akili yako kuwa kataa chochote atachosema mwanaume ili ushinde ubishi. Mwanaume kufanya mapenzi na wanawake wengi haiitwi umalaya ni uasherati. Ila anaweza kuoa hata wake kumi na mbili na akishiriki nao inakuwa ni halali. Ila mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya m'moja ni uzinzi na kuwa na mazoea ya kufanya uzinzi ndio huitwa umalaya. Hakunaga mwanaume malaya matumizi mabaya ya misamiati ya kiswahili hayo.

Wanawake wakijitunza hakuna kitakachobadilika upande wa wanaume eneo la kulala na wanawake wengi. Mwanaume still anayo privilege ya kuwa na mwanamke zaidi ya m'moja yaani wake wengi kuanzia wawili hata 20 kama akitaka kulingana na uwezo wake wa kuwamudu matunzo na kuwapa mahaba na haina shida inakubalika na ni mahusiano halali kabisa. Ukibisha lete hoja yako ya msingi why ubishe ukweli usiopingika.

Bado unarudia kosa la kuwa mwanamke hana akili kitu ambacho mimi sikubaliani nacho. Mwanamke anayo akili ya kujua kama anadanganywa ama kutakwa kiukweli. Shida iliyopo ni wanawake kuwa na tamaa ya vitu kama wanaume walivyo na tamaa ya miili ya hao wanawake.
Unataka kunambia wewe hapo mimi nikikufuata na 50K nikikutaka tukafanye mchezo mbaya kwasababu ya hiyo 50K ila sitaki commitments afterwards ni kukuchezea akili, wewe hauna akili ya kujua hiyo 50K unayopewa itakugharimuje ukiikubali? Kimsingi unajaribu kudeflect ukweli kwamba wanawake wanatamaa na tamaa huwa ndizo zimawaponza na zinawapeleka mikononi mwa matapeli kinyume na hapo utaratibu ni mtoto wa kike mwanaume akikutokea si unamuelekeza kwa wazazi wako kama ana nia why ushindwe kufanya hivyo?

Kwahiyo unayaka kujiaminisha kuwa binti anapotongozwa akitoa unyumba ndio inayomfukuza mwanaume hiyo ndio hoja yako? Shida ni moja, hapa unachanganya topics. Kuna topic ya wanawake kuwapa bikra wahuni (bad boys) halafu miili iliyotumika wanawaletea wastaarabu (Good men). Hata ungekuwa wewe kaka yako utakubali afunge ndoa na mwanamke ambaye ameshawahi kulala na bodaboda na wanaume za watu enzi za ubichi wake halafu akishaanza kuzeeka jumba bovu amletee kaka yako, assume unamjua huyo mwanamke nje ndani?

Unachoshindwa kuelewa ni kwamba utaratibu unavurugwa na wanawake wenyewe kama tunavyosemaga hapa daily tokea kuumbwa kwa huu ulimwengu mharibifu wa kwanza ni mwanamke pale Eden na haijawahi kuharibika tokea pale hadi leo wanawake ndio chanzo kikubwa cha disorder and misconduct. Kati ya wavulana na wasichana ni nani akisha balehe ana possibility kubwa ya kuanza kujiinvolve na mahusiano na watu waliomzidi umri?

Vibinti vya miaka 15 au 16 vimeshaanza kurukiana na bodaboda umri wa wajomba zao. While vivulana vitaanza kujihusisha na ngono miaka mitano baadae siajabu kwa sasa mvulana anafanya mapenzi kwa mara ya kwanza akiwa na miaka 19 au 20 miaka 4 au mitano baada ya msichana kuwa amenza. Mimi wasichana ambao ni age mates zangu walianza kufanya mapenzi nikiwa darasa la tano sina hata idea ya kufanya mapenzi ni nini. Nakuja kufanya kwa mara ya kwanza nikiwa form three. Unaweza kuelewa sasa ? Mimi muda nikianza kufanya huyo ninaefanya nae tayari kishaingiliwa na wanaume hata watatu halafu ndio unasema nimuoe niweke ndani?

Kwa wastani mwanaume anaoa akiwa umri gani kwa miaka ya sasa si kuanzia 30 huko? Sasa mwanaume atazuia nyege hadi afike 30 unataka atombe godoro litoboke au? Unasema binti ajitunze, wewe hawa mabinti wasasa wanavyoweka rehani nyuchi zao ili wanunuliwe chipsi, simu, nguo na kutolewa out hiyo jeuri ya kujitunza wanatoa wapi?
Kwenye hili hapa unanilaumu au unawalaumu vipi wanaume ambao wameshuhudia mabinti wa rika lao wakilala na wanaume wakubwa kuwazidi, so wao unategemea waje kuoa wanawake ambao hawajitunzi? So , unapata wapi audacity ya kusema wanaume tunachezea wanawake wakati by the time tukibarehe wanawake ambao tulitakuwa kuwaoa wanakuwa tayari wameliwa hawatamaniki na watu waliotuzidi umri, how is that even our fault? Mbona sisi wavulana tukifika balehe hatutombi mashangazi yaliyotuzidi umri wa miaka 10 mbele au 15 but mabinti balehe zikianza tu analala na mwanaume rika la kaka yake au baba yake hapo utamlaumu vipi kijana ambaye wanaringana lika na alitakiwa kumsubiria akue nae wafunge ndoa wakiwa bikra? Kwa kifupi, mabinti wa sasa wanaoffer bikra zao kwa watu waliowazidi umri kwa tamaa zao na sio kwasababu wanarubuniwa.

Serikali inakemea vipi rushwa na rushwa inanuka zaidi serikalini kuliko sehemu nyingine yoyote, wewe vipi bana mbona unaongea sana nadharia, ripoti ya CAG umeitazama au maneno matupu? [emoji848]
Marekani amekemea vita gani unayoijua wewe hebu nipe mifano hai acha kuniletea habari za kusadikika na hapa ndipo mimi huwa nashindwa kukuelewa sababu unakuwa na hoja za kufabricate sana. Hebu soma vema unachoandika nakunukuu ukisema "na ndio maana nawashangaa ninyi wanaume mnaposema eti hamnufaiki na jamii yenye wanawakd wema". Unaona akili zako, yaani unasema wanaume tulikwambia kuwa hatunufaiki na wanawake wenye maadili, yet tunakemea sana ukosefu wa maadili, sasa hapo umejaribu kusema kitu gani? [emoji848] Wanaume tunataka wanawake wema na wenye maadili maana ndio tunaowahitaji kwenye ndoa why iwe kinyume chake? Na kwa upande mwingine tunakemea uovu wa wanawake sababu ni jukumu letu kuilinda na kushape jamii dhidi yenu ninyi mawakala wa ufreemason yaani mafeminist.

Kusema wewe hauna experience ni kutokana na the way unajipresent tayari una expose personality yako iweze kujadiliwa na usichukulie kuwa mimi nakuattack kwasababu ya any personal ajenda.
Hebu point out ni maeneo gani ambayo nimetumia mihemuko na hisia kama unavyosema hapa?
Au unataka tuanze kureveal personal life experience hapa ndio ujue sehemu ya tunayosema hapa mtandaoni ni maisha tuliyoishi na tunayoendelea kuishi?
Wewe umeshawahi kubeba ujauzito mara kadhaa na kupata watoto na mwanaume au kuishi na mwanaume kinyumba, sasa hivi unaishi kwenye ndoa? Una watoto, una ukweni? Jibu haya maswali then nikuonyeshe level ya maisha uliyopo. Wenzako ambao wanaishi hayo maisha wanasoma hapa hawasemi kitu. Wewe ambaye upo at 0 level experience unaleta ligi, sijui nikueleweje?

Sasa kama umeziona hizo nyuzi na unakuja hapa kusema kuwa hatukemei kabisa maovu na baada ya kukuexpose kuwa nyuzi zipo then unabadilika na kusema hatukemei vizuri hivi wewe unakuwa ni msomi, mwanaharakati, au kiumbe wa aina gani aisee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani unashuhudia kuwa haujaona kitu then nakujuza kuwa kipo unakwenda kucheki then unarudi na kubadilisha statement yako ukisema kile kitu hakijakufurahisha ulitaka tufanye zaidi ya pale so unataka tufanyaje tutukane matusi ya nguoni ili nafsi yako isuuzike, unajua maana ya neno kukemea au ulitaka tuandike uzi mzima kwa herufi kubwa? [emoji23]
So unaweza kujionea so far we ni mwana JF wa aina gani, umejionyesha mwenyewe wazi wazi kuwa unataka vitu na uandishi unaondikwa juu ya topic fulani zireflect mitazamo yako of which huo sio uungwana na wala sio namna sahihi ya kutatua tatizo.

Wewe unataka tutumie lugha za matusi, kali, au lugha gani kuwakemea wanaume na wakati ukisoma hata comments utaona wenyewe wanakasirika kuambiwa ukweli ila unakuja hapa na kuongea hizi hoja na kutoa shuhuda za uongo kabisa mchana kweupe.
Me naanza kususpect wewe sio tu Toxic feminist bali ni HARDCORE MISANDRIST. I have a personal experience na watu wa kaliba yako. Huwa mnachukia wanaume with passion and you have an inheritedly motive ya kutaint na defamate male title at large.
Na ndio maana ukiona topic za wanaume kukanda tabia za wanawake kwako inakuja kwa tafasiri ya vita unaona kama umetangaziwa vita halafu ukiwa exposed unakimbilia kusema watu wanakuattack personally. How can it not be personal if wewe unakuwa na misguided hatred motive towards Men in general?

Kama kuna ubaya ulifanyiwa na wanaume that's your personal invoice don't make everymen pay your X's dues don't make it about every Man, no body hates you so why hate others in general with passion?

Stop Men hating bana you are becoming irrelevant.
Hivi kwanza kabisa unaposema eti wanaume wote wanaweza kuwa na wanawake kuanzia wawili na kuendelea unaijua hata population ratio kati ya wanaume na wanawake tanzania na duniani au umeamua tu kubwabwaja kufurahisha nafsi yako, kwa taarifa yako population ratio kati ya hizi jinsia mbili hairuhusu wanaume wote kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja kwa sababu ikitokea hivyo ni either kuna wanaume watakosa wanawake na au itawalazimu na wanawake nao kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja usibishe fuatilia halafu rudi hapa tuendelee kubishana, usije ukaleta zile factors affecting men population eti sijui ushoga, upadre, kufungwa jela sijui kufa mapema kana kwamba wanawake ndio hawawi affected na hayo na hata hivyo ukifuatilia utakuta kwamba hata ukitoa idadi ya wanaume wanaoangukia humo bado wanaobaki haiwezekani wote kuwa na wanawake zaidi ya mmoja so hiyo point yako ni null and void unless kuna wanawake wa ziada huko kwenye sayari nyingine

Kuhusu hayo maneno uzinzi sijui uasherati unaweza kuniambia ni universal law gani inayoamua kwamba ngono akifanya mwanaume inaitwa hivi na akifanya mwanamke inaitwa vile na hilo la kusema kwamba eti mwanaume akifanya uzinzi sijui uasherati ni sawa tu umerefer wapi, mimi ni mkristo na nitarefer maneno ya kwenye biblia mithali 6:32 inasema "aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake" (obviously anayeongelewa hapo ni mwanaume) sasa wewe unayenisema kwamba mimi sina dini na kujifanya wewe unayo kwanini sasa unaenda kinyume na maandiko na ku encourage wanaume wenzio wafanye uzinzi na uasherati, mnajifanya mnabadilibadili misamiati eti mara sijui hakuna mwanaume malaya mara sijui nature imefanyaje mara mwanaume hawezi kuishi bila ngono atabaka godoro mbona kama huu ni unafiki sasa hapo kati ya mimi na wewe nani anaye advocate agenda za kishetani na the so called freemasons kwani mungu ni mjinga alipokataza uzinzi na uasherati kwenye maandiko yake au ni wapi aliposema kwamba kamkataza mwanamke ila kamruhusu mwanaume hebu nioneshe

Sasa hapo kwenye kujitunza mbona kama umebadili gia angani tena ninyi si ndio mnaotaka wanawake wajitunze ili kusudi mkitaka kuoa mpate wake wema sasa mbona tena unasema kwamba eti hawa wanawake wa leo hawawezi kujitunza sijui kisa wana tamaa, sasa kama mnajua hayo kwanini mnawalazimisha wajitunze si ndio wanaume muanze kuonesha mfano wa kujitunza ninyi vichwa vya familia vipi mnakwama wapi bwana, yani mnajiita viongozi halafu kuna mambo hamtaki kuongoza mnajifanya eti mnaongoza kwa maneno ila vitendo mnawaachia wanawake ndio wavifanye kwa visingizio vya kitoto hapa, sasa hivi unajaribu kuonesha kwamba wanawake ni viumbe wenye akili na maamuzi na siyo dhaifu hivyo hawawezi kurubuniwa sasa kama mnalijua hilo kwanini mnawatawala na mnataka wawatii kwa kisingizio cha kwamba wao ni dhaifu ilihali mnajua nao wana utashi au kauli zenu huwa zinabadilika kulingana na mada iliyoko mezani, kuhusu kuona nyuzi ndio uzi wako niliuona na sikutaka kuchangia kwa sababu niliona kama umejaa unafiki hivi yani siku zote tukikutana kwenye mijadala huwa unawasema wanawake vibaya hasa hao single mothers halafu ghafla eti ujifanye kuanzisha nyuzi kuwatetea single mothers huku ukiwaponda wanaume wenzio what kind of hypocrisy is that i don't buy that

Halafu mbona umekazania sana kwamba wanawake hawarubuniwi sababu wana akili hivi ni kwamba hujui njia wanazotumia wanaume ili kuwapata wanawake kirahisi, unadhani kama mwanaume hana nia ya dhati na mwanamke anayemtongoza ndio atamuambia direct kwamba mimi ni mhuni lengo langu ni kula na kusepa si atajifanya anampenda na kumjali ili mwanamke aingie kingi then afanye yake asepe, kwanini unalazimisha assumptions zako kwamba kila mwanamke anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya tamaa kwanini unafanya generalisations za namna hiyo au wewe unadhani kila mwanaume mhuni anakuwa na alama usoni kiasi kwamba anatambulika kirahisi, yani hata wanaume wenyewe huwa wanasema wanawake wengi ukiwaambia ukweli huwapati kirahisi kwahiyo hata wakitaka kula na kusepa huwa wanadanganya kwamba watawaoa na wengine huenda hadi kujitambulisha nyumbani kwa binti na kupeleka posa au wewe hujawahi kusikia hayo, yani unasema eti mimi siwajui wanaume ila mbona naona kama wewe ndio huwajui wanaume wenzio vizuri yani ni kama hujui to what extent men can go only to open women's thighs and hit and run halafu unadai eti kila kitu lazima uwe umeki experience sasa hapo mimi nahitaji ku experience nini wakati haya yote ninayoandika wanayasema wanaume wenyewe na mengine tunaona watu wengi wanaotuzunguka wakiyafanya sana tu

Na ndio maana nikakuambia msiwalaumu wanawake kwa ku fall kwenye traps za wahuni hata wewe umetoka kusema hapa kwamba wanaume wakati mwingine hudhani wameoa wake wema, kwa sababu wanawake huwa ni waigizaji wazuri kwenye uchumba hivyo ni rahisi kuwashawishi wanaume wawaoe halafu wakifika kwenye ndoa ndio wanaonesha tabia zao halisi, sasa kama mnajua kwamba kuna kurubuniana kama hivyo kwanini mnakataa kwamba wanawake hawawezi kurubuniwa na wanaume wenye nia mbaya yani mnaassume kwamba wanawake ndio wana power ya utambuzi ya kujua huyu mwanaume ni nice guy na huyu ni play boy wakati hata wao ni binadamu kama ninyi so waeleweni tu, na ndio maana nasema kwenye hili suala tatizo kubwa liko kwenu sema ndio vile mnalazimisha kutumia mfumo dume hata sehemu ambapo hauhitajiki bali panahitaji kutumia logic na common sense tu ila mnasingizia upuuzi eti jinsia inawabeba sijui nature, halafu mnakuja kutujazia magazeti ya malalamiko humu mitandaoni kwamba hamuoi sababu wanawake wa leo hawajitunzi wala hawajiheshimu na blah blah nyingine wakati mna option ya kutake action na kubadilika ila hamtaki halafu mnadai ni jukumu lenu kuibadilisha jamii sasa hilo jukumu liko wapi

Kuhusu hiyo mifano yako mbona hueleweki mimi nilisema hakuna binadamu anayeweza kulalamikia au kupinga jambo ambalo halimnufaishi wewe ukatoa hiyo mifano kwamba sijui serikali mbona inapinga rushwa, mara marekani mbona inakemea vita za nchi mbalimbali, na wachungaji mbona wanakemea maovu ya watu kwahiyo mimi nikaelewa kwamba unamaanisha hao wanapinga hayo mambo na hayawanufaishi, ndio maana mimi nikasema wanapinga kwa sababu yanawanufaisha ofcourse hayo mambo huwa wanayapinga ila kinafiki na siyo kama ulivyosema wewe eti hawayapingi kabisa ila mimi niliamua kukupeleka hivyo hivyo kulingana na hiyo mifano yako na kama ulimaanisha kinyume chake sasa hiyo mifano yako inaingiaje kwenye hiyo hoja yangu mbona naona kama haihusiani hapo, tatizo lenu nimegundua wanaume huwa hampendi kuambiwa ukweli kuhusu maovu yenu yani mkiambiwa ukweli huwa mnageuka psychologists na philosophers kujifanya mnajua kinachoendelea kwenye akili na maisha ya watu ili kutafuta hoja

Na wengi huwa mnakimbilia kwenye ad hominem attacks kama hivi yani badala ya kujadili hoja huwa mnamshambulia mtoa hoja na huwa mnalazimisha kabisa kwamba ninyi ndio mko sahihi ila mimi huwa nachukulia hizo kama kauli za kujifariji tu baada ya kukosa hoja, na mimi binafsi huwezi kunikuta namshambulia mtu personally kwenye mjadala ambao unahusu ishu za jamii kwa ujumla hayo majina yote unayoniita nishaitwa sana humu katika miaka yangu yote ya kujadiliana na wanaume kuhusu hizi mada ila guess what, wala siko hivyo na hakuna kilichobadilika kwenye maisha yangu mimi sina any personal issues na wanaume na wala siwachukii ukiamua kubisha hilo ni juu yako sikulazimishi ila uzuri ni kwamba kuna watu nafahamiana nao nje ya jf na wananijua vizuri kabisa mimi ni mtu wa aina gani in real life kwahiyo wakisomaga hizi kauli zenu huwa wanashangaa tu, and infact wanaume wengi humu ndio misogynists yani unakuta mwanaume anaongea kauli mbovu kuhusu wanawake yani mpaka anashindwa kujificha unaona kabisa waziwazi ile chuki aliyonayo juu ya wanawake halafu mbaya zaidi huwa wanageneralise eti wanawake wote ila hao hutasikia wakiitwa misogynists, sasa wengine huwa hatupendi kusikia kauli kama hizo na ndio hapo mtu ukiwatetea wanawake na kuyasema maovu ya wanaume ambayo wao wanajifanya hawayaoni unaanza kuonekana mbaya na kuambiwa una chuki na wanaume na kuvikwa sifa zote mbaya na kuitwa majina yote mabaya but huwa sipanic kwa sababu najua hayo yote hayana ukweli ila wanaume tu wameshajengewa ego na mentality ya kwamba wao kufanya makosa ni sawa hivyo hawatakiwi kukosolewa wala kukubali makosa kwa namna yoyote wao ni innocent
 
Hata wewe huna hoja yoyote, la ziada linalojidhihirisha kwako kwa uwazi bila chenga huna msimamo wowote.
Kati ya mimi na wewe nani hana hoja wala msimamo, mimi tangu mwanzo hoja yangu na msimamo wangu ni wewe kuweka takwimu basi, ila nashangaa hadi sasa hujaweka takwimu zaidi ya ngonjera tu
 
Hivi kwanza kabisa unaposema eti wanaume wote wanaweza kuwa na wanawake kuanzia wawili na kuendelea unaijua hata population ratio kati ya wanaume na wanawake tanzania na duniani au umeamua tu kubwabwaja kufurahisha nafsi yako, kwa taarifa yako population ratio kati ya hizi jinsia mbili hairuhusu wanaume wote kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja kwa sababu ikitokea hivyo ni either kuna wanaume watakosa wanawake na au itawalazimu na wanawake nao kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja usibishe fuatilia halafu rudi hapa tuendelee kubishana, usije ukaleta zile factors affecting men population eti sijui ushoga, upadre, kufungwa jela sijui kufa mapema kana kwamba wanawake ndio hawawi affected na hayo na hata hivyo ukifuatilia utakuta kwamba hata ukitoa idadi ya wanaume wanaoangukia humo bado wanaobaki haiwezekani wote kuwa na wanawake zaidi ya mmoja so hiyo point yako ni null and void unless kuna wanawake wa ziada huko kwenye sayari nyingine

Kuhusu hayo maneno uzinzi sijui uasherati unaweza kuniambia ni universal law gani inayoamua kwamba ngono akifanya mwanaume inaitwa hivi na akifanya mwanamke inaitwa vile na hilo la kusema kwamba eti mwanaume akifanya uzinzi sijui uasherati ni sawa tu umerefer wapi, mimi ni mkristo na nitarefer maneno ya kwenye biblia mithali 6:32 inasema "aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake" (obviously anayeongelewa hapo ni mwanaume) sasa wewe unayenisema kwamba mimi sina dini na kujifanya wewe unayo kwanini sasa unaenda kinyume na maandiko na ku encourage wanaume wenzio wafanye uzinzi na uasherati, mnajifanya mnabadilibadili misamiati eti mara sijui hakuna mwanaume malaya mara sijui nature imefanyaje mara mwanaume hawezi kuishi bila ngono atabaka godoro mbona kama huu ni unafiki sasa hapo kati ya mimi na wewe nani anaye advocate agenda za kishetani na the so called freemasons kwani mungu ni mjinga alipokataza uzinzi na uasherati kwenye maandiko yake au ni wapi aliposema kwamba kamkataza mwanamke ila kamruhusu mwanaume hebu nioneshe

Sasa hapo kwenye kujitunza mbona kama umebadili gia angani tena ninyi si ndio mnaotaka wanawake wajitunze ili kusudi mkitaka kuoa mpate wake wema sasa mbona tena unasema kwamba eti hawa wanawake wa leo hawawezi kujitunza sijui kisa wana tamaa, sasa kama mnajua hayo kwanini mnawalazimisha wajitunze si ndio wanaume muanze kuonesha mfano wa kujitunza ninyi vichwa vya familia vipi mnakwama wapi bwana, yani mnajiita viongozi halafu kuna mambo hamtaki kuongoza mnajifanya eti mnaongoza kwa maneno ila vitendo mnawaachia wanawake ndio wavifanye kwa visingizio vya kitoto hapa, sasa hivi unajaribu kuonesha kwamba wanawake ni viumbe wenye akili na maamuzi na siyo dhaifu hivyo hawawezi kurubuniwa sasa kama mnalijua hilo kwanini mnawatawala na mnataka wawatii kwa kisingizio cha kwamba wao ni dhaifu ilihali mnajua nao wana utashi au kauli zenu huwa zinabadilika kulingana na mada iliyoko mezani, kuhusu kuona nyuzi ndio uzi wako niliuona na sikutaka kuchangia kwa sababu niliona kama umejaa unafiki hivi yani siku zote tukikutana kwenye mijadala huwa unawasema wanawake vibaya hasa hao single mothers halafu ghafla eti ujifanye kuanzisha nyuzi kuwatetea single mothers huku ukiwaponda wanaume wenzio what kind of hypocrisy is that i don't buy that

