Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaaaaa. This is it.Watu wengine tukiwa na ugwadu baada ya hilo la kwanza mashine hata hailali.
Ila kama ugwadu hamna basi inasinzia kidogo kabla ya kuendelea na safari.
Factors ni nyingi sana.. kuanzia;
Afya ya mwanaume, usafi na muonekano wa mwanamke, usalama wa mazingira, emotionl na mental state of mind, mautundu ya partner n.k. Yaani ni list
Nina muongezea hadhi, anaweza akawa ni mmama aliyezaa watoto zaidi ya sita, hivyo namrudishia usichana wakeHivi neno binti ,inaonakana MTU anaekushushia hadhi Why? Kumtaja mwenzio sex yake wakati humjui !!!
Noma sanaInategemea, mf umepiga moja na hapo hapo unaombwa hela ambayo huna basi halisimami tena
Hahahahasijakuelewa mkuu akae muda gani baada ya bao la kwanza...akae kivipi sasa, akae kwa muda upi kisha arudie tendo au akae kwa muda upi akijutia alichokifanya au akae kwa muda gani kabla hajavaa na kurudi kwa mkewe?
Ha ha ha au unakuta uko mchezoni ila una programm 1000 kichwani, baada ya cha kwanza haisimani,, kanakuwa kadogo kanarudi ndaniInategemea, mf umepiga moja na hapo hapo unaombwa hela ambayo huna basi halisimami tena
Watu wengine tukiwa na ugwadu baada ya hilo la kwanza mashine hata hailali.
Ila kama ugwadu hamna basi inasinzia kidogo kabla ya kuendelea na safari.
Factors ni nyingi sana.. kuanzia;
Afya ya mwanaume, usafi na muonekano wa mwanamke, usalama wa mazingira, emotionl na mental state of mind, mautundu ya partner n.k. Yaani ni list
Tunatofautiana wengine 5, wengine 10, wengine 30 n.k lakini kiwastani kca upo below 40 kiumri zikikatika dakika 50 bado hauwezi kwenda round inayofuata hapo inawezekana ukawa na tatizoHabari za muda huu wadau, naombeni kuuliza eti mwanaume ambae hana shida yeyote namaanisha shida ya kiafya anatakiwa akae muda gani au dakika ngapi baada ya bao la kwanza ? yaani ( refractory period after ejaculation) nimeuliza tu, kwa nia njema sitaki matusi kama hauna cha kucomment just stay away.
Ya ni kweli kabisa kisayansi ipo hivoTunatofautiana wengine 5, wengine 10, wengine 30 n.k lakini kiwastani kca upo below 40 kiumri zikikatika dakika 50 bado hauwezi kwenda round inayofuata hapo inawezekana ukawa na tatizo