Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Mwanamke akijitunza pekee inatosha sababu ni bora mwanaume aliyelala na wanawake wengi akawajua wanawake vema atakuwa na advantage kwenye ndoa kwa kuwa fundi kwa mkewe na kumpa raha za kimwili, kujua namna ya kumuongoza kihisia sababu keshakutana na wanawake tofauti tofauti so anaelewa mbinu za kumcontrol mkewe.
Kinyume chake mwanamke akilala na wanaume wengi maumbile yake huwa yanaharibika kwa kutanuka na kupoteza msisimko wa asili, anaingiliwa na size tofauti so ngumu kujua ipi itampa raha zaidi, mwanamke anaejihusha na wanaume wengi hukosa msisimko wa kuwa na mwanaume m'moja etc. so futa kichwani hilo wazo kuwa wanaume kutokuwa na mwanamke hadi ndoa ni kujitunza. That's women mentality and perceptions juu ya mahusiano and its based on illusions.
Bado nakusisitiza kuwa changamoto yako ni kulinganisha mwanaume na mwanamke eneo la tabia na kudhani wote wana matokeo sawa, you are very wrong on that area. Eneo la mahusiano mwanaume yupo privileged naturally na maisha yamempa hiyo privilege sio mwanadamu au jamii ni nature au MUNGU if you will. Kitendo cha wewe kusema kukemea uovu (sijajua uovu upi haujawa specific) isilenge wanawake tu bali na wanaume wakemewe. Sasa nitakuuliza tena swali, unahisi katika haya maisha ya ngono, kati ya Me na Ke nani yupo katika risk ya kuloose?Najua kwa uwezo wako wa kufikiri utasema wote na utaanza kutiririka na hoja zako manufactured from "Jadda Woman Empowerment and Defensive Mechanism Association ". But unasahau kuwa unachokisema sicho kinachotokea katika uhalisia wa maisha na hata takwimu za kiserikali zinaliona hilo na ndio maana hata jina la wizara limeweka neno wanawake la wanaume halipo sababu wameona nani ni victims zaidi.![]()
Kujitunza kwa namna gani unakozungumzia, wewe maumbile ya kiume unayaelewaje kwanza ukiwa ni mwanamke? Ndio maana mnatumia sex kama wepon sababu mnajua. Unajua mwanaume asipofanya wiki tu anaweza baka hata Paka? Tena miaka hii kuna punyeto ndio maana wanaume wengi wanaponea humo ila nje ya hapo ubakaji kwa miaka hii ungekuwa juu sana. Fuatilia takwimu za india kuhusu rape. Kuna mwanaharakati alienda india yakamkuta alibakwa mbele ya mume wake. Huwezi elewa kitu gani kinamkuta mwanaume bila supply nzuri ya sex anakuwaje. Sina haja ya kukuelezea sana ila jua tu kwamba sexually Men and Women wameundwa tofauti sana tena kwa asilimia 90% hiyo 10% ni kufanana eneo la wote kufurahia sex, wote kufika kileleni. Ila hiyo 90% ni tofauti kwa maelfu kuanzia muda wa kufurahia tendo, nguvu ya utamu, speed, duration ya bao, mara ngapi tunataka kwa siku, tunataka kwa watu wangapi na nini kinasababisha tutake kwa watu tofauti, matokeo ya kufanya na watu wengi na tofauti tofauti etc.
Nenda mitandaoni studies za wataalamu zipo zinaelezea haya kwa mapana na marefu. Shida kwako ni hata ukisoma bado utabisha sababu una struggle na kukubali ukweli na ku appreciate the existing differences among gender and sexes.
Tazama feminists wengi maarufu huwa wana mwisho gani utaelewa ninachomaanisha na kwanini wewe binafsi unaonekana kugombana na kila mwanaume anayekuja kukuelekeza kwa hoja za uhalisia wewe ukitumia fabricated facts.
Nikukumbushe tu every Truth is a fact but not every fact is true.
