Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.

isaya 4:1
Huu unabii mnaubadilisha
Ulikuwa hauhusu wanawake Bali makanisa. Kwamba siku za mwisho makanisa yataibuka mengi kila moja likitaka liitwe kwa jina la Yesu lakini likiwa na Mafundisho ambayo sio ya Yesu. Yani ki kubwa litajwe tu kwa jina la Yesu.
Maipotoshe tafsiri
 
rosita hongera sana, unaonekana kuwa mwanamke uliye serious sana na unayejua unataka nini na vipi. Nakuombea ufanikiwe kwenye hili hitaji lako.
Boss msaidie kumpatia rafiki huko uliko mwenye vigezo. Jf naona hapa wana m joke joke kwa uzi
 
but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu.
Acha upumbavu/ujinga Kwamba baba wa watoto a/wa-mekufa au ulibakwa ndio ukapata hao watoto mapacha watatu au wamekataliwa na baba zao. Huwezi ukamilikisha damu ya mtu kwa watu wengine ovyoovyo tu hata kama baba yao amekufa. Maana hata ukisema baba zao wamewakataa itakua ni ajabu watoto watatu wote kukataliwa labda kama ni mapacha.

Furaha unayoitafuta ya mume utaipata lakini watoto hawawezi kupata furaha halisi ya baba yao mzazi kutoka kwa mtu asiye baba halisi, kamwe! itakua ni ya muda tu, zaidi utawaongezea matatizo.

Shida ikowapi ukipata mwenye uwezo wa kuzalisha mkaongeza watoto, na hujasema labda upande wako pia huwezi kuzaa tena.
 
Boss msaidie kumpatia rafiki huko uliko mwenye vigezo. Jf naona hapa wana m joke joke kwa uzi
Ngoja nifanyie kazi hili.. kwa kweli nimeona itakuwa ni jambo jema kwa rosita kufanikiwa kwenye hili, kwake, kwa watoto na hata baba yao. Familia ndio msingi wa Jamii iliyo bora.
 
Huu unabii mnaubadilisha
Ulikuwa hauhusu wanawake Bali makanisa. Kwamba siku za mwisho makanisa yataibuka mengi kila moja likitaka liitwe kwa jina la Yesu lakini likiwa na Mafundisho ambayo sio ya Yesu. Yani ki kubwa litajwe tu kwa jina la Yesu.
Maipotoshe tafsiri
ndo mnavyojificha hivyo na utabiri wenu....sehem gani kwe biblia ushasikia kuna kitu kinaitwa kanisa...wewe cha umuhmu ni imani makanisa ni mapokeo mliymezeshwa ndo maana mnaamini unabii wa utajiri na kutafutiwa waume kuliko imani na kweli...sasa huyu dada ameudhiwa kidogo anataka badilisha uzao wa watoto wake...vp huyu mme hanithi anayetaka aolewe naye na akiwa na matatizo mbeleni je ata wabadili tena hao watoto majina na ashawahi waza madhara ya anachokifanya kwa hao watoto huko mbeleni...ningemwelewa kama baba wa watoto angekua amefariki...na sidhani kwanza kama sheria za nchi zinaruhusu kubadili ubini wa baba bila makubaliano na wazazi pande zote mbili.....WANAWAKE PUNGUZENI UFEMINISM...mtaishia kutafuta hadi madildo ya vimbwa viwaridhishe
 
Ngoja nifanyie kazi hili.. kwa kweli nimeona itakuwa ni jambo jema kwa rosita kufanikiwa kwenye hili, kwake, kwa watoto na hata baba yao. Familia ndio msingi wa Jamii iliyo bora.
Hii ni njia Bora
Hawa hapa wanafanya jokes na ukute sifa hawana
 
ndo mnavyojificha hivyo na utabiri wenu....sehem gani kwe biblia ushasikia kuna kitu kinaitwa kanisa...wewe cha umuhmu ni imani makanisa ni mapokeo mliymezeshwa ndo maana mnaamini unabii wa utajiri na kutafutiwa waume kuliko imani na kweli...sasa huyu dada ameudhiwa kidogo anataka badilisha uzao wa watoto wake...vp huyu mme hanithi anayetaka aolewe naye na akiwa na matatizo mbeleni je ata wabadili tena hao watoto majina na ashawahi waza madhara ya anachokifanya kwa hao watoto huko mbeleni...ningemwelewa kama baba wa watoto angekua amefariki...na sidhani kwanza kama sheria za nchi zinaruhusu kubadili ubini wa baba bila makubaliano na wazazi pande zote mbili.....WANAWAKE PUNGUZENI UFEMINISM...mtaishia kutafuta hadi madildo ya vimbwa viwaridhishe
Khaaa mbona povu hivyo boss? Can't stand that negative energy.
Here it's a positive vibes only. Good day
 
Habari

Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.

Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.

Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).

Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.

Ahsante
Wee utanifaaa....ila kabla sijaja pm niwe mkweli kabisa mie hiv + vipi utanikubali?
 
Isaya 4:1

"Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu."
 
Huu unabii mnaubadilisha
Ulikuwa hauhusu wanawake Bali makanisa. Kwamba siku za mwisho makanisa yataibuka mengi kila moja likitaka liitwe kwa jina la Yesu lakini likiwa na Mafundisho ambayo sio ya Yesu. Yani ki kubwa litajwe tu kwa jina la Yesu.
Maipotoshe tafsiri
Heh jaman,,umenifungua aseeee asante,,huo mstari sijawahi uelewa kwa tafsiri hii❤️
 
Back
Top Bottom