Halafu mbona umekazania sana kwamba wanawake hawarubuniwi sababu wana akili hivi ni kwamba hujui njia wanazotumia wanaume ili kuwapata wanawake kirahisi, unadhani kama mwanaume hana nia ya dhati na mwanamke anayemtongoza ndio atamuambia direct kwamba mimi ni mhuni lengo langu ni kula na kusepa si atajifanya anampenda na kumjali ili mwanamke aingie kingi then afanye yake asepe, kwanini unalazimisha assumptions zako kwamba kila mwanamke anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya tamaa kwanini unafanya generalisations za namna hiyo au wewe unadhani kila mwanaume mhuni anakuwa na alama usoni kiasi kwamba anatambulika kirahisi, yani hata wanaume wenyewe huwa wanasema wanawake wengi ukiwaambia ukweli huwapati kirahisi kwahiyo hata wakitaka kula na kusepa huwa wanadanganya kwamba watawaoa na wengine huenda hadi kujitambulisha nyumbani kwa binti na kupeleka posa au wewe hujawahi kusikia hayo, yani unasema eti mimi siwajui wanaume ila mbona naona kama wewe ndio huwajui wanaume wenzio vizuri yani ni kama hujui to what extent men can go only to open women's thighs and hit and run halafu unadai eti kila kitu lazima uwe umeki experience sasa hapo mimi nahitaji ku experience nini wakati haya yote ninayoandika wanayasema wanaume wenyewe na mengine tunaona watu wengi wanaotuzunguka wakiyafanya sana tu

Na ndio maana nikakuambia msiwalaumu wanawake kwa ku fall kwenye traps za wahuni hata wewe umetoka kusema hapa kwamba wanaume wakati mwingine hudhani wameoa wake wema, kwa sababu wanawake huwa ni waigizaji wazuri kwenye uchumba hivyo ni rahisi kuwashawishi wanaume wawaoe halafu wakifika kwenye ndoa ndio wanaonesha tabia zao halisi, sasa kama mnajua kwamba kuna kurubuniana kama hivyo kwanini mnakataa kwamba wanawake hawawezi kurubuniwa na wanaume wenye nia mbaya yani mnaassume kwamba wanawake ndio wana power ya utambuzi ya kujua huyu mwanaume ni nice guy na huyu ni play boy wakati hata wao ni binadamu kama ninyi so waeleweni tu, na ndio maana nasema kwenye hili suala tatizo kubwa liko kwenu sema ndio vile mnalazimisha kutumia mfumo dume hata sehemu ambapo hauhitajiki bali panahitaji kutumia logic na common sense tu ila mnasingizia upuuzi eti jinsia inawabeba sijui nature, halafu mnakuja kutujazia magazeti ya malalamiko humu mitandaoni kwamba hamuoi sababu wanawake wa leo hawajitunzi wala hawajiheshimu na blah blah nyingine wakati mna option ya kutake action na kubadilika ila hamtaki halafu mnadai ni jukumu lenu kuibadilisha jamii sasa hilo jukumu liko wapi

Kuhusu hiyo mifano yako mbona hueleweki mimi nilisema hakuna binadamu anayeweza kulalamikia au kupinga jambo ambalo halimnufaishi wewe ukatoa hiyo mifano kwamba sijui serikali mbona inapinga rushwa, mara marekani mbona inakemea vita za nchi mbalimbali, na wachungaji mbona wanakemea maovu ya watu kwahiyo mimi nikaelewa kwamba unamaanisha hao wanapinga hayo mambo na hayawanufaishi, ndio maana mimi nikasema wanapinga kwa sababu yanawanufaisha ofcourse hayo mambo huwa wanayapinga ila kinafiki na siyo kama ulivyosema wewe eti hawayapingi kabisa ila mimi niliamua kukupeleka hivyo hivyo kulingana na hiyo mifano yako na kama ulimaanisha kinyume chake sasa hiyo mifano yako inaingiaje kwenye hiyo hoja yangu mbona naona kama haihusiani hapo, tatizo lenu nimegundua wanaume huwa hampendi kuambiwa ukweli kuhusu maovu yenu yani mkiambiwa ukweli huwa mnageuka psychologists na philosophers kujifanya mnajua kinachoendelea kwenye akili na maisha ya watu ili kutafuta hoja

Na wengi huwa mnakimbilia kwenye ad hominem attacks kama hivi yani badala ya kujadili hoja huwa mnamshambulia mtoa hoja na huwa mnalazimisha kabisa kwamba ninyi ndio mko sahihi ila mimi huwa nachukulia hizo kama kauli za kujifariji tu baada ya kukosa hoja, na mimi binafsi huwezi kunikuta namshambulia mtu personally kwenye mjadala ambao unahusu ishu za jamii kwa ujumla hayo majina yote unayoniita nishaitwa sana humu katika miaka yangu yote ya kujadiliana na wanaume kuhusu hizi mada ila guess what, wala siko hivyo na hakuna kilichobadilika kwenye maisha yangu mimi sina any personal issues na wanaume na wala siwachukii ukiamua kubisha hilo ni juu yako sikulazimishi ila uzuri ni kwamba kuna watu nafahamiana nao nje ya jf na wananijua vizuri kabisa mimi ni mtu wa aina gani in real life kwahiyo wakisomaga hizi kauli zenu huwa wanashangaa tu, and infact wanaume wengi humu ndio misogynists yani unakuta mwanaume anaongea kauli mbovu kuhusu wanawake yani mpaka anashindwa kujificha unaona kabisa waziwazi ile chuki aliyonayo juu ya wanawake halafu mbaya zaidi huwa wanageneralise eti wanawake wote ila hao hutasikia wakiitwa misogynists, sasa wengine huwa hatupendi kusikia kauli kama hizo na ndio hapo mtu ukiwatetea wanawake na kuyasema maovu ya wanaume ambayo wao wanajifanya hawayaoni unaanza kuonekana mbaya na kuambiwa una chuki na wanaume na kuvikwa sifa zote mbaya na kuitwa majina yote mabaya but huwa sipanic kwa sababu najua hayo yote hayana ukweli ila wanaume tu wameshajengewa ego na mentality ya kwamba wao kufanya makosa ni sawa hivyo hawatakiwi kukosolewa wala kukubali makosa kwa namna yoyote wao ni innocent
[emoji1621]Ukisema population ratio nitakuuliza swali wewe umetumia takwimu zipi kujiaminisha hivyo wakati takwimu za sensa ya mwisho mwaka 2022 hapa Tanzania zinasema wanawake wa Tanzania bara ni wengi (51.3%)kuliko wanaume(48.7%),uwiano wa kijinsia yaani population ratio ni wanaume 95 kwa kila wanawake 100. Halafu toa idadi ya wanaume watoto, chini ya miaka 18,toa wanaume wazee waliochoka kabisa miili yao, toa wanaume wasiopenda wanawake wengi (monogamy/one woman man, simps),toa mapadre, toa wafungwa, toa mahanithi, toa mashoga, halafu tafuta ratio upate mwanaume m'moja ana uwiano na wanawake wangapi katika population yetu ambayo 76% ya wanawake wapo active kingono yaani wanafanya sana mapenzi na wapo sokoni, zingatia kuwa mabinti wanaanza kuingiliwa wakiwa na miaka 15 kwenda juu idadi ikiongezeka kadiri umri ukipanda, toa wanawake wazee na wale wenye obesity ambao wengi ndio wanaweza tumika kama sample ya wanawake ambao wapo inactive sana kingono sababu ya miili yao kuwa mizito sana au uzee, jazia na wagonjwa na wale wenye changamoto za kisaikolojia ambao ni wachache sana. Pay heed on that. Hizo nimekupa ni takwimu za watu wa sensa lakini nimekuchanganyia na takwimu za seminars za wizara mbali mbali za ustawi wa jamii na afya.

Wewe unatoka wapi na hizo rationalized averages zako za kubuni kichwani? [emoji848] Kukusaidia tu, idadi kubwa ya wanaume ni vijana walio chini ya miaka 18 yaani watoto, waliobakia ni wanacheza hapo kati ya 18 hadi 55 kisha kuna wazee age ya kustaafu.
That being shown, idadi ya wanaume walio active ni ndogo sana sababu ndani yake kuna Financially broke, kuna wenye shida ya nguvu za kiume kwasababu mbali mbali (kasome ripoti za wizara ya afya nadhani Dar pekee yake),kuna waliooa.

So it means kuna supply kubwa sana ya wanawake ambao wapo sexually active kutokea umri wa miaka 15 hadi 45, na tukiongelea kuolewa hao ni wengi na haitatosha kwa wanaume abled kuoa kuwamaliza hao wote lazima wabakie sababu kuna wanawake wengine wanataka kuolewa ingawa wapo above 45 years.
Sasa unakataa katika sensa hao Mashoga, mapadre, hata wafungwa huwa hawahesabiwi kwamba ni kundi la wanaume ila unawaona wakiwa kwenye ndoa au wanaingizwa katika eneo la Ndoa? Unaona how you lack logic in your arguments? [emoji848] Haya tuambie haya makundi huwa yanamuoa nani au huwa yanafunga ndoa muda gani na kuishi na wake halafu utupe ushahidi maana wewe ni mtu wa Data.

So kwenye hili umefanya alot of assumption na haujatazama uhalisia of which ndio msingi wa ubishi wako kuassume vitu theoretically halafu unawatuhumu wenzako kwa tabia zinazoreflect haiba yako yaani muongo muongo kuita watu wengine waongo. Acha hii tabia.

[emoji1621]Hili ni swali la aina gani sasa, unataka nikwambie sheria ya jumla ya utunzi wa maneno kutoka wapi? Yaani nianze kukupa chanzo cha maneno hapa sasa si utaniuliza kila neno nimelitoa wapi. Asiyeelewa maana hafai kuelezewa chanzo cha maana(asiyejua maana haambiwi maana). Yaani nakuelekeza maana ya kitu kwa lugha ya kueleweka kabisa umeelewa unanihoji nimetumia sheria gani, is this what you call logical thinking? [emoji848] Don't insult my intelligence. Basi na wewe ni kuulize kwann kwenye jamii Mwanaume akipendeza tunasema "Mtanashati" wakati mwanamke akipendeza tunasema "Mrembo". Kwann wanyama na viumbe wengine wanaporeproduce tunasema "Wanazaa" ila kwa Mwanadamu tunasema "Amejifungua". Kwanini mwanaume anatumia " Mr." wanawake wakitumia "Mrs"? Kwann kuku,bata,njiwa wanaitwa "ndege" but ng'ombe, mbuzi, kondoo, punda etc wanaitwa "wanyama" unaweza nipa universal law? [emoji848]

[emoji1621]Sasa umequote huo mstari wa bible kunikanusha eneo gani na nilisema kule juu kuwa dhambi ya mwanaume mwenye dhamira ya kufanya ngono huitwa kufanya uasherati na dhambi ya mwanamke mwenye dhamira ya kufanya ngono huitwa umalaya sababu tayari anatoka na mwanaume zaidi ya m'moja. Kushiriki na mwanamke wa aina hiyo ni uzinifu, nini haujaelewa hapo? Huwezi tumia neno moja kuainisha matendo ya viumbe wasiolingana why unakuwa mbishi? [emoji848] Nenda kajifunze materials zipo huko mtandaoni mbona.

[emoji1621]Ni eneo gani nimekwenda kinyume na maandiko. Kwa kusema wanaume kuoa wake wengi, mfalme Suleiman alikuwa na wake wangapi? [emoji848] Na ni mtume wa MUNGU. Waislam wanaoa wake wangapi? Ingekuwa ni form ya uasherati usingeona humo katika maandiko imekubalika. Haya turudi kwenye tamaduni tu za kiafrika, mababu zetu walikuwa na wake wangapi miaka ya nyuma kabla ninyi mafeminist na hamjaleta ufreemason wenu kwenye jamii? [emoji848]
Kujua ni wapi imekatazwa fanya a simple experiment wewe unaweza kuishi na wanaume marijali 12 ndani ya nyumba moja chumba kimoja kama mke na waume? Utaweza hiyo shughuli? Wanaume inawezekana tena hata wake 20 na sio uasherati huo nikiwaoa kama nitaweza kuwapatia ulinzi, matunzo, muongozo na mfumo mzuri wa kuishi nao. Hakuna sehemu inanikataza kuanzia studies za kisayansi, sheria, katiba, maadili, uchumi, yaani wapi ambapo itakuwa kikwazo kwa mujibu wa maoni yako hebu unambie hapa. Sasa kitu kikiwa hakiwezekani si automatically ni nature imekataza na nature si ni MUNGU au?
Ni wapi nimesema au kuencourage wanaume wafanye uasherati na kwa faida gani kama unaweza kuniquote, kufanya na godoro au wanyama ulikuwa ni mfano wa kukupa picha kuwa mwanaume ana strong urgency na need for sex more than you can assume sijakwambia kwamba wanaume wanatakiwa kubaka ili kutibu urges zao za sex, kwann unapindua na kutwist ili unukuu uongo kwenye aya za wenzako, why do you have this problem? [emoji848]
Mimi elimu ya Bible imelala hapa kama unataka kunipima uwezo wangu nijaribu sio kubahatisha mistari ya bible wakati unasoma bible jumapili tu me Bible ninaisoma ile ya kusoma kuielewa kama gazeti sio ile ya mwamposa kunambia nikasome sura fulani kitabu fulani kwa maono yake. I read my holly books dare to test me on that subject if you wish.

Hakuna sehemu nimebadili gear acha kuleta janja ya nyani hapa. Nilichosema ni kile kile. Kujitunza kwa mwanaume hakuna uhusiano na kujitunza kwa mwanamke. Wanaume wanaanza sex very late na katika young age wanaume wanakuwa very honest and true lovers sababu ya kukosa resources za kusettle down na mabinti wa umri wa rika lao. Zamani iliwezekana sababu wazazi walikuwa wakali na mabinti hawakuwa promiscuous kulala na watu waliowazidi age mates wao wa kiume eneo la umri na mali. But kwa sasa ni tofauti, young men still don't mature at a fast rate compared to young women ambao at age 15 going above tayari wanaanza kuruka na waliowazidi age, hii tayari ni changamoto ya kitabia upande wa kikeni ambayo has nothing to do with Men ambao ni age mates wao. Sasa why wewe unakuja wablame baadae kuwa its their fault hawa mabinti kutojitunza,hapa ndipo mimi nakuelekeza na wewe umepang'ang'ania.

Why kwanza una assume kuwa wanawake hawana moral responsibility ya kutunza miili yao hadi wakati wakulipiwa mahari na kuolewa ndipo tuanzie hapo but unaburuza buruza point zako kukwepa hili eneo, where is your accountability? [emoji848] Narrative yako ni wanaume wanasababisha wanawake kutojitunza so na huko mabarabarani ajali zikitokea walaumiwe matraffiki? Au wanafunzi wanapofeli tuwalaumu walimu tu, why unakwepa kutambua fault ya mwanamke katika kuzembea kutunza mwili wake na kujisitiri hadi atakapopata ndoa. Unaleta story za wanaume hawaoi hadi wapewe mzigo, of course ukiwa sio bikra kwann umzuie sasa kulala na wewe ili atazeme usije ukawa bwawa huko chini but kama ungekuwa ni bikra ulikuwa na nguvu ya kusema mbele ya kikao cha mahari kuwa kama utakuta nimeingiliwa mahari yako itarejeshwa na gharama zote ukigundua si bikra na nimeingiliwa. Sasa hapo kigumu cha kuelewa ni kipi hadi unazungukazunguka na hoja za kuokota okota? [emoji848]
Kwani ukiwa na akili na utashi ndio sifa ya kutokuwa chini ya mamlaka, basi kama huo ndio ukweli then why wasomi wenye Phd na elimu kubwa wanaajiriwa na watu wasio na elimu kabisa. Same kwa mwanamke kutawaliwa na mwanaume its a given privilege by nature mwanamke anapata kupitia hiyo privilege na mwanaume anapata kupitia hiyo privilege. Au unasahau kitu kinachoitwa Meritocracy privilege ya kijinsia!

Wewe hebu acha tabia ya kubambikia watu tabia, mimi ni wapi umeshawahi kuona natetea masingle mother? [emoji848] Okay ngoja nikuandikie hapa ili ujue ideologies ambazo nipo nazo kinyume, Single mothers, feminism, Equal rights (50/50), Western ideologies maeneo ya sexuality, Western democracy and Political influence hizo mada huwezi kuta nazicondone popote acha kunipakazia.
Nawaponda wanaume wenzangu eneo gani kama ukiwa specific? Naomba uonyeshe ushahidi wa mimi kuponda wanaume wenzangu nasisitiza uonyeshe ushahidi. Me ni Masculinist wa mlengo wa MGTOW, my character intrinsically ni "Sigma male". Where do you come off with these fake, wrong and assumptive ideas about how i operate? [emoji848]

Nakazania kusema wanawake hawarubuniwi kwasababu nafahamu kuwa wanaoufahamu and full knowledge wanapokuwa wanakosea why sasa wakisha haribu wanataka blames ziende kwa wanaume na wao waonekane walirubuniwa, make that make sense? [emoji848]
Mwanaume wa kupiga na kusepa huwa anajulikana, hatokwambia nipeleke kwa wazazi wako nikajitambulishe nilete mahari nikuoe then tuishi pamoja, atakwambia njoo kidimbwi, atakutumia laki ya nauli, atakuuliza unapenda simu gani ya bei na atakupa pesa ya kulipia saloon ya gharama, wewe kama unaakili timamu umeshawi kuona wapi mtu anaanza kulima kwenye shamba au kujenga kwenye kiwanja ambacho hajakimiliki wala hana hati nacho si mtego huo? Sasa why uchekee kupewa offer na unajua wewe si mke halali. Hebu acha kujitoa ufahamu hapa usineletee story za wanawake ni dhaifu wanarubuniwa.[emoji19][emoji19][emoji19]
Nafanya generalization sababu ndio ukweli huo kwasasa 90% ya mabinti wanadanga. Ukimwambia njoo tuanzie chini kwenye chumba kimoja hatojibu haya sms zako. Ukimjia na VX plate namba ni DFP au SU anakupa hadi nyuma sasa hapo unalaumu wanaume, hivi upo serious wewe? [emoji848]
Tufanye wanaume huwa wanakwenda hadi kulipia mahari ili kuwadanganya wanawake. Je hayo matukio hutokea kwa idadi gani, 10%,50%,80% au ni 100% ya wanaume wanaorubuni mabinti hufika hatua ya mahari kabisa na hata ndoa? Unajua wewe upo vema sana kwenye kuexaggerate informal Data zako? Sawa kila mtu anayohaki ya kupresent observation zake kwa kutumia primary data source, lakini wewe una fanya misconduct ya kuabuse hii privilege kwa kwenda mbali na kucook data zako kwa kutumia pressure cooker (your head) the unazipresent as some official and accurate data in the statistics board. Acha hii tabia.

Tazama namna una admit kuwa wanawake wanakosea ila hautaki ijulikane unatumia kama nukuu kuwa "hata wewe umetoka kusema" yaani kukiri ukweli unaowajibisha wanawake kwako ni tatizo.

Jifunze matumizi sahihi ya neno kurubuniwa. Hapo wanawake wanakuwa wamefanya kitu kinaitwa kusaliti kiapo. Kurubuni ni kitendo cha muda mfupi sana. Ila kukaa na mtu miaka hadi mpate mali na umbadilikie huwezi ita ni kurubuni. Na ukumbuke huu muda wote mwanaume anakuwa ameshaanza ona red flags anachagua tu kuwa mpole ili siku ziende ili aishi kwa amani na mkewe but sio kwamba hajui kuwa kashasalitiwa kwenye kiapo cha mapenzi ya kweli.
But rubuni tunayoongelea katika eneo la mwanaume ni wewe binti unajua kabisa huyu ni mume wa mtu au ni mwanaume anaezaa hovyo na wanawake (mfano diamond platinum) then unaishawishi akili yako kukubali akupe offer ya kitu ambacho kitatumika kama collateral ya yeye kupewa ruhusa ya kulala na wewe.
Umeona kinachotokea? Kwenye kurubuniwa unakuwa unajua kabisa kuwa hapa sipo mazingira salama na unakubali mwenyewe kucheza na hatari ila unachagua kitu ambacho atakupa kama kafara ili umpe ruhusa wewe kama mtoto wa kike. So watoe wanaume katika hii confusion. Mfumo dume umeingiaje tena hapa? [emoji848]

Haujaelewa mifano yangu for the same reason why unabisha vitu kabla ya kuvielewa,LACK OF LOGICAL REASONING AND THINKING.

Serikali unayoijua wewe hapa Tanzania ina viongozi wachukia rushwa au wala rushwa, sasa kupinga rushwa inatokaje moyoni, yaani waipinga kinafiki. Wewe point yako ikasema watu hawapingi kitu ambacho kinawanufaisha ndio nikakuletea hiyo mifano kuwa wanasiasa wanopinga rushwa kwenye majukwaa ila nyuma ya pazia wanaitumia kuendesha maisha yao, marekani anakemea vita ila 90% ya conflicts na vita yeye ndie ignitor wa hizo conflicts, wachungaji wanakemea maovu ila nyuma ya pazia wanazini na wake za watu, wanakula sadaka za wajane na yatima, wanaibia watu kwa kisingizio cha sadaka, na kuwauzia wrong and false prophecy yaani kudanganya. Sasa ni wapi nilisema kuwa hawayapingi kabisa, yaani unaona unavyotwist hadi mfano wangu mwenyewe ambao niliutengeneza kwa logic yangu unakuja kutwist ionekane mimi nimeongea kinyume na kauli yangu mwenyewe unaona ushindi wako unavyoutafuta kwa mbinde na kwa njia za uongo uongo? [emoji848] Mimi nakusoma huku najibu wewe unasoma kisha unajibu general ndio maana unajikuta unahama reli na kuhamisha magoli, haya nenda kwenye reply yangu halafu nionyeshe ni wapi nilisema kuwa hao niliowataja hawayapingi kabisa hayo mambo. Naomba uende ukanisome tena halafu kasome ni wapi nilikuwa nimekutolea hiyo mifano na wewe ulikuwa umeongea kitu gani hadi nikakutungia hiyo mifano. Hebu acha kutwist statements zangu ili kuescape misconception zako bana. I have all the time in the world kusoma na kurejea hoja tunazojibishana hapa. Nenda kanionyeshe niliposema hayo maneno please. Kugeuka psychologist na philosophers ni matokeo ya kuwa na intellect mindsets za kushape behavior misconduct sasa ukitaka tukiona shida tukae kimya ebo.


Mtu kuku attack personally ni matokeo ya vitu viwili, aidha umemshinda points na amekosa cha kukujibu sababu ni mwupe kichwani au ni kwasababu wewe una lack consistency kwenye hoja zako, unasema jambo kisha likijibiwa unauliza swali tena juu ya jambo hilo hilo matokeo yake unampa hasira anayezungumza na wewe naona kama anajichosa na hawezi kukuacha uendelee kupotoka so kukuattack personally ni namna ya kukushusha speed ya kuchenga ili uende straight kwa hoja zako ama ukubali.

Nitafupa mifano, mfano wewe ni kiongozi mzuri na mwenye elimu, halafu kipindi cha uchaguzi unatakiwa kwenda kuomba kura dhidi ya wapinzani wako ambao nao wana elimu kama wewe ila nyote mnaomba kura kwa raia wasio na elimu na wasio wafuatiliaji. Sasa wakati wa kujenga hoja yule mpinzani kila unapotoa hoja yako yenye uzito anatake advantage ya ujinga wa raia kuwaambia unawadanganya na raia wanajikuta hawakuamini au kukuuliza maswali randomly ambayo hayana mantiki eneo la kujenga hoja za kimaendeleo ila ni kukupima kuwa ni kweli wewe ni muongo ama la. Automatically utajikuta unaanza kumuattack huyu opponent wako sababu anakuharibia ujenzi wako wa hoja za msingi badala na yeye kujenga zake. So u see how it happens, is that personal? [emoji848]

So most of the times wanaume wanapokuja na thread zao wewe huwa unaingia na kuhoji vitu ambavyo ni obvious kwa mtu mwenye upeo anaweza kuwa na majibu but unakuwa kama una ajenda ya kumchoresha mleta uzi, matokeo anaishia kukuattack then wewe una assume ni personal attack kumbe ni namna ya kuextinguish inconsistent yako. Yaani kama ni vitani ndio ile adui anakupiga haumuoni ila unaona risasi kama mvua unachofanya ni kuita air support zinashushwa mvua za mabomu eneo zima zinapotokea risasi ghafla inakuwa kimya. So don't take things personal especially where you are definitely lack consistency and order in formal or even informal discussions.

Inawezekana kwenye maisha ya nje unajiconduct vizuri but huku mtandaoni kama JF is where you go vigilant and aggressive against your public pretence.

Contrary to your beliefs kuwa wanaume ndio likely kuwa Misogynistic but i have bad news for you, women ndio wameshika office kwenye wizara kuu ya Misogyny. Meaning kuwa wanawake ndio highly na most self unaware misogynists by passion. Unakata proof i will provide for you.

