Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Mwanaume aliyekosa akili huwa hana msaada wowote kwa mwanamke

Hivi hii haki wabongo ya kuwapangia maisha watu wengine tuliitoa wapi? Najiuliza siku nyingi sana sioni kwenye literature review wala mapokeo! Yani kila mtu akichefukwa huko barabarani anakuja JF kuleta sheria zake na upotofu wake akitaka watu wengine waufuate. Dunia kubwa hii utajichosha sana na kujizeesha kufuatilia maisha ya watu wengine ambao kimsingi hata huwafahamu
Umeandika kama mvulana anayetetea uvulana wake, ni haki yako kuutetea uvulana wako.

Ipo siku utahama kwenye uvulana ukiisha pata akili za kiutu uzima utasimama kama kichwa chenye akili ya kuweza kumuongoza mwanamke.

Nakutakia kila la heri kufikia katika ukuaji huo.
 
Hivi hii haki wabongo ya kuwapangia maisha watu wengine tuliitoa wapi? Najiuliza siku nyingi sana sioni kwenye literature review wala mapokeo! Yani kila mtu akichefukwa huko barabarani anakuja JF kuleta sheria zake na upotofu wake akitaka watu wengine waufuate. Dunia kubwa hii utajichosha sana na kujizeesha kufuatilia maisha ya watu wengine ambao kimsingi hata huwafahamu
Umeandika kama mvulana anayetetea uvulana wake, ni haki yako kuutetea uvulana wako.

Ipo siku utahama kwenye uvulana ukiisha pata akili za kiutu uzima utasimama kama kichwa chenye akili ya kuweza kumuongoza mwanamke.

Nakutakia kila la heri kufikia katika ukuaji huo.
 
Hivi hii haki wabongo ya kuwapangia maisha watu wengine tuliitoa wapi? Najiuliza siku nyingi sana sioni kwenye literature review wala mapokeo! Yani kila mtu akichefukwa huko barabarani anakuja JF kuleta sheria zake na upotofu wake akitaka watu wengine waufuate. Dunia kubwa hii utajichosha sana na kujizeesha kufuatilia maisha ya watu wengine ambao kimsingi hata huwafahamu
Umeandika kama mvulana anayetetea uvulana wake, ni haki yako kuutetea uvulana wako.

Ipo siku utahama kwenye uvulana ukiisha pata akili za kiutu uzima utasimama kama kichwa chenye akili ya kuweza kumuongoza mwanamke.

Nakutakia kila la heri kufikia katika ukuaji huo.
 
Matatizo ya elimu za kukariri, unafikri ni hesabu za mara na jumlisha hizi! Hujui wanawake wewe na hutakaa uwajue kwa akili finyu namna hii! Human mind sio km ya kondoo, huwezi kumcontrol binadamu kwa imani zako finyu hizo.
Tumeshamalizana kijana uendelee na ukuaji wako, siku ukikua utaacha utoto.
 
Baada ya kuoana kesho yake huachana.

Sababu ya kuachana ni kwamba huoana baada ya ulaghai kushika hatamu, baada ya kuishi pamoja ndipo kila mmoja hujulikana rangi yake ni ipi, hapo ndipo ndoa hufikia tamati

Wanawake ndio chanzo kikubwa cha kuachana.
Lakini cha ajabu pamoja na wanaume mabachela kusikia haya ila bado wanaendelea kuoa, wewe umefanya utafiti gani kujua kwamba chanza cha ndoa kuvunjika ni wanawake, au ndio kama kawaida ya wanaume kujiona innocent na kuwa makosa yenu ni madogo yanavumilika
 
Lakini cha ajabu pamoja na wanaume mabachela kusikia haya ila bado wanaendelea kuoa
Kuna vishawishi hutumiwa na hao wanawake kuwafanya waolewe na wanaume
wewe umefanya utafiti gani kujua kwamba chanza cha ndoa kuvunjika ni wanawake
Utafiti wangu ni huu wanawake hujificha katika wema wakati wote wa uchumba, Ila wakiisha olewa wema wao hutoweka na kuuvaa uovu wote, wataanza kucheat, wataanza kuwanyima waume zao, wataanza kuiba hela kwa kuchota hela za matumizi ya nyumbani na kuzipeleka kusikojulikana,mizozo itatamalaki, watakuwa wabishi nk.

Hakuna wanaune anayeweza kuchukuliana na mwanamke wa hivyo.
 
Lakini cha ajabu pamoja na wanaume mabachela kusikia haya ila bado wanaendelea kuoa
Kuna vishawishi hutumiwa na hao wanawake kuwafanya waolewe na wanaume
wewe umefanya utafiti gani kujua kwamba chanza cha ndoa kuvunjika ni wanawake
Utafiti wangu ni huu wanawake hujificha katika wema wakati wote wa uchumba, Ila wakiisha olewa wema wao hutoweka na kuuvaa uovu wote, wataanza kucheat, wataanza kuwanyima waume zao, wataanza kuiba hela kwa kuchota hela za matumizi ya nyumbani na kuzipeleka kusikojulikana,mizozo itatamalaki, watakuwa wabishi nk.

Hakuna wanaune anayeweza kuchukuliana na mwanamke wa hivyo.
 
