Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh!
Mmh. Mleta uzi umesahau walishasema Wahenga "mchagua jembe si Mkulima".
Mie naona kikubwa kuridhiana na kupendana kwa dhati basi popote Penzi linaweza mea.
Pia kazi inaweza ikasababisha akawa na tabia nyingine tofauti na awaliUtata ni tabia ya mtu bana
Itakuwa hajajua nini maana ya kupenda.Mweleze Hajar , mwenzenu anatoa hukumu kwa kuangalia aina ya kazi afanyayo mtu, sio sahihi, mhukumu mtu kama alivyo mwenyewe.
Anaweza kusema walimu wako poa, lakini ukweli sio wote au hakusikia ya akina Mwl Ayubu
Ni wanaume ila ni watata,madriva wa mikoani useme una mpenzi au mume ,loh ,ujue umeisha
Kama inawezekana basi ni kwa % chache mnoo.Pia kazi inaweza ikasababisha akawa na tabia nyingine tofauti na awali
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Ngoja usifishe 35, najue hizo ni akili ka za wale wanafunzi walioko field, au chuo wanadhani wakimaliza chuo, wanalamba kazi, au boyfriend aliyekua nae bwenini atamuoa.
Wabeba maboksi hata ‘honorable mention’ hatujapata....
Aiseee!! Hahahaaaa.
Wabeba Box ni daraja la kwamza Mazee. Lina heshima yake, hivi huo urais wako ni wa kudumu? Hahahaa
Ukifunika ndo utateseka,ningelijua ndo inaanza kukujia kichwani,unakaa unawaza,kumbe wanaume hawa ndo walivyoItakuwa hajajua nini maana ya kupenda.
Yaani kwenye kupendana kwa dhati kila kitu kinafunikwa inabaki mapenzi tu.