Mwanaume chukua somo kwenye kisa cha Talulah Riley na Elon Musk

Mwanaume chukua somo kwenye kisa cha Talulah Riley na Elon Musk

Duh aiseee tamaa mbaya.

Ngoja wababa waje kutoa povu lao
Kasema ana upendo mkubwa hahaha ila wanawake bwana, anyways niko zangu juliana huku africana na washikaji zangu tunaangalia chelsea anavyobondwa na city, mtoa post thank you for the heads up mana wanawake wanaopitapita hapa unaweza fanya lolote yani....
 
Kweli mkuu,itakua ni za kutunga kama mabinti wa Rutu kutembea na Dingi yao baada ya kumlevya.

Demu malaya ni malaya tu,nye.ge zikipanda popote kambi,hata tango likiwa jirani hakuna rangi halitoona
Kwenye kila stori kuna jambo la kujifunza
 
Asilimia kubwa ya wanawake ukiyumba kiuchumi kama hatokuacha, dharau atakazo kuonyesha utajuta, na kama hutomwacha kwa dharau zake ukishasimama tena atakupa heshima za kifalme Ila utakuwa ushajua una ishi na mtu wa aina gani,
Women don't self identify broke kabsa
 
Anguko la ndoa za watu maarufu, wanasiasa na matajiri duniani.
Ni muendelezo wa kujenga msingi wa watu kukataa kuoa/kuolewa.
Kama Jeff na dogo Bill wameshindwa kukaa na wake zao, je mimi kapuku!?
 
Kama Jeff na dogo Bill wameshindwa kukaa na wake zao, je mimi kapuku!?
Hata ndoa ya Barack Obama, kuna tetesi nayo iko hoi.

Rumors swirl around Barack and Michelle Obama's marriage as Michelle skips high-profile events, sparking online speculation. We break down the public's reaction, body language analysis, and whether the Obamas are facing real marital issues.
 
Hata ndoa ya Barack Obama, kuna tetesi nayo iko hoi.

Rumors swirl around Barack and Michelle Obama's marriage as Michelle skips high-profile events, sparking online speculation. We break down the public's reaction, body language analysis, and whether the Obamas are facing real marital issues.
Baraka sio Rais tena unadhani kuna prestige gani anapata Bibiye!? Ameshaona hana jipya!
 
Back
Top Bottom