Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
Uwiiii nimecheka kwa nguvu. Ndo maana sifanyag hizo kazi
Hata sielew kwa hiyo siwez sema ndio au hapana[emoji85]umecheka kwa nguvu kama cyborg au
najaribu kufananisha
Thread ingesomeka hivi, swali kwa wasichana.Msichana Unatoka Kwenu Unaenda Kwa Jamaa Mnafanya Yenu Mnamaliza Unaanza Kufua,Unaosha Vyombo, Unafagia Na Kudeki Ndani ,Unapika Mnakula Baada Ya Kumaliza Jamaa Anakwambia Mwanaume Atakaekuoa Atapata Raha Sana
Hivi utamjibu ni nini huyo Mwanaume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ungeenda kumroga basi hahahaNingenyanyua majeshi yangu sahiyo hiyo na kumdelete kwanzia mda huo
Wewe hufanyagi hizo kazi, ukishabanduliwa unasepa kivyako! !![emoji2] [emoji2] [emoji2]Uwiiii nimecheka kwa nguvu. Ndo maana sifanyag hizo kazi
Sasa ashanza kufanya kazi za mke, ataolewa wa nini tena? Ni kubandukiwa tuInamana yeye hana mpango wa kukuoa
ukikata mauno inatosha au?Uwiiii nimecheka kwa nguvu. Ndo maana sifanyag hizo kazi