Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Kweli kiongozi kuzaa nahisi wanatosha nahitaji firaha kamili kwangu na watoto na mtarajiwa wangu
Asa kwa hao ulioweka umri wao kama kigezo kikuu wataweza kweli kusugua?
Labda kama unahitaji baba tuuh ila kama ni mizagamuano kwa kwenda mbele tafuta Gen Z wako vizuri kuliko ao wazee unaowawazia.
Lakini ni ushauri tuuh kila la kheri mkuu.
 
Nimevutiwa na hili dili ila nimetafakar sana hicho kigezo mama.
Dah kwani mtoa mada huwezi fikiria namna ya kikiondoa ili sasa wigo uwe mpanaaa?

Naona kama umejifunga sana alafu umetubagua sana sie wengine. Naomba ukiondoe kama hutojali ili sasa na sisi tufikiwe maana hatutaman pia kuongopa kuwa haturutubishi

All in all kila lenye heri na mafanikio liwe kwako
 
I cant reply it here……. But mpk nasema mtu anaweza kuwamiliki kisheria ninamaanisha kuna uwezekano wa mazingira hayo
Sawa. Japo kwanini unataka mwanaume asiye na uwezo wa kuzaa?

Maana hata ningekuwa mimi mwanaume sina uwezo wa kuzaa ningetaka nioe ambaye hana uwezo wa kuzaa.

Na sio aliezaa au mwenye uwezo wa kuzaa sababu atanisumbua tu.

Ubinadamu jinsi ulivyo ni Bora zaidi upate mwenye uwezo wa kuzaa kama wewe.
 
Sawa. Japo kwanini unataka mwanaume asiye na uwezo wa kuzaa?

Maana hata ningekuwa mimi mwanaume sina uwezo wa kuzaa ningetaka nioe ambaye hana uwezo wa kuzaa.

Na sio aliezaa au mwenye uwezo wa kuzaa sababu atanisumbua tu.

Ubinadamu jinsi ulivyo ni Bora zaidi upate mwenye uwezo wa kuzaa kama wewe.
Naam
 
GRQ9z63W8AAaFOX.jpeg

Kila umri nnaofikia vigezo vinakua nje ya umri
 
Sawa. Japo kwanini unataka mwanaume asiye na uwezo wa kuzaa?

Maana hata ningekuwa mimi mwanaume sina uwezo wa kuzaa ningetaka nioe ambaye hana uwezo wa kuzaa.

Na sio aliezaa au mwenye uwezo wa kuzaa sababu atanisumbua tu.

Ubinadamu jinsi ulivyo ni Bora zaidi upate mwenye uwezo wa kuzaa kama wewe.
I am taking this into consideration, yes you have a logical point, japo nimetamani kubebeana madhaifu na mtu ambaye anafunga na kuomba kupata furaha ya aina hiyo, we all deserve happiness.
 
Habari

Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.

Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.

Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).

Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.

Ahsante
Sijajua kwa nini unataka mwanuame asiyezaa?
 
Nahitaji kutengeneza na Mungu na sio kuendelea kuishi kwenye zinaa na uzinzi.
Eeee kumbe,
Ila kwa video hivyo ni ngumu, maana Italeta maswali kwa nini unataka asiyezaa, watu watafikili unampango flani kichwani mwako.
Mmmh labda ueleze sababu?
 
Back
Top Bottom