Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😄😃😀😅🤣🤣🤣Vipi hujawaza kero ya harufu ya pombe na bangi wakiwa mchezoni???
Mimi nimemuelewa mleta mada anataka mwanaume asiyekunywa pombe, mwenye upendo lakini pia anayejiweza 6 kwa 6.Mkuu samahani, huyo mwanaume unaemzungumzia ndio huyu mumeo ambae humuelewi au?View attachment 2245433
Sina njaa kwa taarifa yako...Kuwa muwazi bc dada tujue tunakusaidiaje,shida n ukojozwe au aache bange au aache pombe?alaf tuambie mwaka mzima unategemea ataacha bangi au unategemea itafika siku atakukojoza?ile siku mmeunganisha vikojoleo kwa mara ya kwanza ulipaswa kuanza maandalizi ya kumkimbia,lkn njaa zako ndio zmekueka hapo hadi leo,alaf mkimaliza miaka mitatu ukileta fyoko ukitandikwa risasi ya matako tuanze kumlalamikia mchaga???
Siyo huyo mkuu, alifarikiMkuu samahani, huyo mwanaume unaemzungumzia ndio huyu mumeo ambae humuelewi au?View attachment 2245433
Kama huna njaa,kipindi alivyokuaproach hukujua n mlevi?hukujua n mdau wa jani dada,?je mlvyosex mara ya kwanza hukujua hana uwezo wa kuhimili tendo??chonde chonde dada,subiri tumalize msiba wa mwenzio kwanza.Sina njaa kwa taarifa yako...
Trust me sina njaa, na nilimpenda ila sasa ganja na pombe ndo kitu sipendi sana, na ganja yake si local, kwa hiyo ata kuhisikia si rahisiKama huna njaa,kipindi alivyokuaproach hukujua n mlevi?hukujua n mdau wa jani dada,?je mlvyosex mara ya kwanza hukujua hana uwezo wa kuhimili tendo??chonde chonde dada,subiri tumalize msiba wa mwenzio kwanza.
Hahahaaa kumbe. Ngoja nichangamkie fursa PM fastaMimi nimemuelewa mleta mada anataka mwanaume asiyekunywa pombe, mwenye upendo lakini pia anayejiweza 6 kwa 6.
Hili ni tangazo sema limekua twisted. Mfuatilie vizuri
Inaonekana jamaa akipiga msuba anamsugua vizuri lakini akiwa hajapiga msuba anakuwa hajiweziKumbe hapa shida ni kwamba hajakukojoza
Usiombe akavuta bangi na mkaenda sita kwa sita utadhani anatwanga kisamvu kwenye kinu haha
Anamiliki bastola?Twende moja kwa moja kwenye hoja.
Mimi ni mama wa mtoto 1, nimebahatika kukutana na mbaba ambaye yeye amedivorce na mke wake. Ila kadri navyozidi kuwa naye ndivyo kadri navyoshindwa kuendelea naye na hata mke wake kuachana naye ni sawa nipo naye karibia mwaka sasa.
Ni mbaba mwenye upendo wa kweli nauona ila changamoto ni mwanaume anayekunywa sana pombe na kampani yake ni wanywaji, pia ni anavuta bangi, ila kitandani hamna kitu, kuliko niendelee kusema nampenda bora nikae kando yasije yakanikuta kama ya mdogo wangu wa Mwanza. Kibaya sisi wengine hatuwezi kuchanganya kondoo wawili kwa wakati mmoja.
Usiombe akavuta bangi na mkaenda sita kwa sita utadhani anatwanga kisamvu kwenye kinu haha
Hivi nyie wenzangu wenye wapenzi wa dizaini hii mna uvumilivu gani mnautumia kuendelea kuwa katika mapenzi?
MsetoMkuu samahani, huyo mwanaume unaemzungumzia ndio huyu mumeo ambae humuelewi au?View attachment 2245433