Kuna vishawishi hutumiwa na hao wanawake kuwafanya waolewe na wanaume

Utafiti wangu ni huu wanawake hujificha katika wema wakati wote wa uchumba, Ila wakiisha olewa wema wao hutoweka na kuuvaa uovu wote, wataanza kucheat, wataanza kuwanyima waume zao, wataanza kuiba hela kwa kuchota hela za matumizi ya nyumbani na kuzipeleka kusikojulikana,mizozo itatamalaki, watakuwa wabishi nk.

Hakuna wanaune anayeweza kuchukuliana na mwanamke wa hivyo.

Kuna vishawishi hutumiwa na hao wanawake kuwafanya waolewe na wanaume

Utafiti wangu ni huu wanawake hujificha katika wema wakati wote wa uchumba, Ila wakiisha olewa wema wao hutoweka na kuuvaa uovu wote, wataanza kucheat, wataanza kuwanyima waume zao, wataanza kuiba hela kwa kuchota hela za matumizi ya nyumbani na kuzipeleka kusikojulikana,mizozo itatamalaki, watakuwa wabishi nk.

Hakuna wanaune anayeweza kuchukuliana na mwanamke wa hivyo.
Ni vishawishi gani hivyo ambavyo wanawake hutumia ili waolewe na wanaume hebu viseme hapa, kuhusu hiyo aya yako ya pili ndio maana nikakuuliza kwanini wanaume pamoja na kujua hayo yote ila bado wanaendelea kuoa, yani tayari mmeshajua kwamba wanawake wote ni waigizaji na huonesha maovu yao wanapoingia kwenye ndoa kwanini sasa mnaendelea kuoa
 
Ni vishawishi gani hivyo ambavyo wanawake hutumia ili waolewe na wanaume hebu viseme hapa,
Mbona nimeeleza jamani.

Huwa mnajufanya wema ili kuwapata wanaume wakurupukaji.

Huwa mna bikira za kughushi. Hapo ndipo huwa mnawavuta wanaume Ila baada ya ukweli kujulikana ndoa hufikia tamati
 
Nafikiri mngeitafuta logic nyuma ya hiyo picha kabla hamjasema yote.

Huyo dada Ali Kamwe aliweka shindano katika page yake ya kumtafuta dada wa kuhudhuria nae harusi (ya mfanyakazi mwenzao pale Yanga) ndipo huyo dada (pichani) akashinda kwa kura nyingi, ndio akahudhuria nae kama mnavyoona.

Hata hivyo sioni ubaya katika hiyo nguo, ni nguo sahihi katika tukio sahihi. Acheni watu wapendeze jamani, eh!
Baada ya kutoka ukumbini ikawaje?
 
Ni vishawishi gani hivyo ambavyo wanawake hutumia ili waolewe na wanaume hebu viseme hapa, kuhusu hiyo aya yako ya pili ndio maana nikakuuliza kwanini wanaume pamoja na kujua hayo yote ila bado wanaendelea kuoa, yani tayari mmeshajua kwamba wanawake wote ni waigizaji na huonesha maovu yao wanapoingia kwenye ndoa kwanini sasa mnaendelea kuoa
Jadda mambo. Huoni siku hizi campaign ya kataa ndoa imepamba moto?

Labda wanaooa bado hawajafikiwa na ujumbe wa kataa ndoa.
 
Mbona nimeeleza jamani.

Huwa mnajufanya wema ili kuwapata wanaume wakurupukaji.

Huwa mna bikira za kughushi. Hapo ndipo huwa mnawavuta wanaume Ila baada ya ukweli kujulikana ndoa hufikia tamati
Ni wanawake wangapi wanaotengeneza hizo bikira za kughushi au mnafikiri kurudisha bikira ni rahisi kama kunywa maji tu, anyway ndio maana nikasema kama wanaume mmeshazijua hizo tricks zote za wanawake kwanini bado mnaendelea kuoa, si muache kabisa kuoa ili muwakomoe wanawake kwani ninyi hata msipooa mna shida gani
 
Jadda mambo. Huoni siku hizi campaign ya kataa ndoa imepamba moto?

Labda wanaooa bado hawajafikiwa na ujumbe wa kataa ndoa.
Mkuu kwani ni wanaume wangapi wanapita humu mitandaoni kila siku na wanakutana na hizo campaigns za kataa ndoa, ila bado wanawapinga wanaume wenzao na kushikilia msimamo wao kwamba ndoa ni muhimu hao nao utasema hawajafikiwa na ujumbe, wengine huenda mbali zaidi na kuwaita kataa ndoa kuwa ni either wabinafsi au mashoga na wengine hutolea mifano ya ajali zinazotokea kila siku ila bado watu hawaachi kusafiri je hiyo tafsiri yake ni nini
 
Malaya ni malaya tu

Hakuna mke/mpenzi hapo

Hayo mavazi ni kwa ajili ya kutafuta attention za wanaume

Tayari ana mwanaume anavaa hivyo kwa ajili ya nani?

Kama sio umalaya ni nini?

Anyway kwenye hiyo picha naona lesbians wawili wakiingia ukumbini
You are very bitter, hebu heal haraka.
 
Back
Top Bottom