Mwanaume chukua somo kwenye kisa cha Talulah Riley na Elon Musk

Akikaa na wale wanadheria wao hachelewi kutaftiza shitaka la udhslilishaji kingono.
Wanawake, wengi wao, ni chuma ulete.
 
Hako kashenzi katakua kana undugu na shetani sio bure
 
Haya sasa blood Monetary doctor njoo ujibie hili.
Aseeh hafai hata kidogo bi dada

Kwanini asiwe faraja wakati jamaa anapitia magumu ?

Upendo upi anazungumzia wa kupenda shekeli ?

Jamaa afunge vioo

Hata wazee walinambia mkeo akikuacha kisa unapitia ugumu fulani basi akirudi asiingie kwako na ukimkaribisha imekula kwako.... Blood πŸ‘Š
 
Umetisha blood.

Haturidishi majeshi

βœŠπŸΏπŸ‘ŠπŸΎ
 
Huyo Mask mwenyewe saivi hana muda na wanawake,yuko zake busy kupambania ndoto zake za kuhamia sayari ya mars.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…