Kwanza unasema uongo tena uongo ambao ingekuwa mahakamani ungekufunga. Recently tu hapa mimi personally niliandika uzi kukemea tabia ya wanaume kuzaa na wanawake ambao hawapo tayari kuwaoa.
Kuna uzi niliongelea tabia ya wanaume kuwaachia wanawake majukumu ya uzazi kipindi mwanamke akijifungua na ulezi wa watoto na nikatoa suggestions kuwasaidia namna ya kuwa baba active kwa newborn. Plus so many other threads ambazo target ni kuweka ustawi wa mahusiano. Na sipo pekee yangu, kuna mtu kama Robert Heriel Mtibeli hadi huwa nagombana nae muda mwingine kwenye threads zake kwa kukamulia wali wa wanawake nazi nyingi na kuwawekea mchanga kwenye wali wa wanaume sababu nipo sensitive na issue za kupendeleana jinsia na zaidi huwa nashikia bango mwanaume kuwa eneo lake na mwanamke eneo lake la kuwajibika. Sasa wewe unatoka wapi na shuhuda za uongo namna hii? Nenda kwenye profile yangu kasome thread zangu utaelewa.
Kusema wanaume wanachezea wanawake ni half truth unajua maana ya kuchezewa? Mtu hayupo responsible na maamuzi yake unasema anachezewa, since when mtu mzima wa miaka 18 anachezewa akili bila ridhaa yake? Wewe hapa mtu akisema anataka akupe hela mkafanye ngono unakubaliana nae? It means upo responsible na maamuzi yako, sasa how comes unatetea wanawake ambao hawapo responsible kama wewe? It means umechagua kuwa "devil's advocate", ukimtetea shetani kipigo kinakuhusu. Hakuna mwanaume anachezea mwanamke ila kuna wanaume ambao wanapenda kufurahisha miili yao na wanawake wasio wajibika na maamuzi yao. In this narrative unaamini wanawake ni viumbe dhaifu ambao hawana uwezo wa kujua kuwa wanadanganywa au kurubuniwa yet unaamini mwanamke anaweza kuongoza wizara na taifa , hii ni akili ya namna gani ninyi mafeminist?![]()
Kuhusu hii kuoa mtu mtu ambaye mtu anamtaka hukuona kule juu mleta uzi alisemea hili aliposema kuwa ninyi wanawake huwa mnapoanza mahusiano huwa mnakuwa wataratibu na kuigiza kuwa na haiba nzuri but mkishaingia ndoani mnabadilika na ndio sababu ya Wanaume kutoka nje ama kuwataliki au kuwaachia hewani wakiwatelekeza jitihada za kuwarekebisha zikishindikana?Still bado unakataa kuwa hakuna wanawake wanaokosa wanawake hivi una uhakika na unachosema au unaleta ligi, mimi siongei vya kubashiri ni vitu vipo mtaani, pita majumba ya kupanga haya utakutana na wanawake wanaishi wenyewe na watoto zao wanaume wakija wakiona tu mazingira wanasepa sababu wanakwepa kuoa wake za watu na kulea watoto ambao sio damu zao. Nadhani hapa ndipo unapofeli unafocus kushindana badala ya kuelewa na kujifunza au kuelekeza ili kufunza.![]()
Kama hii statement yako ni kweli kwamba huwezi kuhangaika na kupinga jambo ikiwa wewe halikupi maumivu yoyote then basi na viongozi wa kisiasa wanaumizwa na rushwa na matumizi makubwa ya serikali, marekani ni kweli anachukia sana kuona vita mataifa mengine ikiwamo uarabuni, na wachungaji wanachukua sana uovu wa shetani. Kimsingi sio kweli kuwa ni lazima kuchukia na kupinga jambo ambalo linakuumiza muda mwingine ni kujali sana kunasababisha. Wazazi wanapokemea na kupinga watoto wao kufanya matendo fulani huwa si kwa faida yao na wanajua ataekuja umia ni mtoto kwa mzazi inachomuuma ni kuona mtoto anakosea na yeye yupo kumstopisha ila su kweli mzazi ndie atayekuja teseka na madhara ya tabia au mwenendo fulani wa utomvu wa kinidhamu.
