Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genious kama wewe sio bidadaOnly Genious can understand this
😂😂😂Hataki Vijana.. ndio maana nikamuuliza watoto wana umri gani ili nijue mapema kama nitaitwa Kaka au Baba.
Kuna kitu najifunza hapaMtego huu.
Huyo/Hao waliokuzalisha watoto watatu wameshatangulia mbele ya haki?Ahsante kwa tahadhari, najua wapo wengi, nitakuwa makini kuwachuja, nahitaji ninayemlenga ajue this post is not for child support au nimeshindwa kulea, tunahitaji upendo kama ambavyo yeye anahitaji upendo
😂😂😂 Anataka kulelewa watoto wake,il yeye hataki kulea wamwanaume!Duuh!bandiko linatuacha na maswali mengi anyway
Kwa haraka haraka mama unachotaka kwa sasa ni kusuguliwa tuuh si ndio!?
Upo sahihi.I am open for both but yupo mtu ambaye hilo ni hitaji lake, anahitaji upendo wa watoto na heshima.
daaah ww nikubalie tu baada ya miaka kumi nitakuwa nishafikisha 35Hufai
nini hiki?🤼♀️
Basi mdau ajitokeze nae mbona anampa wakati mgumu bibie hapo😂😂😂 Anataka kulelewa watoto wake,il yeye hataki kulea wamwanaume!
Pole kwa heka heka na changamoto za maisha Bi rosita.Habari
Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.
Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.
Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).
Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.
Ahsante
Umewasilisha elimu ya uzamivu kabisa. Wasio kuelewa usichoke kuwaelimishaHuu unabii mnaubadilisha
Ulikuwa hauhusu wanawake Bali makanisa. Kwamba siku za mwisho makanisa yataibuka mengi kila moja likitaka liitwe kwa jina la Yesu lakini likiwa na Mafundisho ambayo sio ya Yesu. Yani ki kubwa litajwe tu kwa jina la Yesu.
Maipotoshe tafsiri