Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 842
- Thread starter
-
- #61
Huyu jike dume! Anatafuta mwanaume hanithi ili amvalie mkanda wa mboo ya plastic ili awe anampa kichapo !Sijakuelewa, Hanithi ufanye nae nini?
mtumieni pm kigwangara, watu wa aina hii anawatafuta.Mimi WL na si mtu mwingine.
Nahitaji Mwanaume Hanithi.
Asiwe shoga wala asiwe amewahi kujihusisha na ushoga.
Awe anayejiamini na anaweza kutatua changamoto za kimaisha.
Awe na malengo ya kuoa.
Asiwe mtegemezi/kupe na awe na kipato halali.
Muonekano pia una nafasi yake
Mimi ni mwanamke kamili sina tatizo lolote kuhusiana na uanamke wangu.
Umri wangu 30+
Elimu yangu nimesogeasogea
Namaanisha sipo kufanya dhihaka.
Kama upo humu una sifa hizo na unatafuta njoo PM au unamjua wa sifa hizo mlete
Hahahaaa! Na ni vituko kweli kweli ila Wenyewe wanakwambia "asiyejua mana usimpe maana ukimpa maana atakuja kukutukana"
Hahahahaa! Ukishalisikia halina uzito tena
ahaa wapi wanawake nshasema mungu pekee anawajua mahitaj yenuHahahahaa! Ukishalisikia halina uzito tena
Bado sijapata, mnaokuja PM acheni mzaha.
ha ha ha ha nataman ningeiona pm yake itakavyoukuwa baada ya watu kwenda