Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ephen shikamooo umejua kunivunja mbavu🤣🤣🤣Chagua chagua mwanaume huku wewe ukiwa umeumbika haswaaaa
Wengi wanapenda man awe tall, kifua, black, wakati yeye ni mfupi kapigwa pasi sura kama andazi lililoingia michanga, kitambi kama afisa meneja na meno kama mbegu za Machungwa
Marhaba! Maisha ndo hayahaya wacha tufurahiEphen shikamooo umejua kunivunja mbavu🤣🤣🤣
Inamaana hamjawai kuonyeshana shooo mpaka siku ya ndoa? Jamaa katuangusha mabahariaHalafu awe
✓Tall🥰
✓Mwembamba kiasi🥰
Nyiee acheniii 🤗
Sitamani Jumanne ifike🤸
BTW: Kama hakutokuwa na mabadiliko tarehe ya ndoa ni 13 July 2024.
I can't wait for shoooo😁😁
Play song for us Mr piano man😁🎵
KARIBUNI
♥️♥️♥️
😅😅😅😅😅Kuna umri ukifika utasema kikubwa awe na nguvu za kiume tu basi
Namuhurumia sana kwasababu jumatano ndiyo atakayoambiwa mume mtarajiwa amepata dharula na harusi itapangwa tena. Ukiwa na D mbili utaelewa.J4 mtu anaenda kupewa raha duniani 😂
We mwanaume ?Sekunde 6 mbona mbali!! Mimi kila baada ya sekunde 3