Mwanaume asiyehudumia familia yake ni mbaya kuliko kafiri

Mwanaume asiyehudumia familia yake ni mbaya kuliko kafiri

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
1 Thimoteo 5:8 "Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini".

Wakuu ninaandika huu uzi nikiwa ninakumbuka mambo niliyokuwa ninayaona wakati naishi kwenye mtaa mmoja wa uswahilini hapa mjini Dar. Ni mtaa wenye umaskini wa kutosha lakini pia kimaadili uko hovyo. Kitu kilichokuwa kinanishangaza ni wanawake wengi kulia shida kiasi kwamba kama huna hofu ya Mungu utachakata sana mbususu za wake za watu. Kimsingi kuna wanaume wengi wasiojituma kabisa kuhudumia familia.

Leo kwenye kusoma biblia ndo nikakuta kumeandikwa kuwa mtu asiyejali familia yake ni kama tu kaikana imani na sawa na mtu asiyeamini (kafiri). Ni kitu kibaya sana. Niwasihi mliooa mjali familia zenu vinginevyo mtalaumu watu kuwagongea wake zenu.
 
1 Thimoteo 5:8 "Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini".

Wakuu ninaandika huu uzi nikiwa ninakumbuka mambo niliyokuwa ninayaona wakati naishi kwenye mtaa mmoja wa uswahilini hapa mjini Dar. Ni mtaa wenye umaskini wa kutosha lakini pia kimaadili uko hovyo. Kitu kilichokuwa kinanishangaza ni wanawake wengi kulia shida kiasi kwamba kama huna hofu ya Mungu utachakata sana mbususu za wake za watu. Kimsingi kuna wanaume wengi wasiojituma kabisa kuhudumia familia.

Leo kwenye kusoma biblia ndo nikakuta kumeandikwa kuwa mtu asiyejali familia yake ni kama tu kaikana imani na sawa na mtu asiyeamini (kafiri). Ni kitu kibaya sana. Niwasihi mliooa mjali familia zenu vinginevyo mtalaumu watu kuwagongea wake zenu.
Sawa Mama samiah
 
1 Thimoteo 5:8 "Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini".

Wakuu ninaandika huu uzi nikiwa ninakumbuka mambo niliyokuwa ninayaona wakati naishi kwenye mtaa mmoja wa uswahilini hapa mjini Dar. Ni mtaa wenye umaskini wa kutosha lakini pia kimaadili uko hovyo. Kitu kilichokuwa kinanishangaza ni wanawake wengi kulia shida kiasi kwamba kama huna hofu ya Mungu utachakata sana mbususu za wake za watu. Kimsingi kuna wanaume wengi wasiojituma kabisa kuhudumia familia.

Leo kwenye kusoma biblia ndo nikakuta kumeandikwa kuwa mtu asiyejali familia yake ni kama tu kaikana imani na sawa na mtu asiyeamini (kafiri). Ni kitu kibaya sana. Niwasihi mliooa mjali familia zenu vinginevyo mtalaumu watu kuwagongea wake zenu.
Kweli kabisa, na wengi hupata mikosi wakidhani wamerogwa, kumbe wanatembea na laana za wake na watoto wao...!
 
Mwanaùme halisi ni maamuzi, Mwanaume ukiamua kuoa fanya bila kutegemea msaada kutoka kwingine. Majukumu sio ya kukimbia hata kama unakumbana na changamoto gani. WANAUME TUPAMBANIE FAMILIA ZETU
 
Back
Top Bottom