Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Sio wabishi, ilimu hiyo ni ilimu ya uzamivu, utafiti na fikra tunduizi kama zote ...hili halimo kwenye normal distribution curve....

wavumilie
Asante kwa kutambua Hilo
Hiyo elimu imefichwa maprofesa wakapewa maskini na wasio na elimu
 
Habari

Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.

Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.

Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).

Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.

Ahsante
Uibe watoto wa watu huko umpe mwanaume mwingine ila wanawake ni noma
 
Uibe watoto wa watu huko umpe mwanaume mwingine ila wanawake ni noma
Ukimkaba sana bila kumsikiliza changamoto anazopitia inaweza kumpa shida zaidi.

Andiko lake linaakisi kuwa anapitia changamoto kali sana, ni kama mtu amevamiwa, anapiga ukunga kuomba msaada.
 
Na bado mpaka akiri zitawarudi!

Maandiko yanasema:

Isaya 4:1 "na siku hiyo wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako...."
Huu unabii ulikuwa hauna uhusiano/haumaanishi wanawake na wanaume, ulikuwa unahusu makanisa na Mungu(Yesu), wanawake wana represent makanisa na mwanaume hapo alikuwa anamrepresent Yesu.
"kula chakula chetu" alikuwa anamaanisha makanisa yatakuwa yanajitafutia mafundisho yake yenyew ambayo hayana msingi wa neno la mungu halisia, kikawaida mwanaume huwa anamtafutia mkewe chakula au chakula kinatoka kwa mume, if otherwise you must put a question mark?
"Tutavaa nguo zetu" alikuwa anamaanisha makanisa watajifunika/watajivika Imani waijuao wao, isiyokuwa na misingi yeyote ya mafundisho ya neno la mungu, narudia tena kikawaida mavazi kama vile chakula hutoka kwa mume, mwanamke sio jukumu lake kujitafutua chakula na mavazi kama vile sio jukumu la kanisa kujitafutia mafundisho yake na imani, hapana inabidi vitoke kwa Mungu.
So nadhani nimejaribu kukuelezea how this prophecy should be interpreted, ila kama unataka utafsiri kama ulivoandika hapo awali ni uamuzi wako ila this is the true meaning of Isaiah's prophecy.
 
Ukimkaba sana bila kumsikiliza changamoto anazopitia inaweza kumpa shida zaidi.

Andiko lake linaakisi kuwa anapitia changamoto kali sana, ni kama mtu amevamiwa, anapiga ukunga kuomba msaada.
Tatizo lipo kwenye hoja yake kuhusu watoto....ana watoto 3 , then anataka mwanaume asiye na watoto/ hawezi kupata watoto ...awe tayari kuwalea( kama wanawe) watoto wake! Hii dhana ni tata na tete! Hao watoto hawana baba ! Hawana ndugu wa baba! Hadi huyu anayetakiwa aingie mazima vile!
Yeye angetafuta Mwenza ambaye anakubaliana na status ya Familia yake Kwa Sasa!
 
Hofu ya Mungu? Wewe mwenyewe ulikuwa na hofu ya Mungu? Naona wewe njaa yako ni kugongwa tu ndiyo maana unatafuta mwenye uwezo huo. Mimi nina 50 natafuta wa kuonja kitumbua njoo PM tuyajenge!
 
Tatizo lipo kwenye hoja yake kuhusu watoto....ana watoto 3 , then anataka mwanaume asiye na watoto/ hawezi kupata watoto ...awe tayari kuwalea( kama wanawe) watoto wake! Hii dhana ni tata na tete! Hao watoto hawana baba ! Hawana ndugu wa baba! Hadi huyu anayetakiwa aingie mazima vile!
Yeye angetafuta Mwenza ambaye anakubaliana na status ya Familia yake Kwa Sasa!

Umechambua kama "Messi" wa Barcelona.

