Mtoa mada kaandika kwa mihemko,Anasengenywa anasimulia kile ambacho mwenzake anakosea ili mchepuko asikirudie?
bado wadogo wakikua watajua!Muombe Mungu sana usijeingia majaribuni...kama sala ya Bwana isemayo.
Kuna wanawake wanajua kukamata kama super glue mkuu, ogopa sana
Content ya Mtoa mada iko kimihemko zaidi, alipaswa kutuuliza kwanza sababu za sisi kuchepuka Ndo angeleta Uzi wake rasmi.bado wadogo wakikua watajua!
Tumpe muda.bado wadogo wakikua watajua!
Mtoa mada aNACHUKUWA talaka kwenye ndoa Ni kitu simple sana kutoa au kupewa[emoji4]Tumpe muda.
Kuna wanawake kuingia kwake suala la kuachana hajui piga ua garagaza
I nategemea mchepuko ameshawishi vipi hadi jamaa akafunguka.
Sasa ukute mke ni mdomo jalala, mchafu mchafu, moments zote na mumewe ni za makelele na kukera unadhani hata jicho moja atapata? Achilia macho matatu.
Hivi wewe mzee wa fasihi andishi....mkeo kabisa umpe taraka aondoke kirahidi ivo.???........basi km inakutokeaga hivi!! una tatizo la msingi....sasa unataka na sisi tuwr km weye....tunakujua humu Jf tokana na tabia zako za kuacha acha wake!....siyo rahisi kumuacha mke unayemmbato vizuri.akamaliza yake hayupo!!.....ukiona umemfukuza akarnda vizuri tu km unavyo fanyiwa weye basi jua mlikuwa wawili na huyo mwenzako kakuzidi tena mnoo....hapo chunguza wanao km mnafanana migongo...pole sana.Kumtunza Mchepuko kuliko Mkeo ni Dalili ya kutojitambua
Ni ngumu Mnoo mzee wa fasihi tutakupoteza, umpoteze kirahisi tu mtu uliye msotea taaangu shule!! tutakupoteza wakati bado tunakuhitaji humu JF!mpaka unafikia hatua ati ya kuchepuka kisa Mkeo anakupimia, wewe ni Mpumbavu. Fukuza!
Umeongea maneno magumu mnooNi ngumu Mnoo mzee wa fasihi tutakupoteza, umpoteze kirahisi tu mtu uliye msotea taaangu shule!! tutakupoteza wakati bado tunakuhitaji humu JF!
Amini nakwambia ke/me mmoja wenu anaishi kwa kismart cha Mwenzake!!..... sasa ota kiburi uone nyota, kosa moja halimuachi mke!
ukibisha muache uone moto, maisha yakuchape mpaka uitike ''Bee!''! ! utakosa hata vocha ya kuingia humu na kutusabahi!..hayo Mabus sijui daladala zako izo! utauza moja baada ya jingine!
Utaikuni utaisha, uko ivo leo ajili ya huyo cheupe! mvumilie tu huyo cheupe dawa!..Mbona Mungu anakuvumilia??..si mnasemaga mmeumbwa kwa mfano wa Mungu??
sasa mungu gani hana uvumilivu??...au ujitoe rasmi basi kuwa wewe siyo wa Mungu!