Mwanaume anayemthamini/Mpenda Mchepuko kuliko Mke ni mshamba na anastahili kudharauliwa

Mwanaume anayemthamini/Mpenda Mchepuko kuliko Mke ni mshamba na anastahili kudharauliwa

Mtoa mada nadhan ungekua Kuna baadhi ya vitu ungeondoa kwenye Uzi wako.

Kutoa talaka sio heshima Wala kitu rahisi kama unavofikiria, kutoa talaka Kuna gharama na madhara makubwa sana kwa wewe, unatempa talaka,familia yako, jamii na taifa kiujumla.

Kuliko hayo madogo unayosema ya kumhudumia mchepuko.

Sio kwamba kila ndoa unayoiona Ina furaha Sana,
Na sio kila suluhisho la kukosa furaha ktk Ndo Ni kutoa au KUOMBA talaka.

Mengine Ni kujiongeza kwa kuangalia mustakabali mzima wa maisha yako na familia yako uko mbeleni.

Trust me,
Mtoa mada hajaoa bado
 
Anasengenywa anasimulia kile ambacho mwenzake anakosea ili mchepuko asikirudie?
Mtoa mada kaandika kwa mihemko,
Ndo maaa nasema hajaoa bado.

Huwez kua kwenye ndoa,
Afu ukawa na kauli za "fukuza fukuza"

Mke anaweza kua na mabaya mengi, au anakosea Mara kwa mara.

Ila akawa na zuri lake moja Kubwa linalofunika mabaya yake mengine yote.

Ndoa Ni kuvumiliana,
Hata mwanaume kuchepuka ni sehemu ya kuvumiliana pia ili kuepusha mengi.
 
Mtoa mada anaheshimika Sana,
Ana Uzi mzur ila maelezo yake yamekaa kibrazameni zaidi kuiko uhalisia.

Kwa akili yake anadhan kila mwanaume anayechepuka anakua kakerwa aua anaugomvi na mkewe[emoji28]

Wengine tunachepuka Sana,
Ila wake zetu hawajatukosea chochote na ndoa inafuraha Sana.

Naweza kusema nna mwaka wa pili na kitu sijawai kugombana na my wife kwa issue yoyote ile serious eti mpaka niseme wife kanikwaza. Ukinikuta na wife Ni furaha tele utasema "baba paroko" mwenyewe huyu Hapa[emoji4]

Kwa Mchepuko Ni kila baada ya wiki au wiki 2 Lazima tu tuparuane kidgo,Kisha tunarudiana[emoji28]
 
bado wadogo wakikua watajua!
Content ya Mtoa mada iko kimihemko zaidi, alipaswa kutuuliza kwanza sababu za sisi kuchepuka Ndo angeleta Uzi wake rasmi.

Kwa akili yake anadhan tunachepuka Kwasababu ya kugombana na wake zetu, kumbe uhalisia sio hivyo
 
Tumpe muda.
Kuna wanawake kuingia kwake suala la kuachana hajui piga ua garagaza
Mtoa mada aNACHUKUWA talaka kwenye ndoa Ni kitu simple sana kutoa au kupewa[emoji4]
 
I nategemea mchepuko ameshawishi vipi hadi jamaa akafunguka.
Sasa ukute mke ni mdomo jalala, mchafu mchafu, moments zote na mumewe ni za makelele na kukera unadhani hata jicho moja atapata? Achilia macho matatu.

Mke akiwa hajitambui unafukuza tuu!
 
Kumtunza Mchepuko kuliko Mkeo ni Dalili ya kutojitambua
Hivi wewe mzee wa fasihi andishi....mkeo kabisa umpe taraka aondoke kirahidi ivo.???........basi km inakutokeaga hivi!! una tatizo la msingi....sasa unataka na sisi tuwr km weye....tunakujua humu Jf tokana na tabia zako za kuacha acha wake!....siyo rahisi kumuacha mke unayemmbato vizuri.akamaliza yake hayupo!!.....ukiona umemfukuza akarnda vizuri tu km unavyo fanyiwa weye basi jua mlikuwa wawili na huyo mwenzako kakuzidi tena mnoo....hapo chunguza wanao km mnafanana migongo...pole sana.
 
mpaka unafikia hatua ati ya kuchepuka kisa Mkeo anakupimia, wewe ni Mpumbavu. Fukuza!
Ni ngumu Mnoo mzee wa fasihi tutakupoteza, umpoteze kirahisi tu mtu uliye msotea taaangu shule!! tutakupoteza wakati bado tunakuhitaji humu JF!

Amini nakwambia ke/me mmoja wenu anaishi kwa kismart cha Mwenzake!!..... sasa ota kiburi uone nyota, kosa moja halimuachi mke!

ukibisha muache uone moto, maisha yakuchape mpaka uitike ''Bee!''! ! utakosa hata vocha ya kuingia humu na kutusabahi!..hayo Mabus sijui daladala zako izo! utauza moja baada ya jingine!

Utaikuni utaisha, uko ivo leo ajili ya huyo cheupe! mvumilie tu huyo cheupe dawa!..Mbona Mungu anakuvumilia??..si mnasemaga mmeumbwa kwa mfano wa Mungu??

sasa mungu gani hana uvumilivu??...au ujitoe rasmi basi kuwa wewe siyo wa Mungu!
 
Ni ngumu Mnoo mzee wa fasihi tutakupoteza, umpoteze kirahisi tu mtu uliye msotea taaangu shule!! tutakupoteza wakati bado tunakuhitaji humu JF!

Amini nakwambia ke/me mmoja wenu anaishi kwa kismart cha Mwenzake!!..... sasa ota kiburi uone nyota, kosa moja halimuachi mke!

ukibisha muache uone moto, maisha yakuchape mpaka uitike ''Bee!''! ! utakosa hata vocha ya kuingia humu na kutusabahi!..hayo Mabus sijui daladala zako izo! utauza moja baada ya jingine!

Utaikuni utaisha, uko ivo leo ajili ya huyo cheupe! mvumilie tu huyo cheupe dawa!..Mbona Mungu anakuvumilia??..si mnasemaga mmeumbwa kwa mfano wa Mungu??

sasa mungu gani hana uvumilivu??...au ujitoe rasmi basi kuwa wewe siyo wa Mungu!
Umeongea maneno magumu mnoo
 
Back
Top Bottom