Mwanaume Hanithi anayehitaji mke

Sijui kwanini mtu akisikia tu jina lake limetajwa lazima atashtuka.
Wapo watakaojikausha wakapita kimya ila wapo pia ambao wataitika japo walengwa hawakua wao. Najua una sifa hiyo ndio maana umekuja kuitika HAPA ila kwa kua hukidhi vigezo vingine ungepita tu kimya.

Wenye vigezo vyote wanajua kua wanatakiwa kuitikia kuleee PM.



Bado sijapata, mnaokuja PM acheni mzaha.
 
hanithi hii ndo ile ninayoijua mimi au nyingine..!!!!
 
mtumieni pm kigwangara, watu wa aina hii anawatafuta.
 
dunia haiishiwi vituko haya wale wa chumvini uvinza kazi hiyoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…