MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Mpe ushauri bhana usimbanieKila la kheri. I can imagine what you are going through. Kuwe na mwanga katika hitaji lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe ushauri bhana usimbanieKila la kheri. I can imagine what you are going through. Kuwe na mwanga katika hitaji lako.
Thanks, that is why maturity na hofu ya Mungu ndio key na pia sitakuwa na haraka before kujiridhisha pasina shaka kuwa huyu mwenzq atakuwa sahihi kwangu na mimi sahihi kwake...Kwa uwezo wa Mungu inawezekanaNia yako ni njema kwa sababu makosa uliyafanya huko nyuma na umeona ubaya wake. Huwa nawaambia watu hakuna dhambi salama, dhambi yeyote ukiitenda l iko siku itakuumiza.
Kwa kuwa katika jamii wapo wanaume wenye uwezo wa sex lakini hawana uwezo wa kuzaa na wamekuwa wakibambikiwa watoto au kuwaruhusu wqke zao watafute watoto kisirisiri nje ya ndoa basi wanaume wa aina hiyo wanafaa kuchangamkia hii offer ambayo haina ubaya wowote.
Kila la heri dada umpate ambaye mtaendana lakini watoto wakikua au mkikosana huko mbeleni mvumiliane.
Asa kwa hao ulioweka umri wao kama kigezo kikuu wataweza kweli kusugua?
Lab
Thanks, I am no longer interested in https://jamii.app/JFUserGuide but love making ,complete and happy family....Age is just a numberda kama unahitaji baba tuuh ila kama ni mizagamuano kwa kwenda mbele tafuta Gen Z wako vizuri kuliko ao wazee unaowawazia.
Lakini ni ushauri tuuh kila la kheri mkuu.
Unajua maana sahihi ya andiko hiloNa bado mpaka akiri zitawarudi!
Maandiko yanasema:
Isaya 4:1 "na siku hiyo wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako...."
UsiogopeUsitake nije PM yako
So sad but poole for being dissapointedThanks, I am no longer interested in JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala but love making ,complete and happy family....Age is just a number
I am open for both but yupo mtu ambaye hilo ni hitaji lake, anahitaji upendo wa watoto na heshima.Kwanini usikubali mume mwenye mtoto lakini sasa hawezi kuzalisha au hataki kuzaa? Huyu mtadumu. Tena hapa utawapata wengi kwa haraka.
Ukitaka hasiye zalisha na hana mtoto kuna element za ubinafsi (selfish). Haupo tayari kulea au kuwapenda watoto wa mtu mwingine wakati unataka wapendwe wako na mtu mwingine.
Biological baba wakwaapi na vip wakija kudai watoto wao
Ahsante kwa kucomment.Acha upumbavu/ujinga Kwamba baba wa watoto a/wa-mekufa au ulibakwa ndio ukapata hao watoto mapacha watatu au wamekataliwa na baba zao. Huwezi ukamilikisha damu ya mtu kwa watu wengine ovyoovyo tu hata kama baba yao amekufa. Maana hata ukisema baba zao wamewakataa itakua ni ajabu watoto watatu wote kukataliwa labda kama ni mapacha.
Furaha unayoitafuta ya mume utaipata lakini watoto hawawezi kupata furaha halisi ya baba yao mzazi kutoka kwa mtu asiye baba halisi, kamwe! itakua ni ya muda tu, zaidi utawaongezea matatizo.
Shida ikowapi ukipata mwenye uwezo wa kuzalisha mkaongeza watoto, na hujasema labda upande wako pia huwezi kuzaa tena.
Tatizo umeweka vigezo vya kibaguzi sana kuhusu sifa!Ahsante kwa tahadhari, najua wapo wengi, nitakuwa makini kuwachuja, nahitaji ninayemlenga ajue this post is not for child support au nimeshindwa kulea, tunahitaji upendo kama ambavyo yeye anahitaji upendo