Mwanaume gani una vaa ki bukta?

Mwanaume gani una vaa ki bukta?

TOHATO

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2016
Posts
1,336
Reaction score
4,653
Yani mwanaume unatembea mtaani na kibka kabisa.
Bukta zenyewe fupi hadi mapaja yanaonekana.
Sidhani utakuwa mwanaume kamili kwa jamii zetu alafu uvae ki bukta kiko juu ya magoti.
 
Yani mwanaume unatembea mtaani na kibka kabisa.
Bukta zenyewe fupi hadi mapaja yanaonekana.
Sidhani utakuwa mwanaume kamili kwa jamii zetu alafu uvae ki bukta kiko juu ya magoti.


cc: Diamond Platinumz na wasanii wote wasiojitambua wa bongo fleva.
 
Mwanaume anayevaa kibukta cha kubana huwa hawanivutii kabisa
 
Siku hizi kila jinsia inauza kwa style yake.
 
Na Hawa wavaa vikaptula (shots)
Znazoishia kwenye magot kwenda juu
 
IMG_5669.JPG



Unamaanisha kama hii? Mbona wanapendeza tu kwani mkuu wewe unaweza kutamani paja la mwanaume mwenzako [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Afadhali umenena manake yale mapensi yetu ya kufunika magoti siku hizi yamekuwa hadimu kweli, hadi hizo track pants/suits zimekuwa zakubanabana yaani kama hivi viwanda vya nguo vimeambiana watu haribie marijali.
 
Back
Top Bottom