Wanaume hatuna hasara pale tunapokutana na mwanamke asiyetuhusu wala kumfahamu akifanya matendo ya hatari na kuharibu future yake sababu akipata magonjwa, kubeba ujauzito, au kudhurika hakuna sehemu wala mamlaka yoyote ya kutuwajibisha kwa uzembe wake. Ila ni ile hali ya kiroho na kinafsi tumeumbiwa kuwalinda, kuwatetea na kuwaongoza wanawake hata kama hatutakuja fanya nao maisha.
Wewe sasa unakuja kusema sisi tunakosea kuwajibika na jinsia ya kike sababu unaumia au haupendi au pengine ndio ule usemi kuwa adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake hapendi mwanaume akemee uovu wa tabia mbovu za kike mnataka tukae kimya watoto wa kike waharibike sababu mnajua mwisho wa siku mtalaumu wanaume kwa ujumla wao kuwa ndio wasababishaji. Yaani utiwe mimba Dar halafu mwanaume wa mwanza ambaye ni mume mwema katulia na mkewe na watoto wake na familia yake inakwenda vema akikulaumu kwa uzembe wako wa kutokuwa makini ukasirike na kumjumuisha kuwa yeye na wanaume wote ndivyo mlivyo mnatia mimba wanawake halafu mnawalaumu.
Sasa ndugu yangu mbona unaji contradict tena yani unasema wanawake wajitunze halafu hapo hapo unasema wanaume wakifanya na wanawake wengi ni sawa ili wapate ufundi mara sijui wanaume hawawezi kuishi bila sex na blah blah nyingine wewe napata mashaka na uelewa wako kwa sababu umerudia jambo hilo hilo nililotoka kusema kwenye ile comment yangu uliyoiquote, yani ndio hicho nilichokisema kwamba kama wanawake wote wakiamua kujitunza kama mnavyotaka je wanaume watafanya na kina nani hebu nijibu hapa tuje kwenye uhalisia sasa huo ufundi unaosema na sijui porojo gani wanaume watapatia wapi ikiwa wanawake wote wamejitunza au hukuelewa hoja yangu, hapa ndio naweza kusema wanaume hamjui mnachotaka yani mnataka wanawake wajitunze mpaka ndoa halafu hapo hapo bado mnataka wanawake wa kufanya nao umalaya kwa sababu hamuwezi kukaa bila sex hivi wewe mwenyewe umeelewa hata ulichokiandika kweli au mradi tu ubishaneNimekwambia hivyo kutokana na ujengaji wako wa hoja ulivyo kaa. Unahama hama na kuhamisha magori kwa kila jibu unalopewa so unakuwa kama bondia ambaye ameomba mpambano na Tyson halafu ulingoni anakimbia kimbia na kurukaruka halafu yeye anaita kupigana ndondi.
Nipe mifano mitano serious kuprove kuwa si kila kitu kinahitaji experience na mimi nitakuonyesha bata anayetaga mayai ya gold.
Una fananishaje experience ya kuambiwa na ya kushiriki moja kwa moja kwenye jambo lolote, are you being serious hapa? Yaani unakiri kabisa kuwa unaweza kaa mfano na mama au dada yako akakuelezea experience zake juu ya mahusiano halafu wewe ukabeba zile experience kama ndio ukweli wa maisha yako?
