Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Wanawake bwana, utadhani anamuonea huruma mwanaume ila ukweli ni ubinafsi wa kutaka mume ila asiwe na watoto wakate yeye anao na hataki kumzalia watoto
Kitanda usicholalia ujui kunguni wake.
Kuna mtu ambacho wewe inaona n selfish ni prayer point yake

Kongole
 
Kwa maana nyingine mimi nilivo elewa ni kuwa unahitaji mzee ambaye hana folopian tube sio
 
Habari

Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.

Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.

Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).

Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.

Ahsante
Kuna mmoja Yuko ana watoto wanne .aje??
 
Wale vijana wasioelewa hili andiko zaidi pale kwenye 'asiye na uwezo wa kuzaa' ninipo hivi!.

Madame anataka mtu wa aina hiyo kwa sababu endapo unauwezo wa kumpa mimba iwe kwa bahati mbaya au kupanga kuna jambo hili hapa.

Mara nyingi uzao (mtoto/watoto) wa mke na mume aliye ndani ya damu na familia ya wazazi wasiyo wa unga unga huwa anapendwa kwa nguvu zote kwa sababu ya muunganiko wenu.

Mtoto/watoto aliye na wazazi wote hatakuwa na upungufu wa upendo kivyovyote bile kutoka kwa mama au baba.

Ikiwa utaleta mwanao kwa single mama/baba aliye na mtoto/watoto kumbuka utaegemea kwa mwanao zaidi ukihisi ndiye atakuja kuwa nawe karibu kuliko wale/yule mwingine.

Huyu madame rosita nakupa tano 👊🏾 umesoma harama barabara japo itakupa challenge kiasi, ila mwanaume huyo yupo na utapata.

Binafsi nawahusia WANAWAKE wenzako wote wanaokimbia au kwa lolote kukacha ndoa warudi kwa waume zao kuepusha hizi mambo.

Wanaume sisi (si vijana) walio kwenye ndoa tafadhali tujenge panapo haribika ili kuepusha haya.

Mwisho unapoona kitu kama hichi kila mtu Me/Ke jitafakari, acha kibri na kujitutumua.

NDOA ni ya Mungu.
 
Kwaiyo hao watoto utawalea wewe au unatafuta pia mtu wa kukusaidia kulea...Ila Wana Watatu ni wengi asee ingekuwa mmoja labda
Wale vijana wasioelewa hili andiko zaidi pale kwenye 'asiye na uwezo wa kuzaa' ninipo hivi!.

Madame anataka mtu wa aina hiyo kwa sababu endapo unauwezo wa kumpa mimba iwe kwa bahati mbaya au kupanga kuna jambo hili hapa.

Mara nyingi uzao (mtoto/watoto) wa mke na mume aliye ndani ya damu na familia ya wazazi wasiyo wa unga unga huwa anapendwa kwa nguvu zote kwa sababu ya muunganiko wenu.

Mtoto/watoto aliye na wazazi wote hatakuwa na upungufu wa upendo kivyovyote bile kutoka kwa mama au baba.

Ikiwa utaleta mwanao kwa single mama/baba aliye na mtoto/watoto kumbuka utaegemea kwa mwanao zaidi ukihisi ndiye atakuja kuwa nawe karibu kuliko wale/yule mwingine.

Huyu madame rosita nakupa tano 👊🏾 umesoma harama barabara japo itakupa challenge kiasi, ila mwanaume huyo yupo na utapata.

Binafsi nawahusia WANAWAKE wenzako wote wanaokimbia au kwa lolote kukacha ndoa warudi kwa waume zao kuepusha hizi mambo.

Wanaume sisi (si vijana) walio kwenye ndoa tafadhali tujenge panapo haribika ili kuepusha haya.

Mwisho unapoona kitu kama hichi kila mtu Me/Ke jitafakari, acha kibri na kujitutumua.

NDOA ni ya Mungu.
Only Genious can understand this
 
Back
Top Bottom