Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida ni kutokua na uwezo wa kuzaa😂😂Habari
Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.
Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.
Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).
Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.
Ahsante
Polygamy sio uzinzi, ingiza na kipengere cha kuwa mke wa pili hakika hutakosa wa kukuchukua na kukupa furaha.Nahitaji kutengeneza na Mungu na sio kuendelea kuishi kwenye zinaa na uzinzi.
Si anichukue mie jamani hata 3rd floor sijafika.. kama ishu ni moto wa kuotea mbali hapa ndio mahala pake yakhe..Anachohitaji ni mubaba wa kumpelekea moto kisawasawa, wazee wa dakika 2 chali hawataki 😂
Mpandie pm mkuu atakuchukuaSi anichukue mie jamani
Siku mkigombana,watoto wakajua huyo ni marioo na sio biological father itakuwaje?!Ahsante kwa tahadhari, najua wapo wengi, nitakuwa makini kuwachuja, nahitaji ninayemlenga ajue this post is not for child support au nimeshindwa kulea, tunahitaji upendo kama ambavyo yeye anahitaji upendo
Hataki Vijana.. ndio maana nikamuuliza watoto wana umri gani ili nijue mapema kama nitaitwa Kaka au Baba.Mpandie pm mkuu atakuchukua
Acha hizo Wewe,Mimi nina miaka55,Niko poa kwenye hayo mambo,tatizo mnakula sana chipsi!Asa kwa hao ulioweka umri wao kama kigezo kikuu wataweza kweli kusugua?
Labda kama unahitaji baba tuuh ila kama ni mizagamuano kwa kwenda mbele tafuta Gen Z wako vizuri kuliko ao wazee unaowawazia.
Lakini ni ushauri tuuh kila la kheri mkuu.