Misogyny ni chuki dhidi ya uanamke sio kuchukia wanawake, elewa tofauti. Naweza kuonekana naongea negative na hovyo juu ya wanawake lakini nikampenda mama yangu, dada yangu, mke wangu, watoto wangu wa kike,na nina marafiki wa kike ambao ninashirikiana nao kwenye shughuli za kawaida za kijamii. But maneno yangu ya chuki na jazba yakawa ni matokeo ya kukumbuka mabaya aliyonifanyia X wangu au X zangu na sijaheal yale maumivu. So ukiona mwanaume anasema kwa jazba na hasira wanawake wote Malaya, wasnge, takataka jiulize swali moja, ameshatembea na wanawake wote na katika hao wanawake wote wewe mlikutana wapi? [emoji848] So definitely kuna mwanamke au wanawake anashindwa wataja ila ndie anaelengwa na hilo neno ambao walimpa maumivu. So why do you get offended by someone's past depicted through his emotions? [emoji848]

Turudi kwa wanawake sasa, wanawake ni number one misogynists kwasababu wanachukia uanamke au kuwa mwanamke na sio wanawake. Na utajua hili kwa namna wanavyokuwa busy kuprove what a man can do a woman can do too. Meaning hawapendi kuwa wanawake wanataka kuwa wanaume. Hauoni kwann wanaume miaka hii wanagoma sana kuoa sababu wameshanusa hii chuki ya unamke unakaa na kiumbe ambaye anataka kuwa katika nafasi yako na sio kuwa katika nafasi yake ya asili. Sio wote ila majority ya wanawake ni misogynists utawajua kwa namna wanachukia kuassume majukumu ya kike na kutaka majukumu ya kiume even when its not necessary or convenient kwao na wanaweza kwenda mbali zaidi na kuchukia wanawake wenzao wanaokaa katika nafasi ya kuwa mwanamke kama kuwa mama wa nyumbani,mzembe,mvivu,sio mpambanaji, goalkeeper etc yote hiyo kumuonyesha huyo mwanamke kuwa anakosea kuwa mwanamke kwa kufanya uanamke. Mbona wanaume wanatake pride ya uanaume wao na kufanaya uanaume hadi wanakuwa tayari hata kuumia just to prove a point kuwa kuwa mwanaume ni ufahari.

So kukujibu, unaweza kuwa unatetea wanawake ila deep within spiritually you lack the very same thing yaani uanamke so it means you lack "the real cause" for your movement. Unaweza kutetea wanawake but not necessarily unatetea uanamke. Wanaume on the other hand wanaweza kuwa na maneno makali, kauli mbaya na lugha chafu ila wanapambana na wanawake ambao wana abuse au kuuinsult uanamke. Na kama utakumbuka vema kwenye moja ya reply zangu nilisemea hili kuwa wanaume tunapambana sana katika kulinda heshima ya mwanamke dhidi ya wanawake hao hao. Mfano wewe hapa tunaandikiana magazeti ila chanzo ni wewe hutaki mimi na wenzangu tukemee tabia mbaya za wanawake kwa kisingizio kuwa na sisi tuna mbaya yetu so tufocus na mabaya yetu tuwaache wanawake na mabaya yao, je nikuulize, wewe umezuiliwa kukemea mabaya ya wanaume (sio kuwalaumu na kuwashambulia kwa kukemea wanawake)? Tuonyeshe njia kwasababu sisi wanaume tunaonyesha yenu ila yetu tunaficha so you must definitely have a list of wrongful things made do, why don't you expose us kwa threads ndefu kama hizi reply zako? [emoji848]

Kwann usifanye jukumu lako kama mwanamke la kuwacheki wanaume kwa uovu wao (usilete story ya kwani haujui mabaya yenu?) Why do you do the honors of starting the trend of threading about Men, and i promise you i'll gladly join your quest for justice.

[emoji1535][emoji441] Kwako Jadda
 
Ukisema population ratio nitakuuliza swali wewe umetumia takwimu zipi kujiaminisha hivyo wakati takwimu za sensa ya mwisho mwaka 2022 hapa Tanzania zinasema wanawake wa Tanzania bara ni wengi (51.3%)kuliko wanaume(48.7%),uwiano wa kijinsia yaani population ratio ni wanaume 95 kwa kila wanawake 100. Halafu toa idadi ya wanaume watoto, chini ya miaka 18,toa wanaume wazee waliochoka kabisa miili yao, toa wanaume wasiopenda wanawake wengi (monogamy/one woman man, simps),toa mapadre, toa wafungwa, toa mahanithi, toa mashoga, halafu tafuta ratio upate mwanaume m'moja ana uwiano na wanawake wangapi katika population yetu ambayo 76% ya wanawake wapo active kingono yaani wanafanya sana mapenzi na wapo sokoni, zingatia kuwa mabinti wanaanza kuingiliwa wakiwa na miaka 15 kwenda juu idadi ikiongezeka kadiri umri ukipanda, toa wanawake wazee na wale wenye obesity ambao wengi ndio wanaweza tumika kama sample ya wanawake ambao wapo inactive sana kingono sababu ya miili yao kuwa mizito sana au uzee, jazia na wagonjwa na wale wenye changamoto za kisaikolojia ambao ni wachache sana. Pay heed on that. Hizo nimekupa ni takwimu za watu wa sensa lakini nimekuchanganyia na takwimu za seminars za wizara mbali mbali za ustawi wa jamii na afya.

Wewe unatoka wapi na hizo rationalized averages zako za kubuni kichwani? Kukusaidia tu, idadi kubwa ya wanaume ni vijana walio chini ya miaka 18 yaani watoto, waliobakia ni wanacheza hapo kati ya 18 hadi 55 kisha kuna wazee age ya kustaafu.
That being shown, idadi ya wanaume walio active ni ndogo sana sababu ndani yake kuna Financially broke, kuna wenye shida ya nguvu za kiume kwasababu mbali mbali (kasome ripoti za wizara ya afya nadhani Dar pekee yake),kuna waliooa.

So it means kuna supply kubwa sana ya wanawake ambao wapo sexually active kutokea umri wa miaka 15 hadi 45, na tukiongelea kuolewa hao ni wengi na haitatosha kwa wanaume abled kuoa kuwamaliza hao wote lazima wabakie sababu kuna wanawake wengine wanataka kuolewa ingawa wapo above 45 years.
Sasa unakataa katika sensa hao Mashoga, mapadre, hata wafungwa huwa hawahesabiwi kwamba ni kundi la wanaume ila unawaona wakiwa kwenye ndoa au wanaingizwa katika eneo la Ndoa? Unaona how you lack logic in your arguments?
Haya tuambie haya makundi huwa yanamuoa nani au huwa yanafunga ndoa muda gani na kuishi na wake halafu utupe ushahidi maana wewe ni mtu wa Data.

So kwenye hili umefanya alot of assumption na haujatazama uhalisia of which ndio msingi wa ubishi wako kuassume vitu theoretically halafu unawatuhumu wenzako kwa tabia zinazoreflect haiba yako yaani muongo muongo kuita watu wengine waongo. Acha hii tabia.

Hili ni swali la aina gani sasa, unataka nikwambie sheria ya jumla ya utunzi wa maneno kutoka wapi? Yaani nianze kukupa chanzo cha maneno hapa sasa si utaniuliza kila neno nimelitoa wapi. Asiyeelewa maana hafai kuelezewa chanzo cha maana(asiyejua maana haambiwi maana). Yaani nakuelekeza maana ya kitu kwa lugha ya kueleweka kabisa umeelewa unanihoji nimetumia sheria gani, is this what you call logical thinking? Don't insult my intelligence. Basi na wewe ni kuulize kwann kwenye jamii Mwanaume akipendeza tunasema "Mtanashati" wakati mwanamke akipendeza tunasema "Mrembo". Kwann wanyama na viumbe wengine wanaporeproduce tunasema "Wanazaa" ila kwa Mwanadamu tunasema "Amejifungua". Kwanini mwanaume anatumia " Mr." wanawake wakitumia "Mrs"? Kwann kuku,bata,njiwa wanaitwa "ndege" but ng'ombe, mbuzi, kondoo, punda etc wanaitwa "wanyama" unaweza nipa universal law?

emoji1621.png
Sasa umequote huo mstari wa bible kunikanusha eneo gani na nilisema kule juu kuwa dhambi ya mwanaume mwenye dhamira ya kufanya ngono huitwa kufanya uasherati na dhambi ya mwanamke mwenye dhamira ya kufanya ngono huitwa umalaya sababu tayari anatoka na mwanaume zaidi ya m'moja. Kushiriki na mwanamke wa aina hiyo ni uzinifu, nini haujaelewa hapo? Huwezi tumia neno moja kuainisha matendo ya viumbe wasiolingana why unakuwa mbishi? Nenda kajifunze materials zipo huko mtandaoni mbona.

emoji1621.png
Ni eneo gani nimekwenda kinyume na maandiko. Kwa kusema wanaume kuoa wake wengi, mfalme Suleiman alikuwa na wake wangapi? Na ni mtume wa MUNGU. Waislam wanaoa wake wangapi? Ingekuwa ni form ya uasherati usingeona humo katika maandiko imekubalika. Haya turudi kwenye tamaduni tu za kiafrika, mababu zetu walikuwa na wake wangapi miaka ya nyuma kabla ninyi mafeminist na hamjaleta ufreemason wenu kwenye jamii?
Kujua ni wapi imekatazwa fanya a simple experiment wewe unaweza kuishi na wanaume marijali 12 ndani ya nyumba moja chumba kimoja kama mke na waume? Utaweza hiyo shughuli? Wanaume inawezekana tena hata wake 20 na sio uasherati huo nikiwaoa kama nitaweza kuwapatia ulinzi, matunzo, muongozo na mfumo mzuri wa kuishi nao. Hakuna sehemu inanikataza kuanzia studies za kisayansi, sheria, katiba, maadili, uchumi, yaani wapi ambapo itakuwa kikwazo kwa mujibu wa maoni yako hebu unambie hapa. Sasa kitu kikiwa hakiwezekani si automatically ni nature imekataza na nature si ni MUNGU au?
Ni wapi nimesema au kuencourage wanaume wafanye uasherati na kwa faida gani kama unaweza kuniquote, kufanya na godoro au wanyama ulikuwa ni mfano wa kukupa picha kuwa mwanaume ana strong urgency na need for sex more than you can assume sijakwambia kwamba wanaume wanatakiwa kubaka ili kutibu urges zao za sex, kwann unapindua na kutwist ili unukuu uongo kwenye aya za wenzako, why do you have this problem?
Mimi elimu ya Bible imelala hapa kama unataka kunipima uwezo wangu nijaribu sio kubahatisha mistari ya bible wakati unasoma bible jumapili tu me Bible ninaisoma ile ya kusoma kuielewa kama gazeti sio ile ya mwamposa kunambia nikasome sura fulani kitabu fulani kwa maono yake. I read my holly books dare to test me on that subject if you wish.

Hakuna sehemu nimebadili gear acha kuleta janja ya nyani hapa. Nilichosema ni kile kile. Kujitunza kwa mwanaume hakuna uhusiano na kujitunza kwa mwanamke. Wanaume wanaanza sex very late na katika young age wanaume wanakuwa very honest and true lovers sababu ya kukosa resources za kusettle down na mabinti wa umri wa rika lao. Zamani iliwezekana sababu wazazi walikuwa wakali na mabinti hawakuwa promiscuous kulala na watu waliowazidi age mates wao wa kiume eneo la umri na mali. But kwa sasa ni tofauti, young men still don't mature at a fast rate compared to young women ambao at age 15 going above tayari wanaanza kuruka na waliowazidi age, hii tayari ni changamoto ya kitabia upande wa kikeni ambayo has nothing to do with Men ambao ni age mates wao. Sasa why wewe unakuja wablame baadae kuwa its their fault hawa mabinti kutojitunza,hapa ndipo mimi nakuelekeza na wewe umepang'ang'ania.

Why kwanza una assume kuwa wanawake hawana moral responsibility ya kutunza miili yao hadi wakati wakulipiwa mahari na kuolewa ndipo tuanzie hapo but unaburuza buruza point zako kukwepa hili eneo, where is your accountability? Narrative yako ni wanaume wanasababisha wanawake kutojitunza so na huko mabarabarani ajali zikitokea walaumiwe matraffiki? Au wanafunzi wanapofeli tuwalaumu walimu tu, why unakwepa kutambua fault ya mwanamke katika kuzembea kutunza mwili wake na kujisitiri hadi atakapopata ndoa. Unaleta story za wanaume hawaoi hadi wapewe mzigo, of course ukiwa sio bikra kwann umzuie sasa kulala na wewe ili atazeme usije ukawa bwawa huko chini but kama ungekuwa ni bikra ulikuwa na nguvu ya kusema mbele ya kikao cha mahari kuwa kama utakuta nimeingiliwa mahari yako itarejeshwa na gharama zote ukigundua si bikra na nimeingiliwa. Sasa hapo kigumu cha kuelewa ni kipi hadi unazungukazunguka na hoja za kuokota okota?
Kwani ukiwa na akili na utashi ndio sifa ya kutokuwa chini ya mamlaka, basi kama huo ndio ukweli then why wasomi wenye Phd na elimu kubwa wanaajiriwa na watu wasio na elimu kabisa. Same kwa mwanamke kutawaliwa na mwanaume its a given privilege by nature mwanamke anapata kupitia hiyo privilege na mwanaume anapata kupitia hiyo privilege. Au unasahau kitu kinachoitwa Meritocracy privilege ya kijinsia!

Wewe hebu acha tabia ya kubambikia watu tabia, mimi ni wapi umeshawahi kuona natetea masingle mother? Okay ngoja nikuandikie hapa ili ujue ideologies ambazo nipo nazo kinyume, Single mothers, feminism, Equal rights (50/50), Western ideologies maeneo ya sexuality, Western democracy and Political influence hizo mada huwezi kuta nazicondone popote acha kunipakazia.
Nawaponda wanaume wenzangu eneo gani kama ukiwa specific? Naomba uonyeshe ushahidi wa mimi kuponda wanaume wenzangu nasisitiza uonyeshe ushahidi. Me ni Masculinist wa mlengo wa MGTOW, my character intrinsically ni "Sigma male". Where do you come off with these fake, wrong and assumptive ideas about how i operate?

Nakazania kusema wanawake hawarubuniwi kwasababu nafahamu kuwa wanaoufahamu and full knowledge wanapokuwa wanakosea why sasa wakisha haribu wanataka blames ziende kwa wanaume na wao waonekane walirubuniwa, make that make sense?
Mwanaume wa kupiga na kusepa huwa anajulikana, hatokwambia nipeleke kwa wazazi wako nikajitambulishe nilete mahari nikuoe then tuishi pamoja, atakwambia njoo kidimbwi, atakutumia laki ya nauli, atakuuliza unapenda simu gani ya bei na atakupa pesa ya kulipia saloon ya gharama, wewe kama unaakili timamu umeshawi kuona wapi mtu anaanza kulima kwenye shamba au kujenga kwenye kiwanja ambacho hajakimiliki wala hana hati nacho si mtego huo? Sasa why uchekee kupewa offer na unajua wewe si mke halali. Hebu acha kujitoa ufahamu hapa usineletee story za wanawake ni dhaifu wanarubuniwa.
Nafanya generalization sababu ndio ukweli huo kwasasa 90% ya mabinti wanadanga. Ukimwambia njoo tuanzie chini kwenye chumba kimoja hatojibu haya sms zako. Ukimjia na VX plate namba ni DFP au SU anakupa hadi nyuma sasa hapo unalaumu wanaume, hivi upo serious wewe?
Tufanye wanaume huwa wanakwenda hadi kulipia mahari ili kuwadanganya wanawake. Je hayo matukio hutokea kwa idadi gani, 10%,50%,80% au ni 100% ya wanaume wanaorubuni mabinti hufika hatua ya mahari kabisa na hata ndoa? Unajua wewe upo vema sana kwenye kuexaggerate informal Data zako? Sawa kila mtu anayohaki ya kupresent observation zake kwa kutumia primary data source, lakini wewe una fanya misconduct ya kuabuse hii privilege kwa kwenda mbali na kucook data zako kwa kutumia pressure cooker (your head) the unazipresent as some official and accurate data in the statistics board. Acha hii tabia.

Tazama namna una admit kuwa wanawake wanakosea ila hautaki ijulikane unatumia kama nukuu kuwa "hata wewe umetoka kusema" yaani kukiri ukweli unaowajibisha wanawake kwako ni tatizo.

Jifunze matumizi sahihi ya neno kurubuniwa. Hapo wanawake wanakuwa wamefanya kitu kinaitwa kusaliti kiapo. Kurubuni ni kitendo cha muda mfupi sana. Ila kukaa na mtu miaka hadi mpate mali na umbadilikie huwezi ita ni kurubuni. Na ukumbuke huu muda wote mwanaume anakuwa ameshaanza ona red flags anachagua tu kuwa mpole ili siku ziende ili aishi kwa amani na mkewe but sio kwamba hajui kuwa kashasalitiwa kwenye kiapo cha mapenzi ya kweli.
But rubuni tunayoongelea katika eneo la mwanaume ni wewe binti unajua kabisa huyu ni mume wa mtu au ni mwanaume anaezaa hovyo na wanawake (mfano diamond platinum) then unaishawishi akili yako kukubali akupe offer ya kitu ambacho kitatumika kama collateral ya yeye kupewa ruhusa ya kulala na wewe.
Umeona kinachotokea? Kwenye kurubuniwa unakuwa unajua kabisa kuwa hapa sipo mazingira salama na unakubali mwenyewe kucheza na hatari ila unachagua kitu ambacho atakupa kama kafara ili umpe ruhusa wewe kama mtoto wa kike. So watoe wanaume katika hii confusion. Mfumo dume umeingiaje tena hapa?

Haujaelewa mifano yangu for the same reason why unabisha vitu kabla ya kuvielewa,LACK OF LOGICAL REASONING AND THINKING.

Serikali unayoijua wewe hapa Tanzania ina viongozi wachukia rushwa au wala rushwa, sasa kupinga rushwa inatokaje moyoni, yaani waipinga kinafiki. Wewe point yako ikasema watu hawapingi kitu ambacho kinawanufaisha ndio nikakuletea hiyo mifano kuwa wanasiasa wanopinga rushwa kwenye majukwaa ila nyuma ya pazia wanaitumia kuendesha maisha yao, marekani anakemea vita ila 90% ya conflicts na vita yeye ndie ignitor wa hizo conflicts, wachungaji wanakemea maovu ila nyuma ya pazia wanazini na wake za watu, wanakula sadaka za wajane na yatima, wanaibia watu kwa kisingizio cha sadaka, na kuwauzia wrong and false prophecy yaani kudanganya. Sasa ni wapi nilisema kuwa hawayapingi kabisa, yaani unaona unavyotwist hadi mfano wangu mwenyewe ambao niliutengeneza kwa logic yangu unakuja kutwist ionekane mimi nimeongea kinyume na kauli yangu mwenyewe unaona ushindi wako unavyoutafuta kwa mbinde na kwa njia za uongo uongo? Mimi nakusoma huku najibu wewe unasoma kisha unajibu general ndio maana unajikuta unahama reli na kuhamisha magoli, haya nenda kwenye reply yangu halafu nionyeshe ni wapi nilisema kuwa hao niliowataja hawayapingi kabisa hayo mambo. Naomba uende ukanisome tena halafu kasome ni wapi nilikuwa nimekutolea hiyo mifano na wewe ulikuwa umeongea kitu gani hadi nikakutungia hiyo mifano. Hebu acha kutwist statements zangu ili kuescape misconception zako bana. I have all the time in the world kusoma na kurejea hoja tunazojibishana hapa. Nenda kanionyeshe niliposema hayo maneno please. Kugeuka psychologist na philosophers ni matokeo ya kuwa na intellect mindsets za kushape behavior misconduct sasa ukitaka tukiona shida tukae kimya ebo.


Mtu kuku attack personally ni matokeo ya vitu viwili, aidha umemshinda points na amekosa cha kukujibu sababu ni mwupe kichwani au ni kwasababu wewe una lack consistency kwenye hoja zako, unasema jambo kisha likijibiwa unauliza swali tena juu ya jambo hilo hilo matokeo yake unampa hasira anayezungumza na wewe naona kama anajichosa na hawezi kukuacha uendelee kupotoka so kukuattack personally ni namna ya kukushusha speed ya kuchenga ili uende straight kwa hoja zako ama ukubali.

Nitafupa mifano, mfano wewe ni kiongozi mzuri na mwenye elimu, halafu kipindi cha uchaguzi unatakiwa kwenda kuomba kura dhidi ya wapinzani wako ambao nao wana elimu kama wewe ila nyote mnaomba kura kwa raia wasio na elimu na wasio wafuatiliaji. Sasa wakati wa kujenga hoja yule mpinzani kila unapotoa hoja yako yenye uzito anatake advantage ya ujinga wa raia kuwaambia unawadanganya na raia wanajikuta hawakuamini au kukuuliza maswali randomly ambayo hayana mantiki eneo la kujenga hoja za kimaendeleo ila ni kukupima kuwa ni kweli wewe ni muongo ama la. Automatically utajikuta unaanza kumuattack huyu opponent wako sababu anakuharibia ujenzi wako wa hoja za msingi badala na yeye kujenga zake. So u see how it happens, is that personal?

So most of the times wanaume wanapokuja na thread zao wewe huwa unaingia na kuhoji vitu ambavyo ni obvious kwa mtu mwenye upeo anaweza kuwa na majibu but unakuwa kama una ajenda ya kumchoresha mleta uzi, matokeo anaishia kukuattack then wewe una assume ni personal attack kumbe ni namna ya kuextinguish inconsistent yako. Yaani kama ni vitani ndio ile adui anakupiga haumuoni ila unaona risasi kama mvua unachofanya ni kuita air support zinashushwa mvua za mabomu eneo zima zinapotokea risasi ghafla inakuwa kimya. So don't take things personal especially where you are definitely lack consistency and order in formal or even informal discussions.

Inawezekana kwenye maisha ya nje unajiconduct vizuri but huku mtandaoni kama JF is where you go vigilant and aggressive against your public pretence.

Contrary to your beliefs kuwa wanaume ndio likely kuwa Misogynistic but i have bad news for you, women ndio wameshika office kwenye wizara kuu ya Misogyny. Meaning kuwa wanawake ndio highly na most self unaware misogynists by passion. Unakata proof i will provide for you.

Misogyny ni chuki dhidi ya uanamke sio kuchukia wanawake, elewa tofauti. Naweza kuonekana naongea negative na hovyo juu ya wanawake lakini nikampenda mama yangu, dada yangu, mke wangu, watoto wangu wa kike,na nina marafiki wa kike ambao ninashirikiana nao kwenye shughuli za kawaida za kijamii. But maneno yangu ya chuki na jazba yakawa ni matokeo ya kukumbuka mabaya aliyonifanyia X wangu au X zangu na sijaheal yale maumivu. So ukiona mwanaume anasema kwa jazba na hasira wanawake wote Malaya, wasnge, takataka jiulize swali moja, ameshatembea na wanawake wote na katika hao wanawake wote wewe mlikutana wapi? So definitely kuna mwanamke au wanawake anashindwa wataja ila ndie anaelengwa na hilo neno ambao walimpa maumivu. So why do you get offended by someone's past depicted through his emotions?

Turudi kwa wanawake sasa, wanawake ni number one misogynists kwasababu wanachukia uanamke au kuwa mwanamke na sio wanawake. Na utajua hili kwa namna wanavyokuwa busy kuprove what a man can do a woman can do too. Meaning hawapendi kuwa wanawake wanataka kuwa wanaume. Hauoni kwann wanaume miaka hii wanagoma sana kuoa sababu wameshanusa hii chuki ya unamke unakaa na kiumbe ambaye anataka kuwa katika nafasi yako na sio kuwa katika nafasi yake ya asili. Sio wote ila majority ya wanawake ni misogynists utawajua kwa namna wanachukia kuassume majukumu ya kike na kutaka majukumu ya kiume even when its not necessary or convenient kwao na wanaweza kwenda mbali zaidi na kuchukia wanawake wenzao wanaokaa katika nafasi ya kuwa mwanamke kama kuwa mama wa nyumbani,mzembe,mvivu,sio mpambanaji, goalkeeper etc yote hiyo kumuonyesha huyo mwanamke kuwa anakosea kuwa mwanamke kwa kufanya uanamke. Mbona wanaume wanatake pride ya uanaume wao na kufanaya uanaume hadi wanakuwa tayari hata kuumia just to prove a point kuwa kuwa mwanaume ni ufahari.

