Mwanaume huyu anaelekea kunishinda kwa ulevi wake

Mwanaume huyu anaelekea kunishinda kwa ulevi wake

Mkuu samahani, huyo mwanaume unaemzungumzia ndio huyu mumeo ambae humuelewi au?
Screenshot_20220531-113151_1.jpg
 
Kuwa muwazi bc dada tujue tunakusaidiaje,shida n ukojozwe au aache bange au aache pombe?alaf tuambie mwaka mzima unategemea ataacha bangi au unategemea itafika siku atakukojoza?ile siku mmeunganisha vikojoleo kwa mara ya kwanza ulipaswa kuanza maandalizi ya kumkimbia,lkn njaa zako ndio zmekueka hapo hadi leo,alaf mkimaliza miaka mitatu ukileta fyoko ukitandikwa risasi ya matako tuanze kumlalamikia mchaga???
Sina njaa kwa taarifa yako...
 
Mimi nimemuelewa mleta mada anataka mwanaume asiyekunywa pombe, mwenye upendo lakini pia anayejiweza 6 kwa 6.

Hili ni tangazo sema limekua twisted. Mfuatilie vizuri
hapana sipo kwenye matangazo ya utafutaji
 
Sina njaa kwa taarifa yako...
Kama huna njaa,kipindi alivyokuaproach hukujua n mlevi?hukujua n mdau wa jani dada,?je mlvyosex mara ya kwanza hukujua hana uwezo wa kuhimili tendo??chonde chonde dada,subiri tumalize msiba wa mwenzio kwanza.
 
Kama huna njaa,kipindi alivyokuaproach hukujua n mlevi?hukujua n mdau wa jani dada,?je mlvyosex mara ya kwanza hukujua hana uwezo wa kuhimili tendo??chonde chonde dada,subiri tumalize msiba wa mwenzio kwanza.
Trust me sina njaa, na nilimpenda ila sasa ganja na pombe ndo kitu sipendi sana, na ganja yake si local, kwa hiyo ata kuhisikia si rahisi
 
Lakini ukweli ni kwamba hakuna mwanaume au mwanamke aliyekamkamilifu, tena naona mapungufu ya huyo wako ni madogo mnaweza kuongea na na ukamvumilia akajirekebisha
 
Kwani kipindi mnaanza mausiano ulikuwa bado ujajua kama jamaa anavuta ganja na kunywa pombe?
 
Mwanaume Mlevi kupindukia[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!!
 
Twende moja kwa moja kwenye hoja.

Mimi ni mama wa mtoto 1, nimebahatika kukutana na mbaba ambaye yeye amedivorce na mke wake. Ila kadri navyozidi kuwa naye ndivyo kadri navyoshindwa kuendelea naye na hata mke wake kuachana naye ni sawa nipo naye karibia mwaka sasa.

Ni mbaba mwenye upendo wa kweli nauona ila changamoto ni mwanaume anayekunywa sana pombe na kampani yake ni wanywaji, pia ni anavuta bangi, ila kitandani hamna kitu, kuliko niendelee kusema nampenda bora nikae kando yasije yakanikuta kama ya mdogo wangu wa Mwanza. Kibaya sisi wengine hatuwezi kuchanganya kondoo wawili kwa wakati mmoja.

Usiombe akavuta bangi na mkaenda sita kwa sita utadhani anatwanga kisamvu kwenye kinu haha

Hivi nyie wenzangu wenye wapenzi wa dizaini hii mna uvumilivu gani mnautumia kuendelea kuwa katika mapenzi?
Anamiliki bastola?
 
Back
Top Bottom