No wonder basi una haka kaubishi sababu umeprove point yangu kuwa you lack experience na ndio maana arguments zako huwa hazina tamati sababu unabishana na watu ambao wanaongea practical observation ambazo wanaushahidi nazo wa field wewe unakuja kubishana nao illogically kwa hoja za experience ulizochota kwa watu no wonder upo out of context when it comes to reality of these topics, time will teach you alot.![]()
Queen humaanisha heir wa kike wa throne yoyote. Hata kuzimu kuna malkia wake, umeklemisha kuwa Queen ni noble title tu? Haujawahi kusikia Queen sheba, Queen Cleopatra, na Queen Elizabeth Báthory,Queen of South, umeshawahi sikia visanga vyao hawa? So usimeze kuwa Queen humaanisha utakatifu. Kumwita Dida queen wa Marriage na divorce na collector wa engagement na marriage ringskama Thanos nimemaanisha so far kwa watu maarufu hakuna anae mfikia kwa wingi wa idadi ya ndoa na engagement sijasema anachofanya ni kitu cha kuigwa. And yes of course yeye ndio miongoni mwa mifano ya wanawake wa hovyo na kitu cha jamii ulitaka tumpongeze au?![]()
Swali la msingi ni wewe kwann uchague kujifunza experience ya ukahaba na umalaya ukaacha experience ya mke mwema na mama bora wa familia why uchague negative and not positive? Upumbavu wa waume ni reflection ya quality yako ya kitabia kama mwanamke kwenye jamii.
Ukiwa na tabia ya nzuri na haiba ya kupendeza hata mwanaume ambaye ametaliki wake 100 akikupata siku akakukosea ukaomba ridhaa ya kuvunja mahusiano yenu hakika atakulilia ubaki sababu mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake ila mwanamke mwenye hekima ni taji la heshima kwa mumewe na fahari ya baba yake. Ni kipi usichoelewa hapo ewe kijukuu cha Jezebel?![]()
Mimi ni mwanaume nakupa ufahamu wa upande wa kiume ambao kaka yako na baba yako hawataweza kukaa na wewe kitako kukwambia. Ukibisha niambie nani alikufundisha kufanya mapenzi?Si ulikutana na mwanaume ambaye si baba wala kaka yako?![]()
So na haya ya kusema wanaume wanaupumbavu usije tegemea mama, dada, Shangazi au rafiki yako watakwambia ukweli kamili juu ya kinachosababisha mahusiano kuvunjika. Mwanaume haachi mwanamke ila kwa kuona kiburi au kuona mwanaume mwingine yupo ndani ya mke, vingine hivi ni mtagombana tu. Unapobishana au kushindana kauli na mwanaume it means ndani ya nafsi yako kuna uongozi mwingine wa kiume kumshinda yeye. Ndio maana unaweza usiwe msaliti kwa mume ila kauli na ubishi vikakuponza kuachika.
Swala la takwimu ilikuwa sio hoja yangu ingawa nilichangia. Sasa wewe unabisha kuwa wanawake sio wengi kuliko wanaume. Na mtu akisema kaenda hospital kaona rekodi waliozaliwa ni watoto wa kike wengi na wakiume wachache unambishia kwa hoja ipi sasa na kama ni kweli uzao wa kike wapo wengi kuliko uzao wa kiume?![]()
Kwanza mlikuwa mnaongelea swala gani hadi mnafikia takwimu ulizotumia mimi sijaweza kuestablish connection hapo.
