Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Wauzaji huziuza tena kwa bei mbaya kwa sababu wana uhakika kuwa kuna wajinga wanazipenda nguo kama hizo.Ingekuwa ndo hivyo, hiyo nguo isingeuzwa dukani. Wanawake zetu wanavaa mabatiki hayaoneshi kitu ila bado wanapigiwa hesabu na wahuni
kuona mautamu utamu
Anyway kwenye hiyo picha naona lesbians wawili wakiingia ukumbini
Kumbe wajinga wana hela nyingi za kununua, safi.Wauzaji huziuza tena kwa bei mbaya kwa sababu wana uhakika kuwa kuna wajinga wanazipenda nguo kama hizo.
Wewe unaonaje kuna mwanaume humo?Lesbians tena?
Mahondaw humtembezagi mapaja wazi
Asiwafokeee banaa!