Mwanaume awakimbia wadada na kuwaachia bili Bar.

Mwanaume awakimbia wadada na kuwaachia bili Bar.

Jana nimecheka sana sana kwa sababu wadada walikimbiwa na kuachiwa bili baada ya kula na kunywa kama vile hawatakula tena.Walikuja na mwanaume aliyeonekana ana hela hawa wadada walikuwa watatu wanaonekana ni wanachuo wa chuo kimoja hapa tabora.
Wakaagiza mavinywaji machupa makubwa sijui yanaitwaje kila mtu moja moja yapo kama soda ya mirinda nyeusi.Jikoni wakaagiza kuku wawili na chipsy mayai kila mtu wakala zote kwa uroho hawajabakisha hata shingo waroho sana.
Huyo mkaka aliagiza tu maji makubwa basi.
Baada ya bili kupelekwa huyo mkaka akasema ngoja akatoe hela kwenye Atm kumbe akawa amekimbia moja kwa moja huku wadada walikuwa wanapiga stori wanagonga na mikono sijui walikuwa wanasema nini.Muda ulivyozid kwenda nahisi wakampigia simu haipatikani ikabidi waanze kuhaha wamekaaa hapo mpaka usiku saa 3 ndio kuna mdada mwingine akaja kulipa hela wakaondoka.Nikasema jaman pole yao tu wakome kudowea vya wanaume saivi wamekuwa wachoyo sana wabahili sana sana wanaume wamekuwa wachoyo .

Hamna sio wanaume wamekuwa wabahili ni kwamba wameerevuka hawataki ujinga..... unamuita mtu anakuja kafuatana na wenzie watatu unategemea nini .

Tena kuna wengine washenzi akifika ndio anawaita wenzie kwa simu unashangaa baada ya nusu umezungukwa meza imejaa watu hakya walahi utalipa mwenyewe....
 
Hii ilishamtokea mwanang mmoja tunamuitaga mkorintho, yeye alikutanaga online na mtoto mmoja wa chuo kwenye mtandao wa badoo, wakawa wanachati mwisho wa siku wakapeana namba. Yule demu alikua anasoma pale udsm (UDBS) sasa jamaa siku moja akamsaundisha basi wakapanga wameet maeneo ya Triple 7 pale. Mwamba akajipanga fresh akaelekea eneo la tukio mapema sana kufanya reconnaisance ya hapa na pale. Yule manzi alitokea ila cha kushangaza akaja na rafiki zake wawili eti walikua bored akaona sio mbaya wakim-accompany so jumla wakawa watatu. Wakaagiza menu pale na kama mnavyojua bei ya misosi pale 777 sio kindezi, picha linaanza maji ya kilimanjaro tu yale ya buku pale ni buku 3. Mwanang mkorintho akaona sasa hapa ngoja awaoneshe uhuni wa bachu, wakaagiza menu wote wakaanza kula taratibu wakati wanaendelea kula akanitext kimya kimya akanipanga nimpigie simu ye ataweka loudspeaker then nimwambie kama yuko na watu atoke pembeni tuweze kuongea kuna ishu ya msingi sana. Basi nami nikafanya hivyo after 2mins nkampigia nikafanya kama alivyoniambia. Haikupita hata dakika 5 mkorintho akaja maeneo ya msasani b/club pale ambapo mi ndio nilikuepo na wana wengine akaniambia wale ma manzi ameshawaachia mimavi, yaan hadi msosi wake hajaulipia na kwakua alikua hajamaliza kula walijua atarudi tu kumbe mhuni kashawaachia manyoya na uzuri ile line sio anayoitumia siku zote so baada ya hapo akaivunja na kuivunja. Wale ma manzi sijui walisolve vipi ila nina uhakika hawatarudia tena ile tabia na mipunga ya maana itakua iliwatoka pale maana triple 7 sio masihara.
Duuuh
 
Kuna Mtu kanialika dinner nawaza sijui niende na wakina Ashura. Tumchune mpaka[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ila baadhi yao wanaenda na kijiji ili baada ya kula usimng,'anganie kumgegeda
 
Ila baadhi yao wanaenda na kijiji ili baada ya kula usimng,'anganie kumgegeda
Kweli kabisa kuna wanaume ukienda peke yako lazima akugegede so ukienda na kijiji inakuwa umemzibia nafasi
 
Mi sikukimbii sababu pakukutania nachagua mwenyewe so najua ntapamudu,ila ajue kila atakaye mleta na akala vyangu naye ni halali yangu/yuko kwenye menyu
 
Mimi huwa natembea na pesa ya emergence kama naenda bar looh aibu siwez hii wanaume jaman kwann lakin mnawafanyia hivi wadada wa watu
Maana ya kuja na kijiji ni kuhakikisha hakuombi K! Yeye atoboke mfuko bila kufuma nyavu haiwezekani
 
Mimi huwa natembea na pesa ya emergence kama naenda bar looh aibu siwez hii wanaume jaman kwann lakin mnawafanyia hivi wadada wa watu
kaitwa mmoja wameenda watatu kwanini msikimbiwe
 
Ila wadada mna confidence.
Anaweza kuingia mahali na Mtu ambaye wamefahamiana kwa muda mfupi sana halafu anakula na kunywa to the maximum wakati uwezo kulipa hana iwapo atakimbiwa
Tatizo linakuwa kwa wanaume kutaka kujionyesha kuwa matawi ya juu. Agiza chochote utakacho unategemea nini. Mdada wa watu hajawahi kunywa sminof vodka ndiyo atataka kuijaribu.
 
Hata kama unahudumia jiko,still bado unafuatilia maisha ya watu,fanya kazi yako ya jiko na sio kuchunguza wateja eti wamekula Kuku na hawakubakiza hata shingo!! Kwani kati ya mimi na wewe ni nani aliyeleta malalamiko humu?! ni nani anayelalamika? mimi silalamiki bali nakupa ushauri nasaha.
Asante Rafik mwema
 
Una takiwa uwe na akiba yako mfukoni uta hadhilika asee, wasanii ni wengi mjini
 
Hawa jamaa bwana, unamualika mmoja anakuja na basi zima!
 
Back
Top Bottom