Wewe unasema kwamba wanawake hawawezi kuchezewa sababu wana maamuzi yao sijui wasikubali kudanganywa hivi unadhani wanaume wote wanaotongoza wanawake wanawaambia ukweli kwamba lengo lao ni kuwachezea mbona kama hapo umejitoa ufahamu ina maana wewe hujui kwamba kuna wanaume wengi wanaojivika ngozi za kondoo kumbe ni chui, hujifanya wanatongoza kwa nia njema tu na huingia kwa gia ya kwamba watawaoa hao wanawake kumbe lengo lao ni kula na kusepa tu yani mtu anamuambia binti mimi siwezi kukuoa bila kuonja mzigo vinginevyo tuachane tu na ofcourse dunia ya leo hakuna mwanaume anayekubali kuoa bila kula mzigo wenyewe mnadai hamuwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia na hapo umetoka kusema hamuwezi kuishi bila sex, haya sasa mfano wakija wanaume 60 80 na kuendelea wote huyo binti wanamuambia hivyo hivyo unadhani binti ataendelea kuwakatalia huku umri ukizidi kuenda na yuko tu na bikira yake na hapo kumbuka tumeassume kwamba wanawake wote wamejitunza ili waje waolewe enhe hao wanaume wataenda kufanya na kina nani
Mimi sijalazimisha usawa kati ya wanaume na wanawake ila ninyi ndio mnalazimisha utofauti usiokuwepo kiasi kwamba mnatengeneza theories na perceptions ambazo ni illogical na unrealistic juu ya wanawake yani mimi ninachowashangaa wanaume wengi hasa wa kiafrika ni ile kukwepa kuwa responsible kwa maovu waliyofanya yani ninyi mnataka kufanya maovu mnavyojisikia halafu mget away with it just like that kwa kisingizio kwamba jinsia na maumbile yenu vinawabeba, mimi nasema hivi kama mnataka wanawake wajitunze ili ninyi mkitaka kuoa mje mpate wake wema basi maana yake na ninyi mkubali kutokufanya na wanawake kabla ya ndoa kwa sababu ninyi ndio wenye shida ya kuoa wake wema na siyo wanawake ndio wenye shida ya kuolewa na waume wema wao hawaangalii tabia maana wanajua tabia njema siyo sifa ya kwanza ya mwanaume na kama mnaona hamuwezi basi ndio msiwalaumu wanawake sasa, bali kubalini matokeo ya kufurahia uzinzi ninyi fanyeni umalaya wenu mnavyojisikia ila mkae mkijua ukifika wakati mnataka kuoa wanawake ndio hao hao wala msifikiri mtaumbiwa wengine na hata mkisema mtaoa vibinti kwamba huko ndio mtakuta bikira basi labda mkaoe wanafunzi wa shule za msingi maana hivyo vibinti vyenyewe siku hizi vinarubuniwa mapema na ninyi ninyi wanaume halafu mnalia ati wanawake wameharibika what kind of joke is this
Kuhusu wanawake kukosa wanaume nadhani hujanielewa nimesema hivi wanawake wanakosa wanaume kwa sababu mwanaume ndiye anayeamua ndoa na ndiye anayetongoza lakini mwanamke naye akiamua kutongoza wanaume hawezi kukosa mwanaume wa kuwa naye ila tu ni kwamba ana asilimia kuwa za kupata mwanaume ambaye hajampenda kwahiyo hao wanawake waliokosa wanaume ni kwamba hawajaamua kutongoza sababu hawataki kuwa na wanaume wasiowapenda, na kinachowafanya wanawake waweze kuishi bila wanaume ni kwamba wanaweza kukaa muda mrefu bila kufanya ngono tofauti na ninyi wanaume ambao hamuwezi kwahiyo mnajikuta mnatembea hadi na wanawake msiowapenda mradi tu mpate pa kumalizia haja zenu kwahiyo kwa mantiki hiyo mwanaume hawezi kukosa mwanamke ila atakosa mwanamke mwenye sifa zote anazozitaka, sasa unabisha nini wakati wanaume wengi tu wanakiri wenyewe kwamba wanaoa wanawake ambao hawana sifa zote wanazozitaka unakuta mwanaume anaoa mwanamke fulani kwa sababu tu anaona ndio ana uafadhali kuliko wengine anaowajua lakini siyo kwamba huyo anayemuoa ndio kampenda ila wengi huenda kujifunza kuwapenda huko huko kwenye ndoa endapo tabia zao kadhaa zitawaridhisha na wanaume wengi husema wanashindwa kuoa wanawake wanaowapenda maana huwa wanakataliwa kwa sababu kadhaa zikiwemo za kimuonekano au za kiuchumi nk
