Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Nadhani hujanielewa mwaya kufunika kwangu nimemaanisha yaani kazi haiwi na nafasi tena hapo yenye nafasi ni mahusiano.Ukifunika ndo utateseka,ningelijua ndo inaanza kukujia kichwani,unakaa unawaza,kumbe wanaume hawa ndo walivyo
Sent using Jamii Forums mobile app