Mwanaume anahitajika apa

Siwaaminigi nyie kabisa, kama wamekususia huko kitaa wa mtandaoni ndio tunataka vibovu??! Weka pcha kama vp

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Utakufa kwa ugwadu na huo udomo zege wako...

Kwani huko mtaani unako kaa hawapo hadi uanze kuanika namba hapa

Nyie ndo huwaga mnanyonywaga damu gesti kwa kupenda kitonga
Hiyo namba is not my official number is only for emergence thing.
Mpaka nikufahamu zaidi ndo naweza nikatoa number yangu rasmi ambayo ni available 24 hours.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitazidi kukuombea Mungu akupe hitaji la moyo wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…