Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 842
- Thread starter
- #61
Sijui kwanini mtu akisikia tu jina lake limetajwa lazima atashtuka.
Wapo watakaojikausha wakapita kimya ila wapo pia ambao wataitika japo walengwa hawakua wao. Najua una sifa hiyo ndio maana umekuja kuitika HAPA ila kwa kua hukidhi vigezo vingine ungepita tu kimya.
Wenye vigezo vyote wanajua kua wanatakiwa kuitikia kuleee PM.
Bado sijapata, mnaokuja PM acheni mzaha.
Wapo watakaojikausha wakapita kimya ila wapo pia ambao wataitika japo walengwa hawakua wao. Najua una sifa hiyo ndio maana umekuja kuitika HAPA ila kwa kua hukidhi vigezo vingine ungepita tu kimya.
Wenye vigezo vyote wanajua kua wanatakiwa kuitikia kuleee PM.
Bado sijapata, mnaokuja PM acheni mzaha.