Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Nadhani we Kabla ya kusepa ungechafau nguo,vyombo na nyumba yoteNingenyanyua majeshi yangu sahiyo hiyo na kumdelete kwanzia mda huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani we Kabla ya kusepa ungechafau nguo,vyombo na nyumba yoteNingenyanyua majeshi yangu sahiyo hiyo na kumdelete kwanzia mda huo
Mhhhhanakua amejimaanisha yeye ndio muoaji ila kazunguk tu...
nimekuelewa kwelikweli... nitakuwa makini..!!!hahahah hapa ni somo kwa wanaume,unawaamsha ,huyo anayekuja anakupikia,kukuoshea etc sio wife material kabisaaa🙂🙂🙂🙂 huyo anataka ndoa jichunguze kama anakupenda au anataka ndoa?
Yani ningevurumusha kila kitu aanze upya mwenyewe au alete boya mwingine wa kumfanyiaNadhani we Kabla ya kusepa ungechafau nguo,vyombo na nyumba yote
Mtafute Baba Angu MshanaSielewi bhana
Ambi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe hufanyagi hizo kazi, ukishabanduliwa unasepa kivyako! !![emoji2] [emoji2] [emoji2]
Uwiii mtihan huu Ambie, najitambulishaje?Mtafute Baba Angu Mshana
Teh teh..Na mgegedo una UNDOYani ningevurumusha kila kitu aanze upya mwenyewe au alete boya mwingine wa kumfanyia
kwelii kabisaa....bt shida inakuja pale unapokosa kukaaa kwa harufu ya nguo chafu hau vyombo vichafuuu.. mbayaaa zaidii harufuu ya mikojo na uchafu wa choo ukiusikia wakatiii uangeuka geukaaaa thn na weweee unaenda kuchuchumaaa hapo hapooo uuuuuiiiiiiiiiiii unajikuta unafanyaaa tuuuu sababuuu hujazoea uchafuuu wakati we mwenyewe unamfanya yeye wa kuzugiaaaa......hilaaa akinipa nenoo hilooo live ahaaaa hapo lazima tulipane hata kwa kuvaa tshirt yakeeeee.loooolAisee kwenye miti hakuna wajenzi
Gegedo nalivuta afu nakimbiaTeh teh..Na mgegedo una UNDO
Ukisema Mkwe sawa Rafik sawa Jiran sawaUwiii mtihan huu Ambie, najitambulishaje?
Yeye hana michepuko kama akina Mondray,smart991??[emoji1][emoji1][emoji1]Stunter is my hubby, he deserve it all
Unamwambia tu. Asante. Unamaliza shughuli zako unaondoka na usimwambie chochote..Msichana Unatoka Kwenu Unaenda Kwa Jamaa Mnafanya Yenu Mnamaliza Unaanza Kufua,Unaosha Vyombo, Unafagia Na Kudeki Ndani ,Unapika Mnakula Baada Ya Kumaliza Jamaa Anakwambia Mwanaume Atakaekuoa Atapata Raha Sana
Hivi utamjibu ni nini huyo Mwanaume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]