So kukujibu, unaweza kuwa unatetea wanawake ila deep within spiritually you lack the very same thing yaani uanamke so it means you lack "the real cause" for your movement. Unaweza kutetea wanawake but not necessarily unatetea uanamke. Wanaume on the other hand wanaweza kuwa na maneno makali, kauli mbaya na lugha chafu ila wanapambana na wanawake ambao wana abuse au kuuinsult uanamke. Na kama utakumbuka vema kwenye moja ya reply zangu nilisemea hili kuwa wanaume tunapambana sana katika kulinda heshima ya mwanamke dhidi ya wanawake hao hao. Mfano wewe hapa tunaandikiana magazeti ila chanzo ni wewe hutaki mimi na wenzangu tukemee tabia mbaya za wanawake kwa kisingizio kuwa na sisi tuna mbaya yetu so tufocus na mabaya yetu tuwaache wanawake na mabaya yao, je nikuulize, wewe umezuiliwa kukemea mabaya ya wanaume (sio kuwalaumu na kuwashambulia kwa kukemea wanawake)? Tuonyeshe njia kwasababu sisi wanaume tunaonyesha yenu ila yetu tunaficha so you must definitely have a list of wrongful things made do, why don't you expose us kwa threads ndefu kama hizi reply zako?

Kwann usifanye jukumu lako kama mwanamke la kuwacheki wanaume kwa uovu wao (usilete story ya kwani haujui mabaya yenu?) Why do you do the honors of starting the trend of threading about Men, and i promise you i'll gladly join your quest for justice.

Kwako Jadda
Hivi kwanza kwanini unapenda na unalazimisha kunilisha maneno sasa kuhusu population ni wapi mimi nimeiandika hiyo population ratio ambayo wewe unadai ni ya kubuni wakati mimi niliuliza swali je unaifahamu population ratio kati ya wanaume na wanawake kwa tanzania na duniani, kuhusu wanaume wengi kuwa na umri chini ya miaka 18 unaonaje ukaleta na hizo takwimu hapa badala ya kujitungia propaganda zako mradi tu ionekane wanawake ni wengi kuliko wanaume, halafu na hizo factors ulizosema kwamba ndio zinapunguza idadi ya wanaume mbona hata kwa wanawake zinawakuta na zinapunguza idadi yao hata kama siyo kwa uwiano sawa lakini bado inakuwa imepungua tofauti na ninyi mnavyo assume kwamba idadi ya wanawake iko constant, halafu acha kunigeuzia kibao mimi nilisema hao wanaume ambao wanaangukia kwenye hayo makundi ya ushoga, upadre, kufungwa jela sijui kufa mapema nk hata ukitoa idadi yao bado siyo wengi kihivyo kiasi cha kusema kwamba eti wanaobaki ni wachache sana kila mmoja anaweza kujitwalia wanawake zaidi ya mmoja, sasa wewe unakuja kusema eti mimi nimewahesabia hao walioko kwenye hayo makundi kama wanaume wanaoweza kuoa hebu kuwa makini basi kabla ya kujibu

Halafu hapo unaposema kwamba tuwatoe wanaume simps ambao wanaoa mwanamke mmoja umeelewa ulichokiandika kweli kwani hao simps siyo wanaume active au marijali mind you hapa tunaongelea ile sifa ya tamaa waliyonayo wanaume wote duniani ya kuwa na wanawake zaidi ya mmoja, na wanaume wanaotakiwa kuwa excluded hapa ni wale ambao wako sexually inactive kwa sababu zozote zile (ambao nao siyo wengi kama unavyojaribu kuonesha hapa) sasa mwanaume kuwa simp au kuoa mwanamke mmoja haihusiani na kuwa sexually inactive bali ni maamuzi binafsi tu, na hata mwanaume kuwa na changamoto za kiuchumi haimfanyi kuwa sexually inactive na haimzuii kuwa na wanawake zaidi ya mmoja kwahiyo hapo umedanganya and that proves kwamba kumbe wanaume wakiamua wana uwezo kabisa wa kuwa na mwanamke mmoja ila kujifanya hamuwezi ni kujiendekeza tu, by the way hivi unafahamu kwamba kuna nchi wanaume ndio wengi kuliko wanawake sasa je other factors being constant unadhani hao wanaume wa kwenye hizo nchi wanaishije mind you hapa tunaongelea characteristics za wanaume na wanawake wote duniani na siyo wa jamii fulani tu kwahiyo unapojadili hoja zako jitahidi kuconsider hilo ili tuende sawa

Na pengine ambako naona huongei uhalisia ni unaposema kwamba eti wanawake wanaanza kuolewa wakiwa na miaka 15 je dunia ya leo ni wanawake wangapi wanaoanza kuolewa katika umri huo au mwenzetu bado unaishi enzi za babu na bibi zetu ambapo hilo jambo lilikuwa kawaida na kujifanya umesahau kwamba dunia imebadilika, ujue nimegundua tofauti yangu na wewe ni kwamba wewe hoja zako ni zile za "mwanaume anaweza au hawezi kufanya jambo fulani" au "mwanamke anaweza au hawezi kufanya jambo fulani" while mimi hoja zangu ni "mwanaume anafanya au hafanyi jambo fulani" au "mwanamke anafanya au hafanyi jambo fulani", yani kwa kifupi wewe hoja zako ziko more theoretical while zangu ziko more practical sasa hapa tuongee uhalisia yani hali halisi ambayo ipo kwenye dunia ya leo kwahiyo unapoliongelea jambo jitahidi kubase kwenye uhalisia kwamba je hilo jambo linafanyika na siyo kubase kwenye assumptions kwamba linaweza kufanyika, sawa linaweza kufanyika lakini je kwenye uhalisia linafanyika kama unavyosema okay tuseme ni kweli wanawake wanaweza kuanza kuolewa kuanzia miaka 15 lakini je kwenye dunia ya leo ni wanawake wangapi wako tayari kuolewa katika umri huo kulinganisha na ilivyokuwa zamani

Halafu hapo kwenye blah blah zako za population naona umesahau huu mjadala ulipoanzia kwamba tumekubaliana kuwa wanawake wote wanatakiwa kujitunza si ndio yani tuassume kwamba wanawake wote elewa neno wote wanajitunza, ndio mimi nataka kujua kwamba wanawake wakijitunza wanaume watakuwa wanafanya na kina nani wewe ndio ukasema kwamba eti wanaume hawawezi kukosa wanawake wa kufanya nao, kwa sababu sijui eti mwanaume anaweza kuwa na wanawake kuanzia wawili hata 20 na kuendelea sasa hao 20 atafanya nao kivipi wakati tumekubaliana kwamba wanawake wote wanatakiwa wajitunze hadi pale watakapoolewa, kwahiyo bado sijaona huo uhusiano wa wanawake kujitunza na wanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja na ulipojicontradict ndio hapo kwamba unasema wanawake wajitunze hadi ndoa halafu hapo hapo unasema tena wanaume hawawezi kuishi bila sex hivyo hawawezi kuvumilia hadi waoe ndio wafanye, sasa hapo wanakuwa na options mbili tu wanatakiwa wachague moja ni either watavumilia kitu ambacho umesema hawawezi au watatafuta mbinu za kuendelea kuwashawishi wanawake ili wafanye nao kabla ya ndoa na ndio hapo hilo suala linapokuja kushindikana na ndio maana nasema msiwalaumu wanawake sababu ninyi wenyewe hamjui mnachokitaka

Hapo kwenye hayo maneno uzinzi, uasherati, umalaya umedanganya bana we jamaa mbona muongo hivyo yani unajitungia kabisa maana zako mwenyewe halafu nikikuhoji msingi wa hizo tafsiri zako unajifanya unatoa mifano ya maneno mengine ambayo tafsiri zake zinaeleweka vizuri kabisa, mimi nilikuuliza msingi wa maana zako ulizotoa wewe za hayo maneno na nilijua tu lazima utajichanganya, sasa ni hivi uasherati ni kitendo cha watu wawili ambao hawako kwenye ndoa kufanya ngono (fornication), uzinzi maana yake ni kitendo cha mtu aliye kwenye ndoa kufanya ngono na mtu tofauti na mwenza wake wa ndoa (adultery), japo mara nyingi haya maneno huwa yanatumika interchangeably maana yanawachanganya watu ila umalaya ni kitendo cha mtu kuwa na wapenzi wengi (promiscuity) na ukahaba ni kitendo cha mwanamke kujiuza kwa wanaume (prostitution), sasa wanaume wengi hasa wa kibongo wanatumia hayo maneno interchangeably pia yani wanadhani umalaya na ukahaba ni kitu kimoja ndio maana wanakataa eti mwanaume hawezi kuwa malaya sasa kwa taarifa yako malaya ni kwa jinsia zote mbili kubali ukatae ila kahaba ndio kwa mwanamke tu, na hilo neno malaya sidhani kama limetumika kwenye biblia kwahiyo hata hilo andiko la kusema aziniye na mwanamke hana akili limemaanisha mwanaume anayezini na mwanamke yeyote hana akili halija specify kwamba eti huyo mwanamke awe single au awe na wanaume wengine kwahiyo acha kuingiza tafsiri zako za uongo hapo kwanza inawezekanaje tendo linalohusisha watu wawili kwa mmoja likawa sahihi halafu kwa mwingine likawa kosa au dhambi what kind of cockamamie logic is this my friend

Kuhusu biblia kumruhusu mwanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja nimekuambia nipe andiko la moja kwa moja ambalo limesema hivyo usinitolee mifano ya mitume na manabii kwa sababu siyo kila jambo walilofanya hao watu basi walikuwa sahihi eti kisa mungu aliwabariki, hao nao ni binadamu kama sisi na kuna mambo mungu alikuwa akiwaacha wafanye ili baadaye waje wajionee wenyewe kwamba hayakuwa na maana yoyote ila siyo kwamba kwa vile waliyafanya basi ndio yalikuwa sahihi na mungu aliyaruhusu, kama unabisha hao kina mfalme suleiman mbona waliua pia lakini mungu alizidi kuwabariki kwahiyo unataka kusema kuua siyo dhambi tena kwa sababu mitume na manabii waliua na wakati huyo suleiman mwenyewe mwishoni alikuja kuharibu na kuishia kutubu na kusema kwamba aligundua yote yalikuwa ubatili na kujilisha upepo, mnashindwa kuelewa vitu vidogo kama hivyo halafu unakuja hapa kujisifia eti unajua maandiko sijui wengine tunashika biblia jumapili kana kwamba unanijua, halafu nikikuambia unanishambulia personally unaanza kuzungukazunguka oo kimeenda kimerudi kimepanda kimeshuka sasa wewe hayo ya kuona kwamba mimi sijui maandiko yana muunganiko gani na mada iliyopo au ndio njia ya kujitafutia points nje ya mada

Kuhusu suala la kuwarubuni wanawake naona bado unacheza tu na maneno ila mimi nilimaanisha kuhadaa na sijaona utofauti wa jinsi mwanaume anavyomhadaa mwanamke na jinsi mwanamke anavyomhadaa mwanaume tofauti iliyopo ni kwamba mwanaume anamhadaa mwanamke ili afanye ngono tu ila mwanamke anamhadaa mwanaume ili apate ndoa, yani mwanaume anamhadaa mwanamke katika namna ambayo atajifanya anampenda na anamjali na atamuahidi mpaka ndoa ili ale mzigo kisha baada ya hapo anakula kona sababu anajua akimuambia ukweli kwamba mimi lengo langu ni kula na kusepa mwanamke hawezi kukubali kirahisi hili wanaume wenyewe ndio huwa wanasema kwamba wanawake hawapendi kuambiwa ukweli sasa hapo unabisha nini, na mwanamke anamhadaa mwanaume katika namna ambayo wakiwa kwenye uchumba atajifanya ni wife material sababu anajua hicho ndio wanaume wanachopenda kwahiyo ataficha vitabia fulani vibaya alivyo navyo halafu akishaolewa sasa akachoka kuigiza ndio anaanza kuonesha tabia zake halisi na ndio hapo migogoro inapoanza, sasa hilo siyo wewe tu uliyelisema hata wanaume wenzio wengi wanasema sasa kama mnaona ni rahisi wanawake kuwajua wanaume wasio na nia ya dhati hadi wanaanguka kwenye mitego kwanini na ninyi isiwe ni rahisi kwenu kuwagundua wanawake wasio na tabia njema hadi mnaingia kwenye mitego ya kuwaoa halafu mnakuja kulalamika kwamba ni waigizaji, sasa hao wanawake wanaohadaiwa kwa kuhongwa sijui kula bata ni wajinga kama wale wanaume wanaohadaiwa kwa sura na umbo ila haimaanishi kuwa wanawake wote wanadanganywa kwa njia hizo sasa wewe hiyo 90% umeitoa wapi halafu unadai eti mimi ndio nabuni data wakati mpaka hapa wewe ndio kinara na bingwa wa kubuni data

Kuhusu wanawake kuanza na wanaume from the scratch kwa kweli hapo ndio usiongee kabisa kwa sababu hili pia wanaume wengi ndio chanzo yes narudia hilo wanaume wengi ndio chanzo kwani ni wanawake wangapi wanaanza na wanaume from the scratch ila hao wanaume wakishapata mafanikio wanakuja kuwaacha hao wanawake au wanaanza umalaya na kuhonga vimichepuko ambavyo hata havikuwepo wakati wana struggle na hao wake zao, halafu hao wanaume wakiulizwa wanaplay victims wanatoa visingizio vya kipuuzi eti chanzo ni wanawake sijui wanaanza jeuri sijui ujinga gani lakini wengine ambao ni wakweli husema kabisa kwamba wale wanawake wanaoanza nao from the scratch siyo kwamba wanakuwa ndio types zao ila wanakuwa nao tu ili maisha yaende sababu wale types zao huwa wanawakataa, kwahiyo wakishapata pesa sasa huona huo ndio muda wa kuenda kwa wale types zao ambao waliwakataa pindi wakiwa broke sasa wewe unaona hiyo ni fair kwa hao wanawake ambao wanakuwa wame hustle nao from the beginning kwahiyo msiwalaumu wanawake, sababu wanajua wanaume wengi hamna shukurani mkishazipata mnaanza kuhonga wanawake ambao hata hawawapendi bali wanataka tu pesa zenu yani kutafuta utafute na mwingine halafu kula uongeze na wengine ambao hawahusiki hapana kwa kweli ninyi waeleweni tu hata kama wanaume wote hawako hivyo ila hao ambao wako hivyo ndio wanawaharibia wote, halafu umeandika kana kwamba wanaume masikini wote wana mapenzi ya dhati na wanaume wenye pesa na mali wote ni wahuni tu kumbe kuna wanaume masikini wengi nao ni wahuni vile vile ndio maana wanawake wana ule msemo wao "bora kulilia ndani ya gari kuliko kulilia juu ya bodaboda" hiyo maana yake ni kwamba mwanaume yeyote utakaye mchagua kati ya hao lazima tu atakuliza kwahiyo ni wewe tu kuchagua utalilia wapi

Halafu hapo uliposema kwamba eti sijui wanawake wanaanza sex mapema kabla ya wanaume wa rika lao hivyo sitakiwi kuwalaumu wanaume kuwa wanawarubuni wanawake kwani ni wapi mimi niliposema kwamba wanawake wanarubuniwa na wanaume wa rika lao tu mbona kama unanilisha maneno halafu unasingizia eti mimi ndio nakulisha maneno kumbe ni wewe ndiye unayeshindwa kunielewa, wanawake wanarubuniwa na wanaume waliowazidi umri yani wakati wao wanakuwa si kuna wanaume ambao tayari walishawatangulia ndio hao sasa wanaowarubuni wakati huo na hao wa rika lao nao wakikuwa watavirubuni vibinti vingine vya rika lingine na siyo rika lao mwisho wa siku mzunguko unaendelea hivyo kwahiyo mimi hapa sijaongelea wanaume wa rika fulani tu nazungumzia wanaume wa marika yote, kuhusu mwanaume kumtawala mwanamke kunahusiana nini na mtu mwenye phd kumfanyia kazi na kutawaliwa na mtu mwenye elimu ndogo kwani aliyekudanganya kwamba kuwa na phd ndio kuwa na akili zaidi ya wengine nani, hapo mwenye akili ni huyo anayemtawala mwenzie haijalishi elimu yake yani kuwa na phd hakumaanishi kwamba umewazidi akili wote ambao hawana phd au wana elimu ndogo zaidi yako, na kwa case ya mwanaume kumtawala mwanamke hata ninyi wanaume huwa mnasema kwamba sababu ya mwanaume kuwa na hiyo privilege ni kwa sababu kamzidi akili na uwezo mwanamke meaning mwanamke ni dhaifu kuliko mwanaume sasa unabisha nini

Kuhusu hiyo mifano yako unaona ulivyokurupuka sasa yani mimi nilisema hakuna binadamu anayeweza kupinga au kulalamikia jambo ambalo halimnufaishi hapa nilichomaanisha ni kwamba hakuna binadamu anayeweza kulipigia chapuo jambo ambalo halimnufaishi, yani wanaume mnadai kwamba kulalamikia na kupinga maovu ya wanawake hakuwanufaishi ninyi bali kunawasaidia wanawake ndio nikasema siyo kweli kwamba ninyi hamnufaiki na huo mnaoita msaada kwa wanawake, halafu wewe ukageuza maneno eti mimi nimesema hakuna anayepinga jambo ambalo linamnufaisha hayo ni maneno yako siyo yangu wewe ulikuja na hiyo mifano yako kwamba serikali inapinga rushwa, sijui marekani inapinga vita, sijui viongozi wa dini wanapinga maovu, ndio maana nikakuuliza inahusianaje na hiyo hoja yangu ya wanaume kupinga maovu ya wanawake, ila naona unaleta porojo na kunisingizia mimi mambo ambayo wewe ndio unayafanya kwenye hii mijadala yani hoja zako nyingi unatumia defensive mechanism kufanya mwingine aone kama hajui alichoandika kumbe ni wewe ndiye ambaye umeshindwa kutafsiri na kuelewa hoja zake, kuhusu misogyny hebu acha kubadilisha maana misogyny maana yake ni chuki na unyanyasaji dhidi ya wanawake na siyo kuuchukia uanamke hiyo maana yako labda uitafutie neno jingine ila siyo misogyny, na kuhusu wanawake kuuchukia uanamke huu nao ni muendelezo wa zile propaganda zenu wanaume za kuwafanya wanawake waone kwamba matatizo waliyonayo chanzo ni wao wenyewe yani ni kama tu ile kauli kwamba eti wanawake hawapendani sijui adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake

Basi tu mradi wanawake wachukiane wasiaminiane wawasikilize wanaume yani ile method ya divide and rule (wagawe uwatawale) hapo ancestors wetu kwa kweli waliupiga mwingi waliitumia vizuri kiasi ilifanikiwa na kufanya kazi kwa miaka mingi, hadi miaka ya hivi karibuni wanawake walipoanza kuamka na kushtuka kwamba wamepigwa na kuanza kubadili mentality yao ndio maana unasikia mayowe mengi toka kwa wanaume, lakini ukifuatilia hiyo ya kusema kwamba wanawake hawapendani au adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake utagundua hayo mazingira ambayo wanawake wanaambiwa hawapendani ni kwamba hata wanaume nao wakiwa kwenye hayo mazingira wanafanya kama wanawake tu ila hutasikia wao wakiambiana kwamba wanaume hawapendani au eti adui wa mwanaume ni mwanaume mwenzake, hivi unadhani chanzo cha wanawake kuanza kutaka kufanya hayo majukumu mnayoita ya wanaume ni nini yani mnafikiri kwamba wanawake walikurupuka tu out of blue wakaamua kwamba nao waanze kuenda kuhangaika kutafuta pesa na kulisha familia wewe unadhani kuna mwanamke anapenda hayo majukumu au ni matendo ya wanaume ndio yaliyowalazimu nao waanze kujitafutia vyao, tatizo lilianzia pale wanaume walipoanza kuyatumia mamlaka yao vibaya yani mtu anamnyanyasa mkewe kimwili au kihisia kwa kigezo cha kwamba anamhudumia yani mwanaume anataka akifanya kosa asiulizwe na akiulizwa utasikia kwani wewe unakosa nini hapa yani nikulishe nikuvishe halafu bado unipande kichwani na mwanamke anakuwa hana maamuzi ya kufanya chochote bila kuomba ridhaa ya mumewe na mumewe akikataa ndio basi tena, sasa wewe unaona hiyo ni fair kumfanyia kiumbe mwenye utashi wake kwa kigezo cha kwamba eti unamhudumia wakati naye hapo kwako siyo kwamba anakaa bure bali naye anakuwa na majukumu yake ambayo anayatimiza vizuri bila shida ila wewe kutimiza ya kwako hadi umnyanyase, yani unakuwa ni kama vile umelazimishwa kufanya hayo majukumu kwahiyo unayafanya kishingo upande ndio maana unakuwa na hasira na huyo unayemhudumia akikosea kidogo tu unamfokea au unampiga yani unataka awe mtumwa wako kila kitu akutii hata kama kuna mambo unajua wewe ndio umekosea na hata ukosee vipi wewe hutaki kuulizwa

Haya wewe mwenyewe sema je wanaume wengi wa zamani hawakuwa hivyo au wewe unadhani mfumo dume wa zamani ulikuwaje sasa katika hali ya kawaida hakuna kiumbe kinaweza kukubali manyanyaso ya aina hiyo eti kisa unakihudumia yani hata baadhi ya mifugo ya nyumbani ukiinyanyasa kila siku kuna uwezekano ipo siku itakugeukia sembuse binadamu mwenzio mwenye utashi wake, kwahiyo wanawake siyo kwamba hawapendi kukaa nyumbani kufanya majukumu yao huku wakihudumiwa ila ni kwamba hawapendi hayo manyanyaso yanayoambatana na huko kuhudumiwa kwa kisingizio kwamba eti wanaume ni watawala kwani kumtawala mtu ni lazima umnyanyase kimwili au kihisia, yani tatizo lenu ninyi wanaume wengi uanamke mnautafsiri kama wanawake kuvumilia maovu ya wanaume yani mnataka wanaume wakikosea wanawake wasamehe na kusahau kirahisi tu kisha wavumilie ili maisha yaende ndoa zidumu wakati huo ninyi mkitaka wanawake wawe wakamilifu wakikosea kidogo tu hakuna rangi wataacha kuona, yani kwa kifupi ndoa za zamani zilijenga ile mentality ya kwamba anayetakiwa kufurahia ndoa ni mwanaume tu mwanamke yeye akishaolewa anatakiwa kusacrifice furaha yake for the rest of her life for the sake of her husband na kama unabisha hilo fuatilia hata kwanini zamani jamii nyingi zilikuwa zinakeketa wanawake, sasa huo ni utumwa uliojificha katika submission yani kwenu ninyi wanaume wengi uanamke maana yake ni kuwa mtumwa wa mwanaume na mwanamke yeyote anayekataa huo utumwa na kuwashawishi wanawake wenzie nao waukatae ndio anaitwa feminist na kuonekana hafai kuwashauri wanawake wenzie kumbe ukweli ni kwamba wanaume mnajua wake zenu wakianza kutaka uhuru haitakuwa nzuri kwa afya yenu ya akili na mwili, sasa hapo ndipo wanawake walipoona kwamba the only way ya ku break free toka kwenye huo utumwa ni kuanza kutoka kuenda kutafuta pesa na kusaidia kuhudumia familia ili walau nao wawe na say na decisions ndani ya nyumba, sasa kwa vile wanaume hamtaki hili mnataka siku zote wanawake waendelee kuwa inferior kwenu mnajifanya kuupinga huo mfumo na kujihami kwa kuingiza propaganda zenu kwamba ni mfumo wa kishetani mara sijui umelenga kumdhoofisha mwanaume kumbe ni inferiority complex yenu tu baada ya kuona kwamba huo mfumo una threaten nafasi yenu ambayo mnaitumia vibaya