Kimsingi hoja hii uliyochambua inaonesha bidada yupo kwenye njiapanda (dilemma) yenye utata mkali sana. Ndiposa binafsi nikamshauri aanze na counselling kwa Sociologist ama Clinical Psychologist ama apate alternate sessions na wote.

Hii script ameandika, kama ni storyline amebuni, basi ni mtunzi mkali sana. Lakini kama ni reality, Sisi wajomba tumeona mtoto wa dada anapitia vipengele vyenye kutatiza hasa. Anahitaji mental and psychological support
 
Kila la kheri dada!
Kwa utulivu na usahihi wa mwandiko, naona kabisa kuwa wewe ni mtu makini na utapata mtu sahihi pia.
Habari

Najitokeza kwenu wana jukwaa kutafuta mwanaume matured kuanzia miaka 38-45 na mwenye hofu ya Mungu ambaye anatamani kuwa na mtoto/watoto lakini kwa namna moja au nyingine imeshindikana kwa njia ya kawaida lakini anauwezo wa kusex.

Mimi ni single mother mwenye watoto 3 natamani kuunganisha familia na mtu wa aina hiyo na tukifanikiwa kufunga ndoa tutafuata taratibu za kisheria kabisa ili kukamilisha hilo na watatumia Sir Name yako na utawamiliki kihalali.

Wasifu wangu
Miaka 35, Mkristo, Mwajiliwa sekta binafsi nina stable economy na watoto nawamudu na kuwalea vzr tu but nimekosa furaha ya mume na wao wanakosa furaha ya baba kutokana na sababu zilizojuu ya uwezo wetu. Naamini katika complete family japo kwa sasa haikuwa riziki yangu na natamani kurekebisha kwa mtu mwenye uhitaji wa kupata furaha ya watoto. (Win- Win Situation).

Hili swala zito haliitaji utani naomba only serious people waje DM.

Ahsante
 
Huu unabii ulikuwa hauna uhusiano/haumaanishi wanawake na wanaume, ulikuwa unahusu makanisa na Mungu(Yesu), wanawake wana represent makanisa na mwanaume hapo alikuwa anamrepresent Yesu.
"kula chakula chetu" alikuwa anamaanisha makanisa yatakuwa yanajitafutia mafundisho yake yenyew ambayo hayana msingi wa neno la mungu halisia, kikawaida mwanaume huwa anamtafutia mkewe chakula au chakula kinatoka kwa mume, if otherwise you must put a question mark?
"Tutavaa nguo zetu" alikuwa anamaanisha makanisa watajifunika/watajivika Imani waijuao wao, isiyokuwa na misingi yeyote ya mafundisho ya neno la mungu, narudia tena kikawaida mavazi kama vile chakula hutoka kwa mume, mwanamke sio jukumu lake kujitafutua chakula na mavazi kama vile sio jukumu la kanisa kujitafutia mafundisho yake na imani, hapana inabidi vitoke kwa Mungu.
So nadhani nimejaribu kukuelezea how this prophecy should be interpreted, ila kama unataka utafsiri kama ulivoandika hapo awali ni uamuzi wako ila this is the true meaning of Isaiah's prophecy.
Asante kwa kukazia mtumishi
 
Huu unabii mnaubadilisha
Ulikuwa hauhusu wanawake Bali makanisa. Kwamba siku za mwisho makanisa yataibuka mengi kila moja likitaka liitwe kwa jina la Yesu lakini likiwa na Mafundisho ambayo sio ya Yesu. Yani ki kubwa litajwe tu kwa jina la Yesu.
Maipotoshe tafsiri
Sahihi mkuu ila katika kutafsiri bibilia si watu wate wawezao sasa hao wasioweza inakuwaje
 
Muda mchache mambo mengi, mchukue mzima mpeleke Muhimbili pale watamkata mirija ya uzazi. Mtaendelea na libeneke Mawio mpaka Machweo
 
Back
Top Bottom