Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Safi.. but (Stable economy) itawavuta sana Wanaume wavivu na makapuku huko PM..

NB: Mtoa mada hataki HANITHI / MAKHNATHA..
Ahsante kwa tahadhari, najua wapo wengi, nitakuwa makini kuwachuja, nahitaji ninayemlenga ajue this post is not for child support au nimeshindwa kulea, tunahitaji upendo kama ambavyo yeye anahitaji upendo
 
Na bado mpaka akiri zitawarudi!

Maandiko yanasema:

Isaya 4:1 "na siku hiyo wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako...."
 
Kukosea ama kukosewa ni sababu dhaifu ya kufanya mtu mwenye hekima kutengeneza UPYA katika namna Bora hata kamasiyo iliyokusudiwa
This is life:maisha yanatuchonga kuwa zaidi ya yanavyotaka kutufanya,ni kama mawimbi ya bahari
Ni nadra sana kujikuta au kuweza kuwa kama ulivyopanga🙏
Any ways kwa upande wangu nahitaji mmoja tu kutengeneza BOND.
 
Kukosea ama kukosewa ni sababu dhaifu ya kufanya mtu mwenye hekima kutengeneza UPYA katika namna Bora hata kamasiyo iliyokusudiwa
This is life:maisha yanatuchonga kuwa zaidi ya yanavyotaka kutufanya,ni kama mawimbi ya bahari
Ni nadra sana kujikuta au kuweza kuwa kama ulivyopanga🙏
Any ways kwa upande wangu nahitaji mmoja tu kutengeneza BOND
 
Ahsante , hii inatoa moyo, we need kumove on na sio kuendelea kuishi kwenye majuto ya makosa yetu ya awali. Mungu anasamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…