Mwanaume ambaye hajafanya mapenzi kwa muda mrefu vs mwanaume mfanya mazoezi

Mwanaume ambaye hajafanya mapenzi kwa muda mrefu vs mwanaume mfanya mazoezi

[emoji23][emoji23][emoji23]hyo nimemhifadhia my future hubby
Nipo hapa mamaa.. your future hubby..😉
Sema nami nitete nawe.. zungumza nami niseme nawe..
Sitaki kutia mineno mingi nitakuchosha bure.. mapenzi Ni ya wawili tu. come this way girl..😉
 
Nafanyaga mazoezi na kula vizuri kwa afya yangu.Hayo sijui Kupampu nakunywaga maji na kuvuta Sativa tu.
 
Pole sana pw uweke vizuri maana VIBAKA wa pw wameongezeka sana hahahahahahaha

Nikiwa na wewe haimanishi una niridhisha Sana nakuvumilia Sasa wewe Kama unahangaika na Mimi kwanini nisitafte mwanaume anayekuzidi wewe. Maana kila mtu ana mapungufu Sasa kwanini nisitafte body satisfaction sehemu nyingine maana umenikera Sina hamu na wewe kabisa. Kutoa hamu sio kukomoana ni kuupa moyo kitu inapenda mkuu[emoji23][emoji23]

True Jamani
 
Nipo hapa mamaa.. your future hubby..[emoji6]
Sema nami nitete nawe.. zungumza nami niseme nawe..
Sitaki kutia mineno mingi nitakuchosha bure.. mapenzi Ni ya wawili tu. come this way girl..[emoji6]
Hawa wa JF ni mabazazi tu wataniharibia bure na Mimi staki kabisa
 
Hawa wa JF ni mabazazi tu wataniharibia bure na Mimi staki kabisa
Ha ha! Usiwe mchoyo wa fadhira mtoto.. sio kila mwana jf anarangi ya chui.. maji matamu utayajua ukiyaonja,don't let me down sweetie..😉
 
Hawa wa JF ni mabazazi tu wataniharibia bure na Mimi staki kabisa
Sio wote, but you can't find a lover in Jamii forum. We usually find lovers in the churches, clubs, works, colleges, schools, Universities. In those places it's easy to fall in love with the kind of person you need. In those area you wanna see some one fitting for you.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Jana au nyuma sijawahi kufanya kabisa labda umenifananisha
(Nyuma) hapo nimakuelewa sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom