BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Jana au nyuma sijawahi kufanya kabisa labda umenifananishaMkuu acha uongo, we were together yesterday and we did it [emoji16]. Aren't you!?
Meaning no offense [emoji23]
True Jamani[emoji6][emoji6][emoji6]
Nipo hapa mamaa.. your future hubby..😉[emoji23][emoji23][emoji23]hyo nimemhifadhia my future hubby
Nikiwa na wewe haimanishi una niridhisha Sana nakuvumilia Sasa wewe Kama unahangaika na Mimi kwanini nisitafte mwanaume anayekuzidi wewe. Maana kila mtu ana mapungufu Sasa kwanini nisitafte body satisfaction sehemu nyingine maana umenikera Sina hamu na wewe kabisa. Kutoa hamu sio kukomoana ni kuupa moyo kitu inapenda mkuu[emoji23][emoji23]
True Jamani
Hahahaha, okay let's see. Karne ya 21 hii hivi kuna watu bado wanatunza viginity.[emoji23][emoji23][emoji23]hyo nimemhifadhia my future hubby
Tupo wengi Sana tuHahahaha, okay let's see. Karne ya 21 hii hivi kuna watu bado wanatunza viginity.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji115]Pole sana pw uweke vizuri maana VIBAKA wa pw wameongezeka sana hahahahahahaha
Hawa wa JF ni mabazazi tu wataniharibia bure na Mimi staki kabisaNipo hapa mamaa.. your future hubby..[emoji6]
Sema nami nitete nawe.. zungumza nami niseme nawe..
Sitaki kutia mineno mingi nitakuchosha bure.. mapenzi Ni ya wawili tu. come this way girl..[emoji6]
Nah!, Ulikuwa wewe😝[emoji23][emoji23][emoji23]Jana au nyuma sijawahi kufanya kabisa labda umenifananisha
Aise kwamba hauna boyfriend,Tupo wengi Sana tu
Ha ha! Usiwe mchoyo wa fadhira mtoto.. sio kila mwana jf anarangi ya chui.. maji matamu utayajua ukiyaonja,don't let me down sweetie..😉Hawa wa JF ni mabazazi tu wataniharibia bure na Mimi staki kabisa
UnafaaMie bikra sijui ngoja waje wajuvi wanaopelekewa mjulubengi
Sio wote, but you can't find a lover in Jamii forum. We usually find lovers in the churches, clubs, works, colleges, schools, Universities. In those places it's easy to fall in love with the kind of person you need. In those area you wanna see some one fitting for you.Hawa wa JF ni mabazazi tu wataniharibia bure na Mimi staki kabisa
Bikra ipi? [emoji39]Mie bikra sijui ngoja waje wajuvi wanaopelekewa mjulubengi
Huna sababu ya kusema uongo mke wanguMie bikra sijui ngoja waje wajuvi wanaopelekewa mjulubengi
Hivi kakomalia nini?Wewe nijue tu hata ukinijua p... Hamna shida
(Nyuma) hapo nimakuelewa sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Jana au nyuma sijawahi kufanya kabisa labda umenifananisha