Mwanaume asiyeweza kujilipia mahari mwenyewe anawezaje kulea familia?

Mwanaume asiyeweza kujilipia mahari mwenyewe anawezaje kulea familia?

Hao walimu wa madrasa wanaolawiti watoto huwa ni watoto wa dinj ya kiyahudi?

Huku mtaani sisi tunawatafuna wavaa hijab japo wako mwezi wa Ramadhani, wanakuja tunapata iftar pamoja.

Sisi tunawasema hao mabinti wa kiislam ambao wanaolewa na wazee kuwa wake wa pili au watatu huku hawajawa na uwezo wa kufanya maamuzi wenyewe.

×××nimemeliza××
hakuna madem mseleleko kama wa imani hiyo , yaan wao buku 5 tu umemaliza
 
Je umesha jiuuliza Mwanaume asiyeweza kujilipia sherehe ya harusi hadi mnachangishana pesa ya sherehe,je nae ataweza lea familia!!?
sherehe anasherekea pekee yake ?
 
Nimeona taasisi moja ya kiislam imeazimia kuwalipia mahari wanaume 50 ili kuwawezesha kufunga ndoa.
View attachment 2582464
Nikajiuliza maswali kadhaa.
1. Hivi mwanaume kama hauna uwezo wa kulipa mahari unataka ndoa ya nini?

2. Hii taasisi imekaa na kuona namna bora ya kuwainua vijana ni kuwawezesha kuoa? 😀 Angalau basi wangewawezesha hata mitaji basi au hata wangewekeza kwenye elimu kwa vijana ili wajikomboe ki fikra na kiuchumi kabla ya ndoa

3. Wakati wakristo wakiendelea kujenga shule na vyuo pamoja na kuimarisha taasisi zilizopo wenzao wanawawezesha vijana kuoa. Baadaye nafasi za kimaamuzi zinazohitaji proffesionalism zikichukuliwa na vijana wakikristo (ambao wakati wenzao wakiwezeshwa kuoa wao walikuwa wanawezeshwa kupata elimu) kuna watu watakuja hapa watasema ni mfumo kristo

××××Nimemaliza××××
Hii kitu iliishaje? Vijana waliozeshwa kweli?
 
Back
Top Bottom