Na mkaenda mbali zaidi na kujaribu kuwaaminisha wanawake kwamba huo mfumo unawaharibu wao wenyewe na siyo wanaume wakati hapo hapo mnasema tena huo mfumo unataka kumuangusha mwanaume sasa which is which yani ni kama mnatumia self serving reverse pyschology tricks kuwafanya wanawake wa question maamuzi yao na kufuata yale mnayotaka ninyi tu kwa maslahi yenu, okay umesema kwamba why should i bother kuhusu mwanaume anayetukana wanawake wote kwa sababu ya wachache waliowahi kumfanyia mabaya kwahiyo kumbe unaona ni sawa mtu kutukana watu wa jinsia nyingine kwa sababu ya mabaya aliyofanyiwa na wachache sasa mbona wanawake wakifanya the same thing mnawapa sifa mbaya na majina ya ajabu badala yake kwanini na ninyi msiache kubother kuhusu hayo malalamiko ya wanawake juu ya wanaume yani kwanini mnapenda kulazimisha double standards baina ya hizi jinsia mbili kwenye kila kitu, kama mnataka wanawake wakubali kuambiwa maovu yao kwanini na ninyi msikubali kuambiwa maovu yenu what is so special with you yani kila mkiambiwa ukweli mnakimbilia kujihami kwamba wanawake wanashindana na ninyi na kutumia kauli nyingine ambazo mnajua zitawafanya wanawake wajione ndio wakosaji hivyo wakae kimya na wakubali kuvumilia tu maovu yenu, kingine wewe kama unaona mimi nachukia wanaume na kwamba in real life napretend basi wewe endelea tu kuamini hivyo ila mimi nachukulia hiyo kama defensive mechanism na njia ya kujifariji na pia nachukulia kama mbinu ya kujaribu kunidhoofisha na kunifanya nijione mkosaji kama nilivyotoka kusema hapo juu yani yote hayo ni kutaka niache kuyasema maovu ya wanaume, lakini kwa vile nimeshajua lengo lenu sijali na siachi ninyi mniite majina yote mnayoyajua na mnidescribe vyovyote vile mnavyotaka ila siwezi kuacha kuongea ukweli na uhalisia hata kama hamtaki kuusikia maana siku zote ninyi wajukuu wa farao huwa mnataka kusikia yale yanayo wafurahisha tu mtu anayewaambia ukweli msiotaka kuusikia anageuka adui yenu
 
Hivi kwanza kwanini unapenda na unalazimisha kunilisha maneno sasa kuhusu population ni wapi mimi nimeiandika hiyo population ratio ambayo wewe unadai ni ya kubuni wakati mimi niliuliza swali je unaifahamu population ratio kati ya wanaume na wanawake kwa tanzania na duniani, kuhusu wanaume wengi kuwa na umri chini ya miaka 18 unaonaje ukaleta na hizo takwimu hapa badala ya kujitungia propaganda zako mradi tu ionekane wanawake ni wengi kuliko wanaume, halafu na hizo factors ulizosema kwamba ndio zinapunguza idadi ya wanaume mbona hata kwa wanawake zinawakuta na zinapunguza idadi yao hata kama siyo kwa uwiano sawa lakini bado inakuwa imepungua tofauti na ninyi mnavyo assume kwamba idadi ya wanawake iko constant, halafu acha kunigeuzia kibao mimi nilisema hao wanaume ambao wanaangukia kwenye hayo makundi ya ushoga, upadre, kufungwa jela sijui kufa mapema nk hata ukitoa idadi yao bado siyo wengi kihivyo kiasi cha kusema kwamba eti wanaobaki ni wachache sana kila mmoja anaweza kujitwalia wanawake zaidi ya mmoja, sasa wewe unakuja kusema eti mimi nimewahesabia hao walioko kwenye hayo makundi kama wanaume wanaoweza kuoa hebu kuwa makini basi kabla ya kujibu

Halafu hapo unaposema kwamba tuwatoe wanaume simps ambao wanaoa mwanamke mmoja umeelewa ulichokiandika kweli kwani hao simps siyo wanaume active au marijali mind you hapa tunaongelea ile sifa ya tamaa waliyonayo wanaume wote duniani ya kuwa na wanawake zaidi ya mmoja, na wanaume wanaotakiwa kuwa excluded hapa ni wale ambao wako sexually inactive kwa sababu zozote zile (ambao nao siyo wengi kama unavyojaribu kuonesha hapa) sasa mwanaume kuwa simp au kuoa mwanamke mmoja haihusiani na kuwa sexually inactive bali ni maamuzi binafsi tu, na hata mwanaume kuwa na changamoto za kiuchumi haimfanyi kuwa sexually inactive na haimzuii kuwa na wanawake zaidi ya mmoja kwahiyo hapo umedanganya and that proves kwamba kumbe wanaume wakiamua wana uwezo kabisa wa kuwa na mwanamke mmoja ila kujifanya hamuwezi ni kujiendekeza tu, by the way hivi unafahamu kwamba kuna nchi wanaume ndio wengi kuliko wanawake sasa je other factors being constant unadhani hao wanaume wa kwenye hizo nchi wanaishije mind you hapa tunaongelea characteristics za wanaume na wanawake wote duniani na siyo wa jamii fulani tu kwahiyo unapojadili hoja zako jitahidi kuconsider hilo ili tuende sawa

Na pengine ambako naona huongei uhalisia ni unaposema kwamba eti wanawake wanaanza kuolewa wakiwa na miaka 15 je dunia ya leo ni wanawake wangapi wanaoanza kuolewa katika umri huo au mwenzetu bado unaishi enzi za babu na bibi zetu ambapo hilo jambo lilikuwa kawaida na kujifanya umesahau kwamba dunia imebadilika, ujue nimegundua tofauti yangu na wewe ni kwamba wewe hoja zako ni zile za "mwanaume anaweza au hawezi kufanya jambo fulani" au "mwanamke anaweza au hawezi kufanya jambo fulani" while mimi hoja zangu ni "mwanaume anafanya au hafanyi jambo fulani" au "mwanamke anafanya au hafanyi jambo fulani", yani kwa kifupi wewe hoja zako ziko more theoretical while zangu ziko more practical sasa hapa tuongee uhalisia yani hali halisi ambayo ipo kwenye dunia ya leo kwahiyo unapoliongelea jambo jitahidi kubase kwenye uhalisia kwamba je hilo jambo linafanyika na siyo kubase kwenye assumptions kwamba linaweza kufanyika, sawa linaweza kufanyika lakini je kwenye uhalisia linafanyika kama unavyosema okay tuseme ni kweli wanawake wanaweza kuanza kuolewa kuanzia miaka 15 lakini je kwenye dunia ya leo ni wanawake wangapi wako tayari kuolewa katika umri huo kulinganisha na ilivyokuwa zamani

Halafu hapo kwenye blah blah zako za population naona umesahau huu mjadala ulipoanzia kwamba tumekubaliana kuwa wanawake wote wanatakiwa kujitunza si ndio yani tuassume kwamba wanawake wote elewa neno wote wanajitunza, ndio mimi nataka kujua kwamba wanawake wakijitunza wanaume watakuwa wanafanya na kina nani wewe ndio ukasema kwamba eti wanaume hawawezi kukosa wanawake wa kufanya nao, kwa sababu sijui eti mwanaume anaweza kuwa na wanawake kuanzia wawili hata 20 na kuendelea sasa hao 20 atafanya nao kivipi wakati tumekubaliana kwamba wanawake wote wanatakiwa wajitunze hadi pale watakapoolewa, kwahiyo bado sijaona huo uhusiano wa wanawake kujitunza na wanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja na ulipojicontradict ndio hapo kwamba unasema wanawake wajitunze hadi ndoa halafu hapo hapo unasema tena wanaume hawawezi kuishi bila sex hivyo hawawezi kuvumilia hadi waoe ndio wafanye, sasa hapo wanakuwa na options mbili tu wanatakiwa wachague moja ni either watavumilia kitu ambacho umesema hawawezi au watatafuta mbinu za kuendelea kuwashawishi wanawake ili wafanye nao kabla ya ndoa na ndio hapo hilo suala linapokuja kushindikana na ndio maana nasema msiwalaumu wanawake sababu ninyi wenyewe hamjui mnachokitaka

Hapo kwenye hayo maneno uzinzi, uasherati, umalaya umedanganya bana we jamaa mbona muongo hivyo yani unajitungia kabisa maana zako mwenyewe halafu nikikuhoji msingi wa hizo tafsiri zako unajifanya unatoa mifano ya maneno mengine ambayo tafsiri zake zinaeleweka vizuri kabisa, mimi nilikuuliza msingi wa maana zako ulizotoa wewe za hayo maneno na nilijua tu lazima utajichanganya, sasa ni hivi uasherati ni kitendo cha watu wawili ambao hawako kwenye ndoa kufanya ngono (fornication), uzinzi maana yake ni kitendo cha mtu aliye kwenye ndoa kufanya ngono na mtu tofauti na mwenza wake wa ndoa (adultery), japo mara nyingi haya maneno huwa yanatumika interchangeably maana yanawachanganya watu ila umalaya ni kitendo cha mtu kuwa na wapenzi wengi (promiscuity) na ukahaba ni kitendo cha mwanamke kujiuza kwa wanaume (prostitution), sasa wanaume wengi hasa wa kibongo wanatumia hayo maneno interchangeably pia yani wanadhani umalaya na ukahaba ni kitu kimoja ndio maana wanakataa eti mwanaume hawezi kuwa malaya sasa kwa taarifa yako malaya ni kwa jinsia zote mbili kubali ukatae ila kahaba ndio kwa mwanamke tu, na hilo neno malaya sidhani kama limetumika kwenye biblia kwahiyo hata hilo andiko la kusema aziniye na mwanamke hana akili limemaanisha mwanaume anayezini na mwanamke yeyote hana akili halija specify kwamba eti huyo mwanamke awe single au awe na wanaume wengine kwahiyo acha kuingiza tafsiri zako za uongo hapo kwanza inawezekanaje tendo linalohusisha watu wawili kwa mmoja likawa sahihi halafu kwa mwingine likawa kosa au dhambi what kind of cockamamie logic is this my friend

Kuhusu biblia kumruhusu mwanaume kuwa na wanawake zaidi ya mmoja nimekuambia nipe andiko la moja kwa moja ambalo limesema hivyo usinitolee mifano ya mitume na manabii kwa sababu siyo kila jambo walilofanya hao watu basi walikuwa sahihi eti kisa mungu aliwabariki, hao nao ni binadamu kama sisi na kuna mambo mungu alikuwa akiwaacha wafanye ili baadaye waje wajionee wenyewe kwamba hayakuwa na maana yoyote ila siyo kwamba kwa vile waliyafanya basi ndio yalikuwa sahihi na mungu aliyaruhusu, kama unabisha hao kina mfalme suleiman mbona waliua pia lakini mungu alizidi kuwabariki kwahiyo unataka kusema kuua siyo dhambi tena kwa sababu mitume na manabii waliua na wakati huyo suleiman mwenyewe mwishoni alikuja kuharibu na kuishia kutubu na kusema kwamba aligundua yote yalikuwa ubatili na kujilisha upepo, mnashindwa kuelewa vitu vidogo kama hivyo halafu unakuja hapa kujisifia eti unajua maandiko sijui wengine tunashika biblia jumapili kana kwamba unanijua, halafu nikikuambia unanishambulia personally unaanza kuzungukazunguka oo kimeenda kimerudi kimepanda kimeshuka sasa wewe hayo ya kuona kwamba mimi sijui maandiko yana muunganiko gani na mada iliyopo au ndio njia ya kujitafutia points nje ya mada

Kuhusu suala la kuwarubuni wanawake naona bado unacheza tu na maneno ila mimi nilimaanisha kuhadaa na sijaona utofauti wa jinsi mwanaume anavyomhadaa mwanamke na jinsi mwanamke anavyomhadaa mwanaume tofauti iliyopo ni kwamba mwanaume anamhadaa mwanamke ili afanye ngono tu ila mwanamke anamhadaa mwanaume ili apate ndoa, yani mwanaume anamhadaa mwanamke katika namna ambayo atajifanya anampenda na anamjali na atamuahidi mpaka ndoa ili ale mzigo kisha baada ya hapo anakula kona sababu anajua akimuambia ukweli kwamba mimi lengo langu ni kula na kusepa mwanamke hawezi kukubali kirahisi hili wanaume wenyewe ndio huwa wanasema kwamba wanawake hawapendi kuambiwa ukweli sasa hapo unabisha nini, na mwanamke anamhadaa mwanaume katika namna ambayo wakiwa kwenye uchumba atajifanya ni wife material sababu anajua hicho ndio wanaume wanachopenda kwahiyo ataficha vitabia fulani vibaya alivyo navyo halafu akishaolewa sasa akachoka kuigiza ndio anaanza kuonesha tabia zake halisi na ndio hapo migogoro inapoanza, sasa hilo siyo wewe tu uliyelisema hata wanaume wenzio wengi wanasema sasa kama mnaona ni rahisi wanawake kuwajua wanaume wasio na nia ya dhati hadi wanaanguka kwenye mitego kwanini na ninyi isiwe ni rahisi kwenu kuwagundua wanawake wasio na tabia njema hadi mnaingia kwenye mitego ya kuwaoa halafu mnakuja kulalamika kwamba ni waigizaji, sasa hao wanawake wanaohadaiwa kwa kuhongwa sijui kula bata ni wajinga kama wale wanaume wanaohadaiwa kwa sura na umbo ila haimaanishi kuwa wanawake wote wanadanganywa kwa njia hizo sasa wewe hiyo 90% umeitoa wapi halafu unadai eti mimi ndio nabuni data wakati mpaka hapa wewe ndio kinara na bingwa wa kubuni data

Kuhusu wanawake kuanza na wanaume from the scratch kwa kweli hapo ndio usiongee kabisa kwa sababu hili pia wanaume wengi ndio chanzo yes narudia hilo wanaume wengi ndio chanzo kwani ni wanawake wangapi wanaanza na wanaume from the scratch ila hao wanaume wakishapata mafanikio wanakuja kuwaacha hao wanawake au wanaanza umalaya na kuhonga vimichepuko ambavyo hata havikuwepo wakati wana struggle na hao wake zao, halafu hao wanaume wakiulizwa wanaplay victims wanatoa visingizio vya kipuuzi eti chanzo ni wanawake sijui wanaanza jeuri sijui ujinga gani lakini wengine ambao ni wakweli husema kabisa kwamba wale wanawake wanaoanza nao from the scratch siyo kwamba wanakuwa ndio types zao ila wanakuwa nao tu ili maisha yaende sababu wale types zao huwa wanawakataa, kwahiyo wakishapata pesa sasa huona huo ndio muda wa kuenda kwa wale types zao ambao waliwakataa pindi wakiwa broke sasa wewe unaona hiyo ni fair kwa hao wanawake ambao wanakuwa wame hustle nao from the beginning kwahiyo msiwalaumu wanawake, sababu wanajua wanaume wengi hamna shukurani mkishazipata mnaanza kuhonga wanawake ambao hata hawawapendi bali wanataka tu pesa zenu yani kutafuta utafute na mwingine halafu kula uongeze na wengine ambao hawahusiki hapana kwa kweli ninyi waeleweni tu hata kama wanaume wote hawako hivyo ila hao ambao wako hivyo ndio wanawaharibia wote, halafu umeandika kana kwamba wanaume masikini wote wana mapenzi ya dhati na wanaume wenye pesa na mali wote ni wahuni tu kumbe kuna wanaume masikini wengi nao ni wahuni vile vile ndio maana wanawake wana ule msemo wao "bora kulilia ndani ya gari kuliko kulilia juu ya bodaboda" hiyo maana yake ni kwamba mwanaume yeyote utakaye mchagua kati ya hao lazima tu atakuliza kwahiyo ni wewe tu kuchagua utalilia wapi

Halafu hapo uliposema kwamba eti sijui wanawake wanaanza sex mapema kabla ya wanaume wa rika lao hivyo sitakiwi kuwalaumu wanaume kuwa wanawarubuni wanawake kwani ni wapi mimi niliposema kwamba wanawake wanarubuniwa na wanaume wa rika lao tu mbona kama unanilisha maneno halafu unasingizia eti mimi ndio nakulisha maneno kumbe ni wewe ndiye unayeshindwa kunielewa, wanawake wanarubuniwa na wanaume waliowazidi umri yani wakati wao wanakuwa si kuna wanaume ambao tayari walishawatangulia ndio hao sasa wanaowarubuni wakati huo na hao wa rika lao nao wakikuwa watavirubuni vibinti vingine vya rika lingine na siyo rika lao mwisho wa siku mzunguko unaendelea hivyo kwahiyo mimi hapa sijaongelea wanaume wa rika fulani tu nazungumzia wanaume wa marika yote, kuhusu mwanaume kumtawala mwanamke kunahusiana nini na mtu mwenye phd kumfanyia kazi na kutawaliwa na mtu mwenye elimu ndogo kwani aliyekudanganya kwamba kuwa na phd ndio kuwa na akili zaidi ya wengine nani, hapo mwenye akili ni huyo anayemtawala mwenzie haijalishi elimu yake yani kuwa na phd hakumaanishi kwamba umewazidi akili wote ambao hawana phd au wana elimu ndogo zaidi yako, na kwa case ya mwanaume kumtawala mwanamke hata ninyi wanaume huwa mnasema kwamba sababu ya mwanaume kuwa na hiyo privilege ni kwa sababu kamzidi akili na uwezo mwanamke meaning mwanamke ni dhaifu kuliko mwanaume sasa unabisha nini

Kuhusu hiyo mifano yako unaona ulivyokurupuka sasa yani mimi nilisema hakuna binadamu anayeweza kupinga au kulalamikia jambo ambalo halimnufaishi hapa nilichomaanisha ni kwamba hakuna binadamu anayeweza kulipigia chapuo jambo ambalo halimnufaishi, yani wanaume mnadai kwamba kulalamikia na kupinga maovu ya wanawake hakuwanufaishi ninyi bali kunawasaidia wanawake ndio nikasema siyo kweli kwamba ninyi hamnufaiki na huo mnaoita msaada kwa wanawake, halafu wewe ukageuza maneno eti mimi nimesema hakuna anayepinga jambo ambalo linamnufaisha hayo ni maneno yako siyo yangu wewe ulikuja na hiyo mifano yako kwamba serikali inapinga rushwa, sijui marekani inapinga vita, sijui viongozi wa dini wanapinga maovu, ndio maana nikakuuliza inahusianaje na hiyo hoja yangu ya wanaume kupinga maovu ya wanawake, ila naona unaleta porojo na kunisingizia mimi mambo ambayo wewe ndio unayafanya kwenye hii mijadala yani hoja zako nyingi unatumia defensive mechanism kufanya mwingine aone kama hajui alichoandika kumbe ni wewe ndiye ambaye umeshindwa kutafsiri na kuelewa hoja zake, kuhusu misogyny hebu acha kubadilisha maana misogyny maana yake ni chuki na unyanyasaji dhidi ya wanawake na siyo kuuchukia uanamke hiyo maana yako labda uitafutie neno jingine ila siyo misogyny, na kuhusu wanawake kuuchukia uanamke huu nao ni muendelezo wa zile propaganda zenu wanaume za kuwafanya wanawake waone kwamba matatizo waliyonayo chanzo ni wao wenyewe yani ni kama tu ile kauli kwamba eti wanawake hawapendani sijui adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake

Basi tu mradi wanawake wachukiane wasiaminiane wawasikilize wanaume yani ile method ya divide and rule (wagawe uwatawale) hapo ancestors wetu kwa kweli waliupiga mwingi waliitumia vizuri kiasi ilifanikiwa na kufanya kazi kwa miaka mingi, hadi miaka ya hivi karibuni wanawake walipoanza kuamka na kushtuka kwamba wamepigwa na kuanza kubadili mentality yao ndio maana unasikia mayowe mengi toka kwa wanaume, lakini ukifuatilia hiyo ya kusema kwamba wanawake hawapendani au adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake utagundua hayo mazingira ambayo wanawake wanaambiwa hawapendani ni kwamba hata wanaume nao wakiwa kwenye hayo mazingira wanafanya kama wanawake tu ila hutasikia wao wakiambiana kwamba wanaume hawapendani au eti adui wa mwanaume ni mwanaume mwenzake, hivi unadhani chanzo cha wanawake kuanza kutaka kufanya hayo majukumu mnayoita ya wanaume ni nini yani mnafikiri kwamba wanawake walikurupuka tu out of blue wakaamua kwamba nao waanze kuenda kuhangaika kutafuta pesa na kulisha familia wewe unadhani kuna mwanamke anapenda hayo majukumu au ni matendo ya wanaume ndio yaliyowalazimu nao waanze kujitafutia vyao, tatizo lilianzia pale wanaume walipoanza kuyatumia mamlaka yao vibaya yani mtu anamnyanyasa mkewe kimwili au kihisia kwa kigezo cha kwamba anamhudumia yani mwanaume anataka akifanya kosa asiulizwe na akiulizwa utasikia kwani wewe unakosa nini hapa yani nikulishe nikuvishe halafu bado unipande kichwani na mwanamke anakuwa hana maamuzi ya kufanya chochote bila kuomba ridhaa ya mumewe na mumewe akikataa ndio basi tena, sasa wewe unaona hiyo ni fair kumfanyia kiumbe mwenye utashi wake kwa kigezo cha kwamba eti unamhudumia wakati naye hapo kwako siyo kwamba anakaa bure bali naye anakuwa na majukumu yake ambayo anayatimiza vizuri bila shida ila wewe kutimiza ya kwako hadi umnyanyase, yani unakuwa ni kama vile umelazimishwa kufanya hayo majukumu kwahiyo unayafanya kishingo upande ndio maana unakuwa na hasira na huyo unayemhudumia akikosea kidogo tu unamfokea au unampiga yani unataka awe mtumwa wako kila kitu akutii hata kama kuna mambo unajua wewe ndio umekosea na hata ukosee vipi wewe hutaki kuulizwa

Haya wewe mwenyewe sema je wanaume wengi wa zamani hawakuwa hivyo au wewe unadhani mfumo dume wa zamani ulikuwaje sasa katika hali ya kawaida hakuna kiumbe kinaweza kukubali manyanyaso ya aina hiyo eti kisa unakihudumia yani hata baadhi ya mifugo ya nyumbani ukiinyanyasa kila siku kuna uwezekano ipo siku itakugeukia sembuse binadamu mwenzio mwenye utashi wake, kwahiyo wanawake siyo kwamba hawapendi kukaa nyumbani kufanya majukumu yao huku wakihudumiwa ila ni kwamba hawapendi hayo manyanyaso yanayoambatana na huko kuhudumiwa kwa kisingizio kwamba eti wanaume ni watawala kwani kumtawala mtu ni lazima umnyanyase kimwili au kihisia, yani tatizo lenu ninyi wanaume wengi uanamke mnautafsiri kama wanawake kuvumilia maovu ya wanaume yani mnataka wanaume wakikosea wanawake wasamehe na kusahau kirahisi tu kisha wavumilie ili maisha yaende ndoa zidumu wakati huo ninyi mkitaka wanawake wawe wakamilifu wakikosea kidogo tu hakuna rangi wataacha kuona, yani kwa kifupi ndoa za zamani zilijenga ile mentality ya kwamba anayetakiwa kufurahia ndoa ni mwanaume tu mwanamke yeye akishaolewa anatakiwa kusacrifice furaha yake for the rest of her life for the sake of her husband na kama unabisha hilo fuatilia hata kwanini zamani jamii nyingi zilikuwa zinakeketa wanawake, sasa huo ni utumwa uliojificha katika submission yani kwenu ninyi wanaume wengi uanamke maana yake ni kuwa mtumwa wa mwanaume na mwanamke yeyote anayekataa huo utumwa na kuwashawishi wanawake wenzie nao waukatae ndio anaitwa feminist na kuonekana hafai kuwashauri wanawake wenzie kumbe ukweli ni kwamba wanaume mnajua wake zenu wakianza kutaka uhuru haitakuwa nzuri kwa afya yenu ya akili na mwili, sasa hapo ndipo wanawake walipoona kwamba the only way ya ku break free toka kwenye huo utumwa ni kuanza kutoka kuenda kutafuta pesa na kusaidia kuhudumia familia ili walau nao wawe na say na decisions ndani ya nyumba, sasa kwa vile wanaume hamtaki hili mnataka siku zote wanawake waendelee kuwa inferior kwenu mnajifanya kuupinga huo mfumo na kujihami kwa kuingiza propaganda zenu kwamba ni mfumo wa kishetani mara sijui umelenga kumdhoofisha mwanaume kumbe ni inferiority complex yenu tu baada ya kuona kwamba huo mfumo una threaten nafasi yenu ambayo mnaitumia vibaya

