Mwanaume anayemthamini/Mpenda Mchepuko kuliko Mke ni mshamba na anastahili kudharauliwa

Kila mtu aishi anavyojua.wewe unaongelea mke wakati kuna wanaume wana wake,je unadhani hao wake walianzaje hadi kua wake kama hawakuanza kua michepuko.maisha ni yale unayoyaishi wewe.

Ushamba ndio tatizo.
 
Whatever but ni mada ya kijinga ndio maana umekosa replies za kutosha.

Unafikiri kila mtu anaandika Kwa sababu ya replies au likes?

Ninaandika Kwa ajili ya mtu mmoja ambaye akisoma atabadilika na sio kila mtu.
Waliosoma naamini yupo mmoja niliyekusudia ambaye atakuwa amenielewa.

Kama ningekuwa naandika Kwa sababu ya Likes or replies ningeacha kuandika Mtandaoni miaka Saba iliyopita.

Soma, elewa, kisha toa maoni yako.

Karibu
 
Stupid
 
Asanteee
 
Huwa nafuatilia makala zako kwa umakini mkubwa. Uko vizuri mkuu. Sabato njema
 
😃😃

Ndio umnunulie macho matatu mchepuko alafu Mkeo na Mama yako wanatumia simu za ajabu ajabu😊
I nategemea mchepuko ameshawishi vipi hadi jamaa akafunguka.
Sasa ukute mke ni mdomo jalala, mchafu mchafu, moments zote na mumewe ni za makelele na kukera unadhani hata jicho moja atapata? Achilia macho matatu.
 
tutafute pesa za kutosha michepuko nayo ni binadamu inastahili matunzo tena wanashukrani hatari
 
Uzi wa kishamba sana huu.

Mababa wa imani wote walikua na kazi za nje.
Ibrahim,
Isaka, Yakobo.
Hutapata sifa yeyote bila kua nao.
Mleta mada kaogopa kugusia misahafu nadhani anajua picha halisi.
 
Mwanaume kuchepuka haimaanishi hampendi wala kumthamini mke wake.

Tutazulula weee lakini kwa wake zetu ndio kituo cha mwisho.

Sema wewe bado hayajakukuta .
Tumsamehe bure,
Mtoa mada hajaoa[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…