Mwanaume huyu anaelekea kunishinda kwa ulevi wake

Mwanaume huyu anaelekea kunishinda kwa ulevi wake

Kuwa muwazi bc dada tujue tunakusaidiaje,shida n ukojozwe au aache bange au aache pombe?alaf tuambie mwaka mzima unategemea ataacha bangi au unategemea itafika siku atakukojoza?ile siku mmeunganisha vikojoleo kwa mara ya kwanza ulipaswa kuanza maandalizi ya kumkimbia,lkn njaa zako ndio zmekueka hapo hadi leo,alaf mkimaliza miaka mitatu ukileta fyoko ukitandikwa risasi ya matako tuanze kumlalamikia mchaga???
🤣 🤣 🤣 🤣 hii Dunia ina mambo mengi sana.
 
Pole sana mpendwa kwa changamoto unazopitia hapo sasa ni wewe mwenyewe uamue kusuka au kunyoa.
 
Twende moja kwa moja kwenye hoja.

Mimi ni mama wa mtoto 1, nimebahatika kukutana na mbaba ambaye yeye amedivorce na mke wake. Ila kadri navyozidi kuwa naye ndivyo kadri navyoshindwa kuendelea naye na hata mke wake kuachana naye ni sawa nipo naye karibia mwaka sasa.

Ni mbaba mwenye upendo wa kweli nauona ila changamoto ni mwanaume anayekunywa sana pombe na kampani yake ni wanywaji, pia ni anavuta bangi, ila kitandani hamna kitu, kuliko niendelee kusema nampenda bora nikae kando yasije yakanikuta kama ya mdogo wangu wa Mwanza. Kibaya sisi wengine hatuwezi kuchanganya kondoo wawili kwa wakati mmoja.

Usiombe akavuta bangi na mkaenda sita kwa sita utadhani anatwanga kisamvu kwenye kinu haha

Hivi nyie wenzangu wenye wapenzi wa dizaini hii mna uvumilivu gani mnautumia kuendelea kuwa katika mapenzi?
si umuelekeze unavyotaka bibie
 
Twende moja kwa moja kwenye hoja.

Mimi ni mama wa mtoto 1, nimebahatika kukutana na mbaba ambaye yeye amedivorce na mke wake. Ila kadri navyozidi kuwa naye ndivyo kadri navyoshindwa kuendelea naye na hata mke wake kuachana naye ni sawa nipo naye karibia mwaka sasa.

Ni mbaba mwenye upendo wa kweli nauona ila changamoto ni mwanaume anayekunywa sana pombe na kampani yake ni wanywaji, pia ni anavuta bangi, ila kitandani hamna kitu, kuliko niendelee kusema nampenda bora nikae kando yasije yakanikuta kama ya mdogo wangu wa Mwanza. Kibaya sisi wengine hatuwezi kuchanganya kondoo wawili kwa wakati mmoja.

Usiombe akavuta bangi na mkaenda sita kwa sita utadhani anatwanga kisamvu kwenye kinu haha

Hivi nyie wenzangu wenye wapenzi wa dizaini hii mna uvumilivu gani mnautumia kuendelea kuwa katika mapenzi?
Usiombe akavuta bangi na mkaenda sita kwa sita utadhani anatwanga kisamvu kwenye kinu haha[emoji23]
 
Trust me sina njaa, na nilimpenda ila sasa ganja na pombe ndo kitu sipendi sana, na ganja yake si local, kwa hiyo ata kuhisikia si rahisi
Tatzo lenu wasimbe hua mnakurupuka sana,matokeo yenu mnakuja kujuta baadae,
 
Ni mbaba mwenye upendo wa kweli nauona ila changamoto ni mwanaume anayekunywa sana pombe na kampani yake ni wanywaji, pia ni anavuta bangi, ila kitandani hamna kitu, kuliko niendelee kusema nampenda bora nikae kando yasije yakanikuta kama ya mdogo wangu wa Mwanza. Kibaya sisi wengine hatuwezi kuchanganya kondoo wawili kwa wakati mmoja.
Zamu yenu kufukuza wenza
 
JF mahali watu wanajisikia kuandika chochote na kuweka matangazo yao
 
dagaa mada zako zina uongo mwingi sana, hongera kwa kuchangamsha kijiwe. Mara ndoa ina miaka sita, mara ina zaidi ya miaka kumi...
 
Ko ulidhani mke wake alivyoamua ku dicorce,we ndo umeokota dodo chini ya mnazi???Pambana naye tu hakuna namna.
 
Back
Top Bottom