Mwanaume halisi sharti asulubike: Mwanaume hujifunza na kuimarika kupitia magumu ila Wanawake ni kinyume chake

Mwanaume halisi sharti asulubike: Mwanaume hujifunza na kuimarika kupitia magumu ila Wanawake ni kinyume chake

Mamaeee kama kuna tuzo hivi..
"''oooh mtoto wa kiume upo kwa mshangzi ndo nini sasa..... """

Ujinga ujinga tuu alaaaah 😂😂😂😂😂😂
 
Hakuna tuzo ya mtesekaji bora.
Mtu hateseki Ili kuwa mtesekaji Bora au kupewa tuzo kama unavyodai ila nilichomaanisha ni kuwa "mateso ni darasa la kumnoa Mwanaume ova.
 
GhafrA Nimekumbuka mtoto wa bakhressa...kuteseka sio sifa bwana we
Nani alikuambia matajiri au watoto wa matajiri hawapitii magumu?..infact wanaweza wakawa hawapitii njia unayoiita wewe au mimi ila wana magumu yao pia.
...........
Unatafsiri magumu kama hivi wewe?
 
Ukisoma huu Uzi ndipo utagundua Nina kila sababu ya kusema "WAAFRIKA WANA LAANA YA MILELE"
 
Kazi gani nyepesi mwanaume unapiga, labda kufirwwwwa
Mkuu tusiutukane hata kama tukikerwa, hii nayo ni changamoto tu ya kutuimarisha. Tujenge hoja kistaarabu tu, ninaamini Kila mtu ana mtazamo sahihi juu ya Dunia yake.
 
Mleta mada hakuna sifa yoyote kwenye kuteseka. Kama kuna njia nyepesi ya kufanikiwa bila kuvunja sheria za Mungu na za jamhuri pita nayo fasta. Hata Mungu aliumba binadamu ili astarehe na sio kuteseka. KATAA KUTESEKA. KWEPA KUTESEKA KADIRI UWEZAVYO.
 
Ukisoma huu Uzi ndipo utagundua Nina kila sababu ya kusema "WAAFRIKA WANA LAANA YA MILELE"
Hakuna lugha nyepesi ya kukuambia ukweli ulivyo Mkuu.
Jenga hoja " hasty generalization siyo jambo la maana sana humu"
Nina uhakika una hoja nzuri tu tafuta namna ya kuijenga
 
Mleta mada hakuna sifa yoyote kwenye kuteseka. Kama kuna njia nyepesi ya kufanikiwa bila kuvunja sheria za Mungu na za jamhuri pita nayo fasta. Hata Mungu aliumba binadamu ili astarehe na sio kuteseka. KATAA KUTESEKA. KWEPA KUTESEKA KADIRI UWEZAVYO.
Kuteseka unakutafsiri vipi kwani Mkuu?
" Duniani mnayo dhiki lakini jipeni moyo..."
 
Sijamalizia kusoma ila ni upuuzi mtupu ulioandika.

Hakuna faraja kwenye maumivu. Hii ni kwa wanaume wote, kama kuna njia mbadala ya kufanikiwa ambayo ni halali na haina mateso ichukue. Hakuna ugangwe kwenye kusurubika.
🤣🤣🤣🤣
 
You are romanticizing suffering, ndio maana wanaume wengi wako bitter.

Come on y’all.
Suffering is just like training don't hate it,
Just see it on other side of the continuum since everything is duality and the same.
 
Sijamalizia kusoma ila ni upuuzi mtupu ulioandika.

Hakuna faraja kwenye maumivu. Hii ni kwa wanaume wote, kama kuna njia mbadala ya kufanikiwa ambayo ni halali na haina mateso ichukue. Hakuna ugangwe kwenye kusurubika.
1724708306796.png
 
Back
Top Bottom