Mwanaume ambaye hana shida yoyote kiafya anatakiwa akae muda gani au dakika ngapi baada ya bao la kwanza ?

Inategemea, mf umepiga moja na hapo hapo unaombwa hela ambayo huna basi halisimami tena
 
Ewaaaaaa. This is it.
 
Kuna sredi huwezi tarajia mtu aje aseme jamani mi mchovu. Wote watajifanya vidumeeee mpaka mtoa mada na wanaofatilia kimya kimya wajione losers.

lol
 
Hivi neno binti ,inaonakana MTU anaekushushia hadhi Why? Kumtaja mwenzio sex yake wakati humjui !!!
Nina muongezea hadhi, anaweza akawa ni mmama aliyezaa watoto zaidi ya sita, hivyo namrudishia usichana wake
 
Ikiwa mwanaume kakuona huna uhamasishaji wowote akikojoa mara moja tu basi analala na hata umuamshe kwa tarumbeta ya kurudi kwa yesu kristo haamki ng'oo.
 
sijakuelewa mkuu akae muda gani baada ya bao la kwanza...akae kivipi sasa, akae kwa muda upi kisha arudie tendo au akae kwa muda upi akijutia alichokifanya au akae kwa muda gani kabla hajavaa na kurudi kwa mkewe?
Hahahaha

"Enough of No Love"
 
🤔Mimi hata second simalizi,
Nikishapiga shavu la kulia nahamia kushoto,


😁I CAN DO THIS ALL DAY😁
(Steve Rogers)
 
Inategemea, mf umepiga moja na hapo hapo unaombwa hela ambayo huna basi halisimami tena
Ha ha ha au unakuta uko mchezoni ila una programm 1000 kichwani, baada ya cha kwanza haisimani,, kanakuwa kadogo kanarudi ndani
 

Aisee before i forget kuna mtoto mzuri nlimit nae randomly tu tukayajenga akaja home, ananukia poa, anakasura kazuri ila bwana ile kumvua chupi nikakutana na arufu mbaya pamoja nakuwa nlivaa ndom ile siku iriharibika daaah sasa kaenda kuoga nikamsach nikamkuta na dawa fulan za kutibu fangas kule chin, sijamwambia kile kiharufu cha k na yale madude meupe yanayotoka nimempotezea tu, sa najiuliza kitu kimoja au sababu alikuwa anatibu fangasi au ndio alivyo ? Maana kuna muda alivaa boxer yangu when she was around akaiachia ule utoko(unanuka kama samaki mbovu) boxa nimeipiga chini...Daah ilikuwa experience mbaya sana kwangu, yan nikiwaona wadada wazuri nawaangalia alafu naanza kuwatafakari(NAWAOGOPA), Imenitesa ile harufu mkuu, na imenifundisha somo, Uroho mbaya sana....

dawa yenyewe hiyo kwene picha
 
Samahani guys hivi bao la kwanza kawaida mbaka ufikishe linatumiaa mda gani.
 
Tunatofautiana wengine 5, wengine 10, wengine 30 n.k lakini kiwastani kca upo below 40 kiumri zikikatika dakika 50 bado hauwezi kwenda round inayofuata hapo inawezekana ukawa na tatizo
 
Tunatofautiana wengine 5, wengine 10, wengine 30 n.k lakini kiwastani kca upo below 40 kiumri zikikatika dakika 50 bado hauwezi kwenda round inayofuata hapo inawezekana ukawa na tatizo
Ya ni kweli kabisa kisayansi ipo hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…