Nasema hivi hakuna mtu ambaye anaweza kulalamikia jambo ambalo halimnufaishi tena hao wote uliowataja hapo ndio kabisa wanakemea mambo ambayo yanawanufaisha tu serikali inakemea rushwa kwa sababu wananchi wakiacha rushwa serikali itanufaika na mapato, marekani inakemea vita sababu hizo nchi zikiacha vita wote tunajua yeye kuna namna atanufaika tena marekani ukiona ameonesha interest kwenye jambo fulani ujue lazima ana maslahi kwenye hilo jambo, same applies to viongozi wa dini wanapokemea maovu wananufaika na sadaka toka kwa waumini hakuna mtu anayeweza fanya hiyo kazi bure hivyo hiyo mifano yako ni dhaifu, na ndio maana nawashangaa ninyi wanaume mnaposema eti hamnufaiki na jamii yenye wanawake wema eti mnakemea kwa upendo na huruma ili kuwasaidia, kama kweli mngekuwa na upendo na huruma basi mngeanza kuvionesha huku ujanani kabla hamjaoa kwa kuacha kuwatongoza mabinti wa watu kwa lengo la kuwachezea halafu eti mkifikia kutaka kuoa ndio muanze kuwakejeli na kuwatukana kwa kisingizio cha kwamba ninyi hamna hasara jinsia yenu inawabeba sasa huo ni msaada au unafiki tu ndio maana tunasema hakuna msaada hapo bali mna maslahi yenu binafsi tu
Kuhusu hayo masuala ya mimi kuwa au kutokuwa na experience hebu achana nayo tu kwa sababu hatupo hapa kudiscuss personal issues bali general matters zinazoihusu jamii kwa ujumla maana naona ni kama umepata kichaka cha kujifichia sasa yani unashusha gazeti zima unanidescribe mimi kutokuwa na experience sijui blah blah gani so just cut the whole crap, mimi mbona sijataka kujua personal issues zako pamoja na kwamba naona kabisa kuna mambo unaandika kwa kutumia mihemko tu huna experience yoyote na unatoka nje ya uhalisia, mimi nawaambia hivi kama kweli wanaume lengo lenu ni kuleta ustawi wa jamii basi anzeni ninyi kubadilika kwa sababu hii njia mnayotumia ya kuwatukana na kuwadhalilisha wanawake imesha prove failure, na ndio kwanza wanawake wanazidisha maovu hakuna dalili zozote za wao kubadilika na hivyo vizazi vinavyokuja hali ndio itakuwa mbaya zaidi, so kama mmeona wanawake hawajitambui ninyi ndio mnaojitambua basi ni either muanze kubadilika ninyi au mkubaliane na hali halisi kwamba dunia ndio imeshabadilika and the so called 'nature' will not be of any help maana wanaume kila kitu mnaisingizia nature hata kwa ujinga wenu so ifike pahala mchague moja hamuwezi kupata yote
Kuhusu wanaume wanaokemea maovu ya wanaume wenzao ule uzi wako niliuona ila itoshe tu kusema wewe bado hukemei maovu ya wanaume unazuga tu na mfano mzuri ni hizi comments zako tena ndio kwanza umezidi kutetea maovu yenu, na kuhusu hiyo mada ya takwimu sasa mbona ulidandia bila kuelewa mimi nilikuwa namuambia huyo jamaa kwamba pamoja na maovu ya wanawake ila wanaume bado kila siku wanaendelea kuoa yeye akadai kwamba mbona na talaka pia zinazidi kuongezeka ndio nikamuambia anipe takwimu za kuaminika zinazoonesha idadi ya ndoa zinazofungwa na idadi ya talaka zinazotolewa kila mwaka, yeye akanipa eti mifano ya watu wawili watatu wa kijijini kwao akiwemo yeye mwenyewe kwamba naye ametoka kutalikiana na mke wake mimi nikampa takwimu za rita anajifanya eti haamini takwimu za serikali wakati yeye mwenyewe hajaleta takwimu zozote za kuaminika kabaki anarukaruka hadi sasa na wewe naye naona umeungana naye kwenye kuleta porojo bila kuweka takwimu zozote