Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Akinipendea pesa huyo ni malayaSasa wasipowapendea pesa mnataka wawapendee nini kingine, ni kama ninyi wanaume mnavyopenda sana ngono, halafu watu waje wawaseme kwa hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akinipendea pesa huyo ni malayaSasa wasipowapendea pesa mnataka wawapendee nini kingine, ni kama ninyi wanaume mnavyopenda sana ngono, halafu watu waje wawaseme kwa hilo
😂View attachment 2967686
Ila ukwel usemwe bhana ,,kama mwanaume mwenzangu huna Hela wakati huu aisee nyapu kuipataa n ishuuu maaan ishakuwa bidhaa km chakula ,uli mpk utoe helaa una Hela una lala njaaa 😅 na umeme
Kuna KIBUKU na kuna CHIBUKU sijui wewe unatumia ipi?Hivi pombe ya KIBUKU bado ipo?
Siijawahi tumia.Kuna KIBUKU na kuna CHIBUKU sijui wewe unatumia ipi?
C swala la kucheka afsa n swala la tutafutee Hela Ili tujilie bidhaa Bora😅
50/50Wape wape hao, wakimeza, wakitema shauri yao
Sijawahi iona huku chuga, jaribu kuwauliza watu wa Dar huenda ipo hukoSiijawahi tumia.
takuwa Chibuku Mkuu.
Bado hiyo pombe ipo?
Kwahiyo tuwaoe??50/50
Sawa unataka akupendee nini, wewe mwanamke huwa unampendea nini, na asipokuwa nacho utaendelea kumpendaAkinipendea pesa huyo ni malaya
Naelewa mkuu, unga sio akiba 😂C swala la kucheka afsa n swala la tutafutee Hela Ili tujilie bidhaa Bora😅
Hakikaa afsaaNaelewa mkuu, unga sio akiba 😂
Unaelewa maana ya upendo?Sawa unataka akupendee nini, wewe mwanamke huwa unampendea nini, na asipokuwa nacho utaendelea kumpenda
KE kuoa ME!!, mdau hoja yake ipo kwenye kulinda kibunda tu laknKwahiyo tuwaoe??
Si mnataka 50/50 tuwaoe basi, sasa bila kibunda utatunza vipi familia na nani atakuheshimu??KE kuoa ME!!, mdau hoja yake ipo kwenye kulinda kibunda tu lakn
Kula tano chali 👊Mapenzi ni gharama kugharamia ni muhimu sana kama hauna pesa wenzio watagharamia naunga mkono hoja mkuu
Kusaidiana kupo lakn, anyway hitimisho likae vp?Si mnataka 50/50 tuwaoe basi, sasa bila kibunda utatunza vipi familia na nani atakuheshimu??