Na mkaenda mbali zaidi na kujaribu kuwaaminisha wanawake kwamba huo mfumo unawaharibu wao wenyewe na siyo wanaume wakati hapo hapo mnasema tena huo mfumo unataka kumuangusha mwanaume sasa which is which yani ni kama mnatumia self serving reverse pyschology tricks kuwafanya wanawake wa question maamuzi yao na kufuata yale mnayotaka ninyi tu kwa maslahi yenu, okay umesema kwamba why should i bother kuhusu mwanaume anayetukana wanawake wote kwa sababu ya wachache waliowahi kumfanyia mabaya kwahiyo kumbe unaona ni sawa mtu kutukana watu wa jinsia nyingine kwa sababu ya mabaya aliyofanyiwa na wachache sasa mbona wanawake wakifanya the same thing mnawapa sifa mbaya na majina ya ajabu badala yake kwanini na ninyi msiache kubother kuhusu hayo malalamiko ya wanawake juu ya wanaume yani kwanini mnapenda kulazimisha double standards baina ya hizi jinsia mbili kwenye kila kitu, kama mnataka wanawake wakubali kuambiwa maovu yao kwanini na ninyi msikubali kuambiwa maovu yenu what is so special with you yani kila mkiambiwa ukweli mnakimbilia kujihami kwamba wanawake wanashindana na ninyi na kutumia kauli nyingine ambazo mnajua zitawafanya wanawake wajione ndio wakosaji hivyo wakae kimya na wakubali kuvumilia tu maovu yenu, kingine wewe kama unaona mimi nachukia wanaume na kwamba in real life napretend basi wewe endelea tu kuamini hivyo ila mimi nachukulia hiyo kama defensive mechanism na njia ya kujifariji na pia nachukulia kama mbinu ya kujaribu kunidhoofisha na kunifanya nijione mkosaji kama nilivyotoka kusema hapo juu yani yote hayo ni kutaka niache kuyasema maovu ya wanaume, lakini kwa vile nimeshajua lengo lenu sijali na siachi ninyi mniite majina yote mnayoyajua na mnidescribe vyovyote vile mnavyotaka ila siwezi kuacha kuongea ukweli na uhalisia hata kama hamtaki kuusikia maana siku zote ninyi wajukuu wa farao huwa mnataka kusikia yale yanayo wafurahisha tu mtu anayewaambia ukweli msiotaka kuusikia anageuka adui yenu
[emoji1621]Umesema mwenyewe "kwa taarifa yako" then ukaendelea hebu kasome ulichokiandika baada ya hayo maneno. Umekiri kuwa kwa taarifa yako wanaume ni wachache kuliko wanaweke hebu nenda kasome ulichoandika maana naona unanichezea akili. Takwimu za umri zipo katika nyaraka za wizara ya afya nenda mtandaoni andika uchambuzi wa sensa wizara ya afya pdf halafu usome utaona nilichokwambia. Factors za kupunguza idadi ya wanaume zinafananaje na za wanawake? [emoji848] Unataka kunambia jela kuna wanawake wengi kushinda wanaume wewe upo serious kweli? Hebu nenda kasome nyaraka za bunge uwasilishaji wa wizara ya mambo ya ndani soma idadi za wafungwa halafu idadi ya wafungwa wa kike na wa kiume, hakuna sehemu nimekwambia wanawake ni constant ebo, kwani wao ni maroboti au masanamu?
Issue sio wingi wa hayo makundi ya wanaume issues ni kushare wanawake kumbuka mwanaume m'moja anaweza kuwa na ratio ya wanawake 5 katika mzunguko wake hawa watu Tanzania nzima ukiwajumlisha hawatapungua milioni 5,chukua Wanaume milioni kumi halafu kila Mmoja awe na wanawake watatu tu. It means ni wanawake million 15. Wanawake milioni 15 ni kidogo kwako? [emoji848] Sasa uliposema wanaume ni wengi kuliko wanawake ulikuwa umewatenga kando au walikuwa eneo gani katika hizo bashiri zako za takwimu hata kama ni 20 tu ulijaribu kuwatenga na kuwakeka kando kama watu ambao mjadala wa kuwa na wanawake hautawahusu?

[emoji1621]Simps/Monogamy tunawatoa sababu kwenye sample yetu tunaweka wanaume wanaochukua wake zaidi ya m'moja, wewe vipi wewe? Yaani unajadili wanaume walevi wewe u naweka na wanaokunywa soda tu nakuuliza kwann unawaweka kwenye mjadala unasema na wao si ni wanywaji, wanakunywa soda au beer? Soda ni ulevi? Tunaongelea wanaume wanaotomba mke zaidi ya m'moja wewe unaleta simps ambao hata kama ni marijali ila yeye anakuwa anaishi na mke m'moja tu hatoki nje ya mkewe, nini haujaelewa hapo? Huyo mtoe tujadili wanaume wanaoweza kuwa na mwanamke zaidi ya m'moja eg wawili kuendelea hao kuwakeka ni sawa na umesema mwanamke m'moja kwa mwanaume m'moja sasa si ni kama umewahesabu kwa mgao wa uwiano wa 1:1.
Sio wakiamua kuwa na mwanamke m'moja, wanaume kuwa na mwanamke m'moja sio issue ya choice ni issue ya aina ya mtu kama vile wapo wanawake ambao hawawezi kuishi na mwanaume pekee yake anataka kuwapo na mke mwenza the same wapo wanaume hawana energy ya kuwa hata na mchepuko hawezi kudeal na mwanamke zaidi ya m'moja, eg. Nerds. Sasa usiniquote vibaya kuwa nimesema wanaume kundi la monogamy na simps wapo hivyo by choice wapo hivyo kulingana na nature yao hawana jeuri ya kuwa na mke zaidi ya m'moja, uwe unaelewa vizuri.
Hizo inchi zingine zimeingiaje katika huu mjadala, kwan tunazungumzia context ya Tanzania au Dunia nzima? [emoji848]

[emoji1621]Hebu acha kunisukia maneno,unaweza kuonyesha ushahidi wapi nimesema wanawake wanaanza kuolewa na umri wa miaka 15?[emoji23] Nimesema wanaolewa au wanaanza kujihusisha na ngono kuanzia umri wa miaka 15,kuolewa na kujihusisha na ngono vina maana m'moja? Hebu improve your reading and understanding skills. Anyways kuna sehemu mabinti wanaolewa umri huo tena wengine ni miaka12 hadi miaka 14 hapa hapa tanzania hutaki acha. So siwezi kujibu uliyoendelea kuongea kwasababu tayari ulishapotosha na kubadilisha maana ya kile nilichokuwa nimekisema. Mimi sikuongelea wanawake kuolewa katika umri wa miaka 15 nimeongelea wanaanza ngono umri huo by average miaka hii huo ndio ukweli kama unataka kamsome Waziri gwajima akiwa anatoa ripoti za mimba za wanafunzi huko vijijini na mijini, halafu uliza hata wadau hapa watakuelekeza kuhusu vitoto vya 2000 vinaanza ngono umri gani?

[emoji1621]Kwa mujibu wa hiyo hoja yako ni kuwa wanawake wakijitunza then wale wanaume ambao kwasasa wanaoa mke m'moja ila wanalala na wanawake wengine nje watakosa pa kufanya uasherati, ndio nikakujibu kwa kukwambia , hata endapo ikatokea wanawake wakasema watajitunza na kutoshiriki ngono na sheria kali zikawepo kudhibiti uasherati na uzinifu hadi ndoa then wanaume hawatakosa wanawake wa kufanya nao nje ya mke m'moja kwasababu watakuwa na ruhusa ya kuoa mke zaidi ya m'moja so watakuwa na wake 2,3,6,8,12,20 kulingana na uwezo wa mtu kadiri atavyoweza kuoa wake wa idadi yake na kuwatunza so still wale wapenda kulala na wanawake zaidi ya m'moja hawatokosa. Kinachotokea sasa ni ile kufosi mwanaume m'moja kuishi na mke m'moja, maana hata wanawake wa kiislamu ambao dini inatoa idhini ya ndoa ya wake hadi wa4 bado wanawake wa kiislamu wanakwepa hiyo sheria hawapendi kushare mume. Ndio maana wanaume wanaamua kuwa na mademu wa nje. Nimekujibu hivi kwasababu unaonekana kuona mwanaume kulala na mke zaidi ya m'moja ni swala linalohusiana na uasherati zaidi na sio kwamba mwanaume hawezi kuwa na utulivu na mke m'moja tu, atataka zaidi so ni bora ahalalishiwe.

[emoji1621]Umenipa definition ya maneno wakati mimi nimekupa maana ya matumizi ya maneno. Ni sawa na mimi kusema, shikamoo ni salamu halafu useme sipo sahihi, shikamoo ni maneno anayotamka mtu wa umri mdogo kumuelekea mtu wa umri mkubwa kama salamu ya heshima.
Sasa nikuulize so ile amri ya sita inasema usizini, so mimi nikiwa sijaoa nikakutana na wewe haujaolewa tukapelekeana moto maana yake hatuna dhambi? Si ndio maana katika amri kumi za MUNGU hakuna amri inayosema usifanye uasherati wala usifanye umalaya ila ipo inayosema usizini tu, je waliopo nje ya ndoa ila wanashiriki ngono inamaana hawaandikiwi dhambi si ndio?
Mimi nimekuelekeza kwa muktadha wa matumizi sahihi sio definition. Ukienda gereji ukisema neno "Mswaki" utapewa block ya engine isiyo na parts, ukienda dukani ukasema neno mswaki utapewa kifaa cha kusafishia meno, ukiingia kwenye daladala ukasema neno mswaki lina maana kufanya safari bila abiria. Neno moja matumizi yenye maana tofauti. Uwe unaelewa sio kuleta ujuaji.

Mwanamke huitwa malaya (promiscuous) sababu yeye huruhusu mwili wake kuingiliwa na Wanaume wengi wakimfuata, mwanaume huwezi mwita malaya sababu yeye hufuata wanawake au kuwatega kwa vitu wanavyotaka na wanawake hawaji kwaajiri ya maumbile yake bali kile wanachokitaka wao kutoka kwa mwaume kwaajiri ya kukidhi tamaa zao so kwa mwanaume tunatumia uasherati ndio maana ni nadra ukisikia yule dada ni muasherati utaiskia kwa wanaume.
Kimsingi unatakiwa kufahamu kuwa maneno hutumika kutokana na asili ya maana yake. Kwa mfano, kuna dada anaitwa "Megan thee stallion" je, unajua maana ya neno Stallion? Kuna movie inaitwa Woman King na character wake ni mwanamke lakini unajua maana ya neno King?
So nikiwambia haya maneno yana maana yake ya kimatumizi kwa asili ambayo ndio nimekupatia kule jui usibishe kwa mujibu wa heresay au Google definition, lets go kwenye essence ya matumizi ya hayo maneno. Hayo ni maneno ya kale na yamekuwapo for ages. Sasa ukibadili maana sababu ya kutojua maana jua unapindisha mjadala hapa. And am sorry kwa hilo.

[emoji1621]Hakuna andiko la moja kwa moja kwa maana ya direct quote from the Bible ambalo linasema "mwanaume utaoa mke m'moja au wake wengi" ila ndani ya Bible na hata Quran kuna mafundisho au maelekezo ambayo yanaelekeza hekima ya kuwa na mke zaidi ya m'moja. Unatakiwa kufahamu kuwa kuwa na mwanamke zaidi ya m'moja sio amri au sharti la lazima ila pia haifanyi hilo jambo kuwa batili. Kwenye Bible kuna sehemu imendikwa nadhani kwenye ukianza kusoma kitabu cha Ayubu pale kama utangulizi wa vitabu vya Hekima, wameongelea hili swala. Tafuta bible ya Roman Catholic utaona ninachokiongelea. MUNGU ni Hekima, hekima ni haki, haki ni ukweli, ukweli ni asili na asili ni MUNGU. Sasa ukitazama hiyo circle utaona kwamba kuna neno Asili kumaanisha unchanged au kitu ambacho huwezi kukibadili. Asili ni mwanaume m'moja kuwaendea wanawake wengi, ipo kwenye wanyama wote. Sasa ukibishana na asili maana unabishana na hekima, ukweli, haki na MUNGU mwenyewe. Unataka nikufafanulie kuhusu mwanaume m'moja kutaka wanawake wengi wakati haujui asili ya kimaumbile itakusaidia nini sasa? Nenda kajifunze kwanza how male psychology operates na kwann mwanaume m'moja anatakiwa wanawake wengi ili kufunction vizuri na kwanini ni tatizo mwanamke m'moja kuingiliwa na wanaume wengi kwa maana ya kuwa nao kimahusiano na mwanaume zaidi ya m'moja sababu i will fill the whole reply with the notes so let me spare you the burden of reading from my notes.

[emoji1621]Here goes your mistake again kuassume wanawake na wanaume wana operate in the same manner. Wanaume kuwafuata wanawake inaitwa kushawishi na sio kurubuni, its the oldest thing in a history of animals Kingdom for males to approach females. Lazima kuwe na some kind of offering ili kuweza kupata female attention. Neno kurubuni umelitumia interchangeably hapa but ukizingatia matumizi yake ni maana kudanganya ili kupata jambo ambalo si stahiki. Sasa ukirejea upande wa pili wanawake ndio hurubuni wanaume ili kujipatia mali ambazo si stahiki zao. Kama mwanamke amemkuta mwanaume na mali zake, kutengeneza mazingira ya kuwa na huyo mwanaume au kukubalika kwa huyo mwanaume ili aweze kuwa nae hiyo tunaita ni kumrubuni kwa lengo la kunipatia mali kwa gear ya mapenzi ya kweli. Sasa sijui ulimaanishaje kuwasema wanaume kuwa wanawarubuni wanawake ile hali hufanya their natural act in approaching process ya female but it's never a female process to manipulate a male to fall in love for the sake of marriage, sijui ni nani mwalimu wako katika hili go and review your training.

[emoji1621] Unaongelea swala la kustart from the scratch based on current experience ya kizazi cha kuanzia 1990's au based on kizazi cha kuanzia late 1980's kurudi nyuma? Sababu am sorry kukujuza kuwa vizazi hivi havina same experience based on the current situation compared to back then. Kwasasa more young women are reluctantly avoiding the "lets build our nest from the scratch" relationships with young males based on empty fears an anxiety that watakuwa betrayed in the future something that has been an out come of consistent influence of toxic doctrine of old school feminists ambao wamewajaza young women their past experiences, but the best part is, they are blaming oh let me put it this way, you are blaming the innocent generation of young men who never even owned a plot of land nor even established a course of life.
From your statement that says, "bora kulilia ndani ya gari kuliko kulilia juu ya bodaboda" unaweza kuona who is provoking the altercation and misunderstanding here and clearly you are condoning the actions of women who violate Men's loyalty towards women. So i have no say on that Sababu clearly umejifunga hapa kwa kusema ukweli kuwa mabinti ndio wakorofi.

[emoji1621]So again, its fair kwako kulaumu wanaume kwa jambo ambalo sio only participants ila ni sio fair kuwahoji wanawake kwa maamuzi ya kizembe? So unatumia neno kuribuni kwa kisingizio cha umri wa wanaume kuwa ni wakubwa mabinti ni wadogo, sasa lets flip the picture and tuwalaumu hawa mabinti kwamba kwann na umri wao mdogo wakachagua kulala na watu waliowazidi umri na maarifa walijua fika huo ni utomvu wa nidhamu na ni kukosa maadili, why usisimamie hapo? Cause last time i checked watoto au mabinti wadogo wanawajibika na mienendo yao na wanapizidiwa wanatakiwa kuripoti kama sio kwa wazazi na walezi basi hata taasisi walizowekewa ambazo zinafanya kazi ya kuwatetea, why huwa wanakubali kushawishiwa na watu waliowazidi umri tena rika la baba, wajomba na babu zao? Why aren't you concerned with young women attitudes and ethical immorality towards adulta yet unajifanya kuwa wanaume watu wazima ndio source ya uharibifu, where is your transparency and honest juu ya tabia za mabinti wasio na maadili? You are a hypocrite.

Kuhusu mwanaume kumtawala mwanamke in comparison to PhD holder kutawaliwa na Boss wa darasa la saba ni eneo la mamlaka. Logic ya kukupa huo mfano ni kukupatia picha iliyopo eneo la privilege ya mwanaume kumtawala mwanamke hata kama ana uwezo wa kifedha bado nafasi yake itabakia kuwa ya juu ya mke sababu mwanaume ana ile natural authority ya kucall shots na kuwa na last say sababu mwisho wa siku anything goes wrong yeye kama mwanaume ndie atabeba full responsibility na atakuwa accountable na maamuzi yaliyofanya of which ni similar situation kwa PhD holder na Boss wa darasa la 7 ikatokea anything wrong the boss atakuwa questioned na ata bear full responsibility and accountability ya maamuzi ya mwisho. PhD holder nguvu ya elimu yake haizidi mamlaka ya Boss wake aliyeishia Darasa la saba. But as usual feminists are emotional creatures and ni ngumu kuona logic in anything that goes against their system of beliefs which is failure.

[emoji1621] Sasa mimi ndie niliyetoa mifano na maana yake au sababu ndio nimejengea hoja, how comes tena uje useme nimetumia mifano yangu mwenyewe kujifunga? [emoji848]Nilikupa hiyo mifano hapo ili uone nature ya hali halisi kwa njia ya mifano. Nimetaja Marekani nikiwa na maudhui kuwa marekani ni mpenda vita kwa faida yake ila akiwa UN na mabaraza ya kujadili amani anajifanya ni mwanaharakati wa amani na si kweli. Pia nikasema wanasiasa kukemea rushwa huku rushwa ikiwa ndio chanzo chao kupata mamlaka na kukaa kwenye mamlaka ila kutwa ni kuikemea, nikasema wachungaji nikimaanisha kutwa kukemea maovu ile hali wao nyuma ya pazia ni waovu kuliko namna waumini wa imani zao wanafanya uovu. Mifano hii ililenga kukwambia mimi kama mwanaume na wenzangu tunapokemea tabia mbovu za wanawake ndani ya nafsi zetu tunachukia kuona wanawake wakiharibika so it means matendo na fikra zetu vinafanana na nia zetu hata huko gizani sababu hatupendi hayo yanafanywa na wanawake hata kama sio wake zetu au dada zetu, tunapenda kuwalinda. Ila nikasema ninyi wanawake mafeminist ni wanafiki mnajinadi kukemea uovu wa wanaume as if mnatetea maslahi ya wanawake ile hali nyuma ya pazia hamna efforts wala hamchukii yale wanayo fanya wanawake yanayowaharibia hadhi yao katika jamii kwani ni uongo hilo jambo? Ni mara ngapi umeona popular na famous feminists wa Tanzania wanamkemea Giggy money and the likes kwa kutumia pages zao za social media kudhalilisha uanamke kwa kupromote culture ya Ratcheting? But wanaume wakimshambulia Giggy money kwa maneno makali ya kumkemea hao mshafika kutetea na kusema udhalilishaji wa mwanamke, umeona nilichomaanisha au unasoma kunijibu ili mradi umenijibu?

Kuhusu misogyny nakushauri urejee notes zako vizuri au consult Google for a better clarification on the subject cause i have done more than enough research on that subject. Kuna kuwa mwanamke na kuna uanamke. Unaona mashoga, wanajaribu kuiga uanamke ila hawawezi kuwa wanawake. Uanamke ni haiba itokanayo na jinsia ya kike ndio maana Joti au Wamkuvanga akivaa kama mwanamke ujumbe unafika kirahisi sababu anaonyesha haiba ya kike ila hawezi kuwa mwanamke.

Ma'Tomboy ni wanawake wanaoiga uanaume na kurepresent uanaume ndio maana wanadress na kuiga muonekano na haiba ya kiume ila hawawezi kubadilika kuwa wanaume Sababu ni wanawake kiasili.

Therefore, kukusaidia tena narudia, Misogyny ni chuki dhidi ya uanamke sio mwanamke. Unaweza chukia mwanamke lakini usichukie uanamke wake. Mfano unaweza tukana wanawake sababu ya tabia zao ila still ukafurahia uwepo wa mama yako, dada yako, mkeo na binti yako maana wanachowakilisha kwako ni nafasi ya uanamke katika maisha. Sasa wapo wanawake wanachukia uanaumke na kuuona ni challenge kuyafikia malengo ya kidunia kama wanaume. Mfano Tomboy, unahisi anafurahia kuwa mwanamke, kwann anaiga kuvaa kiume na ukimtreate kama mwanamke anachukia na kwanini anajipa uhusika wa kiume katika mahusiano?
Hebu kajieleimisha acha kuleta ujuaji kwenye eneo ambalo you lack basic knowledge.

Sasa ancestors ni wapi walishawahi kuandika au kudocument chuki kwa wanawake si wanaume tungekuwa watata hadi basi, ila mbona wanaume ndio champions wa kuwatetea wanawake tena wanaume wa kizazi hiki wamefanya kazi kubwa kuliko wanawake kwenye kutetea maslahi ya mwanamke yet look how ungrateful you sound about Men in general. If the case was divide and rule then women are more vulnerable and weak when operating together than when are attached with males,you should really check your facts sababu upo very biased. You really need to check how that level of Feminism toxic fed mentality is affecting your ideas and how you understand things.

[emoji1621] Sasa ukinambia wanaume wa zamani walikuwa namna fulani my question to you ni je, wanaume wa sasa na wazamani wanaoperate the same? Na je, on how wana operate, je, wanaume wa sasa mazingira yao na changamoto za kimahusiano ni kama za miaka ya nyuma?

[emoji1621]So baada ya wanawake kubreak free imesolve matatizo mangapi ya wanawake na je imewabadilisha wanaume au ndio vitu vimezidi kuwa worse? [emoji23]

Shida unaleta ancestry grievances kutoka generation ya wazee kwa vijana wa kisasa bila kuzingatia mabadiliko ya nyakati, mienendo na fikra za wanaume na wanawake wa kisasa. Yaani kwa maneno mengine unaongea as if you are from the 1940's generation wakati i can bet you are a generation Z. [emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1621] No body cares how you conduct yourself as especially me and by the way you are exercising you constitutional right ya kuongea what you think is fair. But in my case i think you wrongly represent women issues. Unatumia approach ya kisasi, kisirani, anger, trauma, confusion, misunderstanding, misguided information, idiologized agenda, controlled mindset kwenye hoja zako ambazo nyingi zinalenga si kutafuta suluhu bali kushindana and when you are told so unaishia kuwa defensive na kuhisi that what you are told is a form of personal attack.

Kataa unavyoweza ila shida ninayoiona kwako ni ile kuchukua mitazamo ya kizamani ya manyanyaso ya wanawake kuileta katika mijadala ya kisasa. I wish one day tukutane katika podcast ya kuongea ili uone how you shallow you sound in your own voice.

You lack the very thing you think you have , current information. Unajua inakera kuongea na mtu ambaye issue anazo raise sio current bali ni past. Yaani unajua kabisa kuwa issue tunayozungumzia ni ya sasa na ni changamoto za nyakati hizi halafu unaanza "Mbona mababu zetu walifanya this and that kwa mabibi zetu" am like " what tha f*ck" are being serious, blaming the whole body of modern Men for past issues that relate to ancestors and not a modern Man? This is where you are lacking ans you think the problem ni wanaume kukuona unajua kujenga hoja kujitetea while the real issue sio hiyo bali ni namna unajenga hoja zako kwa kuhama hama na kuokoteza blames from past and present time just to uphold your narratives.

I bet you that you can not dare do a direct verbal discussion na mimi maana only God knows how i will corner you and K.O you with Knuckle points. I dare you to meet me in one of the spaces aidha Twitter space ili tuongee direct halafu utaona madhaifu hata wanawake wenzako watakukataa.

[emoji1534][emoji441] Jadda mic kwako.
 
ila nashangaa hadi sasa hujaweka takwimu zaidi ya ngonjera tu
Upo vizuri kwenye kwenye mishangao, endelea kushangaa maadam huna hoja wala takwimu bali una ngonjera.

