Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Kabla ya kuingia kwenye hili ni vema ukaweka wazi wako wapi au yuko wapi Baba wa watoto.Mara nyingi kama baba yupo utajitetea kuwa sina mahusiano naye kabisa lakini itafikia wakati watoto watamtaka baba halisi,hapa kwa wanawake walivyoumbwa utaanza kwa kificho kujipeleka kwa baba halisi ili kuwafavour watoto wako,na hapa ndipo shida itakapoanzia,lakini kama hayupo hai hapo hakuna shida unaweza kuendelea tu na hiyo plan yako...
 
Habari

Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.

Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.

Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).

Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.

Ahsante
shida ni kutokua na uwezo wa kuzaa😂😂
 
Nahitaji kutengeneza na Mungu na sio kuendelea kuishi kwenye zinaa na uzinzi.
Polygamy sio uzinzi, ingiza na kipengere cha kuwa mke wa pili hakika hutakosa wa kukuchukua na kukupa furaha.
 
Aisee mimi na bahati mbaya nikimwaga tu mtu anakula mimba, sasa nina comment wapi?
 
Asa kwa hao ulioweka umri wao kama kigezo kikuu wataweza kweli kusugua?
Labda kama unahitaji baba tuuh ila kama ni mizagamuano kwa kwenda mbele tafuta Gen Z wako vizuri kuliko ao wazee unaowawazia.
Lakini ni ushauri tuuh kila la kheri mkuu.
Acha hizo Wewe,Mimi nina miaka55,Niko poa kwenye hayo mambo,tatizo mnakula sana chipsi!
 
Back
Top Bottom