Kwa vile watu weusi wanaacha kutumia akili baada ya kustaafu...Ndio maana wanazaa mapema eti wasomeshe mpaka miaka 60 wawe wamemaliza kila kitu ,kifuatacho kuanza kutegemea Watoto...
Tunajilimit eti miaka 60 mtu akuwa hopeless na maisha anakuwa tegemezi kutupia lawama watoto,kuna mzee hapa naona anastaafu mwaka huu ila mpaka hivi sasa ana mikopo ana watoto kama 6 ...Kujenga naona anangojea kustaafu huyu lazima alete tabu halafu kachoka sana..
Mbona nje wazee kibao wapo 80's wapo fresh !? Huku mtu miaka 60 basi kama mzee wa miaka 100...Tatizo ni pesa ukiwa na pesa fresh wakina mzee kikwte wapo 70 hata mpira wanacheza.