Ndivyo walivyo wanywaji wa safari larger, wala sikushangai.
 
emoji1621.png
Umesema mwenyewe "kwa taarifa yako" then ukaendelea hebu kasome ulichokiandika baada ya hayo maneno. Umekiri kuwa kwa taarifa yako wanaume ni wachache kuliko wanaweke hebu nenda kasome ulichoandika maana naona unanichezea akili. Takwimu za umri zipo katika nyaraka za wizara ya afya nenda mtandaoni andika uchambuzi wa sensa wizara ya afya pdf halafu usome utaona nilichokwambia. Factors za kupunguza idadi ya wanaume zinafananaje na za wanawake?
emoji848.png
Unataka kunambia jela kuna wanawake wengi kushinda wanaume wewe upo serious kweli? Hebu nenda kasome nyaraka za bunge uwasilishaji wa wizara ya mambo ya ndani soma idadi za wafungwa halafu idadi ya wafungwa wa kike na wa kiume, hakuna sehemu nimekwambia wanawake ni constant ebo, kwani wao ni maroboti au masanamu?
Issue sio wingi wa hayo makundi ya wanaume issues ni kushare wanawake kumbuka mwanaume m'moja anaweza kuwa na ratio ya wanawake 5 katika mzunguko wake hawa watu Tanzania nzima ukiwajumlisha hawatapungua milioni 5,chukua Wanaume milioni kumi halafu kila Mmoja awe na wanawake watatu tu. It means ni wanawake million 15. Wanawake milioni 15 ni kidogo kwako?
emoji848.png
Sasa uliposema wanaume ni wengi kuliko wanawake ulikuwa umewatenga kando au walikuwa eneo gani katika hizo bashiri zako za takwimu hata kama ni 20 tu ulijaribu kuwatenga na kuwakeka kando kama watu ambao mjadala wa kuwa na wanawake hautawahusu?

emoji1621.png
Simps/Monogamy tunawatoa sababu kwenye sample yetu tunaweka wanaume wanaochukua wake zaidi ya m'moja, wewe vipi wewe? Yaani unajadili wanaume walevi wewe u naweka na wanaokunywa soda tu nakuuliza kwann unawaweka kwenye mjadala unasema na wao si ni wanywaji, wanakunywa soda au beer? Soda ni ulevi? Tunaongelea wanaume wanaotomba mke zaidi ya m'moja wewe unaleta simps ambao hata kama ni marijali ila yeye anakuwa anaishi na mke m'moja tu hatoki nje ya mkewe, nini haujaelewa hapo? Huyo mtoe tujadili wanaume wanaoweza kuwa na mwanamke zaidi ya m'moja eg wawili kuendelea hao kuwakeka ni sawa na umesema mwanamke m'moja kwa mwanaume m'moja sasa si ni kama umewahesabu kwa mgao wa uwiano wa 1:1.
Sio wakiamua kuwa na mwanamke m'moja, wanaume kuwa na mwanamke m'moja sio issue ya choice ni issue ya aina ya mtu kama vile wapo wanawake ambao hawawezi kuishi na mwanaume pekee yake anataka kuwapo na mke mwenza the same wapo wanaume hawana energy ya kuwa hata na mchepuko hawezi kudeal na mwanamke zaidi ya m'moja, eg. Nerds. Sasa usiniquote vibaya kuwa nimesema wanaume kundi la monogamy na simps wapo hivyo by choice wapo hivyo kulingana na nature yao hawana jeuri ya kuwa na mke zaidi ya m'moja, uwe unaelewa vizuri.
Hizo inchi zingine zimeingiaje katika huu mjadala, kwan tunazungumzia context ya Tanzania au Dunia nzima?
emoji848.png


emoji1621.png
Hebu acha kunisukia maneno,unaweza kuonyesha ushahidi wapi nimesema wanawake wanaanza kuolewa na umri wa miaka 15?
emoji23.png
Nimesema wanaolewa au wanaanza kujihusisha na ngono kuanzia umri wa miaka 15,kuolewa na kujihusisha na ngono vina maana m'moja? Hebu improve your reading and understanding skills. Anyways kuna sehemu mabinti wanaolewa umri huo tena wengine ni miaka12 hadi miaka 14 hapa hapa tanzania hutaki acha. So siwezi kujibu uliyoendelea kuongea kwasababu tayari ulishapotosha na kubadilisha maana ya kile nilichokuwa nimekisema. Mimi sikuongelea wanawake kuolewa katika umri wa miaka 15 nimeongelea wanaanza ngono umri huo by average miaka hii huo ndio ukweli kama unataka kamsome Waziri gwajima akiwa anatoa ripoti za mimba za wanafunzi huko vijijini na mijini, halafu uliza hata wadau hapa watakuelekeza kuhusu vitoto vya 2000 vinaanza ngono umri gani?

emoji1621.png
Kwa mujibu wa hiyo hoja yako ni kuwa wanawake wakijitunza then wale wanaume ambao kwasasa wanaoa mke m'moja ila wanalala na wanawake wengine nje watakosa pa kufanya uasherati, ndio nikakujibu kwa kukwambia , hata endapo ikatokea wanawake wakasema watajitunza na kutoshiriki ngono na sheria kali zikawepo kudhibiti uasherati na uzinifu hadi ndoa then wanaume hawatakosa wanawake wa kufanya nao nje ya mke m'moja kwasababu watakuwa na ruhusa ya kuoa mke zaidi ya m'moja so watakuwa na wake 2,3,6,8,12,20 kulingana na uwezo wa mtu kadiri atavyoweza kuoa wake wa idadi yake na kuwatunza so still wale wapenda kulala na wanawake zaidi ya m'moja hawatokosa. Kinachotokea sasa ni ile kufosi mwanaume m'moja kuishi na mke m'moja, maana hata wanawake wa kiislamu ambao dini inatoa idhini ya ndoa ya wake hadi wa4 bado wanawake wa kiislamu wanakwepa hiyo sheria hawapendi kushare mume. Ndio maana wanaume wanaamua kuwa na mademu wa nje. Nimekujibu hivi kwasababu unaonekana kuona mwanaume kulala na mke zaidi ya m'moja ni swala linalohusiana na uasherati zaidi na sio kwamba mwanaume hawezi kuwa na utulivu na mke m'moja tu, atataka zaidi so ni bora ahalalishiwe.

emoji1621.png
Umenipa definition ya maneno wakati mimi nimekupa maana ya matumizi ya maneno. Ni sawa na mimi kusema, shikamoo ni salamu halafu useme sipo sahihi, shikamoo ni maneno anayotamka mtu wa umri mdogo kumuelekea mtu wa umri mkubwa kama salamu ya heshima.
Sasa nikuulize so ile amri ya sita inasema usizini, so mimi nikiwa sijaoa nikakutana na wewe haujaolewa tukapelekeana moto maana yake hatuna dhambi? Si ndio maana katika amri kumi za MUNGU hakuna amri inayosema usifanye uasherati wala usifanye umalaya ila ipo inayosema usizini tu, je waliopo nje ya ndoa ila wanashiriki ngono inamaana hawaandikiwi dhambi si ndio?
Mimi nimekuelekeza kwa muktadha wa matumizi sahihi sio definition. Ukienda gereji ukisema neno "Mswaki" utapewa block ya engine isiyo na parts, ukienda dukani ukasema neno mswaki utapewa kifaa cha kusafishia meno, ukiingia kwenye daladala ukasema neno mswaki lina maana kufanya safari bila abiria. Neno moja matumizi yenye maana tofauti. Uwe unaelewa sio kuleta ujuaji.

Mwanamke huitwa malaya (promiscuous) sababu yeye huruhusu mwili wake kuingiliwa na Wanaume wengi wakimfuata, mwanaume huwezi mwita malaya sababu yeye hufuata wanawake au kuwatega kwa vitu wanavyotaka na wanawake hawaji kwaajiri ya maumbile yake bali kile wanachokitaka wao kutoka kwa mwaume kwaajiri ya kukidhi tamaa zao so kwa mwanaume tunatumia uasherati ndio maana ni nadra ukisikia yule dada ni muasherati utaiskia kwa wanaume.
Kimsingi unatakiwa kufahamu kuwa maneno hutumika kutokana na asili ya maana yake. Kwa mfano, kuna dada anaitwa "Megan thee stallion" je, unajua maana ya neno Stallion? Kuna movie inaitwa Woman King na character wake ni mwanamke lakini unajua maana ya neno King?
So nikiwambia haya maneno yana maana yake ya kimatumizi kwa asili ambayo ndio nimekupatia kule jui usibishe kwa mujibu wa heresay au Google definition, lets go kwenye essence ya matumizi ya hayo maneno. Hayo ni maneno ya kale na yamekuwapo for ages. Sasa ukibadili maana sababu ya kutojua maana jua unapindisha mjadala hapa. And am sorry kwa hilo.

emoji1621.png
Hakuna andiko la moja kwa moja kwa maana ya direct quote from the Bible ambalo linasema "mwanaume utaoa mke m'moja au wake wengi" ila ndani ya Bible na hata Quran kuna mafundisho au maelekezo ambayo yanaelekeza hekima ya kuwa na mke zaidi ya m'moja. Unatakiwa kufahamu kuwa kuwa na mwanamke zaidi ya m'moja sio amri au sharti la lazima ila pia haifanyi hilo jambo kuwa batili. Kwenye Bible kuna sehemu imendikwa nadhani kwenye ukianza kusoma kitabu cha Ayubu pale kama utangulizi wa vitabu vya Hekima, wameongelea hili swala. Tafuta bible ya Roman Catholic utaona ninachokiongelea. MUNGU ni Hekima, hekima ni haki, haki ni ukweli, ukweli ni asili na asili ni MUNGU. Sasa ukitazama hiyo circle utaona kwamba kuna neno Asili kumaanisha unchanged au kitu ambacho huwezi kukibadili. Asili ni mwanaume m'moja kuwaendea wanawake wengi, ipo kwenye wanyama wote. Sasa ukibishana na asili maana unabishana na hekima, ukweli, haki na MUNGU mwenyewe. Unataka nikufafanulie kuhusu mwanaume m'moja kutaka wanawake wengi wakati haujui asili ya kimaumbile itakusaidia nini sasa? Nenda kajifunze kwanza how male psychology operates na kwann mwanaume m'moja anatakiwa wanawake wengi ili kufunction vizuri na kwanini ni tatizo mwanamke m'moja kuingiliwa na wanaume wengi kwa maana ya kuwa nao kimahusiano na mwanaume zaidi ya m'moja sababu i will fill the whole reply with the notes so let me spare you the burden of reading from my notes.

Here goes your mistake again kuassume wanawake na wanaume wana operate in the same manner. Wanaume kuwafuata wanawake inaitwa kushawishi na sio kurubuni, its the oldest thing in a history of animals Kingdom for males to approach females. Lazima kuwe na some kind of offering ili kuweza kupata female attention. Neno kurubuni umelitumia interchangeably hapa but ukizingatia matumizi yake ni maana kudanganya ili kupata jambo ambalo si stahiki. Sasa ukirejea upande wa pili wanawake ndio hurubuni wanaume ili kujipatia mali ambazo si stahiki zao. Kama mwanamke amemkuta mwanaume na mali zake, kutengeneza mazingira ya kuwa na huyo mwanaume au kukubalika kwa huyo mwanaume ili aweze kuwa nae hiyo tunaita ni kumrubuni kwa lengo la kunipatia mali kwa gear ya mapenzi ya kweli. Sasa sijui ulimaanishaje kuwasema wanaume kuwa wanawarubuni wanawake ile hali hufanya their natural act in approaching process ya female but it's never a female process to manipulate a male to fall in love for the sake of marriage, sijui ni nani mwalimu wako katika hili go and review your training.

Unaongelea swala la kustart from the scratch based on current experience ya kizazi cha kuanzia 1990's au based on kizazi cha kuanzia late 1980's kurudi nyuma? Sababu am sorry kukujuza kuwa vizazi hivi havina same experience based on the current situation compared to back then. Kwasasa more young women are reluctantly avoiding the "lets build our nest from the scratch" relationships with young males based on empty fears an anxiety that watakuwa betrayed in the future something that has been an out come of consistent influence of toxic doctrine of old school feminists ambao wamewajaza young women their past experiences, but the best part is, they are blaming oh let me put it this way, you are blaming the innocent generation of young men who never even owned a plot of land nor even established a course of life.
From your statement that says, "bora kulilia ndani ya gari kuliko kulilia juu ya bodaboda" unaweza kuona who is provoking the altercation and misunderstanding here and clearly you are condoning the actions of women who violate Men's loyalty towards women. So i have no say on that Sababu clearly umejifunga hapa kwa kusema ukweli kuwa mabinti ndio wakorofi.

So again, its fair kwako kulaumu wanaume kwa jambo ambalo sio only participants ila ni sio fair kuwahoji wanawake kwa maamuzi ya kizembe? So unatumia neno kuribuni kwa kisingizio cha umri wa wanaume kuwa ni wakubwa mabinti ni wadogo, sasa lets flip the picture and tuwalaumu hawa mabinti kwamba kwann na umri wao mdogo wakachagua kulala na watu waliowazidi umri na maarifa walijua fika huo ni utomvu wa nidhamu na ni kukosa maadili, why usisimamie hapo? Cause last time i checked watoto au mabinti wadogo wanawajibika na mienendo yao na wanapizidiwa wanatakiwa kuripoti kama sio kwa wazazi na walezi basi hata taasisi walizowekewa ambazo zinafanya kazi ya kuwatetea, why huwa wanakubali kushawishiwa na watu waliowazidi umri tena rika la baba, wajomba na babu zao? Why aren't you concerned with young women attitudes and ethical immorality towards adulta yet unajifanya kuwa wanaume watu wazima ndio source ya uharibifu, where is your transparency and honest juu ya tabia za mabinti wasio na maadili? You are a hypocrite.

Kuhusu mwanaume kumtawala mwanamke in comparison to PhD holder kutawaliwa na Boss wa darasa la saba ni eneo la mamlaka. Logic ya kukupa huo mfano ni kukupatia picha iliyopo eneo la privilege ya mwanaume kumtawala mwanamke hata kama ana uwezo wa kifedha bado nafasi yake itabakia kuwa ya juu ya mke sababu mwanaume ana ile natural authority ya kucall shots na kuwa na last say sababu mwisho wa siku anything goes wrong yeye kama mwanaume ndie atabeba full responsibility na atakuwa accountable na maamuzi yaliyofanya of which ni similar situation kwa PhD holder na Boss wa darasa la 7 ikatokea anything wrong the boss atakuwa questioned na ata bear full responsibility and accountability ya maamuzi ya mwisho. PhD holder nguvu ya elimu yake haizidi mamlaka ya Boss wake aliyeishia Darasa la saba. But as usual feminists are emotional creatures and ni ngumu kuona logic in anything that goes against their system of beliefs which is failure.

Sasa mimi ndie niliyetoa mifano na maana yake au sababu ndio nimejengea hoja, how comes tena uje useme nimetumia mifano yangu mwenyewe kujifunga? Nilikupa hiyo mifano hapo ili uone nature ya hali halisi kwa njia ya mifano. Nimetaja Marekani nikiwa na maudhui kuwa marekani ni mpenda vita kwa faida yake ila akiwa UN na mabaraza ya kujadili amani anajifanya ni mwanaharakati wa amani na si kweli. Pia nikasema wanasiasa kukemea rushwa huku rushwa ikiwa ndio chanzo chao kupata mamlaka na kukaa kwenye mamlaka ila kutwa ni kuikemea, nikasema wachungaji nikimaanisha kutwa kukemea maovu ile hali wao nyuma ya pazia ni waovu kuliko namna waumini wa imani zao wanafanya uovu. Mifano hii ililenga kukwambia mimi kama mwanaume na wenzangu tunapokemea tabia mbovu za wanawake ndani ya nafsi zetu tunachukia kuona wanawake wakiharibika so it means matendo na fikra zetu vinafanana na nia zetu hata huko gizani sababu hatupendi hayo yanafanywa na wanawake hata kama sio wake zetu au dada zetu, tunapenda kuwalinda. Ila nikasema ninyi wanawake mafeminist ni wanafiki mnajinadi kukemea uovu wa wanaume as if mnatetea maslahi ya wanawake ile hali nyuma ya pazia hamna efforts wala hamchukii yale wanayo fanya wanawake yanayowaharibia hadhi yao katika jamii kwani ni uongo hilo jambo? Ni mara ngapi umeona popular na famous feminists wa Tanzania wanamkemea Giggy money and the likes kwa kutumia pages zao za social media kudhalilisha uanamke kwa kupromote culture ya Ratcheting? But wanaume wakimshambulia Giggy money kwa maneno makali ya kumkemea hao mshafika kutetea na kusema udhalilishaji wa mwanamke, umeona nilichomaanisha au unasoma kunijibu ili mradi umenijibu?

Kuhusu misogyny nakushauri urejee notes zako vizuri au consult Google for a better clarification on the subject cause i have done more than enough research on that subject. Kuna kuwa mwanamke na kuna uanamke. Unaona mashoga, wanajaribu kuiga uanamke ila hawawezi kuwa wanawake. Uanamke ni haiba itokanayo na jinsia ya kike ndio maana Joti au Wamkuvanga akivaa kama mwanamke ujumbe unafika kirahisi sababu anaonyesha haiba ya kike ila hawezi kuwa mwanamke.

Ma'Tomboy ni wanawake wanaoiga uanaume na kurepresent uanaume ndio maana wanadress na kuiga muonekano na haiba ya kiume ila hawawezi kubadilika kuwa wanaume Sababu ni wanawake kiasili.

Therefore, kukusaidia tena narudia, Misogyny ni chuki dhidi ya uanamke sio mwanamke. Unaweza chukia mwanamke lakini usichukie uanamke wake. Mfano unaweza tukana wanawake sababu ya tabia zao ila still ukafurahia uwepo wa mama yako, dada yako, mkeo na binti yako maana wanachowakilisha kwako ni nafasi ya uanamke katika maisha. Sasa wapo wanawake wanachukia uanaumke na kuuona ni challenge kuyafikia malengo ya kidunia kama wanaume. Mfano Tomboy, unahisi anafurahia kuwa mwanamke, kwann anaiga kuvaa kiume na ukimtreate kama mwanamke anachukia na kwanini anajipa uhusika wa kiume katika mahusiano?
Hebu kajieleimisha acha kuleta ujuaji kwenye eneo ambalo you lack basic knowledge.

Sasa ancestors ni wapi walishawahi kuandika au kudocument chuki kwa wanawake si wanaume tungekuwa watata hadi basi, ila mbona wanaume ndio champions wa kuwatetea wanawake tena wanaume wa kizazi hiki wamefanya kazi kubwa kuliko wanawake kwenye kutetea maslahi ya mwanamke yet look how ungrateful you sound about Men in general. If the case was divide and rule then women are more vulnerable and weak when operating together than when are attached with males,you should really check your facts sababu upo very biased. You really need to check how that level of Feminism toxic fed mentality is affecting your ideas and how you understand things.

Sasa ukinambia wanaume wa zamani walikuwa namna fulani my question to you ni je, wanaume wa sasa na wazamani wanaoperate the same? Na je, on how wana operate, je, wanaume wa sasa mazingira yao na changamoto za kimahusiano ni kama za miaka ya nyuma?

So baada ya wanawake kubreak free imesolve matatizo mangapi ya wanawake na je imewabadilisha wanaume au ndio vitu vimezidi kuwa worse?

Shida unaleta ancestry grievances kutoka generation ya wazee kwa vijana wa kisasa bila kuzingatia mabadiliko ya nyakati, mienendo na fikra za wanaume na wanawake wa kisasa. Yaani kwa maneno mengine unaongea as if you are from the 1940's generation wakati i can bet you are a generation Z.

No body cares how you conduct yourself as especially me and by the way you are exercising you constitutional right ya kuongea what you think is fair. But in my case i think you wrongly represent women issues. Unatumia approach ya kisasi, kisirani, anger, trauma, confusion, misunderstanding, misguided information, idiologized agenda, controlled mindset kwenye hoja zako ambazo nyingi zinalenga si kutafuta suluhu bali kushindana and when you are told so unaishia kuwa defensive na kuhisi that what you are told is a form of personal attack.

Kataa unavyoweza ila shida ninayoiona kwako ni ile kuchukua mitazamo ya kizamani ya manyanyaso ya wanawake kuileta katika mijadala ya kisasa. I wish one day tukutane katika podcast ya kuongea ili uone how you shallow you sound in your own voice.

You lack the very thing you think you have , current information. Unajua inakera kuongea na mtu ambaye issue anazo raise sio current bali ni past. Yaani unajua kabisa kuwa issue tunayozungumzia ni ya sasa na ni changamoto za nyakati hizi halafu unaanza "Mbona mababu zetu walifanya this and that kwa mabibi zetu" am like " what tha f*ck" are being serious, blaming the whole body of modern Men for past issues that relate to ancestors and not a modern Man? This is where you are lacking ans you think the problem ni wanaume kukuona unajua kujenga hoja kujitetea while the real issue sio hiyo bali ni namna unajenga hoja zako kwa kuhama hama na kuokoteza blames from past and present time just to uphold your narratives.

I bet you that you can not dare do a direct verbal discussion na mimi maana only God knows how i will corner you and K.O you with Knuckle points. I dare you to meet me in one of the spaces aidha Twitter space ili tuongee direct halafu utaona madhaifu hata wanawake wenzako watakukataa.

