Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Level hy ya umalaya bado cjaifikia aisee, Mm bado innocent kwenye mapenzi 😂Akieleweka nipe location ili nije tumpige sange (mande). Akutane na propeller ya 113
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Level hy ya umalaya bado cjaifikia aisee, Mm bado innocent kwenye mapenzi 😂Akieleweka nipe location ili nije tumpige sange (mande). Akutane na propeller ya 113
Unamhurumia huyo Manzi sioLevel hy ya umalaya bado cjaifikia aisee, Mm bado innocent kwenye mapenzi 😂
Ndio, nataka kumfaidi mwnywUnamhurumia huyo Manzi sio
Hiyo ndio tafsiri sasa ya SELFIE (Ubinafsi)Ndio, nataka kumfaidi mwnyw
Kwa hiyo ni kusema sahihi angesema anataka mwanaume mwenye familia ambaye kwa sababu zisizojulikana mama watoto wake alipo (kama yeye haijulikani baba watoto wake alipo) muhimu awe hana uhitaji wa mtoto tena.
Though wapo wanaume walioa wakakosa watoto na ikajulikana ndiyo wenye matatizo anaweza akawabahatisha.
Ww utapambana mwnyw kwa wakat wakoHiyo ndio tafsiri sasa ya SELFIE (Ubinafsi)
Ni libinafsi sana linaonekana. Yatakuwa ni yaleyale mwanamke mafeministHow is that a win win situation? Labda sijaelewa, yeye mwanaume anapata nini? Clearly, wewe utapata mume na huduma, watoto wako watapata father figure katika maisha yao na gharama za matunzo kwakuwa huyo mwanaime directly au indirectly atalipa hela. Yeye atagain nini?
You need a sex slaveKweli kiongozi kuzaa nahisi wanatosha nahitaji firaha kamili kwangu na watoto na mtarajiwa wangu
biblia ninayo na nnasoma kila siku,,, mwanamke kwenye biblia ni kanisaTafuta biblia usome, usipende kudanganywa
Biblia imeandika wanawake saba na sio makanisa saba.
Kipindi cha isaya (agano la kale) hakuna kitu kinachoitwa kanisa
Hizi hat trick amepiga azizi Ki mwenyewe au amekoroga na kina max, na mzize. Hao wajamaa kila mmoja akija kusalimia watoto wake huyu new husband si atakufa pressure 😅😂. Hii situation yake ngumu sana, Mungu amsaidie tu.How is that a win win situation? Labda sijaelewa, yeye mwanaume anapata nini? Clearly, wewe utapata mume na huduma, watoto wako watapata father figure katika maisha yao na gharama za matunzo kwakuwa huyo mwanaime directly au indirectly atalipa hela. Yeye atagain nini?
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
isaya 4:1