Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Ndo maana unawachezeshea hivyo kwa kuipa promo mbususu ili uwagaieMbona mie wote humu jf wanajua kuwa mie hiv positive mwaka wa 17 huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana unawachezeshea hivyo kwa kuipa promo mbususu ili uwagaieMbona mie wote humu jf wanajua kuwa mie hiv positive mwaka wa 17 huu
Watu wapo tofauti cacutee....wee kama umezoea kuishi kwa kuogopa hiyo ni weweSiamini
Wenye nao hawajiweki kirahisi hivyo
Yeah we SDA church members hiyo ni yo tafsiri tuliyo nayo kulingana na unabii wa siku za mwisho tunaousoma Kwenye biblia na vitabu vya roho ya unabii.Heh jaman,,umenifungua aseeee asante,,huo mstari sijawahi uelewa kwa tafsiri hii❤️
🙏🏾 Thank you madamYeah we SDA church members hiyo ni yo tafsiri tuliyo nayo kulingana na unabii wa situation za mwisho tunaousoma Kenya biblia na vitabu vya roho ya unabii.
Mwanamke kibibilia na kiunabii inamaanisha kanisa.
Katika ufunuo biblia inasema joka akamkasirikia Yule mwanamke afanye Vita juu yake.... Hapa pia lilikuwa linazungumziwa kanisa
You are welcome🙏🏾 Thank you madam
Nilitaka kuuliza swali kama hili ila umeniwahi tu.Watoto wanatumia ubini gani kwa Sasa?
Je mwanaume utayempata mkikosana huko mbeleni, ubini wake utaendelea kuwa wa hao watoto?
Na je Baba wa hao watoto yuko wapi?
Mm n jobless na Siwez kuzaaJaman Kwan we huwez zaaa?
Huna uwezo wa kuzaa au hutaki kuzaa?Mm n jobless na Siwez kuzaa
Sina uwezo wa kuzaa kama anavyotaka mtoa madaHuna uwezo wa kuzaa au hutaki kuzaa?
We mbaga ww si juzi tu umeeleza ulikuwa na single maza Ila bahat hukumpa mimba?????Sina uwezo wa kuzaa kama anavyotaka mtoa mada
Sasa c ndo sina uwezo wa kumpa mtu mimba ndo mana nkashindwa kumpa mimba huyo singo maza 😎We mbaga ww si juzi tu umeeleza ulikuwa na single maza Ila bahat hukumpa mimba?????
Wewe ndiye unaubadilisha unabii. Ama umeamua kuchagua namna ya kuutafsiri unabii huo kwa manufaa yako mwenyewe au kikundi chenu.Huu unabii mnaubadilisha
Ulikuwa hauhusu wanawake Bali makanisa. Kwamba siku za mwisho makanisa yataibuka mengi kila moja likitaka liitwe kwa jina la Yesu lakini likiwa na Mafundisho ambayo sio ya Yesu. Yani ki kubwa litajwe tu kwa jina la Yesu.
Maipotoshe tafsiri
Kwa hiyo ni kusema sahihi angesema anataka mwanaume mwenye familia ambaye kwa sababu zisizojulikana mama watoto wake alipo (kama yeye haijulikani baba watoto wake alipo) muhimu awe hana uhitaji wa mtoto tena.Sawa. Japo kwanini unataka mwanaume asiye na uwezo wa kuzaa?
Maana hata ningekuwa mimi mwanaume sina uwezo wa kuzaa ningetaka nioe ambaye hana uwezo wa kuzaa.
Na sio aliezaa au mwenye uwezo wa kuzaa sababu atanisumbua tu.
Ubinadamu jinsi ulivyo ni Bora zaidi upate mwenye uwezo wa kuzaa kama wewe.
Acha kuleta utani mwenzio yuko serious ujue plsSasa c ndo sina uwezo wa kumpa mtu mimba ndo mana nkashindwa kumpa mimba huyo singo maza 😎
Mm niko serious bhana, ili kuthibitisha hili inabidi tujaribu Mm na ww 😎Acha kuleta utani mwenzio yuko serious ujue pls