Jadda mic kwako.
Mimi nimekuambia niletee hizo takwimu hapa tuzichambue ili tuone huo uwiano wa idadi ya wanaume na wanawake ambao wako kwenye umri wa ndoa sijakuambia uniletee porojo zako, na ofcourse hapa tunaongelea context ya dunia nzima na siyo tanzania tu kwa sababu mnadai kwamba tamaa ya kuwa na wanawake wengi ni nature ya wanaume wote marijali duniani na siyo wanaume wa kitanzania au wa jamii fulani tu kwahiyo nasubiri uniambie hizo nchi ambazo wanaume ni wengi kuliko wanawake wao wanaishije, kuhusu simps hebu fafanua vizuri unaposema kwamba ni 'nature' ya simps kuwa na mwanamke mmoja yani eti hawana jeuri ya kuwa na wanawake wengi kwani wao hawana huo uwezo wa kuwa na wanawake wengi, yani unamaanisha nini kusema hivyo ikiwa sifa ya mwanaume yeyote rijali ni kuwa na wanawake wengi sasa hawa simps (ambao ni marijali kama wanaume wengine) wanawezaje kuwa na mwanamke mmoja, kama kweli nature ya kiumbe chochote cha kiume duniani ni kuwa na majike mengi kama ulivyosema kwanini tusiwahesabia hawa simps unadhani ni kwanini wao wameamua kuwa na mwanamke mmoja hebu nyoosha maelezo vizuri hapo usinitolee mifano ambayo ni irrelevant hapa

Kuhusu suala la mabinti kuolewa mapema hata kama tungesema tusogeze hadi miaka 18 niambie ni wanawake wangapi dunia ya leo wanaolewa katika huo umri namaanisha dunia nzima sijasema tanzania tu, kwa sababu hapa tunaongelea sifa za viumbe wote duniani vya jinsia ya kiume na ya kike sasa wewe kwanini unalazimisha tuongelee tanzania tu kwani tanzania ndio inawakilisha dunia nzima, na hata ukisema uongelee tanzania tu bado utakuwa hauko sahihi kwa sababu wanaoolewa katika huo umri ni wachache ambao wanaishi kwenye remote villages na bado hawajaelimika hivyo huwezi kusema kwamba hiyo idadi ni kubwa sana kiasi cha kuwahesabia na kuhitimisha kwamba eti huo ni umri wa binti kuolewa, kwa sababu kwa dunia ya leo mabinti wengi wa umri huo wanakuwa wako shule na hapo usisahau kwamba mabinti wengi walioko kwenye early 20s siku hizi hawako tayari kuolewa, yani wanajiona hawako tayari kuwa wake na wamama na hata wanaume wengi husema kwamba dunia ya leo kuoa vibinti vidogo ni kujitafutia stress za mapema sababu vingi ni visumbufu na vina akili za kitoto hivyo haviko tayari kwa ndoa

Unajua tofauti yangu na wewe ni kwamba mimi nataka wanawake na wanaume wote wajitunze waache kufanya ngono kabla ya ndoa ila wewe unataka wanawake tu ndio wajitunze ila wanaume waendelee kufanya ngono kabla ya ndoa kadiri wanavyotaka kitu ambacho hakiwezekani, na ndio maana nikakuuliza inawezekanaje tendo linalohusisha jinsia mbili likifanywa na jinsia moja ni sawa ila tendo hilo hilo likifanywa na jinsia nyingine ni kosa yani ni kana kwamba wanaume wanafanya na viumbe wengine na wanawake wanafanya na viumbe wengine hebu wewe niambie hii ni logic ya aina gani, yani eti mwanaume akifanya uzinzi ni sawa ila mwanamke akifanya uzinzi ni kosa kwani huyo mwanaume anafanya na nani na huyo mwanamke anafanya na nani, na ndio maana nawaambia hii ya kusema kwamba mwanamke ndio anatakiwa ajitunze ila mwanaume hatakiwi kujitunza kwa sababu eti hawezi kuishi bila sex ni illogical na unrealistic, uhalisia ni kwamba ni either jinsia zote zijitunze au zote ziendelee tu kufanya ngono yani ni either hilo tendo liwe sawa au kosa kwa wote kulingana na wakati na mazingira ambapo limefanywa

Kuhusu wanawake wote kujitunza hebu elewa kitu kimoja nimesema hivi ikitokea kuanzia sasa wanawake wote duniani (ambao hawajaolewa) wakaanza kujitunza yani ni mabikira kabisa je wanaume (ambao hawajaoa) watapata wapi wanawake wa kufanya nao ngono, yani tuassume watu wote ambao wamewahi kufanya ngono wameshakufa kimekuja kizazi kipya ambacho kina wanawake wanaotakiwa kujitunza mpaka ndoa yani ni mabikira kabisa je wanaume ambao watakuwa wako kwenye hiko kizazi watapata wapi wanawake wa kufanya nao ngono, sasa wewe unaniambia habari za wanaume waliooa sijui kuwa na wake wawili watatu na kuendelea mara sijui sheria zitawaruhusu kwanza ni sheria gani hizo maana watu wengi hasa waumini wa dini ya kikristo wengi wanafuata sheria wanayodai ni ya dini yao ya kuoa mke mmoja, by the way unaweza ukanipa takwimu pia za wanaume ambao wanaoa wake wengi ili tulinganishe na wale wanaooa mke mmoja tuone uwiano wao, na siyo kusema tu kwamba wanaume wanaweza kufanya hivi au vile sawa wanaweza ila je tukija kwenye uhalisia wa dunia ya leo wanafanya kweli au ndio vinaishia kwenye maneno tu na wanaofanya ni wangapi kulinganisha na wasiofanya

Na kuhusu mwanamke kuwa na wanaume wengi mimi sijasema kwamba na wanawake wanaweza kufanya hivyo kwanza tofautisha kati ya mwanamke kuwa na wanaume wengi kwa wakati mmoja na mwanamke kuwa na wanaume wengi kwa nyakati tofauti, hilo la kwanza wanawake wengi hawawezi ila hilo la pili ni wanawake wengi wanaweza na siyo tu kuweza bali wanafanya na chanzo cha hayo kwa asilimia kubwa ni wanaume kwa sababu kama nilivyosema kwenye moja ya comments zangu zilizopita anayeamua ndoa ni mwanaume na si mwanamke, na hiyo ni kwa dunia nzima siyo kwa jamii fulani tu yani mwanaume ndiye anayeamua kwamba atamuoa mwanamke fulani ila mwanamke haamui kwamba ataolewa na mwanaume fulani, na hapo ndipo inapoingia hiyo hoja ya kwamba wanaume wengi wasio na nia ya dhati (kumbuka wanaume wameshaambiwa wao kula na kusepa ni sawa haiwaathiri chochote hivyo wengi kuwafanyia hivi wanawake ni kama kunywa maji tu hawaoni hasara) wanawatongoza wanawake kwa gia ya ndoa sababu wanajua wanawake wengi kipaumbele chao ni ndoa, hivyo wanajua wakitangaza ndoa tu watakubaliwa kirahisi ila wakishafanya walichotaka wanaingia mitini hii inafanya wanawake wengi kujikuta wamepitia mahusiano mengi sababu ya kudanganywa hadi pale watakapokuja kuwapata wanaume wataokuja kuwaoa

Halafu wewe unakuja kuleta assumptions zako hapa kwamba eti asilimia 90 ya wanawake wanachezewa kwa sababu ya tamaa eti sijui wakihongwa na kununuliwa vitu wanadanganyika kirahisi yani umeassume kwamba wanaume wenye uwezo kiuchumi tu ndio wanaowadanganya wanawake, kwani hakuna wanaume masikini wasio na uwezo wa kuhonga ambao wanadanganya wanawake hao nao wanakuwa wamewapa nini au wewe akili yako inakuambia kwamba mwanaume akiwa masikini tu automatically ni nice guy na mwanaume akiwa tajiri tu basi automatically ni play boy, yani vyovyote unatakavyoita whether ni kurubuniwa au kushawishiwa ila vyote vinafanana kwa jinsia zote mbili yani vyote lengo linakuwa ni kupata kitu mtu anachokitaka na hoja yangu ni kwamba ni ngumu kumjua mtu asiye na nia ya dhati kwa jinsia zote mbili, yani mwanamke ni ngumu kumjua mwanaume asiye na nia ya dhati ya kumuoa ikiwa huyo mwanaume atamuigizia kama ambavyo mwanaume ni ngumu kumjua mwanamke asiye na sifa za kuolewa ikiwa huyo mwanamke atamuigizia, huo ndio uhalisia sasa unabisha nini wakati wanaume wenyewe ndio husema kwamba tabia za wanawake ndio huwashawishi wanaume either kuwaoa au kuwaacha sasa hilo nalo linahitaji mwalimu au ni wanaume ndio mnatakiwa kujifikiria kuhusu kauli zenu

Kuhusu ku start from the scratch unaposema kwamba wanawake wa kizazi hiki wanawa blame wanaume wa kizazi hiki unamaanisha nini na kizazi gani yani unamaanisha kwamba wanaume wa kizazi hiki ndio wamekuwa watakatifu, kwamba wao hawawa betray wanawake pale wanapopata mafanikio baada ya kuhustle pamoja yani unamaanisha kwamba hizo tabia zimekoma wanaume wameziacha kabisa na hakuna wanaume wanaoendelea kufanya hayo hebu jaribu kuwa kwenye uhalisia hapa, siyo kila kitu unasingizia sijui feminists wamefanya nini kana kwamba hawa wanawake wote wana akili za kushikiwa na hawaoni au hawasikii yanayoendelea kwenye jamii, again bado unaassume kwamba mwanaume akiwa masikini ndio ana mapenzi ya dhati ila akiwa tajiri anakuwa hana mapenzi ya dhati yani unaandika kana kwamba hakuna wanaume masikini ambao hawana mapenzi ya dhati na hakuna wanaume matajiri ambao wana mapenzi ya dhati, kiasi cha kufikia conclusion kwamba mwanamke kuanza na mwanaume from the scratch ni guarantee ya kuwa na happy relationship ila mwanamke kuwa na mwanaume ambaye ameshajipata ni guarantee ya kuwa na bad relationship unaona hizi assumptions zako

Matumizi ya neno malaya kwanza kabisa kwa hapa kwetu yanapindishwa hasa na wanaume kwa madai kwamba hakuna mwanaume malaya yani wanaume wanadai wao kuwa na wanawake wengi ni asili na siyo umalaya, hivyo wao ndio wanalazimisha neno malaya litumike kwa mwanamke tu kwa sababu siyo asili ya mwanamke kuwa na wanaume wengi ila kiuhalisia mtu yeyote mwenye wapenzi wengi ni malaya bila kujali jinsia na sidhani kama hilo neno linahusiana na sijui kutoa au kufuata maumbile kama ulivyopotosha hapa, ni sawa na wanaume wanavyokataa kuitwa bikira wanadai eti bikira litumike kwa mwanamke tu sababu wao wanadhani bikira ni ule uzibe ambao upo kwenye uke wa binti ambaye hajawahi kufanya mapenzi wakati bikira ni mtu yeyote ambaye hajawahi kufanya mapenzi haijalishi ni mwanaume au mwanamke yani kuwa bikira ni hali na siyo maumbile, cha ajabu wanaume wengi wanashupaza shingo kwamba eti mwanaume hana bikira (no wonder watu wengi husema eti bikira ya mwanamke huweza kutolewa na baiskeli kana kwamba baiskeli ina uwezo wa kufanya mapenzi na mwanamke) sasa ndio kama tu hilo neno malaya jinsi linavyokataliwa na wanaume kimihemko tu na siyo kwa kuzingatia maana halisi ya hilo neno, na neno uasherati pia linatumika kwa jinsia zote mbili kulitumia kwa wanaume pekee unakosea kwa sababu uasherati ni kitendo cha watu ambao hawajafunga ndoa au wasio na ndoa kufanya tendo la ndoa

Halafu ni nani aliyekuambia kwamba hiyo dhambi kutokuwepo kwenye amri kumi za mungu basi inaifanya kuwa siyo dhambi kwani ni dhambi ngapi ziko kwenye maandiko mengine ila kwenye amri kumi hazipo kwahiyo ufiraji na usagaji nazo siyo dhambi kwa sababu hazipo kwenye amri kumi au unataka kusemaje, kuhusu hiyo case ya standard seven kumtawala phd holder suala siyo elimu bali akili yani mwenye akili zaidi ya mwenzie ndiye anakuwa mtawala sasa ulikuwa unakataa nini niliposema kwamba wanaume wamewazidi akili wanawake ndio maana wanawatawala, kwahiyo mwanaume kumshawishi mwanamke siyo jambo la kushangaza sababu wanaume wamewazidi wanawake akili hivyo lazima wawazidi na mbinu, na pia kwa kuuhusianisha huo mfano wako na hii mada umedai kwamba kwa case ya mwanaume na mwanamke mwanaume ndiye atayekuwa held accountable na atakuwa responsible kama mambo yakienda ndivyo sivyo, sasa kwanini kwenye hili suala zima la wanawake kuharibikiwa hamtaki kuwa accountable wala responsible yani mnajitoa kabisa kana kwamba ninyi hamhusiki kwenye kuwaharibu

Kuhusu ishu ya wanaume kulalamikia maovu ya wanawake ili wabadilike ukweli ni kwamba wanafanya hivyo siyo kwa sababu wanawajali sana na kuwaonea huruma wanawake bali wanafanya hivyo kwa sababu wanawake wakiwa na tabia njema, wanaume watanufaika kwa kuoa wake wema na hata wewe mwenyewe ulikiri hilo kwenye comment yako iliyopita kwamba wanaume mnanufaika sababu ninyi ndio mnataka wake wema, kama kweli mngekuwa mnawajali na mnawaonea huruma wanawake basi mngeanza kuonesha hivyo kwa kuacha kuwachezea mabinti wa watu kwa kisingizio kwamba eti mna tamaa sijui mwisho wa siku watakaoteseka ni wao ninyi maumbile yenu yanawabeba, sasa mtu anayedai anamjali na anamuonea huruma mwenzie anaweza kufanya mambo kama hayo na kutoa kauli kama hizo yani ninyi mkahangaike na wanawake huko halafu mkishamaliza mrudi nyuma na kusema ni ujinga wao huku ninyi mkijitoa kana kwamba hamhusiki, halafu hapo hapo mnakuja kuwatukana na kuwadhalilisha na kudai kwamba hawafai kuolewa sababu hawajitunzi na hawajiheshimu halafu baadaye mnakuja kujifanya mnawajali na mnawaonea huruma ndio maana mnakemea maovu yao sasa huu kama siyo unafiki basi sijui unafiki ni nini

Sasa unaposema misogyny ni kuchukia uanamke na siyo kuchukia wanawake je uanamke ni nini yani kati ya mwanamke na mwanaume nani aliyeanza kuchukia uanamke in the first place na kama ni mwanamke je chanzo cha mwanamke kuanza kuchukia uanamke wake ni nini yani from nowhere tu mwanamke aanze kuchukia uanamke na kuwa na mwanamke, kama misogyny ni kuchukia uanamke basi mtu wa kwanza kuuchukia uanamke ni mwanaume kwa sababu ukitrace back utakuta wanaume ndio walianza kuwadharau wanawake na kuyadharau majukumu yote yaliyoitwa ya kike yani babu zetu walikuwa wanawachukulia wanawake kama viumbe fulani duni na pungufu, na ndio maana zamani ilikuwa fahari kuzaa watoto wa kiume kuliko wa kike yani mwanamke akijifungua watoto wa kike pekee au wengi mume anachukia kabisa na kuona kama vile familia yake imelaaniwa yani wale wanaume waliokuwa na watoto wa kiume wengi ndio walikuwa wanaheshimika sasa unataka kusema hili lilianzishwa na wanawake, na siyo hilo tu ni mambo mengi ambayo wanawake walikuwa wanafanyiwa na wanaume yanayoashiria kwamba wanaume ndio misogynists wakubwa, mfano mwingine nilikupa kwamba jamii nyingi zilikuwa zinakeketa watoto wa kike yote hiyo ili mwanamke asifurahia tendo kwenye ndoa ili asije akamsaliti mume wake je hilo nalo ni wanawake wenyewe ndio waliolianzisha

Zamani watoto wa kike walikuwa hawapelekwi shule hawakutakiwa kuwa na elimu yoyote wala malengo yoyote yale zaidi ya kuolewa kuzaa kumhudumia na kumfurahisha mume bila kujali yeye ana furaha au hana na waliokuwa wanapinga watoto wa kike kusomeshwa ni wanaume, kwahiyo mlitaka wanawake wafurahie hili au ndio kama mnavyodai kwamba fahari ya mwanamke ni kutimiza tu majukumu ya nyumbani maisha yake yote kwahiyo wanawake inabidi waone fahari kwenye hilo sasa kiumbe mwenye utashi kama wewe unamuwekeaje mipaka ya kufikiria kwamba eti anatakiwa afurahie kufanya mambo fulani tu na si nje ya hapo, kwa sababu kumbuka haya majukumu ni gender assigned roles na siyo nature (ukitoa yale majukumu ya mwanamke ya kimaumbile) yani ingekuwa ni nature basi wanawake wote duniani wangekuwa na uniform mentality kwamba destiny yao ni kuolewa kuzaa kulea na kutunza familia tu basi, lakini kitendo cha wanawake wengi kuanza kuwa na ndoto na malengo tofauti tofauti ya kutaka kuwa mtu fulani au kufanya kazi fulani kinaashiria kwamba mwanamke kukaa nyumbani siyo nature bali ni gender assigned roles tu na haimaanishi kwamba kufanya kazi ya ndoto yake kutamzuia yeye kufanya yale majukumu yake ya asili siyo hayo mengine ambayo yaligawanywa tu na yeyote anaweza kuyafanya akiamua, sasa kama wanaume ambao ndio viongozi wa wanawake waliwafanya wanawake wajione hivi ulitegemea wanawake wangeona fahari yoyote kuwa wanawake yani kipi kilitakiwa kiwape wanawake sababu ya kujivunia kuwa wanawake ikiwa uanamke wao ulidharauliwa na kukandamizwa kiasi hiko

Sababu kumbuka hakuna anayechagua kuzaliwa wa kike au wa kiume ni mtu unajikuta tu ushazaliwa hivyo halafu unaambiwa ufuate tamaduni zilizowekwa na watu kama wewe kwa lengo la kukukandamiza wewe kwa kisingizio kwamba umezikuta kwahiyo maana yake unatakiwa ukubaliane na matokeo ya jambo ambalo hukujiamulia wewe sasa hapo kwanini mtu asichukie kuzaliwa mwanamke na kutamani angekuwa mwanaume, sababu tamaduni alizozikuta zimemuaminisha kwamba jinsia ya kiume ndio jinsia iliyopendelewa kwa kupewa mamlaka na uhuru wa kufanya inachojisikia wakati kumbe ni mitazamo ya watu tu ambayo ikibadilshwa pengine mwanamke anaweza kujisikia fahari kuwa mwanamke akafanya yale mazuri yanayompa furaha na maisha yakaenda vizuri tu, sasa unaposema kwamba nisiongelee mambo ya ancestors wetu unamaanisha nini wakati hapa tunaongelea misogyny na kuzaliwa kwa feminism au wewe unadhani feminism imeanza miaka ya juzi juzi ya kizazi hiki kumbuka misogyny ambayo ilichangiwa kwa kiasi kikubwa na wanaume ndio ilipelekea kuzaliwa kwa feminism na mfumo wa haki sawa, na kinachofanya feminism iendelee kupigiwa kampeni kwa nguvu ni kwa sababu hadi kwenye kizazi hiki bado kuna wanaume wengi ambao wana mitazamo ya kijima na kimwinyi kama ya hao babu zetu na wanatamani wanawake wote warudi kuwa kama bibi zetu, au wewe hujawahi kukutana na wanaume wenye mitazamo ya namna hiyo au unadhani haya malalamiko yote ya wanaume kuhusu wanawake wa kizazi hiki yanatokana na nini yani kuna wanaume bado wako kwenye mfumo dume na wanaamini kwamba mwanamke kukaa nyumbani ni asili yake hata kama ananyanyaswa na hana furaha katika hilo

Sasa wanawake wengi ndio wanapambana wasirudi huko sababu mfumo dume unaweza ukawa hauna shida ila shida ni pale wanaume wengi wanapoanza kuutumia vibaya kujinufaisha wao na kuwakandamiza wanawake so kwanini umlaumu mtoto wa kike ambaye yeye anachofanya ni kupambania maslahi yake tu sasa wewe unasema wanaume wamewapambania wanawake kwenye nini hasa ambacho kinawanufaisha wanawake wenyewe, kushindwa kulisolve hilo tatizo na kulifanya kuwa worse kunasababishwa na wanaume wengi ambao bado wanang'ang'ania mfumo dume usio na maslahi kwa mwanamke na ndio hao wanaolalamika kila siku yani mfumo dume unataka mwanaume awe muovu ila mwanamke awe mwema kitu ambacho hakiwezekani hasa linapokuja kwenye suala la ngono ambalo linahusisha jinsia zote mbili yani ni either wote wawe waovu au wote wawe wema mimi huo ndio msimamo wangu, mimi sitetei maovu ya wanawake ila ninyi wanaume ndio mnatetea maovu ya wanaume sasa mimi hawa wanaume wanaojifanya kukemea maovu ya wanawake halafu wanatetea ya wanaume ndio ambao wananionaga mbaya na adui wao ukiwemo wewe sababu huwezi kusema eti kufanya ngono kwa mwanamke ni kosa ila kwa mwanaume ni sawa, yani shida yangu mimi ni ninyi wanaume kujiona innocent kwanini mwanaume kumshawishi mwanamke mnaona siyo kosa ila mwanamke kukubali kushawishika ndio kosa while mimi nasema wote wana makosa na wote wanatakiwa wabadilike ninyi mnasema wanawake ndio wana makosa na ndio wanatakiwa wabadilike halafu mnatoa sababu za kipuuzi na za uongo eti ninyi hamna hasara wakati baadaye mkitaka kuoa mnaanza kujilalamisha tena kwamba hawa wanawake hawana sifa za kuolewa ilihali ninyi pia mlichangia wao kukosa hizo sifa kama mngetaka wawe nazo basi mngewaacha wajitunze na mngewaoa bila kufanya nao uasherati, hivi mfano sheria kali ingewekwa kwamba wote mwanaume na mwanamke hakuna kufanya tendo la ndoa mpaka mtakapofunga ndoa unadhani ni jinsia gani itaanza kushindwa mapema na kurudi kufanya uasherati bila shaka jibu unalo na hilo jibu ndio linadhihirisha kwanini ustawi wa jamii hauwezi kuwepo bila jitihada za jinsia zote mbili kuvumilia na kujitunza hadi ndoa na siyo jinsia moja tu huku nyingine ikijiona iko sahihi kuendelea kushawishi nyenzake kufanya maovu hayo

Wewe umeshindwa kunijibu hoja zangu hapa ndio unadai eti unataka ukafanye majadiliano na mimi kwenye podcasts za kuongea sijui twitter space kwani huko utaongea nini ambacho unashindwa kukiandika hapa kwa bahati mbaya siku hizi mimi si mtu wa social media sana ukitoa jf ambako ndio niko active hiyo mitandaoni mingine siku hizi siko active na sijui what makes you think kwamba mimi naweza kujadiliana kwenye kuandika tu na siyo kwenye kuongea pia, kwa taarifa yako hata hapa jf tu tulikuwa na hard core anti feminists wenye hoja kukuzidi wewe na nimeshajadiliana na kubishana nao sana tu ila guess what hakuna kati yao ambaye aliweza kunijibu maswali yangu wote waliishia kunipa shallow answers kama hayo unayotoa wewe ambayo pamoja na kuzunguka sana ila lengo ni kuonesha tu kuwa eti "wanaume hawana hasara anayeumia ni mwanamke", na mwisho wa siku nao waliishia tu kudai kuwa mimi ni mbishi na kuniita majina yote wanayojua wao na kunidescribe vile wanavyojua wao sasa wewe sijui unadhani kwamba mimi haya masuala nimeanza kujadiliana na wewe juzi tu mimi tangu 2020 hoja zangu huwa ni hizi hizi na misimamo yangu ni hii hii uliza wanaonifahamu ila cha ajabu hadi leo hakuna mwanaume aliyeweza kunipa majibu ya kueleweka zaidi ya wengi kuishia kushusha magazeti kama wewe ya kunitukana huku wakijisifia wao, sasa ulipokuja wewe nikajua labda utakuja na kitu kipya cha tofauti na kunipa majibu ya maswali yangu ya muda mrefu cha ajabu na wewe unatembea mule mule walikopita wenzio unanipa majibu yale yale yasiyo na kichwa wala miguu halafu unalazimisha niyakubali kwa kudai ndio uhalisia na nikiyakataa kwa facts unadai eti mimi mbishi yani unajenga hoja ambazo zinazidi kuzalisha maswali mengi kuliko majibu halafu nikikuuliza maswali yangu unasingizia eti najadili hoja kwa kuhamahama while ni wewe ndiye ambaye unakwepa maswali yangu wewe si umeamua kuwatetea wanaume wenzio ndio unijibu sasa maswali yangu kama ninavyouliza acha kubwabwaja hapa na kujifanya kama unanifahamu sana kumbe unatafuta tu namna ya kujifariji na kujidefend, halafu mimi nilishasema sijadili hoja zangu kwa lengo la kumfurahisha mtu huwa nasimamia misimamo yangu hata kama dunia nzima itakuwa kinyume na mimi sasa unaposema sijui wanawake wenzangu watanikataa ni kana kwamba uliambiwa mimi natafuta validation toka kwa wanawake wenzangu na kwamba wasiponipa any kind of support basi nitatetereka na kurudi nyuma na kuanza kuiquestion misimamo yangu well fortunately i am not that kind of person
 
Upo vizuri kwenye kwenye mishangao, endelea kushangaa maadam huna hoja wala takwimu bali una ngonjera.

Ndivyo walivyo wanywaji wa safari larger, wala sikushangai.
Mimi nimeleta takwimu umezipinga na siku zote takwimu hupingwa kwa takwimu, nimekuambia lete wewe za kwako kutoka kwenye chanzo cha kuaminika unarukaruka na kuhamisha magoli, haya sasa hivi tena umehamia kwenye safari lager sijui zinahusiana nini na kuweka takwimu sasa wewe ambaye hunywi hizo unawazidi nini wale wenye hela zao wanaokunywa hizo
 
Mimi nimeleta takwimu umezipinga na siku zote takwimu hupingwa kwa takwimu, nimekuambia lete wewe za kwako kutoka kwenye chanzo cha kuaminika unarukaruka na kuhamisha magoli, haya sasa hivi tena umehamia kwenye safari lager sijui zinahusiana nini na kuweka takwimu sasa wewe ambaye hunywi hizo unawazidi nini wale wenye hela zao wanaokunywa hizo
Tumeshamalizana mama, habari ya takwimu na takwimu waachie kina Anna Makinda na Tulia waendelee uongo wao.

Msalimie baba akee.
 
Wewe ndiye mbishi, mie sinaga ubishi wowote aunt
Wote ni wabishi ila ajabu wewe unajikataa, wewe ungekuwa siyo mbishi tusingefika hapa maana nilikuwa sibishani mwenyewe, tofauti ni kwamba mimi nabishana kwa facts ila wewe unabishana kimihemko tu
 
Back
Top Bottom