Mwanaume auliwa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwa mpenzi wake, yadaiwa alikuwa akitembea na mke wa mtu

Unamanisha unakula mbususu ya bibi wa huyo mtoto mchanga?
 
Duh juzi kati tu nilikua nachakata mbususu ya mke wa mtu alieachika siku 3 zilizopita. Naacha huu ujinga na huyu dem nafuta namba kabisa.
...Na Jamaa anaweza akahisi wewe ndio umesabisha Ndoa yake Kuvunika!... Na akaamua kukufanyia!...…na kumbe waliachana Kwa sababu zao TU lakini imekula Kwako!!
 
...Na Jamaa anaweza akahisi wewe ndio umesabisha Ndoa yake Kuvunika!... Na akaamua kukufanyia!...…na kumbe waliachana Kwa sababu zao TU lakini imekula Kwako!!
Kweli kabisa.. na ndoa zinauma sana.. acha nikae mbali sana.. maana hii trend ya watu kuuana isijenifikia na mimi
 
Wanaume wengi hawajui kuachika hata kama kosa ni lao wanabaki kuwa ving'ang'anizi utadhani waliibandika wao hio mbususu na kuipa kopiraiti ya peke yao.

Ukiachwa achika acha watu waishi kwa amani
Hatuachiki mpaka kieleweke....kwani kufa bei gani
 
Nshawahi kulala kwa single maza flan hv asee saa 9 usku watu wanapita njian nkadhani eheeee sku ya kufirimbwa ndo hii[emoji41] .cjawahi rudia tenaaaaaaaaa
 
Nshawahi kulala kwa single maza flan hv asee saa 9 usku watu wanapita njian nkadhani eheeee sku ya kufirimbwa ndo hii[emoji41] .cjawahi rudia tenaaaaaaaaa
Single maza kama humlipii Kodi na hana biashara ya kuelewekaa aisee Hata akikuambia na jamaa yale wanawasiliana kuhusu mtoto tu KIMBIA USIGEUKE NYUMA.. suala la kwenda kulala alipopangiwa au anapoishi litakukuta jambo baya sanaa
 
Single maza kama humlipii Kodi na hana biashara ya kuelewekaa aisee Hata akikuambia na jamaa yale wanawasiliana kuhusu mtoto tu KIMBIA USIGEUKE NYUMA.. suala la kwenda kulala alipopangiwa au anapoishi litakukuta jambo baya sanaa
Nakubaliana nawe mkuu ni mwendo wa kula kimasihara na kutoka nduki
 
Mkuu Si ajabu vipi wakati habari imeeleza kuwa muuaji alishaachana na mke wake , ndo kibwana akamchukua!, Hivi huwa mnasoma habari nzima au huwa mnasoma title na kukimbilia kukomenti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…