Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Habari

Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.

Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.

Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).

Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.

Ahsante
Nia yako ni njema kwa sababu makosa uliyafanya huko nyuma na umeona ubaya wake. Huwa nawaambia watu hakuna dhambi salama, dhambi yeyote ukiitenda l iko siku itakuumiza.

Kwa kuwa katika jamii wapo wanaume wenye uwezo wa sex lakini hawana uwezo wa kuzaa na wamekuwa wakibambikiwa watoto au kuwaruhusu wqke zao watafute watoto kisirisiri nje ya ndoa basi wanaume wa aina hiyo wanafaa kuchangamkia hii offer ambayo haina ubaya wowote.

Kila la heri dada umpate ambaye mtaendana lakini watoto wakikua au mkikosana huko mbeleni mvumiliane.
 
Habari

Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.

Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.

Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).

Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.

Ahsante
Okey nakuja
 
Mimi Nina 55, mtoto mmoja, single father lakini nazaa Ila sihitaji mtoto. Umri wangu vipi?
 
Habari

Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.

Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.

Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).

Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.

Ahsante
Aisee
 
Kwanini usikubali mume mwenye mtoto lakini sasa hawezi kuzalisha au hataki kuzaa? Huyu mtadumu. Tena hapa utawapata wengi kwa haraka.

Ukitaka hasiye zalisha na hana mtoto kuna element za ubinafsi (selfish). Haupo tayari kulea au kuwapenda watoto wa mtu mwingine wakati unataka wapendwe wako na mtu mwingine.
 
hapa ungepata anaye zaa ili muunge familia vyema kwa maana mtakuwa na mtoto anaye waunganisha

alafu mtu huyu usimpate kwa kutangaza hivi, mtafute huko ulipo asifahamu dhamira yako waziwazi atakutesa

bora umtege kwa njia zote ila sio kumpata toka humu akijua kabisa dhamira yako ni ipi
 
Aisee hatari sana, kweli mwanamke inafika point lazima ahitaji mume.

Ana mkwanja, ana watoto lakini anakosa mume tu.

Ndoa ni muhimu kwa ke kuliko ilivyi kwa Me.
 
Na bado mpaka akiri zitawarudi!

Maandiko yanasema:

Isaya 4:1 "na siku hiyo wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako...."
...Usihukumu usije ukahukumiwa.
Hakuna binadamu aliyekamilika, kila mtu(hata wewe) ana mapungufu yake.

rosita Mungu akupe hitaji la moyo wako.
Usikatishwe tamaa na kelele za humu.
 
Hitaji gumu sana hili- pole kwa upweke na kukosa Mwanaume ndani ya nyumba ....haya maisha ni ngumu sana kuplay roles zote za Baba na Mama lazima kuna mahali patapwaya tu.
 
Back
Top Bottom