Mwanaume anaefanya haya namuona si rijali



cc: Baba Diamond, Diamond Platinumz, Mr. Nice, Harmonize, Kikwete, Le Mutuz, Kassim Majaliwa
 

'Kwa upande wangu' sio riziki
 
Umerogwa ww, chips kuku unafanya nayo mchezo eenh?
Mwanaume anaependa ofa za beer.
Mwanaume anaekula chips kuku/mayai mchana.
Mwanaume anaeomba lift
Mwanaume anaependa kampani ya wamama
 
Neno "rijali" ni overrated concept!! Haswa ukiwakuta hawa "Vibolo Dinda jobless" wanaosubiri ugali wa mama na kudoea doea kwa majirani basi ndio usiseme... mchana kutwa wanaimba rijali, rijali, rijali, rijali, rijali..... akigeuza topic kidogo basi ni kuimba ushoga, ushoga, ushoga, ushoga, ushoga.....usiku na mchana.

Nilichogundua ni kwamba wako very sensitive na 'masculinity' yao. Oversensitive. (nikitumia neno sahihi)

Na ukiona dume liko oversensitive na urijali wake au urijali wa wanaume wenzake ujue kuna shida mahali. KWANZA, inawezekana alihusishwa kwenye namna fulani ya ushoga akiwa mtoto na hivyo amepata trauma kali inayompa nightmares, au PILI, inawezekana ana kasoro fulani katika uanaume wake na hivyo anatafuta namna ya kufidia insecurities zake za nafsi (mgogoro wa nafsi wa kijinsia).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…