Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Sahihi mkuu ila katika kutafsiri bibilia si watu wate wawezao sasa hao wasioweza inakuwaje
Haya Mambo Mungu amewaficha walio wengi wakiwamo wasomi na matajiri Ila kwa wale wenye Nia ya kujua ukiomba Roho wa Mungu na kusoma neno lake unapata kutambua na kuelewa. Alafu pia biblia inajitafsiri yenyewe. Kwenye huo mstari ukiangalia pembeni mwisho kabisa utaona mstari mwingine unaoelezea maana zaidi ya mstari huo.
 
Najua wakati unaopitia lkn shauku yako isikufanye ukafanya Jambo ambalo litakuja kucost, Ni vzr ukatafuta mume tu lkn watoto uwaambie ukweli.
 
Watoto wanatumia ubini gani kwa Sasa?

Je mwanaume utayempata mkikosana huko mbeleni, ubini wake utaendelea kuwa wa hao watoto?

Na je Baba wa hao watoto yuko wapi?
Na wasiwasi huenda alimla kichwa huwezi kuwa katika hali hiyo kwa kutaka,jitahidi mhusika uwe makini huenda unapenda kukutana na jini makata.
 
Asa kwa hao ulioweka umri wao kama kigezo kikuu wataweza kweli kusugua?
Labda kama unahitaji baba tuuh ila kama ni mizagamuano kwa kwenda mbele tafuta Gen Z wako vizuri kuliko ao wazee unaowawazia.
Lakini ni ushauri tuuh kila la kheri mkuu.
Gen Z huenda kawajaribu hawako na respect kwa hao wajuba.
 
Anatakiwa ajua psychology ya wanaume,in fact wanaume.ni territorial hawezi Lea wa mwingine bike element yake,ili colable iende sawa ajitahidi kukubaki walau mtoyi mmoja au la huenda huyu manzi katili kuliko kawaida ni muuaji pia,sasa itakuwaje hapo.
 
Na bado mpaka akiri zitawarudi!

Maandiko yanasema:

Isaya 4:1 "na siku hiyo wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako...."
Hii verse ipo kweli? Wanawake wastuke mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…