Mwanaume ambaye hajafanya mapenzi kwa muda mrefu vs mwanaume mfanya mazoezi

Mwanaume ambaye hajafanya mapenzi kwa muda mrefu vs mwanaume mfanya mazoezi

Hawa wa JF ni mabazazi tu wataniharibia bure na Mimi staki kabisa
Hem' niambie umri wako kwanza, ili nifanye tathmini kama kweli virginity imo au unachangamsha genge...
 
Hahaaaa una Mambo na huko nyuma eeeh si bure
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kabisa, nimefurahi kusikia kuwa uko salama pande hizo muhimu[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mzee baba kwani kujua kupump tu ndio inatosha kusema kwamba Fulani anajua kusex

Unaweza kuwa unajua kupump but kama hauifahamu vyema sanaa ya mapenzi itakuwa unaishia kuwachubua wadada wawatu tu " .... Mapenzi ni sanaa mkuu
Na ww unajfanya unajua sanaa ya mapenzi aisew mkuu... Hii chai
 
Ndio uache sasa kudanganya!
Halafu usinifokee...
Halafu mnikome huku kabisa sio wewe tu na wengine muwe na mipaka sijuani na kenge humu, jibuni hoja zangu zilivo sio kujifanya mwanijua Mimi sijaja humu kutafta chochote hii social platform ka za wengine pia usinipangie chakuandika, na wewe waweza kuandika ukweli wako sikupangii.
 
Back
Top Bottom